Alhamdulillah nashukuru nimezaliwa ndani ya uislam , bado niko kwenye uislam na inshallah namuomba mwenyezi mungu umauti unikute nikiwa kwenye uislam, mwenye kumuabudu yeye tu na kuamini uislam ni dini ya haki...inshallah pia anifanyie wepesi wa kutimiza na kuyafuate yale aliyoamrisha na kuyaacha yale aliyokataza...hii surah ni heavy weight imemaliza kila kitu kwenye uislam na maisha ya mwanadamu kiujumla..
Yaarab nifanye mm niwe mwenye kutenda mema nakupenda kusoma nakuskiliza Quran kwan ndio yakuongoa ww ndie unaembadilisha mwanadamu nakumfanya afanye mema nifanye niwe mm na waislam wengne Dunian lnshallah
Alhamdullilah ya rabb 🤲🏽 kwa wote waliotumia muda wao kutuandalia Quran kwa njia hii inatusaidia sana tuliobadilisha dini kujifunza. Allah awazidishie kheri, na awape pepo yake amiin 🤲🏽🤲🏽
INAPENDEZA SANA KWA WAISLAM IKIWA MNAINGIA TH-cam KISHA MNACKILIZA KHERI KAMA HIZI بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا KWANI CKU MACHAFU YAMETUZUNGUKA KILA KONA KWAHIYO NDG ZANGU TUJITAIDINI KUJIEPUSHA NA MAASWI ILE HALI TUNAOMBA MSAADA KWA ALLAH MTUKUFU
Alhamndulilah alhamndulilah mazuri na kheri zipo kila pahala Allah atulainishe mioyo kutenda mema tupate Rehma za Allah duniani na pahalapema pindi tutaporejea kwa Allah.
Jamaa zangu tutumieni mtandao kwa heshima kwa kua kuna watu wa kila rika na pia kuna baba zetu mama zetu na watoto wetu wake kwa waume hapo kila m1 anahitaji hesha jiheshimu utaheshiwa Shukran
Allahuma rabbanaa samiina Ewe Allah mtukufu kwa hakika tumekiri kwako na tumenyenyekeya kwako na hatuna nguvu yeyote wala uwezo wowote juu yako Yaa Rabbi kwa hakika hiyi Qur'an tukufu ni ushahidi mkubwa sisi ni madhaifu wa kubwa kwako tutiye taufiq katika maisha yetu Yaa Allah we we ndio rafiki wetu wa kweli hutuachi kwenye shida na raha Yaa Allah tunakupenda sana zaidi ya kila kitu Arrahman Arrahiim
Shukran sana kwakisomo takatifu natafsili yake shukran sana Allah akulipe msomaji na anae tafsili shukran zaid zimwendee Allah ndy mwing wanehema namwenye kurehemu shukran yaAllaby shukran
Allahuma ajirin minanari jazakallah ghairu shukran san hakuna shaka ndani y uislam naflaia kuzaliwa ktk uislam allah akbar alove Quran lailaha illah muhamad rasurullah
Mashaallah allahu akbar ewe tutie Imani kwenye vifua vyetu vilainike pindi tunapo sikia makatazo yako na tunapo sikia Jina lako tuwe na hofu tunapo sikia adhabu zako tuogope amiin yarabil amiin inshaallah 😭😭😭😭😢😢
Subhanaa Allah Hakikaa *Qur'an* Ina mazingatio Makubwaa Sana kwa wenye akili na kutafakari juu ya uumbwaji wetu, kuzaliwa kwetu, kufa kwetu na kufufuliwa kwetu Yaarab tujaghalie mwisho ulomwema na tuwe ni wenye kutenda yaliyo mema *Amiiin*
Alhamdulilah, bado tunazidi kufaidika na ilmu hii ya kur an na tafsiri yake. ALLAH awazidishie nyote alosoma qur an na alotafsiri pia. Na awafanyie wepesi wa mambo yenu. Aameen.
