MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2023
  • MACHALII wa ARUSHA WADUDU WAFUNGA BARABARA, WAPIGA WATU WAKIENDA KUMZIKA MWENZAO...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 258

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 หลายเดือนก่อน +2

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU Ingia kwenye simu yako📲NAMBA YA KAMPUNI 553111 KUMB NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1000 Utapata ujumbe wa USHINDI

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 11 หลายเดือนก่อน +16

    Mungu itazame tanzania kwa macho ya huruma. Kila kitu kimeharibika, sio maadili, sio siasa . Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?.

  • @89_Media
    @89_Media 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu uliye hai watazame tena vijana wako na warejee nyumbani mwako kwa maana wewe ni upendo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 11 หลายเดือนก่อน +8

    Huu ugonjwa unaolelewa ar ni tatizo sana

  • @Wamimedia
    @Wamimedia 6 หลายเดือนก่อน

    Safi kabisa. Umeongea vizuri Mungu ailaze inapostahili sisi wanadamu hatujui roho ya mtu inaenda wapi wala hatuna uwezo wa kumuombea mtu aende mbinguni au jehanamu

  • @blackeagle4441
    @blackeagle4441 10 หลายเดือนก่อน +2

    Baadhi yenu hapa mnaeza sema ni bangi 🤔 but sy kwel boda boda wa Arusha wakogo na kalove flani hv na kaheshima flan hv wanako onyeshaga pindi mwenzao anapofariki so hii sy bangi sy vurugu it's love❤❤❤🙌 FOR THE LOVE OF ARUSHA rest in paradise😢😢

  • @consomatogaudence136
    @consomatogaudence136 หลายเดือนก่อน

    Dah! Mungu awasaidie sana

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 11 หลายเดือนก่อน +13

    🤣🤣ao machalii ni kwele ..ARUSHA ni nchi ndani ya nchi vijana waapo Wana life stail yao Wana kiswahili Chao Wana swagazao zakihuni

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 11 หลายเดือนก่อน +7

    Ni kweli apumzike kwa amani huyu kijana! Ila serikali inapaswa kuangalia kwa jicho la tatu hawa vijana! Naiona hatari iliyoko mbele yetu! Na ubaya wanasema Cha Arusha kina nguvu

  • @Maconcepty
    @Maconcepty 11 หลายเดือนก่อน +5

    Arusha wamenishinda tabia😃

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 11 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana ndg zangu pole sana

  • @nicksonthomas5429
    @nicksonthomas5429 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hiki kitu kinaonekana kama ni umaarufu lkn baadae watu watakuja kulia na kuomboleza ukweli nikwamba ujana unamambo yake lkn sio hayo huo ni zaidi ya uhuni wanaofanya vijana, na simaanishi alichofanyiwa huyo kijana mpaka kupata umauti kuwa ni sawa ila namaanisha hiyo lifestyle ya vijana wa kwetu Arusha sio nzuri ni hatari kabisa tusichekelee, Mungu awasaidie wabadilike

  • @Jicho03
    @Jicho03 หลายเดือนก่อน

    Mungu amlaze anapoona panastaili ,,mwandishii wewee!!

  • @ggfffhii4706
    @ggfffhii4706 11 หลายเดือนก่อน +4

    Arusha sio Tz nakupenda 😅😅😅

  • @AlphaNdossi-on4os
    @AlphaNdossi-on4os 10 หลายเดือนก่อน

    Noma Sana😀😀

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 11 หลายเดือนก่อน +1

    Pombe bangi,, noma sana Allah atuongoze

    • @omyhaby1912
      @omyhaby1912 2 หลายเดือนก่อน

      Allah Anasema usihukumu mtu usiyemjua,Arusha Kwa Usiokaaa A-city Utasema Machalii wanakula Hizo vitu Umeandika lakini hamna....

