Ukiangalia Comments Unajua Baadhi Ya Wa Tanzania wengi Bado wengi wana Ujinga na akili zimeganda hatupendi kujifunza au Kuelewa tunapenda kusikia maneno na umbeya..Mahakama hua haikurukupi iko makini.
We ndo huna akili, mahakama inaweza kukosea kutoa hukumu pia ndio maana kuna rufaa, lakini pia hii hukumu inamapungufu mengi kwanza Kesi ilisikilizwa upande mmoja bila upande wa pili kuwepo na taratibu za kimahakama zilikiukwa. Mahakama ilitakiwa watoe Tangazo kwenye vyombo vya habari ama magazeti hawakufika mahakama ndio inaweza kuamuru kesi isikilizwe upande mmoja
Hayupo sahihi. Anapotosha. Ni kutokujua tu. Real Madrid in Rais, Barcelona ina Rais. Uenyekiti unakuja kwenye vikao. Kukiwa namkutano then rais anakuwa mwenyekiti
Bongo Dar es salaam kuna viumbe huyu ndio clip yangu ya kwanza kukaa na kumsikiza kwa makini .nikipata jibu huyu mzee amehibrand na huu ujio wake wa style hii mukimfahamu mutacheka sana sanaaa tu.kuna sauti zake anajijibu mara kapandisha kama nyerere mara kaweka sauti ya masoud.wandishi wa habari hawajamuelewa .mzee magoma ww ni msani wa mwaka tushio .ANAHITAJI MANAGEMENT
UMEJUAJE NDUGU? HUYO MZEE WANA YANAGA WASIMPUUZE KAMWE kwasababu ANAHOJA NZITO WANAOMKATAA hawana uwezo wa kizibeba. ALIVYOSEMA KUHUSU ZOOM NA UKOSEFU WA UKUMBI INATIA AKILI SANA HAPO
Huyu mzee ana uweledi sana kuliko hata msomi wa ovyo anayekandamiza haki za watu wapenda maendeleo Ila hata mimi nilipata wakati mugumu ivi kweli shabiki /mpenzi wa team furani kindakindaki unaweza hama.
Kama ulizaliwa huna mvi na sasa una mvi ujue katka maisha mabadiliko ni lazima,kama unang'ang'ania ya zamani ujue huwezi kufika popote.Sasa Mzee usisumbue kichwa mi nakusashauri kasajili wachezaji baba na uwalipe ujipoze moyo kidogo
Magoma acha tabia hiyo. Umeona wapiiiii wanachama wa CCM nchi nazima wakakutana wote mkutano mkuu? Kuna wawakilishi. Hivi Magoma YANGA ni Ya Dar es salaam tuuuu. Na sisi wa mikoani tusemeje?
Mzee Magoma yupo sahihi kabisa! Apewe timu yake mahakama imeshatoa hukumu na mzee ameshashinda. Sasahivi akina akina Aziz Ki, Diara, Mzinze, Chama, Mwamnyeto na wengine kibao wote ni mali ya mzee Mponda😊😊
Mzee magoma 2po naww mbaka mwisho wasafali yako upate haki cc wsnasimba tumesikitishwa Sana na upuuzi unaofanyika kwasasa ktk club ambayo ni watani we2 wa jadi
Hizi ni ndoto za mchana...Zoom au mfumo wowote wa online meeting una limit, na hii ndio hasara ya kulishwa maneno..its total uncalled for na ufinyu wa kufikiri
Kama mfumo wa makolo umekupendeza nenda huko, ndomana kesi za kimichezo unapeleka mahakama za kawaida ukifananisha taasisi inayojitegemea na chama cha siasa,. MZEE MMOJA WA HOVYO SANA KUMBE BADO HALIJITAMBUI HILI ZEE 😮😮 HEBU MWAMBIE AVUE NGUO AKASIMAME MBELE YA KIOO HUENDA AKAJIPATA YUPO KUNDI KIPI😢😢 INNALILAH WAINNAILA😊😊
Kafiri wewe utakufa mibudu mjinga mkubwa huyumzee anahakili zaidi ya babayako unajieerewa wewe ?? Ungekua karibu ningekupga doko maana inaonekana unafilimbwa mshenzi mmoja
Yanga kueni makini sawa saizi mna mafanikio lakini baadae mnaweza Kuta kihenge hakina kitu Hawa wahindi wetu Hawa jeuri baadae ukuta sijapata faida yeyote
Bwana mkubwa Magoma, dhahiri ana ajenda ya chuki binafsi. Hafai kabisa, sasa njaa yake aseme nayo. Tizama sasa hata uhalali wa Ali Kamwe na Haji Manara. Yanga, Simba nakataa kuwa ni kabila. Mzee nakukumbusha mfano, Abdallah Kibadeni aliipenda sana Yanga lakini leo ni Simba kindakindaki, na mifano kama hii ipo tele. Sasa matakwa yako yawe ndiyo msahafu, huyu atizamwe kwa macho yote...
