Mwa 3:11-19 SUV BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; Mwanaume nae aliambiwa u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi. Nyoka ni shetani na mavumbi ni miili yetu ambayo ameambiwa atakula maisha yake yote
Kutokana na kulaaaniwa na Mungu mtukufu wanakula damu tokana na kuondoka katika utukufu wa muumba hivyo wanakula damu ili waendelee kufanya maasi yakizidi kumchukiza Mungu na ipo siku adhabu ya juu ya maovu yote waliyofanya na wataziona gadhabu za Mungu juu yao
Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya kiroho,Shetani hakuumbwa na asili ya kunywa damu alipokua mbinguni ,lakini kwasababu alimuasi Mungu,na yeye aliampa atapambana na binadamu,kwaiyo Jambo lolote analofanya Shetani ni kinyume na Mungu,na kuweka mateso Kwa mwanadamu,hivo yeye kwa utashi wake aliamua achague njia hiyo ili kuleta mateso Kwa mwanadamu,na Yesu alisema mwivi haji ila aibe,kuchinja na kuharibu hivo shetani yeye chochote anachofanya lazima kiwe against the nature na lazima kilete mateso Kwa mwanadamu
Davistar, unamuuliza maswali yanayosababisha kumpotezea mtiririko ktk simulizi la kisa chake. Huyu hakuwa mchawi bali alikuwa anatumiwa tu. Hawezi kujua uchawi. Mpi uhuru atiririke. Iga namna Promover anahoji. Itakusaidia.
Huyo boss ni Mzee sumri tu mnaficha Nini ndiyo amishakufa na alikua na kampuni ya mabasi sumbawanga mimi mtu ameniua alafu niogope kumtaja wewe taja tu usiogope ameteseka sana katika maisha ya kimsukule
Davistar huyu jamaa hakuwa bosi wa uchawi sasa unavyomuuliza maswali ya ndani ya uchawi wakati yeye hakuwa mchawi unakuwa unavuruga mtiririko wa stori , muulize yaliyondani ya kile alichokuwa anafanya yeye
Mungu tusaidie wachawi wapate aibu Ee Mungu tuinue Mungu wetu utupe macho ya rohoni na tuweze kuona vitu vibaya na hao wanasababisha haya waabike na kufedheheka
Boss too much questions mwache jamaaa asimulie uliza maswali mwishoni...side note chukua note book andika maswali wakati anasimulia kabla ya kufunga kipindi anza kumuuliza hayo maswali uliyoandika.
Davista unazingua. Unauliza maswali ambayo hayana msingi. Unampa maswali ambayo hana uwezo nayo. Mpe nafasi ya kutoa ushuhuda wake, sio eti Mungu aliwaruhusu majini kunywa damu, is none sence! Unamvuruga na kumpotezea uelekeo. Anapoteza point muhimu
Mtafute shafii the don atakupa iyo elimu,,, udi sio chakula,,, swali la dam ata binadam wanatumia dam,,, lakin sio rasmi ni ushetsn tu ndio huwafanya kufanya ivyo
Mimi namuelewa davista kwanini anauliza Sana maswali.jamaa flow yake ya kujieleza haipo sawa kama anajaribu kumrudisha kwenye reli ili asipoteze mantiki
Punguza maswali,acha asimulie andika maswali yako utauliza mwisho wa story, yaani mpaka umepoteza muelekeo wa story,imekuwa Kama ni kipindi Cha maswali na majibu .
