MKOBA WA MAMA Episode | 4 |
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- kitu kikubwa ni kutunza UTAMADUNI watu wengi wanashindwa kurithi utamaduni wao kwasababu ya tamaa za kidunia fuatilia hadithi hii utajifunza kitu kikubwa sana kwenye jamii inayokuzunguka
Tanu plus+ Clam Vevo Mwakatobe Kipara Vevo kipara Brand Swahili Movie Bongo Movies Bongo Movies bongo Movies Kipara Comedy Tanzania Movies Tanzania Movies Tanzania Movies Tanzania Movies Tanzania Movies Kicheche family Kicheche Comedy Clam Vevo Movie Mwakatobe Movie Clam Vevo Comedy Mwakatobe Comedy Big Boss Full Movie Kicheche Comedy 2024 Clam Vevo comedy 2023 Clam Vevo comedy 2024 Bongo Movie Mpya 2023 Bongo Movie Mpya 2024 Bongo Movie Mpya 2023 Bongo Movie Mpya 2023 Watakufa Saa 6 Episode 1 Watakufa Saa 6 Full Movie Swahili Movies Full Tanzania Bongo Movie 2024 Full Movie Bongo Movie 2024 Full Movie Bongo Movie 2024 Full Movie Big Boss Full Movie Season 2 Boss Mchawi Shangazi Kaja Kobe LA Mchana KIBURI Full movie Mistake Full Movie Snake boy Season 2 Maiti Yangu Full Movie Snake Boy Season TwoSwahili MoVies 2023 Swahili MoVies 2023 African MoVies Based on True Story Full African MoVies African Full MoVies Ting Arg MoVies Ting Arg MoVies Kenyan Comedy Somali Comedy Bongo MoVies 2023 Full MoVie Ting MoVies Ting MoVies 2024 Swahili Recap Swahili Recap Swahili MoVies Full Tanzania Kenyan Comedians Videos Mapenzi Tanzania MoVies Zambian Comedy Videos Tanzania MoVies 2023 Mapenzi LIVE TH-cam Tanzanian Comedians Kenya Short Film Kenyan Comedians Ugandan MoVies 2024 Comedy Uganda Latest Tanzania Comedy 2024 Nigerian Episode MoVies Ugandan Comedy Videos Nigerian MoVies Full MoVies African MoVies African MoVies Nollywood MoVies Full MoVies Nigerian MoVies From TH-cam Kenyan MoVies Kenyan MoVies African MoVies Nigerian MoVies New African MoVies on TH-cam Nigerian MoVies Nigerian MoVies Recently Watched African MoVies South African MoVies Full MoVies Recently Watched Nigerian MoVies Nigerian MoVies Latest Full MoVies Ghanaian MoVies 2024 Full MoVies Nigerian African MoVies on TH-cam African MoVies 2021 Nigerian MoVies African MoVies 2022 Nigerian MoVies African MoVies 2023 Nigerian MoVies African MoVies 2024 Nigerian MoVies Ghana MoVies 2022 Latest Full MoVies Ghana MoVies 2023 Latest Full MoVies Ghana MoVies 2024 Latest Full MoVies African MoVies 2023 Latest Full MoVies Latest Nigerian Nollywood MoVies 2023 Kenyan MoVies 2023 Latest Full MoVies Kenyan MoVies 2024 Latest Full MoVies Nigerian MoVies 2023 Latest Full MoVies Nigerian MoVies 2024 Latest Full MoVies Nigerian MoVies 2022 Latest Full MoVies Nigerian MoVies 2024 Latest Full MoVies Burundian MoVie Burundian MoVies 2024 Nigerian MoVies 2023 Nigerian MoVies 2024 South African MoVies 2024 Latest Full MoVies South African MoVies 2023 Latest Full MoVies Swahili Comedy Rwanda Swahili Comedy 2024 Kenyan MoVies Swahili Kenyan MoVies Swahili Kenyan MoVies Kenyan MoVies Kenyan MoVies Swahili Comedy Burundi Swahili Comedy Burundi African Nollywood MoVies Latest Nigerian MoVies Kenyan Comedy Kenyan Comedy Kenyan Comedy Swahili Comedy Tanzania Swahili Comedy Tanzania NEW MOVIE AFRICA WORLD WIDE