Assalam alaykum mzee wangu Ali Muhsin Al Barwan Allah akulipe kila la kheri kwa kutupa tafsiri safi katika kitabu chetu cha Qur'an Allah akulaze mahali pema peponi huko uliko amin
My friend that's nothing good in Quran it's all about Hatred, Muhammad say when you meet Christian and Jewish on the street push them to sewage spit in their face Kill them, they are filthy people Muhammad call them pigs, monkey s, donkey, the enemy of Allah, if you read Quran and Hadith you will be confused and ask many questions to ask so many mistake you can never compare the Bible to Quran Allah accept killing but God reject Killing
May Allah bless the ummah of Muhammad swalla lwahu alahi wassallam I love this surah bcs the recitation is so beautiful and the meaning mashallah may Allah grant us jannah
Maashallah hiii ndio sabuni ya roho yaarab tuepushe na uongo ili tupate kufaulu siku zote na katka imaan na utuokoe dunian kaburini na akhera amin
Amin ya Rabby
Amiin yarabiiii
Mwenyezi mungu tusamehe makosayetu tunakuomba mwisho mwema
Mwenyezi mungu tusamehe makosa yetu tunakuomba mwisho mwema
Alihamdullah nashukuru kuzaliwa kwenye Uislam Allah aniongoze kwenye Dini yangu na mazingatio yake
Amiin 🤲 ishaallah
Allahumma amiin
@@mwanajumamohammed4356ishallah..kila..la..kheli
Alhamdulillah I'm proud to be a Muslim.may the almighty allah guide us all to the right path.allahumma ameen.
Allahumma Ameen
Alhamdulillah nashukuru nimezaliwa ndani ya uislam , bado niko kwenye uislam na inshallah namuomba mwenyezi mungu umauti unikute nikiwa kwenye uislam, mwenye kumuabudu yeye tu na kuamini uislam ni dini ya haki...inshallah pia anifanyie wepesi wa kutimiza na kuyafuate yale aliyoamrisha na kuyaacha yale aliyokataza...hii surah ni heavy weight imemaliza kila kitu kwenye uislam na maisha ya mwanadamu kiujumla..
Mashallah tabarakallah❤❤❤
2:18:31
Masha Allah inapendeza sana kusikiza Quran Allah Akulipe Janatul Firdaus Amiin Amiin
Ya rabbi tu ruzuku sisi wajawako kila yalio kua mema
Ameen ameen
Ya Allah tuwezeshe nasi kuhifadhi kitabu chako Ya Rabbi. Amiin
Amin 🤲 yaaraby 😢
Aamiin YAA ALLAH RABBI ❤❤❤
Yaarab nifanye mm niwe mwenye kutenda mema nakupenda kusoma nakuskiliza Quran kwan ndio yakuongoa ww ndie unaembadilisha mwanadamu nakumfanya afanye mema nifanye niwe mm na waislam wengne Dunian lnshallah
Ameen ya rabb
Ametakasika mwenyezi mungu Allah Akbar
Ya. Rwabi mola atuongoze. InshALLAL
Ameen YaaRab Ameen ❤
M/mungu akujaalie maisha marefu ili uzidi kutuelimisha nawe utapata ujira wako kwa Allah
Hakika QURAN haijaacha hata kitu kimoja🙏🙏🙏
Yaaarab mpe JANNA huyu mja wako na jaalia ummat MUHAMAD(S.W) wawe na mashukio mema.Aamin.
Amin🙏🙏
Alhamdullilah ya rabb 🤲🏽 kwa wote waliotumia muda wao kutuandalia Quran kwa njia hii inatusaidia sana tuliobadilisha dini kujifunza. Allah awazidishie kheri, na awape pepo yake amiin 🤲🏽🤲🏽
Ameen kwa wote.
@@tafsiriyaqurantukufukwakis966 me
Amina ya rabbi
Amin Amin yaa rabby🙏
Ameen ameen
Mwenyezimungu akulipe kila lilirojema hapa Duniani na akhera kwa kazi nzr yakutuelimisha
Subahanaaallah,, 😭😭hakika quraan ni mzr ukizingatia
Allah atuwekeye wepesi kuingia pepuni
ALLAH nijalie upendo huu huu uwe enderevu wa kuipenda Quran tukufu na kuisikiliza ❤❤❤❤❤🙏
Allah akbar. Allah atuongoze katka njia ilokua sahih ya kumuabudu yeye pekee na kufuata mema. Min
Allah atujaalie tufe kwenye Uislam na asichukue roho hadi awe aneturidhia na atujaalie pepo ya Firdous. Amin
Amiina ishaallah
@@ayamisalum773 ⁹
Amiin ya Allah🙏🏼🙏🏼🙏🏼
aamin inshaallah
Aminia rabbi allamiin
Yarabby turuzuku sisi wote waisilamu tuwe ni wenye kukuabudu nakufata vitendo vyako amiin inshaallah
Dua haiwekwi InshaAllah mbele yake. Bali tunaomba kwa iman kwamba Allah anaitakabali, inshaAllah kwenye dua si mahala pake. Allah anajua zaidi
Ewe Allah Nakuomba tusamehe Waislamu wote Ulimwengu Makosa yetu na Utuingize Katika Jannat Fir'daus Aaamin.
