Hapana baba yangu ndio mwanaume wa kwanza kunipenda na hakuna mwanaume atakuja kunipenda kama baba yangu so huwezi kuwa mwanaume ambae nimekutana nae ukubwani halafu utake wewe nafasi ya baba yangu hii hapana kuna baadhi wanasema men come and go na ni kweli so huwezi mpa nafasi ya baba mwanaume tena ambae umekutana nae ukubwani
Yaani wewe mungu akusamehe kwa kuwadhalilisha wanawake zako .Wanalia mtandaoni kwa ajili yako
Powerful mind
Mashaa Allah point kabisa sheikh
Wanaume mnataka mfanye halafu sisi hatufanye 😢😢
Asante sana
Waooow
Safi
Hakuna mwanamke anaependa maisha mabaya for being classy is not bad 🤷🏽♀️, if you’re not rich you can’t marry a classy lady
Fact kabisa
Yani hii point yakwanza nakuunga mkono
Tupe tupe maana kuna watoto wa baba sana
Tuko pamoja
DAWA ZA MVUTO MKUBWA
m.th-cam.com/video/hon5Qs2D0zM/w-d-xo.html
Hapa pagumu
Hii Diva amewatch kweli?? Especially the third part ya mwanamke classy 🤔🤔🤔
Kwani utaeza kumwamini mwanaume kuliko baba yako?
Hapana baba yangu ndio mwanaume wa kwanza kunipenda na hakuna mwanaume atakuja kunipenda kama baba yangu so huwezi kuwa mwanaume ambae nimekutana nae ukubwani halafu utake wewe nafasi ya baba yangu hii hapana kuna baadhi wanasema men come and go na ni kweli so huwezi mpa nafasi ya baba mwanaume tena ambae umekutana nae ukubwani