Mwanzoni nilikua namuona hafai ila ukweli nikwamba kufanya vizuli kwayanga kusifanye yanga ibiwe ukweli nikwamba GSM wana ibia sana yanga kweli jmn ukweli use mwenge hatakama sisi tunahitaji furaha ila ukweli nikwamba yanga inaibiwa sana nakubari mzee wangu tanzania waking wengi
Hapo Magoma anataka tu kuwa honganisha Yanga na CCM. Eti Hersi anapewa heshima kumzidi Samia. Mara boo club ya mpira ni chama, hakiwezi kua na rahisi. Kwani yeye hajui vilabu vikubwa duniani vina ma rais?
Aise Mama samia Rais wetu mpendwa unayokazi ya kuwakomboa vijana wakitanzania wengi ufahamu hawana kwa tafiti niliyoifanyia kazi takiribani miaka mitano, maana yangu kubwa bado fikra za vijana wengi zipo kwenye mambo yakipuuzi hatupendi kujifunza bali tunaishi kwakujazwa upepo ila sio kupambanua mambo hivi ukiwa mwanayanga utamipingaje huyu magoma ambaye lengo lake nikujenga kwa kuweka mifumo endelevu
Huyu Magoma anaropoka au anakusudia kudanganya? Yeye anatumia zoom meeting gani hiyo ambayo ina uwezo wa kushirikisha watu milion moja? Zoom Business pekee ndo ina weza kuwa na wahuzuriaji wengi na kikomo chake ni wahuzuriaji 500.
Usipokaza fuvu unapata faida ya maelezo kwa huyu mzee. Na wengi wanawaza Furaha ya iliyopo na kuacha kujifunza mambo mengine muhimu ya TIMU.na sio kwa watani YANGA tu hata Simba Kuna kitu najifunza kupitia magoma. Eti mke anasema mimi sitoki hapa mbona nakula,navaa lakini anasahau mume anampa urithi mke mwingine hadi nyumba unayoishi.amkeni utopolo
Wewe mzee sio kweli suala la uwakilish lipo maeneo yote je ww ni mwanachama wa chama gani je nec wanaingia WANACHAMA wote usitudanganye magoma,tunakuheshimu punguza mtandao narudia Tena tunakuheshimu tafadhali sana.
Hakuna Duniani mkutano wa watu millioni moja, hata vyaka vya siasa vinafanya mikutano yao kwa mikuu kwa uwakilishi, hicho anachokitaka Mzee wetu hakiwezekani coz hata Zoom ina limitation ya members.
Magoma hana akili. Magoma tabia hii sasa haina nafasi, ulikuwa unaifanya hii tabia ya kipindi hiko, maisha yamebadilika mzee. Wizi wenu wewe, Mwaipopo na marehemu Rashid Binda sasa hamuwezi kuutekeleza siku hizi.
😂😂😂❤ magoma umetisha
Mzee ana LOGIC flan hiv ukiwa na akili timamu utamwelewa vizuri
Ukiangalia Comments Unajua Baadhi Ya Wa Tanzania wengi Bado wengi wana Ujinga na akili zimeganda hatupendi kujifunza au Kuelewa tunapenda kusikia maneno na umbeya..Mahakama hua haikurukupi iko makini.
We kenge nini wangap wanahukumiwa bila hatia
Point ✍️
We ndo huna akili, mahakama inaweza kukosea kutoa hukumu pia ndio maana kuna rufaa, lakini pia hii hukumu inamapungufu mengi kwanza Kesi ilisikilizwa upande mmoja bila upande wa pili kuwepo na taratibu za kimahakama zilikiukwa. Mahakama ilitakiwa watoe Tangazo kwenye vyombo vya habari ama magazeti hawakufika mahakama ndio inaweza kuamuru kesi isikilizwe upande mmoja
Mzee embu bAdilika kidogo mzee
Nani alikuwa mshitakiwa? Na nani alisimama mahakamani , mzee mhuni
Ukiwa simba,, Raha kumsikiliza huyu mzee🔥🔥😂
😂😂
Mimi ni shabik wa Yangu ila huyu mzee yupo sahihi sana
Hayupo sahihi. Anapotosha. Ni kutokujua tu. Real Madrid in Rais, Barcelona ina Rais. Uenyekiti unakuja kwenye vikao. Kukiwa namkutano then rais anakuwa mwenyekiti
Hakuna lolote
Hongera sana babu magoma tunakupenda we ndo yanga❤
Engineer Hersi na Degree , kumbe Magoma ana PHD😂
PhD ya mama yako manina wewe
😂😂😂 Jibu kwa hoja mama tena kafanyaje @@godsonkyense4742
Yanga punguzeni kupenda supuu za bwerere msikizeni huyu babu yenu?