Allah humma amin
AMIIN
allahuma amina yarabali alamina
amin
Amiin y
INAPENDEZA SANA KWA WAISLAM IKIWA MNAINGIA TH-cam KISHA MNACKILIZA KHERI KAMA HIZI بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا KWANI CKU MACHAFU YAMETUZUNGUKA KILA KONA KWAHIYO NDG ZANGU TUJITAIDINI KUJIEPUSHA NA MAASWI ILE HALI TUNAOMBA MSAADA KWA ALLAH MTUKUFU
Kweli ndugu yangu
Alhamndulilah alhamndulilah mazuri na kheri zipo kila pahala Allah atulainishe mioyo kutenda mema tupate Rehma za Allah duniani na pahalapema pindi tutaporejea kwa Allah.
Alhamdulilah jazakà Allah
Shukran
Inshallah
Allahmdulillah twamushukuru mwenyezi mungu kwa ulinzi wake nafadhili zake Eee mullah udhidi kutuepusha nakiahama nagazabu mablimbali na umauti nauzee ☝🏽niwewe pekeyake unastahili kuabudiwa 🤲🏽na mtetezi wetu Amin
Jamaa zangu tutumieni mtandao kwa heshima kwa kua kuna watu wa kila rika na pia kuna baba zetu mama zetu na watoto wetu wake kwa waume hapo kila m1 anahitaji hesha jiheshimu utaheshiwa Shukran
Allah atukinge waislam wote kwa Qur'an na atujaalie pepo wote
Manshallah,Mwenyezi Mungu Akutilie wepesi Inshallah
Allahuma rabbanaa samiina
Ewe Allah mtukufu kwa hakika tumekiri kwako na tumenyenyekeya kwako na hatuna nguvu yeyote wala uwezo wowote juu yako Yaa Rabbi kwa hakika hiyi Qur'an tukufu ni ushahidi mkubwa sisi ni madhaifu wa kubwa kwako tutiye taufiq katika maisha yetu Yaa Allah we we ndio rafiki wetu wa kweli hutuachi kwenye shida na raha Yaa Allah tunakupenda sana zaidi ya kila kitu Arrahman Arrahiim
Aaaaamiyna
Amiiiina yaa rabby atusaidi sote tulio slm🙏
🙏🙏
Allh huakbr mwenyezimunimukubua, wala anamufano, yarabi utuhongoze mujiya iliyo nyohoka, utujaliye mwicho mwema
Aaamin
Shukran sana kwakisomo takatifu natafsili yake shukran sana Allah akulipe msomaji na anae tafsili shukran zaid zimwendee Allah ndy mwing wanehema namwenye kurehemu shukran yaAllaby shukran
Masha Allah
Ataukue na stress aje basi skiza Qur'an tukufuuh.. maash Allah kwa kila mwenye kuskiza Qur'an .. na tafsiri yake
Asante sana Mwenyezi Mungu akulipe kila la heri apa duniani na kesho ahera insha Allah
Allahu Akbar
Allahuma ajirin minanari jazakallah ghairu shukran san hakuna shaka ndani y uislam naflaia kuzaliwa ktk uislam allah akbar alove Quran lailaha illah muhamad rasurullah
Baraka Allah waafiwamikum
Mashaaàlh ewe Mumba tyujalie tuwe wenye kufaulu
Maashaallah hakika ALLAH mwingi mbora mwenye nguvu hakufanyie wepesi ktk kila jambo lako
B h
Bzbb l
L
B h
Bzbb l
L
Na hiwe hivyo
Allah akulipe kher sheikh wetu kwa tafsiri nzuri sana 🌹🌙⭐️
Mumba akuzidishie Muslim mwezetu lea tafsir nzur
Allah Awalipe kila la gheri kwa jambo hili jema mlilolifanya 🙏🙏
Mashaallah allahu akbar ewe tutie Imani kwenye vifua vyetu vilainike pindi tunapo sikia makatazo yako na tunapo sikia Jina lako tuwe na hofu tunapo sikia adhabu zako tuogope amiin yarabil amiin inshaallah 😭😭😭😭😢😢
Saumrajab Palomar mahaallah lnshaallah kheli
My littl pony equate grlss
Amiin
Alhamdulillah
Mashllah Allah atuhifadhishe qur an
Al Quran tafsir one love asante japo ni mkristo nawapenda sanaa
Karibu
UNASUBIRI NN SASA KUSLIIM AU MPAKA MAUTI YAKUJIE GHAFLA
@@jimmymakundi3060 taratibu muendee kwa aya Mwenyezi mungu ni mwenye kuwaongoa walioko nje
Mashaallah MUNGU akujalie kila la kher welcome
Karibu ndugu
Mashallah m/ mungu tupe mwisho mwema yarrabi
Mashaa Allah, uwislam dini kamili, ya haki, Allah twakuomba tuongoze kwenye njiya iliyo ya haki
Mpaka umauti utukute tukiwa wenye kushikamana na haki kwa ubora wa kutekeleza maamrisho yake kwa mafundisho ya mtume Muhammad(saw), inshaallah!