Naomba mupost nyimbo ya background (funga funga tuondoke, mchawi hana huruma)
Naipenda sana hio❤❤❤❤
Nime kuelewa ntaipost usijal
Sawa nashkuru
😂😂😂😂😂kamchukua mwanangu kabakisha mifupa
Na mm naikubali sana❤❤❤
Nimeanza kuiyelewe hii movie nakubali cn tanu
Akili ni nywele ila hizi za tanu nianyoe tu juu hazimsaidii chochote 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mapenzi etiii😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Nimewahi leo 😊
ahahaha kwahiyo wanaume wenye ndevu hatuna akiliii😅😅😅😅cjapendaaa
😂😂😂😂
Akili zimekimbilia kwenye ndevu
@@SadaMohamed-xl9rc kwahiyo ww unaunga mkono
mbayaa hiyooo🙄🙄😅😅😅
Utapenda tu niukweli kabisaaa 😂😂😂😂😂😂😂
Yaaaahn hum kuna watu 2 wanatakiwa wapate maombi Butwaaa na Tanu wanamatatzo makubwa ya kutokujitambua
Mwakatobe sijamuona apo au so michongo yake kashaachaga😅😅😅
Kazi nzuri sana tanu nimefurahi pia kumuona kaka mbwela❤🎉
Jamni ongezeni sauti ni ndogo sana
Kwann kila movie Bi migomba unatoka mapema.....unabdiii ujitahidi umalize movie yote
Atakuwa na Kaz nying
Kazi nzul sana 😂😂😂😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
We dada hauna akili hata kidogo kwahiyo nyie wanawake ndio mnaakili bas sawa ndiomaana tunawakula na ndevu zetu mnazishikashika😅😅😅😅
Utachambwa😂😂😂Huyo kisirani sana
😂😂😂
Mkoba wa mama uko pow tujitaidi kutoa vipande kwa hala jamaa yang mwaka Tobe sijamuona
Kazi nzur kk
Nimefubioia sana hyiii
Dah hatar sana
Wa3 leo jmn
Kwahivo?
Kwahivo?
Kazi nzur sana kaka Tanu team mbwela mko wp 😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Tupoo❤🎉
Nawapenda sana basi mnyoe hizo devu au muwe mnazichana basi 😂😂😂
Nakwambia ka chicha vile😮
Ongela sana kk
kazi safi Tanu naomba usimalize haraka jaribu iwe refu
Pow ipo sana hii
Safi sana🎉🎉🎉🎉
Hili ni funzo kwetu sisi wanaume, tunaona butua yuataka kuuza mashamba ya urithi ili amridhishe bibi hadi bb amshawishi amuue kakake,Tanu nae kaacha mama yuafarik bt yuko tayar kuokoa mwanamke mwenye hta hampendi #tusiache hisia zitutawale
haswaaaa
Tano mwanamke ambae hakupendi amefanya umpoteze Mama yako kweli wewe huna akili
Ila tanu leo nimeona huna akili ya unaacha kumtibu mama yako unafata mwanamke halafu hakupendi ndo nimeamini mapenzi upofu
Hii nifunzo 2 Ili wanaoangalia wajifunze
Tanu anapenda mwenye anapenda mwingine alafu anamlenga ampendae this earth has no balance
Hii ni move broo
Jamn n movie maana umeongea deep sana 😂🙌
Asingemdharau chizi yasingetokea
Mimliniacha mbali sn ndio
Nimeanza kuifatilia
Huyo ni tete mrebo hivo I love you tete💓
Utafika mbali Unakitu broo ukifa uozi
🔥
Sikuhiz mbona muvi nyingi zinaonyesha wanaume hawajitambui kabisa
