Masharti ktk mkataba huo yalikuwa zaidi ya malipo. Kulikuwa na Sharti pia la Coastal Union kumpeleka mchezaji Simba akapimwe afya kabla ya mara tu baada ligi keisha. Pamoja na kuwa sehemu kubwa ya malipo Lawi hawakumpeleka kupima afya.Sharti hilo hamlizungumzii. Ninyi mnajidai ni wajuzi wa kila kitu na kuwahukumu Simba kuwa wanamakosa lakini kiukweli hamjui chochote zaidi ya uandishi wa habari. Ndiyo maana kesi hamkuletewa ninyi muamue bali zimefuataa taratibu na sheria zilizopo. Mnapaswa kuwa wasikilizaji kama sisi na si kuwa waamuzi na kuwasema wenzenu kwamba wako unprofessional.
Miye ni mwananchiiiiiiiii …. Ila makolo wana haki na mchezaji huyo ….. Ila kwenye kesi hii watashindwa kutokana na viongozi wa TFF wana vina saba na Coastal union …!! Msisahau huyo mchezaji ata kadi nyekundu ya Lawi ilifutwa dhidi ya YANGA …!!
Ukisema Tamaa hata wachezaji pia wanahusika. Uzuri ni kwamba TFF sio ccm wanaweza kusimamia haki,Mchezaji anaweza akawa kajikanyaga na Costol pia wamejikoroga ila kwa Simba hawana hata doa,wajitathmini kisha wajilipue wenyewe kumaliza huu mchongo
Hawa wazee hawakupaswa kufika huku 7bu wanatia huruma mno ilibidi wasije mtandaoni ili simba wawahurumie na kuwaachia 7bu ni mchezi muhimu kucheza kwao,pengine hata wangempewa kwa mkopo 7bu Simba kwa kikosi chake sasa ataanzia banch au kucheza half tu. Kwann hawa wazee wamechagua ubabe na wanaijua sheria vema watungaji wao na wakanyagiaji wao,siku wao wakija kuvaa viatu vya Simba itakuwaje?
Masharti ktk mkataba huo yalikuwa zaidi ya malipo. Kulikuwa na Sharti pia la Coastal Union kumpeleka mchezaji Simba akapimwe afya kabla ya mara tu baada ligi keisha. Pamoja na kuwa sehemu kubwa ya malipo Lawi hawakumpeleka kupima afya.Sharti hilo hamlizungumzii. Ninyi mnajidai ni wajuzi wa kila kitu na kuwahukumu Simba kuwa wanamakosa lakini kiukweli hamjui chochote zaidi ya uandishi wa habari. Ndiyo maana kesi hamkuletewa ninyi muamue bali zimefuataa taratibu na sheria zilizopo. Mnapaswa kuwa wasikilizaji kama sisi na si kuwa waamuzi na kuwasema wenzenu kwamba wako unprofessional.
Hili ndo tatizo la club ndogo kujifanya chawa wa timu nyingine kubwa huwa mnawaachia ushindi waachieni na mchezaji
Wachambizi bhana
Mbona hamjawahoji viongozi wa simba
Katibu wa Coastal Union yupo smart sana😂
Miye ni mwananchiiiiiiiii …. Ila makolo wana haki na mchezaji huyo …..
Ila kwenye kesi hii watashindwa kutokana na viongozi wa TFF wana vina saba na Coastal union …!!
Msisahau huyo mchezaji ata kadi nyekundu ya Lawi ilifutwa dhidi ya YANGA …!!
ulizeni lawyers tamaa ni watu wa coastal
huyu mzee wa coastal hajitambui case wamepoteza
Ukisema Tamaa hata wachezaji pia wanahusika. Uzuri ni kwamba TFF sio ccm wanaweza kusimamia haki,Mchezaji anaweza akawa kajikanyaga na Costol pia wamejikoroga ila kwa Simba hawana hata doa,wajitathmini kisha wajilipue wenyewe kumaliza huu mchongo
acha ujinga kwahio pesa mliyopokea toka simba mlikopeshwa au?
Hawa wazee hawakupaswa kufika huku 7bu wanatia huruma mno ilibidi wasije mtandaoni ili simba wawahurumie na kuwaachia 7bu ni mchezi muhimu kucheza kwao,pengine hata wangempewa kwa mkopo 7bu Simba kwa kikosi chake sasa ataanzia banch au kucheza half tu. Kwann hawa wazee wamechagua ubabe na wanaijua sheria vema watungaji wao na wakanyagiaji wao,siku wao wakija kuvaa viatu vya Simba itakuwaje?
wameingia mtegoni mwa panya