Subhanaa Allah Hakikaa *Qur'an* Ina mazingatio Makubwaa Sana kwa wenye akili na kutafakari juu ya uumbwaji wetu, kuzaliwa kwetu, kufa kwetu na kufufuliwa kwetu
Yaarab tujaghalie mwisho ulomwema na tuwe ni wenye kutenda yaliyo mema
*Amiiin*
Ameen
Ameen.
May Allah guide us and grant us goodness here in this world and here after
Amiin
Aaamin dhumma aamin.
Amiin
Alhamdulilah nimezaliwa katika uislam Allah atuwezeshe tuwe katika mazingatio ya dini yake. Atupokee katika pepo zake. 🤲 Atupe mwisho mwema
Amiiiin InshaaAllah 🤲🤲🤲 Ya Allah Tujaalie stareh Yetu kubwa iwe ni Kuipenda Qur'aan 📿📿
Oh. Cool to. Cool cool. Cc cc. Cc. Cool. B. Be. Be. B.
Ameen🤲
Amin🤲🏾
Allah awalipe kheir msomaji na alie tafsiri kwa kazi nzuri. Tunapata elimu kwa wepesi alhamdulillah
Amiin yaraby
Allahu Akbar...hakika uislam ni dini ya kwel na ya haqqi...Allah tunaomba utufishe tukiwa radhi na wew
Ameen.
Malio
Masha Allah bless God for all those things he did
Aameen yarabi
Amiin
Mashaallah EWEMWENYEZIMUNGU namm Nijalie Kusoma Qur ani ishaallah
In shaa Allah
Jitihada wajadaaa
Allah tujalie mwisho mwema😥😓🤲
Ameen
Kuruan
Nilizitaft xn hiz mashaallah
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Allahu akbar biyyadiqa kheri shukran Yaaa rabby kwa kuzaliwaa katika mishipa ya kislaam tupe hussni khatma amini amini ya rabby
Amin kwa waislam wote
Mwenyezi mungu awafungulie milango ya pepo🙏🙏
Ameen
Aamin ya Rabbi
Aameen yarabi
Ameen kwa wote
Amen... yaraby...🙏🙏
Ya Allah twakuomba tujalie kheri inayokuridhisha inshaallah
Alhamdulilah, bado tunazidi kufaidika na ilmu hii ya kur an na tafsiri yake.
ALLAH awazidishie nyote alosoma qur an na alotafsiri pia. Na awafanyie wepesi wa mambo yenu. Aameen.
Ooo love 💕 too c
Allah is all every thing🙏🙏🙏🙏🙏
Allah akulipe kwa tafsili na usomaji wa Quran Aimi
Amen kwa wote
Ameen ya rabb
MashaAllah ya Allah tujaliye tuwe miongoni mwa wenye kutenda mema
Tupe mwisho mwema
Yaa Allah tusamehe tunapo koseya
Yaa Allah tupe janah fildaus ❤
L9M
Mashaallah uisilamu ndio ilio kamilika
MashaAllah jazaka laah kheri asiye ukubali wislam hakika ameangamia vikubwa🔥
mashaalllah. mungu atuongoze katika njia iliyo nyooka
Mwenyenzi mungu nimukubwa
Than anything else
Amin
Mashaallah sheikh wetu Allah akupe kila lenye kheir na we
Ameen.
