V relax, everything has got a reason. Focus on your life, things gonna be alright soon, let them talk my dear ndivyo walivyo, as long as MUNGU yuko upande wako atakupa mtu mwingne mwema sana, forget about Jux. Mwache aende, nakupenda mm hata kama yy kaondoka. Anakupenda mama, MUNGU anakupenda sana hauko peke yako.
aaah zii mi nishabik wao wote na kila mtu ana uhuru wakupenda amtakay nakucukia pia so kuwa wameachana mbele yamashabik tunasema.mengi nayeny siyaukweli then hata wakiamua.kutudangany it's doesn't change a thing coz our life keeps going sisi.watupe burudani tu yayisalia hayatuhusuuuuuu hahahaa#stranger +257
Ila vanesa nikuambie kitu kwanza mmepotezaa washabikii wengii .pilii hata kati ya jux na wew .mkitoa nyimbo hauwez pata watu weng wa Ku like kama mwanzoni .kama unaamini hivy like hap
Well done Vanessa! It’s not the end of the world. There are plenty of fish out there😂. Focus na maisha yako, mahusiano kwisha na kitu cha kawaida na wanaokusema vby achana nao wasikuumize kichwa na wapuuzi tu! Next time usile matapishi tena, ukiachana na mwanamme hata alie chozi la damu ni usanii tu! Na fundisho kwa wasichana wote! Mungu anampango mzuri nawe, nakushauri usikimbile mahusiano be yourself, tafakari, enjoy maisha yako kama wewe kabla hujajiingiza kwenye mahusiano tena.
Usijar my dear, Vuta Subra utapata mzr zaidi yake, Mi mwenyewe nimesikitika kutengana kwenu, Ila wasanii wa Bongo wanaigana kuoa nje ya Nchi, Ila Aminia nakujua we ni Shujaa Usiwaze momii
Veee ur strong my crush ever usife moyoo ur strong girl move on to u got money u got all talent etc come oon girl be you honey show "them" u can do by your own oh come oon sweery usinibwage joh we ladies tuko strong ya kuachana sio deal as long u hv got life .life continues men
Ungenyamaza kimya ingekuwa vizuri mm niliachana na mwanamke matatizo yalikuwa yake hakutaka kutulia mi nakaoa mwanamke mwengine hakuamini akabaki kunipakazia mambo mengi mm nilinyamaza kimya nakula raha na mke wangu sijamjibu mpaka leo
Just she is lamenting about their broken relationship with her ex boyfriend by the name Juma A k A Jux she is now trying to explain the way people condemn her for that incident however she is asking people to stop attacking her shirtl its so"
Jamani kuachana kwenu cyo jambo la ajabu ila nyinyi ni watu wa watu kioo chá jamii watu wanapenda kuona mazuli kutoka kwenu na wengi hawakupenda muachane wengine wameumia sana kulikoni mnavo dhani ila tutazoea na kuukubali ukweli kuwa mmeachana
😀😀😀 demu wa jux wa sasa mkali Sana ndio Sababu karoho kanauma km angepata demu mbovu watu wangemponda jux ingia kwenye page ya dem huyo Uone balaa lake
Kuch kuch hotahee! kwisha habari yake na ukiendelea kuji-stress sana utakuja angukia kwa mwehu akupige mimba ya nje uumie zaidi so, take care, pakacha ya matunda haitunzi maji.
