Mtangazaji sura kama kameza hamira ila Wabongo bhana yani chuki tu 😂utazan tunda toka wamjue alishawah hata waomba chumvi hebu muachen binti wa watu hajawah hata mkwaza mtu ni binti mzuri sana
Tanzania ni nchi ya kwanza duniani ina watu wachache wanaoshabikia mtu kupanga nyumba na kulipa bei kubwa ili hali hana hata uwanja wa kujenga kibands ifike mahali vijana mnaokuwa mtoke katika ujinga huu na kuwa na kiu ya kumiliki nyumba zenu wenyewe. Hakuna ujanja kupanga majumba ya kifahari huku huna chanzo cha pesa ambacho kiko stable
Tunda anakaa dem flani amazing so cute and seems anaupendo fiti sbb she seems innocent even though am sure not
Huyu mdad mtangazaji kwakweli mh utazan anashare bwana na tunda yan haongei kama mtangazaj anaongea kama bif bif
Mtangazaji sura kama kameza hamira ila Wabongo bhana yani chuki tu 😂utazan tunda toka wamjue alishawah hata waomba chumvi hebu muachen binti wa watu hajawah hata mkwaza mtu ni binti mzuri sana
Tanzania ni nchi ya kwanza duniani ina watu wachache wanaoshabikia mtu kupanga nyumba na kulipa bei kubwa ili hali hana hata uwanja wa kujenga kibands ifike mahali vijana mnaokuwa mtoke katika ujinga huu na kuwa na kiu ya kumiliki nyumba zenu wenyewe. Hakuna ujanja kupanga majumba ya kifahari huku huna chanzo cha pesa ambacho kiko stable
Na vikiumwa vinaomba msaada afuu nyumba m 2.
Tunda mpole hadi raha
Tunda co Demi n mama kweli n mzuri lkn thamani yake imepungua maana n mzazi tyr mkumbuke hilo vijana
Alafu akija kuumwa tumchangie
Milioni mbili nikizidisha kwa mwaka daahhhh ngoja ninyaze
Na tundaro vp sio mupenzi wake??
Poooleeee saaaana tunda ni mdada mzurii saaana ila tunajuaa maumivu ulio nayoo poleee Mungu atakulipiaa tuuuu
Huyu dada mtangazaji mbona anakosoa kazi ni kutangaza au kukosoa watu mchaga mbadilisheni atawagombanisha na watu
Utazani anadiskasiwa mke mwenzie😂
Mbona mnakimbilia ushaur wa kumwambia ajenge...kila mtu anamaamuzi yake na kipaumbele chake
Ukiacha hivo tunda kwao mawe yapo yaani babaake ana hela so sio kapuku wapunguze ushauri
Nyinyi acheni uongo kwa mshaara gani anao lipwa ndaro wakuwa nauwezo wakumlipiya jengo la milioni2 labda wasaidiyane.
Mmmmmmmh mil 2 sasa c akujengee jaman
Milioni 2 kubwa sana jenga jamani maisha yanabadilika
Kakwambia hajajenga!?
Huyu dada mtangazaji ana shida na tunda huyo hate kabsa
Ko uyo mchumba ndo ndaro auu😂😂
I have something to say but I don't trust my English
Ukiwa msanii lazima uvae sweta au makoti makubwa
Mbona mpole
Kwanini hio Hela asijenge nyumba ya kwake
😂😂 milion 2 kwa mwezi na yupo mtu hata laki hapati kwa mwezi awa watu Wana fake LYFE makenge
Uhogo kbs
Jenga yko sio issue zakupnga
Anajenga kwa ela ipi sasa? Hawa uwaone tu lkwenye mitandao maisha ya kawaida ni MUNGU atatenda kwa wakati wake
Kwani huyu dada anafanya kazi gani ?😮😮😮😮
Mnaocomment ajenge nyie vipi si mnapanga au
Nikajua nyumba yake kumbe kapanga
Wabongo wapuuzi sana badala ya kujiwekeza kwa bima ya afya mnaendekeza starehe kwani angekaa chumba cha 30000
Ukikaa wewe inatosha😂😂😂kazi kufatilia watu kuoga aahaaag
@@user-ox8tr1ub2e we nae bwabwa to
Kakwambia hana bima!?
Uchafu mtupu ushamba mtupu pumbaaaf wakubwa
Capuchinoo😅
Kumbe amepanga huyu nae ataisha kama wematu
Ila kweli ujue
Kwahiyo unafikiri wema ni lofa?