Manshalla mungu akufungulie milango ya pepo.
@@aminiomary7445 amiina
Amiiin
AMEEN
Assalam alaykum mzee wangu Ali Muhsin Al Barwan Allah akulipe kila la kheri kwa kutupa tafsiri safi katika kitabu chetu cha Qur'an Allah akulaze mahali pema peponi huko uliko amin
Ameen thuma Ameen
Amin yarrab
Amiin in shaallah
Ameen thuma ameen
Ameen
Alihamdulilah kwa tafsiri nzuri.
Mwenyezi Muungu atawalipa.
Alihamdulilah I am so proud to be Muslim alihamdulilah
Shukran kwakuzidi kutuilimisha mwenyezimungu atawajazi kheri inshallah 🙏 ♥
Mashallah hakika uislm ni dini iliotukuka nayenye raha ndani ya moyo
Mashaallah mwenyezi mungu awajalie mhendeleze hivihivi
Allah naomb utujalie mwisho mwema amiin
Mashallah mja wa Mungu Mungu akupe mwisho mwema na sie tunavyo kusikiliza Amen
Yarrab nijaalie kujua kusoma QURAN amiiyn
Jitahid Inshaallah utajua
Alhamdullilah kuzaliwa muislam
Amiina rabir alamiina ALLAH atufanyie wepe katika kui-marisha Deen yetu .
Ameen
Ameen
Allah Akbar. Mependa msomaji na tafsiri yake
ALLHA S.W AWALIPE MALIPO YALIYOMEMA WOTE WALIOSHIRIKI JUU YA KUTUWEKEA KWENYE MTANDAO HII QUR AN
Nasie tunavyo sikia à tulipe mema
mashallah ewe mola tujalie minalladhina yastamiuna qaula ahsan faya tthabiuna ahasna
Ameen
@@tafsiriyaqurantukufukwakis966 allow download
Ameeeeeeeen Ya-Rabb🤲🤲🤲🤲
Mashhalaah
I love you Allah ❤️
Mashaallah tabarakallah,mola awajazie kila jema duniani na akhera ,awajazie rehma na neema zilizo njema
Lllllllllllllllllllpllllllllllllpllllllllllllplllllllllllll.lllllolllllllpllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllplllpllplllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllllllllollollllloollollllpolllollllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllollllllllllllolllllllllllllllplllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllllllplllllllllllllpllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllplllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllpllollllllllpllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllopllllllllllllllllllllllllpllllllllllllllllllllollllllllllllllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllplllllllllllllllllllllllllllloll
Llllllllllpllllllllllllllllllplllllllllllllllllllllllllllllllllllllllollll lllllllllllllllllollllllllllplllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllolllollloollllllllllllllllllllllllllllllllllllpolllllllllllllll lllllllllllollllllll llllllolllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllplllplllllllooll olllllllllllllllllllllllooll
Lllllllllllllllllllllllllllplllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllollollllllllllllllllllllllllllllollollllllllllllllllllllllloolllllllllllllllpllllllllllllllllllllllllllllllllll lllllllll lolllllllllplllllllllllllllll lolllllollllllllllll llollllllllolllllllllllllllllolll llllllllllllllllllllllll
Llllllllllllllpllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllollllllllllllllllllllllolollllllllllllllllllllllllllllllllllllllolllolllllpllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllloll lllolll
Lllllllllllllllllllllllllllplllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllollollllllllllllllllllllllllllllollollllllllllllllllllllllloolllllllllllllllpllllllllllllllllllllllllllllllllll llllllllolllllllllll
Lllllllllllllll llll LL lll lllllll ok l LL llllll LL llllllll LL llllllll look lllllllllllllllllll a lllllllllllllll ollplllllllllllll LL lllllll look llllllllollllllllllllllllllllllllllllllllllllll ll llllllllll LL llllllllollllllllllllllllllllllllllllllllllllll llllllllllllllolllllllllllllloolllolllplllllllll LL lollll LL llllllll LL llllllllll LL llllllllll lpllllllllllllllllll pp llllllllll l LL lllllllllllllo LL lllll
Mashallah ALLAH barik
Welcome
Thanx
Subhanallah hakika ALLAH ametakasika yeye pekee kwa utukufu wake mkuu na ni mwenye huruma nyingi
Allah huakbar
@@yasminambogo8811 Allahu Akbar kabira, walhamdulillah kathira wa subhanallah bukratan aaswilah
subhanallah
Mashallalh
ALLAH atujalie mwisho mwema 🤲 InshaAllah ❤
Ma sha Allah inapendaza sna Allah akulipe kher kwa kutupatia elimu hii maana tuckiliza na kufaham maana ya kila neno ni faida zaid
Allah awalipeni hkeri naawaingize janatu
@@ramadhanisururamadhanisuru3215 Ameen
Mashall eeh mwenyezimung tuongeze tupe mwisho mwema pia mwenyezimung akulipe kher uwe na mwisho mwem
Mashallah jazakallahu kheri Allah (S.W.) akulipe kila la kheri
We nhbjnvchunjhgbjjfubvcug
Mashallah shekh Allah akujalie mema
Ameen
Asante sana kwa kutafili haya hii, na asante kwa msomaji wa aya hii 🙏🙏
In Sha Allah Mola Azifanye juhudi zetu zilekee kunako Mfurahisha Ameen
Ameen.