vee wanaume ndo walivo chamsing ushajifuza kitu kwake najua unaumia chamsingi potezee wenda mungu kakuepusha na kitu sha msingi mshukuru mngu kwa kila jambo pia nakushauli usipende kumuongele kwenye midia unampa kichwa yye unaonekana km bd unampenda piga kazi dd hyo mmekutana meno 36 wote yasha ota fanya mambo yako pga kaz
ILa wanaume wabongo mmezidi mnatuacha tunadoda huku mnaenda kudet na wathailand 🙄🙄ila Vanessa usijali atakuja kukukumbuka tu huyo sikio kijiko Mami fighting v wangu
Jamaa ana kisu vibaya mno ttzo v money ulizingua jamaa alipokua chuo nchini china nadhani unakumbuka. Wanawake jeuri km nyie dawa yake ndio iyo dondosha mtto mkareeeeee. Kinachofata presha juuuuuuuuuuu mawinguni pumbavuu zako
Ww vanesa ni msumbufu mbele ya jembe letu video nyingi tumekuona tena mbaya sana za aibu ucpende kujiona ni mwema kwa jux wakat mbabaishaji tu kwanza ni vzr mmeachana maana jamaa ulimliza kwa mengi sana umzika kwa aman juma jux umepata kitu kipya tulia mzeee baba vanesa mpotezeee tena ucwaze kabisa ww vannesa mnenguaji tu hapa mjin umalekan mwingi halafu unaish bongo sepa zako hufai kuwa shemala ni mwingi sana ww
Mamu Kelvin sioni kwa nn unamshutumu hivyo, kuna uhusiano gani kuvaa na kucheza kichafu na kuachana Kwao? Wame achana miezi 7, kama Jux ka move on, good for him! Na hiyo ya kuishi Bongo ndo kusema Jux ataenda kuishi China kwa huyo mdada? Vanessa kaishi America na France, she is very intelligent sioni kama anatishika. Lakini mahusiano kuisha ni kitu cha kawaida na kitu kizuri wamebaki kuwa marafiki, Vanessa amelizungumzia hilo. Mwacheni mtoto wa watu! Yasikukuta wewe basi ipo siku yatamkuta mtoto wako!
Aiseee dunia inaenda resi sana na asaiv nd ashamsahau aiseee anaenjoy maisha now big up Vanessa you are my idol
V relax, everything has got a reason. Focus on your life, things gonna be alright soon, let them talk my dear ndivyo walivyo, as long as MUNGU yuko upande wako atakupa mtu mwingne mwema sana, forget about Jux. Mwache aende, nakupenda mm hata kama yy kaondoka. Anakupenda mama, MUNGU anakupenda sana hauko peke yako.
I love the way you mix Swahili and English napenda sana na kwel umeongeley point kabis big up ve
Pole sana imekuchoma Big up kwa jux ndiyo dawa yawanawake wanaojiona pumbavu
aaah zii mi nishabik wao wote na kila mtu ana uhuru wakupenda amtakay nakucukia pia so kuwa wameachana mbele yamashabik tunasema.mengi nayeny siyaukweli then hata wakiamua.kutudangany it's doesn't change a thing coz our life keeps going sisi.watupe burudani tu yayisalia hayatuhusuuuuuu hahahaa#stranger +257
Hakuna kitu kinauma uwachane na mtu then ex wako apate dem au boy inachoma km pasi pole vee mzur Sana utapata na wew Tena Zaid yake never give up
nyie kaeni na mauciano mpaka kufa msije tengana
Achanaaa na na uyo juma vanesa uko mzuriiiii saaaana kuliko uyo mwanamkeeee wake wallah ilove you so mach 💋💋💋💋💋💋❤❤❤❤❤❤❤❤
Ila vanesa nikuambie kitu kwanza mmepotezaa washabikii wengii .pilii hata kati ya jux na wew .mkitoa nyimbo hauwez pata watu weng wa Ku like kama mwanzoni .kama unaamini hivy like hap
Well done Vanessa! It’s not the end of the world. There are plenty of fish out there😂. Focus na maisha yako, mahusiano kwisha na kitu cha kawaida na wanaokusema vby achana nao wasikuumize kichwa na wapuuzi tu! Next time usile matapishi tena, ukiachana na mwanamme hata alie chozi la damu ni usanii tu! Na fundisho kwa wasichana wote! Mungu anampango mzuri nawe, nakushauri usikimbile mahusiano be yourself, tafakari, enjoy maisha yako kama wewe kabla hujajiingiza kwenye mahusiano tena.