Wewe mtangazaji una kihelehele wewe una host kipindi lakini wewe ndio unazani ndio guest(mgeni) unauliza maswali mengi mwache Mchungaji ajieleze yani hata apumui na anashindwa hata kujieleza vizuri
amsemsema huyo tajiri aliyekuwa anawatumikisha kashakufa tayari kama kashafkufa kwanini asimtaje tu jina ni nani au kama sio jina basi ataje jina la hayo makampuni ya mabasi
Kumbuka hai ni binadamu sio jini huyo punguza maswali mbona huelewi Toka stori imeanza sija heelewa mwanzo Wala inapoelekea Sisi hatukwambii ilimradi tu Babu mbona inakua sio muelewa, unashindwa Nini kuadisiwa pembeni Alafu maswali yako Hana hata ulazima wa kijua Unapekenyua vitu hata havina sababu yaani makusudi tu hiyo davista Alafu muda wako ukiisha unamaliza Wewe Sasa vipindi vyako nikero tu
Asili ya wao kula damu ni laana waliyopewa na Mungu, MUNGU akamwambia nyoka kwa tumbo utakwenda na mavumbi utakula siku zote za maisha yako, kitabu cha mwanzo cha biblia kiko wazi
Ndio ni ushuhuda mzuri na sasa ni mtumishi amekombole kabisa na kama ndio anazo nguvu za Mungu ndani yake za kuvunja mathabahu za majini na mashetani? Kuna watumishi wengi wanamafunzu mazuri lakini ikifika kuvunja mathabahu hawana nguvu za Mungu kabisa wanashindwa
Note: In the Field of battle always the stronger overcomes the weak. Ukiwa mshirikina utapona kwenye ajali endapo tu km ushirikina wako ni mkubwa kuliko hao wanaosababisha ajali.
Maswali muhimu kaka Hapa tuko darasani (tupate kuelewa ulimwengu wa spiritual ulivo) sio story-time. Maswali muhimu na muda wa maswali pia ni huu huu. 🙂barakiwa
Hawawezi kusababisha ajkali za ndege kwa sababu wachawi wanafanya kazi kwa mikoa au majimbo (siyo kwa nchi au mabara). Ngege ikiruka tanzania muda mfupi tu iko Ethiopia nk. Hawa wachawi wa nchi mbalimbali hawajuani
Nikwamba baada ya kuasi shetani na malaika zake walibadilika toka asili ya uumbaji wake wakuishi kama kiumbe roho alieumbwa Kwa moto hivyo uasi ulimfanya shetani afanye Vita na mwanadamu,Ili apate wakwenda nae jehanamu,hivyo walibadilishwa na nguvu ya uasi iliwabadiri asili Yao,wakaanza Kula
Mwa 3:11-19 SUV
BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; Mwanaume nae aliambiwa u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi. Nyoka ni shetani na mavumbi ni miili yetu ambayo ameambiwa atakula maisha yake yote
Kutokana na kulaaaniwa na Mungu mtukufu wanakula damu tokana na kuondoka katika utukufu wa muumba hivyo wanakula damu ili waendelee kufanya maasi yakizidi kumchukiza Mungu na ipo siku adhabu ya juu ya maovu yote waliyofanya na wataziona gadhabu za Mungu juu yao
Mr everything umeongea vizuri sana ya kwamba jini walileta ujinga binguni ndio wakatupwa na mungu
Unaondoa utamu wa simulizi
Ungeandika maswali halafu akifika mwisho ya hiyo chapter then you ask him soma questions
Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya kiroho,Shetani hakuumbwa na asili ya kunywa damu alipokua mbinguni ,lakini kwasababu alimuasi Mungu,na yeye aliampa atapambana na binadamu,kwaiyo Jambo lolote analofanya Shetani ni kinyume na Mungu,na kuweka mateso Kwa mwanadamu,hivo yeye kwa utashi wake aliamua achague njia hiyo ili kuleta mateso Kwa mwanadamu,na Yesu alisema mwivi haji ila aibe,kuchinja na kuharibu hivo shetani yeye chochote anachofanya lazima kiwe against the nature na lazima kilete mateso Kwa mwanadamu
Too much question brother
Davistar, unamuuliza maswali yanayosababisha kumpotezea mtiririko ktk simulizi la kisa chake. Huyu hakuwa mchawi bali alikuwa anatumiwa tu. Hawezi kujua uchawi. Mpi uhuru atiririke. Iga namna Promover anahoji. Itakusaidia.