acha shobo fatilia team yako choko wewe yakwenu yamewashinda kazi ya yanga
Peleka upuuzi wako
Wemjinga nn
😂😂😂 sawa kabisa
Inaonekana uliimia sana kwakukosa supu ya YANGA😂😂
Bongo Dar es salaam kuna viumbe huyu ndio clip yangu ya kwanza kukaa na kumsikiza kwa makini .nikipata jibu huyu mzee amehibrand na huu ujio wake wa style hii mukimfahamu mutacheka sana sanaaa tu.kuna sauti zake anajijibu mara kapandisha kama nyerere mara kaweka sauti ya masoud.wandishi wa habari hawajamuelewa .mzee magoma ww ni msani wa mwaka tushio .ANAHITAJI MANAGEMENT
Uyu mzee kumbe genius hivo
UMEJUAJE NDUGU? HUYO MZEE WANA YANAGA WASIMPUUZE KAMWE kwasababu ANAHOJA NZITO WANAOMKATAA hawana uwezo wa kizibeba. ALIVYOSEMA KUHUSU ZOOM NA UKOSEFU WA UKUMBI INATIA AKILI SANA HAPO
Nilikua sijui kama ndo aliyekuw anashauri wachezaji wa kusajili, nilipoona kwenye social media nikajua anazingua na hana akili kumbe ni tofauti
@@YOSHUAMWAMPETA Hoja za mama yako manina Yoshua
@@godsonkyense4742 IMANI,TAMADUNI NA DESTURI nilizokulia sikuwahi kufunzwa KUTUKANA ILA NAJUA AWAZAVYO MTU NA KUSEMA NDIVYO ALIVYO MOYONI MWAKE.
NIKWELIIIII
KBSAAAAAA NI GENIUS
Ili uwe mwanachama hai ni lazima uwe umelipia Card Yako.Wewe umesema huna card ,kwa hiyo ni kweli huyu Mzee siyo mwanachama hai w a Yanga.
Yan uyo mzee Yuko sawa kabisa
Yuko sawa Kwa mama yako manina wewe
Mzee una point tena kubwa tu, ila kueleweka kwa sasa hawata kuelewa, naamini kuna siku ipo utaeleweka.
Mbona kigwangala mligoma kumuelewa😂
Mashabiki wengi yanga oya oya hata hawajui magoma anasema nini
Mimi yanga ila mzee uko vizuri sana wa 2000 kukuelewa kaziii
Hauwezi kuwa ynga wewe
@@RosePetro-ck8pt wewe mwenye yangu unakadi ya yanga au ndiyo wale wapiga kelele
Huyu mzee ana uweledi sana kuliko hata msomi wa ovyo anayekandamiza haki za watu wapenda maendeleo Ila hata mimi nilipata wakati mugumu ivi kweli shabiki /mpenzi wa team furani kindakindaki unaweza hama.
Bwege tu huyu mzee. Anafikiri kwa kuangalia karibu sana
Mzee magoma yupo sahihi kabisa.
Ila mashabiki vitumbua hawawezi kumuelewa
huyu mzee ana akili sana
Akili za mama yako manina
😂@@godsonkyense4742
Kama ulizaliwa huna mvi na sasa una mvi ujue katka maisha mabadiliko ni lazima,kama unang'ang'ania ya zamani ujue huwezi kufika popote.Sasa Mzee usisumbue kichwa mi nakusashauri kasajili wachezaji baba na uwalipe ujipoze moyo kidogo
Haji manara na Ally kamwe ni nguvu moja sio nyuma mwiko 😁😁😁😁😁
Mzee anajua mpaka Zoom meeting 😂😂😂
He is well educated na ana uelewa mkubwa. Anajua anachokitaka na haki zake kama mwanachama
Mzee yupo sawa ila yanga vichwa vigumu badaye watakuja mkumbuka huyu Mzee
Ukoo sawa mzee tumekuelewa
Magoma acha tabia hiyo.