Finally it came true
@@ammarthiana3730 God is good 🙏🏾
never ushkaji hauwez kuwepo kwa mtu ambaye mlikuwa date afu yuko na mtu mwngne..karoho kanauma sista huwo ndo ukwel
Daniel Mgonja umeona eeee
Kwel kabsa, amna ktu kama icho
Ni kweli dada wapo walio oana wakawa na watoto wakaachana wew kuachana na jux wasikuandame yatapita ayo
Kweli kabisa mm
leo nina MBs zakuchezea ndy maana na watch huu Ubuyu...
Gonga LIKE kama na ww Pia Upo the same
nakupenda Sana Vanessa,,, never give up
take heart girl be strong
go on , make new more hits ,,, they always come and easy go..
Pole xana Dada😌
we binti mi nakukubaligi sana jamani mpambanaji wangu songa mbele💪💪
Usijar my dear, Vuta Subra utapata mzr zaidi yake, Mi mwenyewe nimesikitika kutengana kwenu, Ila wasanii wa Bongo wanaigana kuoa nje ya Nchi, Ila Aminia nakujua we ni Shujaa Usiwaze momii
Veee ur strong my crush ever usife moyoo ur strong girl move on to u got money u got all talent etc come oon girl be you honey show "them" u can do by your own oh come oon sweery usinibwage joh we ladies tuko strong ya kuachana sio deal as long u hv got life .life continues men
Vannessa bwana wataka kulia wacha nichekea aseeeh 😂😂😂😂😍😍😍😍mpuzika dd wajichora
Vanessa mbna wataka kulia
Umezingua sana good luck
copper ya jux na vee ilikuwa inspiration ya vijana wengi mno,, ni maamuzi yenu but kiukweli kwa mashabiki wenu hili suala halijakaa poa kabisa
Enjoy your life darling
i love so much
Luv yuuu v.money
Ungenyamaza kimya ingekuwa vizuri mm niliachana na mwanamke matatizo yalikuwa yake hakutaka kutulia mi nakaoa mwanamke mwengine hakuamini akabaki kunipakazia mambo mengi mm nilinyamaza kimya nakula raha na mke wangu sijamjibu mpaka leo
Okay move lky Boxx
Nakupenda sana vanesa mdee
Hi
Mungu kakuletea kilicho bora mdogo wangu MTU akikupiga teke anakuongezea safari
always ur loved here Vanessa
nakupenda vannesa 💖❣️❣️❣️💖
watasema sana Ila we pambana na life sister v money
pole xn ulijuwa umefika kigoma mwixho w leri mwenzio anataka mtoto we unasema mda bado wacha wanaojuwa nn maana ya thamani y watot
I really want to know what she is saying?? Can't understand someone please help me please🤔🤔
Just she is lamenting about their broken relationship with her ex boyfriend by the name Juma A k A Jux she is now trying to explain the way people condemn her for that incident however she is asking people to stop attacking her shirtl its so"
Utapata mwengine mpnz ucijali vuta subra my dear.
Zuwena Adi kwani yeye so smaart bhna
you will miss each other bcoz it woz love not publicity as you have both turned into..
Love yah Vanessa
Talk yo shit Ve!👍🏽👍🏽
Haijapendeza kuachana kwenuuuuuu😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤😤
mkipigwa chini mnajifanyaga vimotivation speakers kudadeki,,acha dogo ale mkoloni
Naam ndio wacha ale mkoloni this should be a lesson ili watu watulizane sasa cause damn wanaringa
hahahahaaaaa
#kijanga peter.....hahahaha nimecheka balaaa
Hahahahahaaaaa, dah "ati acha ale nini?" Kijanga, umenilipua mbavu ujue!
