MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2023
- MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU Ingia kwenye simu yako📲NAMBA YA KAMPUNI 553111 KUMB NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1000 Utapata ujumbe wa USHINDI
Mmeanza Utapeli nanyinyi sio
Ila halusha bangesana tuwaombee
No
Mungu itazame tanzania kwa macho ya huruma. Kila kitu kimeharibika, sio maadili, sio siasa . Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?.
Mungu uliye hai watazame tena vijana wako na warejee nyumbani mwako kwa maana wewe ni upendo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢
Huu ugonjwa unaolelewa ar ni tatizo sana
Safi kabisa. Umeongea vizuri Mungu ailaze inapostahili sisi wanadamu hatujui roho ya mtu inaenda wapi wala hatuna uwezo wa kumuombea mtu aende mbinguni au jehanamu
Baadhi yenu hapa mnaeza sema ni bangi 🤔 but sy kwel boda boda wa Arusha wakogo na kalove flani hv na kaheshima flan hv wanako onyeshaga pindi mwenzao anapofariki so hii sy bangi sy vurugu it's love❤❤❤🙌 FOR THE LOVE OF ARUSHA rest in paradise😢😢
Dah! Mungu awasaidie sana
🤣🤣ao machalii ni kwele ..ARUSHA ni nchi ndani ya nchi vijana waapo Wana life stail yao Wana kiswahili Chao Wana swagazao zakihuni
Kwere sio kwele jomba
Ni kweli apumzike kwa amani huyu kijana! Ila serikali inapaswa kuangalia kwa jicho la tatu hawa vijana! Naiona hatari iliyoko mbele yetu! Na ubaya wanasema Cha Arusha kina nguvu
Arusha wamenishinda tabia😃
Poleni sana ndg zangu pole sana
Hiki kitu kinaonekana kama ni umaarufu lkn baadae watu watakuja kulia na kuomboleza ukweli nikwamba ujana unamambo yake lkn sio hayo huo ni zaidi ya uhuni wanaofanya vijana, na simaanishi alichofanyiwa huyo kijana mpaka kupata umauti kuwa ni sawa ila namaanisha hiyo lifestyle ya vijana wa kwetu Arusha sio nzuri ni hatari kabisa tusichekelee, Mungu awasaidie wabadilike
Mungu amlaze anapoona panastaili ,,mwandishii wewee!!
Arusha sio Tz nakupenda 😅😅😅
Noma Sana😀😀
Pombe bangi,, noma sana Allah atuongoze
Allah Anasema usihukumu mtu usiyemjua,Arusha Kwa Usiokaaa A-city Utasema Machalii wanakula Hizo vitu Umeandika lakini hamna....
Jaman vijana wetu Mungu wasaidie
Da! Hatari sana, nchi ina maadili, najua, tuanze na hawa
Serekali inajua Arusha ni mkoa unao jitegemea
Nimatahila sana hawa tukiachana na mambo ya msiba ilakwa mwendohuu miaka miwili mbele arusha itakua na matahila wengi tanzania
Najivunia CHUGA its ma motherland 🌴😆😉
mungu amlaze mahala pemapema ameena
Eti wadudu😂😂ila machalii wanakula bangi kali sana
😂😂😂 nafikili huko ndio unalimwa
Nimeipenda hii ya mtangazaji mungu amuweke anapoona panastahili💯👆🤣
tatizo wengi ni washamba hudhania uhuni ni sehemu ya maisha yao na ujinga ujinga
Inasikitisha sana serikali inalea mambo kama haya, jeh tumewahi kujiuliza baada ya muda kizazi kinachotegemewa ambacho ndio vijana itakuwaje hasa ukizingatia swala zima la amani na namna ya kufuata sheria za nchi, maana naamini uhuru unamipaka. Kuna haja ya elimu kutolewa na hatua kubwa kuchukuliwa kuanzia ngazi ya familia hadi serikalini
Yaani Ni Arusha mtu ananyonga bangi bila kwere
It's another Nation in Tanzania
Og machalii
Napenda xana sun rise jaman 🔥🔥👊
Duuuuu😊😊😊😊😊😊
Huyu rais mpole sana
Polen Sana Wana chuga
Duh!
Itabidi serikal iwaangalie awa vijana mna uhuru umepitiliza sana..Wamekua wahuni sana wanaweza kufanya matukio ya ajabu kama kukaba kubaka nk.
Nadhani ni hicho cha Arusha wanalima mpaka uwani, wanatisha kama ( ALSHABAB WA TANZANIA)
@@ummySheikh72 Kwel kabsa ndugu
Hawa hawaibi wala kubaka ni maderva wa Toyo na wana madem wao hawabaki
Abake nan ndicho hicho tu kipo kichwan KWAKO fyuuuuuu
Mawazo yako ya kiwaki
Mtu anaitwa mdudu jmn nyie jhaa😂marehem pumzika kwa aman 🙏
Mi sijaelewa hata Neno mojaa uwiiiii
Hahahahaaaa, nimependa iyo buti huyo mbanga kapigwa ya mbavu?
