kwa usajili huu wa 🔥🔥🔥 kuna mabeki wanakwend kusumbuka je ni kweli marumo waligoma? Gsm 🔥 akiingia..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- KHANYISA MAYO 🔜 YANGA SC 🇹🇿
.
Klabu ya Yanga SC 🇹🇿 ipo kwenye Mazungumzo ya kumsajili Mshambuliaji hatari wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini na Klabu ya Cape Town City,Khanyisa Mayo.
Mayo mwenye umri wa Miaka 24 ndiye kinara wa magoli Ligi Kuu ya Afrika Kusini akiwa na Magoli 12 sawa na Peter Shalulile wa Mamelodi Sundowns.
Tayari mazungumzo yalishaanza na yanaelekea kumalizika vyema.
Subscribe channel yetu TH-cam andika KACHERO TV
Haya hapa magroup ambayo hutakiwi kuyakosa kwenye simu yako
👇👇👇
Kigogo@2014 whatsapp
👇👇
chat.whatsapp....
Yanga Forum
👇👇👇
t.me/yangayama...
Adsense Forum Tz
👇👇👇
t.me/adsensefo...
SUB 4 SUB YOU TUBER TZ
👇👇👇👇
t.me/tanzaniay...
Walimu kubadilishana vituo vya kazi
👇👇👇👇
t.me/walimuforum
UDAKU NA SIMULIZI , AJIRA ,ELIMU, MICHEZO
👇👇👇👇👇
t.me/jukwahuru
SIMBA FANS
👇👇👇
t.me/simbahabari
MOVIES KALI ZILIZOTAFSIRIWA
👇👇👇👇
t.me/kazembemedia
KWANI WEWE UNASEMAJE
👇👇👇👇
t.me/sportskitaa
WATANI WA JADI
👇👇👇👇
t.me/wataniwaj...
Simulizi za sauti
👇👇👇
t.me/simulizileo
Jiunge kwenye group letu upate habari mbali mbali bonyeza
👇👇👇👇
t.me/kigogokigogo
#jiunge_kwenye_group_link_zipo_chini
Jamani msituretee wachezaji wajabu rek bass
Azamu vs singida bigisiz
Apo sawa
Kanyisa moyo hatari
Mayo tumsajili hatari❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤sf
Mzee pamoja sana
tunaomba.mwalimu.wetu.kama.noma.na.iwe.noma.ni.kufunguka.2
Subscribe channel ili uwe wa kwanza kupata habari
KIPEPE TV hapa NAKUJA ijumaa huko
Ok
Nichek wasap kuna group nataka nilifunguwe
Msisahau monde aiseee
Mayele abaki na chivaviro aongezwe, Azizi abaki
Allah akueke gulam
Safi sana
Ninawapongeza sana Yanga, ila ninachakusema wachezaji Yanga wafanye mazoezi ya kufunga bila kukosa wanagpofika mita 18 tunakosa sana mipira inayodondoka mita 18 Kisinda Muthathari watupe raha Yanga hoyee
Asant kwa mawazo yako natumai yatafika kwa wahusika endelea kufuatilia channel yetu na subscribe channel yetu ili uwe wa kwanza kupata habari za yanga