Njooo pemba dada utapata mume wa ukwely na so wababaishajii😊😊 pole kwa kindi kigumu chote unachopitia tunakukubal sana @mpemba mmoja
Hao akina jux wababaishaji tu Mama tuliaaaa utapata wa kukutuliza #Vanessa Mdee
Wabongo bana nimesoma comment apo eti katombwe ulale 😂😂😂❤🇹🇿
Hahahahahahaaa..... Watu wasenge nyie
😂😂😂
Achana na jux kwasababu naona anapenda sana wanawake so be relax utapata wako
Kooooooooh
Jamani kuachana kwenu cyo jambo la ajabu ila nyinyi ni watu wa watu kioo chá jamii watu wanapenda kuona mazuli kutoka kwenu na wengi hawakupenda muachane wengine wameumia sana kulikoni mnavo dhani ila tutazoea na kuukubali ukweli kuwa mmeachana
Wabongo jameni...Hapo kwa live chat comment naona wengine wanasema 'katombwe ukalale'. hahahaha
usijal mamy hay ni maish..... nakupend ❤️bule
Wejifariji tu dada utafanyaje tena ila kuachwa kunauma asikwambie mtu
Wew Vanessa unazingua hujamzalia hata katoto ndio maana
We tulia usiwe na mawenge... C hautak kuwa na mke mwenza... Hayo ndio matokeo yake
😀😀😀 demu wa jux wa sasa mkali Sana ndio Sababu karoho kanauma km angepata demu mbovu watu wangemponda jux ingia kwenye page ya dem huyo Uone balaa lake
aahh ww alokwambia jux na vanessa wanaachana nanii na mnaanzaje??afu et mnafanya vtu vyenu pamojaa aaaah uo uongo kbisaa
Mhhhh ivi kweli babu tale ndio kaandika malayaaa hapo
Ameumia sana
Why aint you talking about babutale's comment😮😮
ila unaonekana haupo happy mamy lkn usjali ndo maisha sunajuwa
kweli dada umeongea ukweli
Mimi nimemfurahia wifi wa taifa mdhungu mdhurii jux akizima taaa anamuona mtoto kitandani
We ulimkazia jux ukasahau kuwa wanawake ni wengi na mapenz yanabadilika 😷😷
Huy hana jipya jux alimpendaaaa sana huyu kobe bora wameachana tu
@@faidhamyovela179 kwl vp ntumie namba yko bas tuchat inbox
Usijali dr jus take your tym utapata mwingine its not the end of the world,, you a beautiful n still young wako atakuja.
Mambo
Nyoooo
Jux kapata
Kisu
no issue
Dada nifundishe msiki
Iyo lightskin ako sawa kwni wanawake wa tz mko aje huwa mnawachwa 2
Ww haukumuweka mbele mwenzio inabidi ukipata mwanaume mwingine badilika ulikua bz na masela wa nchi jirani Hakuna mwana ume atavumilia
Vanessa Ai free ples plus
Some one tell me wats going on in english
Bonga BANA mumelalanaa ehh mulipochoka ATI yule nikakangu ivi kweli unaeza lala nakakako ama dadako
Dah I know is not easy
Pole ila mi nilikuwa napenda kuwaona mnaendelea
Pole
😂😂😂😂sema ukweli Dada.bado wampenda lakini usimind life bado itamove on.but you jealous of lulu naaaa sema ukweli
Kuch kuch hotahee! kwisha habari yake na ukiendelea kuji-stress sana utakuja angukia kwa mwehu akupige mimba ya nje uumie zaidi so, take care, pakacha ya matunda haitunzi maji.
Kweli kabisa kila jambo nawakati wake
kwa kwel u look so confused ,but u will be strong soon
vee wanaume ndo walivo chamsing ushajifuza kitu kwake najua unaumia chamsingi potezee wenda mungu kakuepusha na kitu sha msingi mshukuru mngu kwa kila jambo pia nakushauli usipende kumuongele kwenye midia unampa kichwa yye unaonekana km bd unampenda piga kazi dd hyo mmekutana meno 36 wote yasha ota fanya mambo yako pga kaz
Meno 36😁😁
Hakika inauma sana kwani mapenzi ni kityu kibaya sana
Woooii
Kuachwa kawaidaa sana, hata Mimi niliachwaaa, jiandaye kisaikolojia ufanyee mengineyo,
Hahah Furaha Usoni Majonzi Rohoni.
