CLAM VEVO AFUNGUKA UTAJIRI WAKE, MAMILIONI ANAYOINGIZA KUPITIA YOUTUBE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Clam VEVO Na konde boy ndie watu wanayo peleka Tanzania yote kwa filam Na kwa muziki nakukubali sana mpaka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tuko ote nakukubali sana zidi kutupa vitu vizuri vizuri
Lofa sana
Sawa clam Boulton 2 kidogo sana wapi yangae
Nakuku Bali sana clam vevo unatisha sana kaka ni technoce kutoka apa congo
WROJ
Katika interviews zote ambazo nilishawah kufatalia lavidavi hii ya leo ndo imekua bora sana kwangu pia namkubali sana Clam
Komedi nzur sana nimecheka
Semeni mna hela alafu mkija kuumwa muje kutusumbua michango
Una kazi nzuri sana ...kifanikiwa muhimu sana
Sanaa hadi kwenye maisha halisi daaaaah
😢kuna interview moja alisemaga "watu wanadhani mim nina pesa saana, ila sio hivo nihela tu yakawaida ambayo inazunguka tu katika sanaa yake"
sindo uong uong wenyew anajsahau😂
Ukiumwa usiseme tukuchangie ,,
Umesha wasahau mastar wabongo kwa uongo 😂😂😂
Umeigia kweye soka ya kanumba wew
Mnafiki wèw huyo nyumba yeyewe kapanga huyu
Huu mtangazaji tayari kashampenda mwamba
Hongera brother unajituma sana 😊 kweli pesa unazo nakuaminia
Clam Vevo wewe ni Simba tuuuuuuu saaaaaana ❤️❤️🙏 un amour du Congo 🇨🇩❤️🙏
Vevo Congratulations 🇹🇿🇰🇪💥🔥🔥🔥🔥
Clam Ana ugonjwa wa kizungu❤🎉🎉🎉😂😂😂😅
Clam vevo mtoto mdogo pesa mingi congrats blaza keep on fighting more
Nakubali sana kk
Mungu akuzidishiye dogo🎉
Mh kumbe tajiri niceeee
yuko vizuri kijana
Watching you from Doha Qatar.......... mkaazi wa Dareslaam Temeke.....
Qatar
Natamani kufanya kazi pamoja na clam mimi ni msanii kutokea Congo 🇨🇩 niatwa CLAVA
From Mozambique nakupenda sana
Clam nakukubali sana❤❤❤
Kaka na kukubali sana napenda kufanya kazi na weweNaitwa Charles mwise chacha natokea Mara-Tarime
*Namkubali sanaaa Clam VEVO*
Super brow
❤❤❤kaka yangu love you 🤲🤲🇧🇮🇸🇦
Daaaa kaka umepambana sana hongeraaa we❤ you
Haya bhanaa VEVO maisha mema 🤝🤝
Na kukubali sana clam I'm from Moz 🇲🇿
Ukumbuke kuwasaidia yatima,wajane,wafungwa,na kujenga ufalme wa Mungu,la sivyo fedha yako itakosa mana kama ukijenga tu ya dunian
🤣🤣🤣🤣 sio kweli bro ila ni ushauri mzuri .tafakari vizuri nijibu baada ya wiki
Fact.....💯
From thika ngoingwa KIAMBU COUNTY in Kenya bigup for the good work unafanya
Clam vevo tunakukubali
Sanaa
Unatisha clam
hotel nje y nchi hp tumepigw asij ykw ndo yl yale km tajiri vimbao kutpostia mbao hatutk😂😂😂
Natamani❤❤❤nikuone live jamani clam
Uwakumbuke wa wenye uhitaji pia🙏
Super Brown
Clam mshenzi anajidayi nimegua hana pesa hata kwetu burundi tumegundua
Unatisha sn clam ishii huna baya. j 👈apo from zanzibar
Courage Clam Vevo pour les œuvres déjà fait 🇨🇩 précisément à Kinshasa je te suit.