Umeona wapiiiii wanachama wa CCM nchi nazima wakakutana wote mkutano mkuu?
Kuna wawakilishi.
Hivi Magoma YANGA ni Ya Dar es salaam tuuuu.
Na sisi wa mikoani tusemeje?
Wa mikoani shabikieni klabu za mikoani kama upo Iringa Lipuli😂
Baba anajieleza sana jamani
Mzee Magoma anapoint
Safi sana mzee wangu
Magoma mi5 tena😂😂
Kumbe mzee ana kadi ya kliniki afu wenzie wana kadi ya ATM
Mzee yuko sahihi sana.inabid mmwambie hapo kunanini hapo kunaniniiiiiiiiii
NG'OMBE WA MAZIWA WANAOGOPA KUKOSA MAJANI 😂😂😂😂😂😂 MZEE MAGOMA YUPO SAWA KABISA
Hamia Simba ukapewe usemaji badala ya Manara.
Ww ndio wa kuhama kwa vile hao ndio wanaijua yanga kuliko ww mtu wa juz
NENDA SIMBA KWANI UMEKATAZWA CHAWA WW
Very genius
Jinga hilo unajua Madrid wana raisi anaitwa perez kwani siyo Team ya mpira ile?
Mzee Magoma yupo sahihi kabisa! Apewe timu yake mahakama imeshatoa hukumu na mzee ameshashinda. Sasahivi akina akina Aziz Ki, Diara, Mzinze, Chama, Mwamnyeto na wengine kibao wote ni mali ya mzee Mponda😊😊
Huyu mzee bonge la comedy adi raha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mara anaonesha mkataba yalio andikwa anatunga hapo hapo paka mtangazaji kastuka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dah ccm kiboko yani mnawahamisha watu kwenye mada ya nape mkaona mlete mambo jaya ili tusahau
Nape kafanyaje
Nape kafanya nn
Nape ndio nani wewe? Aliyechapwa makofi na Kitenge baada ya kutumbuliwa na JPM 😂😂😂
Mpeni time yake mzee wa watu.....magoma ze hero.......tunataka katiba yetu Ile ile tuliishi nayo kiujamaa...hii ya allikamwe na wenzie
Mzee magoma 2po naww mbaka mwisho wasafali yako upate haki cc wsnasimba tumesikitishwa Sana na upuuzi unaofanyika kwasasa ktk club ambayo ni watani we2 wa jadi
Pole bado hamjasikitika ila mnayemwogopa bado yupo sana
Upeo bado sana mzee
Hizi ni ndoto za mchana...Zoom au mfumo wowote wa online meeting una limit, na hii ndio hasara ya kulishwa maneno..its total uncalled for na ufinyu wa kufikiri
Kama mfumo wa makolo umekupendeza nenda huko, ndomana kesi za kimichezo unapeleka mahakama za kawaida ukifananisha taasisi inayojitegemea na chama cha siasa,. MZEE MMOJA WA HOVYO SANA KUMBE BADO HALIJITAMBUI HILI ZEE 😮😮 HEBU MWAMBIE AVUE NGUO AKASIMAME MBELE YA KIOO HUENDA AKAJIPATA YUPO KUNDI KIPI😢😢 INNALILAH WAINNAILA😊😊
Chuki tu imekujaa mzee yupo sahihi ninyi ndyo misukule mnaoburuzwa tu kws kuwa et yanga inafanya vizuri watu wasiseme
Kafiri wewe utakufa mibudu mjinga mkubwa huyumzee anahakili zaidi ya babayako unajieerewa wewe ?? Ungekua karibu ningekupga doko maana inaonekana unafilimbwa mshenzi mmoja
Msipomuelewa huyu mzee mjue bado hamjakua
Young African Akuna kumsamehe Kunguni kama uyu , Peleken Mahakmani achezee miaka saba kwa kufoji sain , akili ikae sawa
Yanga kueni makini sawa saizi mna mafanikio lakini baadae mnaweza Kuta kihenge hakina kitu Hawa wahindi wetu Hawa jeuri baadae ukuta sijapata faida yeyote
Mimi ni yanga lakini huyu mzee yupo sahihi.
Ww na uyo mzee kumanisha
mgoma ana hoja asikilizwe
Bwana mkubwa Magoma, dhahiri ana ajenda ya chuki binafsi. Hafai kabisa, sasa njaa yake aseme nayo.