Mademu wa Kibongo bwana hahaha
hiki kijeba kinasema je kimalaya tu hakina inshu kimetombwa na kimefilwa akina inshu na huyo juma kuma hajui kumaimba
ivi Vanessa anamakengeza
Labda ww ndohuendani mfuko mweusi hautakiwi bongo dada acha kelele very happy wapi???
A wish u knew she is the richest female artist in Tz... Talk Wat u know
Ongea yako tu inaonekena umeachwa naumeumia kuckia jux anamtu mwingine
ILa wanaume wabongo mmezidi mnatuacha tunadoda huku mnaenda kudet na wathailand 🙄🙄ila Vanessa usijali atakuja kukukumbuka tu huyo sikio kijiko Mami fighting v wangu
Wanaume wakenya tuko tayari kuwafurahisha...mkitupa nafasi
Mmenikela nilivyo achana
Usiwaze fan wabongo hawana kazi
Saf San jux Hawa wanawake huw wanatutesa San wakikuotea
Do worry. Chibebeee utapat wa kukutooshea mung kashamwandaa
Siku zote ukiongea kuhusu mtu mulie achana huwa bado una mpenda.dawa ya dem ni dem mwenzake
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wabongo hawajawahi kumwacha mtu salama hahahahahaha kauli tupunguze haahahahahahaha
Kweri
Kuachana sio ajabu ila ni haki uswemwe kwa sababu mliamua kudanganya watu kama mko pamoja ili tu kazi zenu ziende vizuri...
😂😂😂😂😂😂😂 mbongo raha sana
Hahhahaha leo zinho 6ki mifupaa..jux kafata minofu
Kaka hiyo vip
Jamaa ana kisu vibaya mno ttzo v money ulizingua jamaa alipokua chuo nchini china nadhani unakumbuka. Wanawake jeuri km nyie dawa yake ndio iyo dondosha mtto mkareeeeee. Kinachofata presha juuuuuuuuuuu mawinguni pumbavuu zako
umemtesa sana weee
mjibu na we upate
Kawaida tu mwaya mapenzi ndivyo yalivyo kwan wangap wameachana mbona kawaida tu at a isikupe presha mwaya kawaidaa
Ok mm sina mke olewa na mm
Nani kackia iyo malaaya babu tale ?
Ww vanesa ni msumbufu mbele ya jembe letu video nyingi tumekuona tena mbaya sana za aibu ucpende kujiona ni mwema kwa jux wakat mbabaishaji tu kwanza ni vzr mmeachana maana jamaa ulimliza kwa mengi sana umzika kwa aman juma jux umepata kitu kipya tulia mzeee baba vanesa mpotezeee tena ucwaze kabisa ww vannesa mnenguaji tu hapa mjin umalekan mwingi halafu unaish bongo sepa zako hufai kuwa shemala ni mwingi sana ww
Mamu Kelvin sioni kwa nn unamshutumu hivyo, kuna uhusiano gani kuvaa na kucheza kichafu na kuachana Kwao? Wame achana miezi 7, kama Jux ka move on, good for him! Na hiyo ya kuishi Bongo ndo kusema Jux ataenda kuishi China kwa huyo mdada? Vanessa kaishi America na France, she is very intelligent sioni kama anatishika. Lakini mahusiano kuisha ni kitu cha kawaida na kitu kizuri wamebaki kuwa marafiki, Vanessa amelizungumzia hilo. Mwacheni mtoto wa watu! Yasikukuta wewe basi ipo siku yatamkuta mtoto wako!
💥💥NJOO UONE JINSI SURA ZA WATU 4 ZINAVYOU NGANISHWA NA KUA SURA MOJA. BONYEZA PROFILE PICHA YANGU HAPO KUSHOTO 👈 ITAKULETA KWENYE CHANNEL YANGU💥💥
Aii v. Money nakuombea unaonekana kua na machungu
Aisee punguzen editing hivi hayo ni machozi kweli?Hata kama ni kuvuta viewers sio hivyo...Mnafeli