God sana bro. From mozambique
Me too, tás me que província irmão?
nakubali sana vevo
Wewe pambana sana bro🤲💯
Kazi za vevo Hadi vijijini huku
Vevo wewe Ni noma uku Congo kalemie akuna zaidi yako Tena uko wewe Ni kanumba ujaye
msenge mwongo sana yaani
God sn bro ❤❤❤❤🎉🎉
Aa ilikuw nisha amini lakn apo kweny laki tisa 😂😂 sio pow ww shenzi
Umetixk kaka nakubali
Bado ujasema 😅😅
nimependa ulipomwambia ukweli aongee kiswahili mengine upuuzi tu si anaiona ngozi hapo anayohojiana nayo sasa lugha za mwengine za nini
Am from Kenya,,si clam aniajiri tu niwe nkimfunza English aende international.English nayo itamlimit
Enda bongo it’s easier to reach him
From kitui Kenya ❤ wapi likes zangu 🎉
Yeah kitui tupo ngotaaa🤛
Usimroge huko kitui sio kwema😂😂😂
Hongera Sana 🎉
Milion tisa???
Clam noma san hajawai kutowa boko
Hongera sana🎲🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Inawezekana mengine kasema ukweli [siwezi kujua] ila hapo kwenye bei ya nguo alizovaa katupiga aisee😂
CLAM VEVO NDO KANUMBA the late napenda unavyo jituma na kupa mbambana bro
mungu akubalik zaid
Mbona huyo jamaa kama yupo kwenye comedy wakati Kuna ishu ipo Sirius Sana
Aiii clam mbn unapenda uongoo ak unaulzwa utajee hiyo hotel ya nje ya nchi unachekaa🤣🤣🤣 this is too much bt big up brooo
Dah clam me shabiki wako lakin sipendag majivuno na sifa ambazo hazina faida kwako.. Yan umevaa nguo ya m9? Acha bx
Clam inabidi apatane na chado master 😂🎉
Uyo kichaaaa anajua
Ila uyo janja ni muongo sana.
Mjinga 😂😂😂
Mwanang San
Bom trabalho meu irmão clam I'm from Mozambique
vp
Anaigiza Hadi entavew Kaka muongo
Kwl unafanya vizuri ila si amini kama uko bilionea kwasababu Kuna interview shadow arisema kwama kipindi murikuwa munasema na ijuwa iyo murikuwa munachunga ma embe chini ya mti I'll mure halafu kwasasa birionea una hotel ambazo unamiriki 50%tuamini ivo lakini stivi amesema nae anamashaka Burundi nawapenda
😅😂😂 dogo hajakuwa
ila kila kukicha maisha yanabadilika
Hotel ama mama ntilie😂😂😂😂
Huyu jamaa miyeyusho
Naipenda hii
Hiyo hela billion 2 aache utoto
Miaka 21 muongo
nimemkuri sana natokeyasumbawanga naitwamaruma
Bjr nakufata kutoka RDC congo
Kiukweli upo vizur nakufatilia kwakweli cjutii kuangalia season zako
najaribu kujiuliza kama vevo anaingiza 2B ndnai ya miaka 7 najiuliza mond anaingiza ngapi
Miaka 21 duh mm siamn😮
Anaongea nawewe,,anaongea nayeye😅😅😅😅😅
@@zahramahnouch2874 naogea n mm
Huamini nini sasa ulikuwepo wakati anazaliwa au una kadi lake huyo ni mdogo kwa umri huo yuko sawa kwani ana ukubwa gani sasa
@@agnesjohn9382 🤣🤣🤣povu limekutoka chawa wa clam
Wenye pesa awaongei..lakini muulize mweu na shobo zake utamsikia akipata laki itaku bilioni kwake
Clam clam❤
😂😂😂 21 uko bebe sana
Punguza kiingereza ugonjwa kubwa
❤❤❤love u bro
☝️
clam[pigakazi unatisha kama njaa upo juu...mndengereko wa kwanzakufanikiwa kutumiasaanaa
clam unazingua we si una miak 24 ww unatupang 21 au sio
❤❤❤
🌹🌹🌹🌹🌹🔥🔥🔥🔥👌💯💯💯💯 Clam
Clam leo umenifurahisha,,, huelewi englsh😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwenye umri tumepigwa , eti TH-cam kaanza kutumia mwaka 2017 manake akiwa na miaka 15 ,
Ni kweri jama anajuwa mpeni maua 💐yake
Bgp For Clam vevo
clam[pigakazi unatisha kama njaa upo juu...mndengereko wa kwanzakufanikiwa kutumiasaanaa 8:02
😮Uyu kijana muongo sana😂😂😂😂
Ili jamaaa😀😀😀😀😀
Kwenye umri tumepigwa!! 😅😅😅
Ww unataka awe na umri gan?
21 uongo
Weee clam kumbe mi mukubwa kwako ndomana nakuonaga kwenye movie kama katoto katoto ivi