Tafsiri ya Quran Tukufu Kwa Kiswahili Kwa Sauti suratir mum tahina
Amiiin
Amiin yaraby
Mashaalaah mungu ni mwema xana
Im Christian but i love this mafundisho
Mashaallah nice
Convert from christian to Muslim it will help you because umesikia suratul bakarah imetaja wakiristo ni makafiri maana mungu amekasirikia makafiri
My friend that's nothing good in Quran it's all about Hatred, Muhammad say when you meet Christian and Jewish on the street push them to sewage spit in their face Kill them, they are filthy people Muhammad call them pigs, monkey s, donkey, the enemy of Allah, if you read Quran and Hadith you will be confused and ask many questions to ask so many mistake you can never compare the Bible to Quran Allah accept killing but God reject Killing
Convert to islam
Quran ipo tofauti na inavyo tafsiriwa na wasio kuwa waisilamu uzuri Mungu amekujaalia kupata nafasi na kuiskiliza Mungu akujalie kheri 😊
Yesu ni njia ya kweli mbarikiwe wasomaji
Yesu ni mtume kama mitume waliopita yesu akupeleki popote ....
Yesu ni mtume ila mtume Muhammad (SAW) ndio kiongozi wa mitume wote na Quran ni kitabu cha haki
Hujakosea naabii Issa ndo njia pekee yakukuongoza
Huyu shekhe nampenda sana.usomaji wake mungu amuhifadhi na shari za dunia🤲🤲🤲
Manshaallah kikweli kama kuelewa nimeelewa naipenda sana dini yangu najivunia sana ku zaliwa kwenye dini ya wiislam 🙏🙏🙏
Hakika uislam ndio njia ya kweli tujitahidi kumuomba (Mwenyenzimungu) atuongozee ktkt njia iliyo nyookaa
May Allah pays u for the transilation wengi wetu tunasikiliza quran pasipo na tafsir. .
Mashaallah thanx
Najivunia kuwa muislam ❤️ Yallab tujalie mwisho mwema 🤲
Masha Allah shukran sana
Kuna watu wamedislike kwa kweli wamenikera mmno na kama tunakutana basi tunapigana kwa panga
Jazzakallah kheri. Allah awaongoze kama mlivyotuongoza sisi.
Aaamin
Mashaallah
Allh nijalie niwe mwenyekuisoma na kuisikiliza quran tukufu
Mungu atupe wepesi tuwe miungoni mwa watendawema na kushauli wengne wafuate maelekezo ya mwenzimungu
Jazaka llah heli ALLAH nifanyie wepesi nami nishike mafundisho lnshaAllah
Ameen.
KS.
Hasina ndo fanya juhudi kwni bila juhudi kufanya kazi bure
Mashaallah!!!
bismillah mashaallah
Mashaallah mashaallah Nice welcome
May Allah bless the ummah of Muhammad swalla lwahu alahi wassallam I love this surah bcs the recitation is so beautiful and the meaning mashallah may Allah grant us jannah
Mashaallah
Amiin
This sheikhe insha ALLAH may ALLAH grant Firdau insha ALLAH
Amen amen amen
Big of Allah 🙏
Allaah akupeumri mrefu shekhe