Wako karibu na milaaa
Eti Mungu Ailaze Roho Ya marehemu anapoona panastahili ,Daah mwandishi Hapo umewaza nini?????😊😊😊😊😊😊
Wadudu ngaaaa hahahahaaa hii ni nomaaa
Rc makonda aanze nao aisee tanzania haiwezi kwenda hivi hapana.! Sio maadili kabisa
Hawa sio wadudu wadudu wanao respect sn hawa wame vamia tuu
Mungu ikomboe Arusha asa hizo rebon kajipamba yeye ndio marehemu?😭😭😭
🤣🤣🤣 ni masikitiko
😢😢😢 wanamuezi.marehem
Arusha lnahitaji nguvu ya ziada ya serikali na Jamie itoe ushirikiano ni wadogo ukiwaangalia
washadanja tayari na wao
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kizazi kwisha hapo
Mungu atunusuru na vizazi vyetu
Mm naona wapunguze bange hau Selekali wafutilie bange Zisiwe kuunzwa
Duuu wadudu ndani ya arusha
Republic of Arusha
Jamaaa kala kofi
ARUSHA INATAKIWA IWE KANDA MAALUM YA KIPOLISI NA KIUSALAMA. INAONEKANA BODABODA INATAKA KUWA CHAKA AU GENGE LA WAVUTA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA. KUNA SIKU HAO VIJANA WATATUMIKA VIBAYA NA ITAKUWA HATARI!
Uku kwakweri sio kuzuri😂😂😂😂😂
Chuga sio kuzuri ni kuzuri sanaa
Arusha changamoto sana watoto wetu nitatizo sana
Hawana shida wamepat maumivu ya wenzao
Kwan Kuna mwandishi mbumbumbu
Jamani apo ni tz kweli.mbona sielewi
Anapoona bana estahili😅😅😅😂😂😂
mtiani sanà
R.I.P 😢
Mmhh Arusha nae
Najivunia kuwa mtu wa Arusha
😂poleee
Kuna jamaa kalamba teke latumbo apo aisee machali yachuga nomaa
Love Arusha ❤❤❤😂😂😂
Hahahahaha Tangu lini machalii wafunge barabara ,wkt cyo Yao
inabidi wapigwe risasi kufuta kizazi hicho
Najivunia Saana Kutoka Kaskazini....
N vile nafeel iyo pain aloh😢
Hili ni TIME BOMB kwa taifa letu😢😢😢😢😢Serikali ipo???
Mungu awe msaada.?
Hawa macharii wakikutana na PANYA road wa dar ni kwilikwichi
Duuuu😂
Huwa sitaman kabisa kuishi huu mji dah
Cha Arusha kimepamba moto! Hatari hawa vijana
Mimi nafikiri ifike mahala sasa serikali yetu iwe na jicho la kuona mbali hapa tunazalisha vijana wa aina gani jmn,tukumbuke kuna watu wanalea familia zao wazazi wao na wengine kusomesha pia sasa hawa wapuuzi wachache wanafanya madereva wa pikipiki waonekane sio waungwana angali sio kweli! Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama tunaomba mtazame hili, naomba kuwasilisha.
Iko sawa maana kiukweli hawa wame zingua sana
hiyo kiswahili sasa ndio utapenda......
Moja nambili hajaacha hata mtoto aisee😂😂
Hapo kwa Rc makonda watapona kichaaa😂😂
jamani kamani😅😅😅😅😅
Ni mbaya enyewe ...akileta fedheha anafutwa tuu
Wadudu wa arusha jamani msiipeleke watoto wenu arusha ni pa kufanyia maombi dogoo kapumnzika mazima
Serikali isipoangalia kwa ukaribu itavuna mabua ..
Fainali uzeeni !! Ujana maji ya moto !! Vijana wanajisahau kwamba nguvu nyingi walizonazo wanazitumia kujiangamiza wenyewe na sio kujiendeleza !! Hao vijana bado ni wadogo mno na kasi waliyonayo sio salama kabisa !! Mungu tuu mwenyewe akiokoe kizazi hiki ambacho hakina dalili ya kudumu bali kuangamia !!
Ongeza saut mtangazaji
Duuu
Kweli hawa wadudu
😂😂😂😂
Wapiga kura wa mama samia hao....Sasa hapo bandari ya nini?
BODA WA AINA HII ASE, MBONA TUNAKWENDA KASI SANA MAZEE.
Udereva wa hovyo tunajua mnavyoendeshaga mkituka au kwenda kuzika
Accheni viredio kama ingekuwa tunaharibikiwa mbn mnataman kuwaleta watoto wenu ILBORU na KISIMIRI waje wachukuwe material??????
Kisimiri plantation
Baada ya miaka kadhaa sipati picha hawa watakuwa ni wazee wa aina gani
Serikali ina walea tu
Ni machule
Nimemuona mmoja kanyoa àlama ya kuuliza?jaman wadudu
Arusha😂😂😂🙌
Mtakufa muishe kbsa
Niko Chuga ila kuna muda naogopa asee 🤣🤣🤣🤣awa jamaa kwanza ukikutana nao ili uwahi mzozo kuumaliza wee uwe na chenchi zao ...yaaan we uwe na 2000 ya silver watupie apo asee utaitwa boss na utasindikizwa umbali wowote ule usiku wamanane other wise utaita maji mma
Yaani hawa 🤣🤣🤣
Ar is another country
Dadeki Hadi raha hiy vurugu
Sasa hao wavuta bangi unapanda bodaboda yao kweli kuna usalama hapo?
Inaonekana vijana wengi Arusha wanatumia mmea vibaya Kwa hari hii niliyoiona inaonyesha akina Dangote hawawez kupotea...ila yote na yote poleni kwa msiba wa dereva mwenzenu..!!?
apumzike kwa amani mameni ken
hee Arusha imebadirika