Tizama sasa hata uhalali wa Ali Kamwe na Haji Manara.
Yanga, Simba nakataa kuwa ni kabila.
Mzee nakukumbusha mfano, Abdallah Kibadeni aliipenda sana Yanga lakini leo ni Simba kindakindaki, na mifano kama hii ipo tele.
Sasa matakwa yako yawe ndiyo msahafu, huyu atizamwe kwa macho yote...
@@ibrahimmbarouk1564asikilizwe na mama yako manina wewe
Mafanikio ya club yanaficha madudu yanayoendelea ,,,tunabaki kusifia Team inafanya vizur mnasahau kuhoji
Wao walipo kuwa viongozi waliisaidia Nini timu
@@stephanSandika Team imeuzwa sio ya wananchi tena😁😁😁
@@jeremiahcharles6027 kawaida tu hata mo kawekwa b20
Mr Magoma umenivunja mbavu na pozi la kipwani ...
Mwanzoni nilikua namuona hafai ila ukweli nikwamba kufanya vizuli kwayanga kusifanye yanga ibiwe ukweli nikwamba GSM wana ibia sana yanga kweli jmn ukweli use mwenge hatakama sisi tunahitaji furaha ila ukweli nikwamba yanga inaibiwa sana nakubari mzee wangu tanzania waking wengi
Yanga isipo ibiwa wewe unafaidika nini?
GSM Ameiba nn...?
Mzee yupo makini sana
Hapo Magoma anataka tu kuwa honganisha Yanga na CCM. Eti Hersi anapewa heshima kumzidi Samia. Mara boo club ya mpira ni chama, hakiwezi kua na rahisi. Kwani yeye hajui vilabu vikubwa duniani vina ma rais?
Mzee upo makini Sana.
Nyoko sana we mzee. We unataka pesa tu sisi tunataka matokeo
Huyu mzee mwenda wazimu kweli,ata hajuwi anachokiongea ni nini?
Wewe umepofuka macho wewe ukiwa na njaa ukipata mtu akakupa mkate unauza kwenu.
Kweli huyu mzee ni mnafiki balaa
Uko wapi unafiki wake?
Mzee anaakili na busara. Anajua anachokitaka
Utopolo wengi ni mbumbumbu hivyo akitokea mtu mwenye akili anatukanwa.
We ungekuwa unaipenda yanga ungeishitaki mahakamani
ndo mahali penye hadhi ya kutasiri sheria
Kwaiyo ukipenda uburuzwe tu kama mzoga ?
Ulitaka aje ashitake nyumbani kwako
Kwan kaishitak yang ? ELEWA
Acha usenge babu haijashtakiwa yanga bali ni watu ambao hawaipeleki yanga inavyotakiwa
Naipenda simba yangu jamani ❤❤❤❤❤
Aise Mama samia Rais wetu mpendwa unayokazi ya kuwakomboa vijana wakitanzania wengi ufahamu hawana kwa tafiti niliyoifanyia kazi takiribani miaka mitano, maana yangu kubwa bado fikra za vijana wengi zipo kwenye mambo yakipuuzi hatupendi kujifunza bali tunaishi kwakujazwa upepo ila sio kupambanua mambo hivi ukiwa mwanayanga utamipingaje huyu magoma ambaye lengo lake nikujenga kwa kuweka mifumo endelevu
Unazingua mzee acha kukitetea kama ww ungefanyaje mwache mtoto wa wawt afanye Kaz ulikuwa wapi
Ila magoma upo vizur Sana mm naona bora wakuachie yanga kwanza Hawa watu wakuja tu sisi hizi Tim ni za wazaramo na wamanyema
MZEE ANA HOJA ASIKILIZWE
wewe umemuelewa vuzuri kwa kuwa uelewa wako ni sawa na yeye hivyo usilazimishe wegine wawe kama wewe na huyo mzee wako
tokaaaaaa hautukutaki kolo ww
Jmn! Mna uhakika huyu mzee hana file mirembe??
Hapo mwisho kamalizia vyema sana. Kaelezea maslai mapana ya nchi na kutufundisha kuacha uoga.
We kinembe kabisa pamoja na anaekuhoji
Huyu mzee Ana umimi zaidi na haitakii mema Yanga.