🤣🤣🤣 nakwambia Jactan msafiri hanaga hio tym
Hilo swali kwake nigum namwenyezi mungu hakuwaumbia watu waliwe najini hiyo nimoja ya maasi yao kwa muumba wao
Davista maswali mengi Kaka kwann maswali ingekuwa unauliza mwisho kbsa wa story
Story nzuri ila dah maswali ni mengi na Maelezo ya davista mpk story imepoteza mvuto duuh
Huyo boss ni Mzee sumri tu mnaficha Nini ndiyo amishakufa na alikua na kampuni ya mabasi sumbawanga mimi mtu ameniua alafu niogope kumtaja wewe taja tu usiogope ameteseka sana katika maisha ya kimsukule
Daaaaaaaaaah huyu mtangazaji amezidi maswali yake yanaboa sanaaaa
Davistar huyu jamaa hakuwa bosi wa uchawi sasa unavyomuuliza maswali ya ndani ya uchawi wakati yeye hakuwa mchawi unakuwa unavuruga mtiririko wa stori , muulize yaliyondani ya kile alichokuwa anafanya yeye
DAVISTA uko vizuri, Lakini Punguza maswali Story izidi kuflow vizuri
Mungu tusaidie wachawi wapate aibu Ee Mungu tuinue Mungu wetu utupe macho ya rohoni na tuweze kuona vitu vibaya na hao wanasababisha haya waabike na kufedheheka
Jamani Davistar hii ni story ama ulimleta kumuonji si uachie story tuikule vizuri aueleweki na maswali
Boss too much questions mwache jamaaa asimulie uliza maswali mwishoni...side note chukua note book andika maswali wakati anasimulia kabla ya kufunga kipindi anza kumuuliza hayo maswali uliyoandika.
Kama utakua na peni na daftari uwe unaandika maswali Yako alafu uwe unauliza mwisho wa stori
Davista unazingua. Unauliza maswali ambayo hayana msingi. Unampa maswali ambayo hana uwezo nayo. Mpe nafasi ya kutoa ushuhuda wake, sio eti Mungu aliwaruhusu majini kunywa damu, is none sence! Unamvuruga na kumpotezea uelekeo. Anapoteza point muhimu
Mtafute shafii the don atakupa iyo elimu,,, udi sio chakula,,, swali la dam ata binadam wanatumia dam,,, lakin sio rasmi ni ushetsn tu ndio huwafanya kufanya ivyo
Mimi namuelewa davista kwanini anauliza Sana maswali.jamaa flow yake ya kujieleza haipo sawa kama anajaribu kumrudisha kwenye reli ili asipoteze mantiki
Kira siku tunakwambia devista punguza masawali unaboa bwana story imekuwa maojiano ww muache asimulie alafu ata uelewagi ww
Maswali yake ndiyo yanafanya kipindi kinakuwa kizuri, mimi napenda anavyouliza!
Bila maswali utajifunza nini Sasa?!, Kama wewe hupendi maswali Skip nenda mbele
Maswali ni lazima ubora ya kipindi
Huyu mtangazaji anakera Sana na maswali yake hadi hasira Yaaani pumbavuuuuuu
Nakuona DM unafunguka nawe pole pole 😀😀
Wanafanya machukizo tu wamfanye mwanadamu ajitenge na Mungu
Katika story hii au simulizi hii wasikilizaji mmenikosha muda mwingine dived anaboa maswali alfu anauliza maswali ambayo anayesimulia sio haya anataka
Punguza maswali,acha asimulie andika maswali yako utauliza mwisho wa story, yaani mpaka umepoteza muelekeo wa story,imekuwa Kama ni kipindi Cha maswali na majibu .
Nikajua mimi2 kumbe wengi mnaboreka na maswali
Maswali ni mazuri tu. Lakini Nina jibu.
Wanachikula malaika sasa hivi mbinguni ndicho majini walikua wanakula kabla ya kuasi.