Nikweli wanaume hawajitambui kbs
Iko poa sana
Good job Tanu
Top ten Leo ❤
asa Episode ya 4 mbona haijaanzia ilipoishia au hii ni nyingineee
Mimi naona iliishia kwenye harakat za mazishi ama
anhaa kumbe sawaaa
😂😂❤ chaupele nafurah xn kukua kwa hii movie
Mwenye amesem wanaume wenye ndevu Hawana akili,,,
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ Tanu plus
Una feli sana tanu kukataa
Tanu unaacha kutibu mama Yako mzazi kisa mwanamke 😢😢😢 much ❤❤❤ from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤❤❤
Sema tanu uko vizur nimekubali
Huyu aliyesema hali wala hanywi naomba mnipe mie
Tanu unazingua mkoba wa mama mbaka leo kweli
Kazi nzuri
Ongera sana
Sauti sio poa
Daaah mapenzi bhana unaempenda hakupendi na asie kupenda unampenda daaah mapenzi noma
ayoo ndomapenz mapenzi shikamooo 😅😅😅😅
🙏🙏🙏❤️❤️🇧🇮🇧🇮
Tadu vumilia maana binadamu hawana dogo ipo siku Mungu atakulipia usiache mila juu ya mapenzi
Kazi nzur twaiona hku kenya
Daaah wanaume ndyo twasemwa wenyee ndevuu
😂😂😂
Eeehh ivoo
😂😂😂
Tanu chizi mapenzi
Muv nzr
Piga kazi Mungu atakusmamia❤❤❤
🎉🎉
🎉
🎉
Tanu Hana akili
Wew dada ,usiwaseme wanaume mwenye ndevu,hao ni majinias
Kaz mzuri
Kazi nzuri mwakatobe big up sana
Kazi nzuri napenda Sana I'm from 🇧🇮 🇧🇮
Waaah hii ni 🔥
20 leo
Nawafatilia sana nikiwa Omani ila michezo yenu ukitowa Snake Boy inayofata inaupungufu wa sauti
I'm from Oman too n came coz snake boy 😂❤ at least they trying n yes sound is bad but am thankful to watch great performance ❤❤❤
Mbona sauti ipo simu zenu pengine mbovu
Pingeni kazi mkovizuri sana
Umewah nn
Like kwajili ya tanu
Kazi nzuli❤
Kazi iendelee🎉🎉🎉🎉❤❤❤
balance your voice and the sound tracks .............................good job 😎
Kaz kaz
ongela
Nzur sana ila kuchelewa sasa😢
Kazi kazi
Nice
Mmetisha❤
Ata m pia
Sauti iko chini
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
woyoooo
Kiukweli pesa ndokilakitu kwaiyo unamuzarau tanu kisa hana hela Sandra nae tama za pesa ndo zinafanya uzalilike pole yako😅
Tanu huna baya kaka..
Nami nimewahi 😊
Jaribuni kuongeza sauti mnaboa
Ongezeni sauti bana IPO chini sana
Mbn ipo vzr simu yako mbovu
sijachelewa leo
mpende anae kupenda asie kupenda achana nae una mwacha mama ako unae nda kumtibu mwanamke kweli
Maliza tena alokuwa hana habari na ww
Nimefulah kumuona Chaupele
Tanu mbon unachelewa kutoa vipande
Wa 5 leo
KAZ nzuri ila KAZ hainq saut tuuuu Hadi uwe chumban kimyaaa ndioo usikieee
Tunu give up
Wenye ndevu tumesikia lakn
hahahaha mnyoeeee kishaa mfunge kwenye mtiiiii
Alafu tanu mbon hunyoi
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
nivizuli xana
Wa 19
Tano kubali urisi wa maman usijee kujutiya Like hapa wanao itaj tano apokey mkoba🔥🔥
Tanu akili anayo bali kuigiza huko kamaanisha wapo mijianaume ambayo imetekwa namapenzi nakusahau majukumu yake binafsi nahao wapo wengi
Wakwanz jaman namim naomben like😢😢
Final is out thanks y guys