Upo vizuri sana Mzee unahoja
Mzee unauchungu na team achana na vijana wa 2000 kina kamwe tetea mzeeeee
Mwambie atetewe na mama yako manina wewe
Mzee unazeeka vibaya 😊
kivipi
Don't use political amblera to defend you
Yaani ni kweli nami nimeweka bando
NJAA INAKUUMA KUMBE NJAA UMEONA UMEFANYA KAZ MDA MREFU HUPANDI CHEO UNAONA VIJANA WAKO JUU WIVU NENDA KANISAN
Nguruwe fc ndo wamejazana humu kumsifia nguruwe mwenzao😂😂😂 sasa ni hiv na nguruwe wenu huyo hamuiwez yanga 😂😂
Huyu Magoma anaropoka au anakusudia kudanganya? Yeye anatumia zoom meeting gani hiyo ambayo ina uwezo wa kushirikisha watu milion moja? Zoom Business pekee ndo ina weza kuwa na wahuzuriaji wengi na kikomo chake ni wahuzuriaji 500.
Anaweza kujoin 1 watu elfu wakafuatilia hata kwa spika
Wewe kaongoze mbuzi jinga kwl Mzee wa hovyo
Wote wanao mtukana magoma hawana ajili Mzee ana hoja asikilizwe
NDIYE watatu MWENYE AKILI YANGA WOTE ZEROOOOOO.UNGANENI PAMOJA NA MZEE MAGOMA MJENGE YANGA YAKUDUMU WAPUUUZI NYINYI
mzee yupo sahihi na anahaki kabisa
Kwani mzee ukiona Yanga huielewi si uende ata ndanda kwani lazima uishangilie Yanga??
Sindo hapo sasa
Mambulula ndo wanaompinga huyu mzee yupo sahihi
Magoma asikilizwe ana hoja za msingi
Hoja SI mafanikio Yanga iliyoyapata
Hata kabla ya Eng Hers Yanga ilipata mafaninikio
Katiba laziima ifuatwe.
Asikilizwe kwani wakati wa kupitisha rasimu alikuwa wapi? Uendeshaji wa kizamani ndo una wenyeviti magoma ,makampuni ya sasa yana marais
Yaani mzee magoma nisayarinyingine kabisa anamuono wahayajuu
Huyu Mzee hapendi maendeleo ya Yanga.
Mzee ruko pamoja mpaka wakuueee
Usipokaza fuvu unapata faida ya maelezo kwa huyu mzee. Na wengi wanawaza Furaha ya iliyopo na kuacha kujifunza mambo mengine muhimu ya TIMU.na sio kwa watani YANGA tu hata Simba Kuna kitu najifunza kupitia magoma.
Eti mke anasema mimi sitoki hapa mbona nakula,navaa lakini anasahau mume anampa urithi mke mwingine hadi nyumba unayoishi.amkeni utopolo
Mashbiki wa simba tunaskia rah sana kumskilza huyu Mzee apewe mauwa yake tu
Huna Kaz nyingine mzee
Upo sahihi sana 💪
Mzee tulia acha wenge
Wewe mzee sio kweli suala la uwakilish lipo maeneo yote je ww ni mwanachama wa chama gani je nec wanaingia WANACHAMA wote usitudanganye magoma,tunakuheshimu punguza mtandao narudia Tena tunakuheshimu tafadhali sana.
Mzee msenge huyu ahamie simba
Ahamie simba timu yake amwachie nani
Hili zee chonganishi sna nw linataka kumgombanisha mama Samia na hersi kiufupi uyu mzee ni mchawi sna
Anasifia timu inayopotea iliyoshika nafasi ya 3 kwenye ligi anaiponda timu bingwa huyu mchawi wa MCHANA
Mzee yupo sahihi
Hakuna Duniani mkutano wa watu millioni moja, hata vyaka vya siasa vinafanya mikutano yao kwa mikuu kwa uwakilishi, hicho anachokitaka Mzee wetu hakiwezekani coz hata Zoom ina limitation ya members.
Mashabiki wa Simba wote ni wasenge kama huyu mzee
Rais wa TIMU😂😂😂 Bora hata sisi tulimzuga kusema Rais wa heshima
Magoma hana akili. Magoma tabia hii sasa haina nafasi, ulikuwa unaifanya hii tabia ya kipindi hiko, maisha yamebadilika mzee. Wizi wenu wewe, Mwaipopo na marehemu Rashid Binda sasa hamuwezi kuutekeleza siku hizi.
Analopoka tu mtoto wake mwenyewe anamkataa kama Hana Hela aseme tumsaidie tu shida tu zimemjaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,....Yaani magoma kweli chale Chaplin...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.....sasa ndo anaongea nini....magoma tuache, 🤣🤣🤣🤣🤣