Hii story fiksi tupu muelezeaj hata kujielezz hajui msukule kama msukule tunajua huwa hawzjitzmbuiii
Wewe mtangazaji una kihelehele wewe una host kipindi lakini wewe ndio unazani ndio guest(mgeni) unauliza maswali mengi mwache Mchungaji ajieleze yani hata apumui na anashindwa hata kujieleza vizuri
amsemsema huyo tajiri aliyekuwa anawatumikisha kashakufa tayari kama kashafkufa kwanini asimtaje tu jina ni nani au kama sio jina basi ataje jina la hayo makampuni ya mabasi
hiyo inaweza kuleta kesi na familia yake ikataka fidia kubwa kwa Media hii wanafungua kesi ya kuchafukiwa jina/brand ya ukoo
Kumbuka hai ni binadamu sio jini huyo punguza maswali mbona huelewi
Toka stori imeanza sija heelewa mwanzo Wala inapoelekea
Sisi hatukwambii ilimradi tu Babu mbona inakua sio muelewa, unashindwa Nini kuadisiwa pembeni
Alafu maswali yako Hana hata ulazima wa kijua
Unapekenyua vitu hata havina sababu yaani makusudi tu hiyo davista
Alafu muda wako ukiisha unamaliza
Wewe Sasa vipindi vyako nikero tu
Mbona part 1 inapotea wakati nataka kushare ?
Asili ya wao kula damu ni laana waliyopewa na Mungu, MUNGU akamwambia nyoka kwa tumbo utakwenda na mavumbi utakula siku zote za maisha yako, kitabu cha mwanzo cha biblia kiko wazi
Kwahiyo mavumbi ni binadamu au
pia mbinguni kuna chakula cha malaika ambacho wana wa israeli waliteremshiwa na Mungu wakiwa jangwani ambacho kinaitwa manna soma exodus 16:4
Ndio ni ushuhuda mzuri na sasa ni mtumishi amekombole kabisa na kama ndio anazo nguvu za Mungu ndani yake za kuvunja mathabahu za majini na mashetani? Kuna watumishi wengi wanamafunzu mazuri lakini ikifika kuvunja mathabahu hawana nguvu za Mungu kabisa wanashindwa
Note: In the Field of battle always the stronger overcomes the weak. Ukiwa mshirikina utapona kwenye ajali endapo tu km ushirikina wako ni mkubwa kuliko hao wanaosababisha ajali.
hilo la ndege nimeipenda je na hv wakipiga camera picha wakisafisha wanaweza kuonekana
Maswali muhimu kaka
Hapa tuko darasani (tupate kuelewa ulimwengu wa spiritual ulivo) sio story-time.
Maswali muhimu na muda wa maswali pia ni huu huu. 🙂barakiwa
Hawawezi kusababisha ajkali za ndege kwa sababu wachawi wanafanya kazi kwa mikoa au majimbo (siyo kwa nchi au mabara). Ngege ikiruka tanzania muda mfupi tu iko Ethiopia nk. Hawa wachawi wa nchi mbalimbali hawajuani
Nikwamba baada ya kuasi shetani na malaika zake walibadilika toka asili ya uumbaji wake wakuishi kama kiumbe roho alieumbwa Kwa moto hivyo uasi ulimfanya shetani afanye Vita na mwanadamu,Ili apate wakwenda nae jehanamu,hivyo walibadilishwa na nguvu ya uasi iliwabadiri asili Yao,wakaanza Kula
Ilikuharibu uwepo wa mwanadamu,hasa asieokoka soma yohana 10:10
Hayo majini yeye anajuaje ni majini Kama ni misukule wenzie je?
Nahisi jamaa hajiamini kbs anaesimulia pia kama anaongozwa kuhadithia
JINI ni roho. Roho haina mwili na haihitaji chakula.
majini chakula chao ni mifupa iliyosagika sagika
Davistar, uliza swali hili " hayo majini yanafananaje" yakoje yakoje, yanayo muonekano gani?
Chamsingi tumchangie davistar tujiunge kwenye group lenye uwezo wako
Sio tuna uliza maswalitu na tufa kitu chamsingi waku mchangia tu kwa sababu ana tembea mikowa ya mbali kutu taftia story sisi tuelimike
Davista, you talk too much and it is annoying 😡😡😡
Mpe nafasi aongee unaongea sana
Kaka muache basi atupe stori tujifunze unaongea sana wewe
Shetan alipoasi Mungu aliamuru awe analamba mchanga sio nyama y watu Wala za wanya