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 11 หลายเดือนก่อน

    Jaman vijana wetu Mungu wasaidie

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy 11 หลายเดือนก่อน +1

    Da! Hatari sana, nchi ina maadili, najua, tuanze na hawa

    • @Paplick9
      @Paplick9 10 หลายเดือนก่อน

      Serekali inajua Arusha ni mkoa unao jitegemea

  • @zaujatnoah-ro6uj
    @zaujatnoah-ro6uj 10 หลายเดือนก่อน

    Nimatahila sana hawa tukiachana na mambo ya msiba ilakwa mwendohuu miaka miwili mbele arusha itakua na matahila wengi tanzania

  • @EdgarLema-qi9or
    @EdgarLema-qi9or 11 หลายเดือนก่อน

    Najivunia CHUGA its ma motherland 🌴😆😉

  • @JumaKilowoko-ie1kz
    @JumaKilowoko-ie1kz 9 หลายเดือนก่อน

    mungu amlaze mahala pemapema ameena

  • @emazjassam2452
    @emazjassam2452 11 หลายเดือนก่อน +2

    Eti wadudu😂😂ila machalii wanakula bangi kali sana

    • @zawadijuma9681
      @zawadijuma9681 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 nafikili huko ndio unalimwa

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nimeipenda hii ya mtangazaji mungu amuweke anapoona panastahili💯👆🤣

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 11 หลายเดือนก่อน +1

    tatizo wengi ni washamba hudhania uhuni ni sehemu ya maisha yao na ujinga ujinga

  • @jejophotofilmtz8057
    @jejophotofilmtz8057 11 หลายเดือนก่อน +16

    Inasikitisha sana serikali inalea mambo kama haya, jeh tumewahi kujiuliza baada ya muda kizazi kinachotegemewa ambacho ndio vijana itakuwaje hasa ukizingatia swala zima la amani na namna ya kufuata sheria za nchi, maana naamini uhuru unamipaka. Kuna haja ya elimu kutolewa na hatua kubwa kuchukuliwa kuanzia ngazi ya familia hadi serikalini

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 11 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani Ni Arusha mtu ananyonga bangi bila kwere
    It's another Nation in Tanzania
    Og machalii

  • @aminaathuman8146
    @aminaathuman8146 8 หลายเดือนก่อน

    Napenda xana sun rise jaman 🔥🔥👊

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 11 หลายเดือนก่อน

    Duuuuu😊😊😊😊😊😊

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 11 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu rais mpole sana

  • @samwelsamson4135
    @samwelsamson4135 10 หลายเดือนก่อน

    Polen Sana Wana chuga

  • @musicworldwide2625
    @musicworldwide2625 11 หลายเดือนก่อน

    Duh!

  • @saidiabdul1635
    @saidiabdul1635 11 หลายเดือนก่อน +14

    Itabidi serikal iwaangalie awa vijana mna uhuru umepitiliza sana..Wamekua wahuni sana wanaweza kufanya matukio ya ajabu kama kukaba kubaka nk.

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 11 หลายเดือนก่อน

      Nadhani ni hicho cha Arusha wanalima mpaka uwani, wanatisha kama ( ALSHABAB WA TANZANIA)

    • @saidiabdul1635
      @saidiabdul1635 11 หลายเดือนก่อน

      @@ummySheikh72 Kwel kabsa ndugu

    • @abuutamliikhaothmaan7244
      @abuutamliikhaothmaan7244 11 หลายเดือนก่อน +1

      Hawa hawaibi wala kubaka ni maderva wa Toyo na wana madem wao hawabaki

    • @Estherbongo
      @Estherbongo 11 หลายเดือนก่อน

      Abake nan ndicho hicho tu kipo kichwan KWAKO fyuuuuuu

    • @samsont.albini5998
      @samsont.albini5998 10 หลายเดือนก่อน

      Mawazo yako ya kiwaki

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu anaitwa mdudu jmn nyie jhaa😂marehem pumzika kwa aman 🙏

  • @hildadaniel4892
    @hildadaniel4892 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mi sijaelewa hata Neno mojaa uwiiiii

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hahahahaaaa, nimependa iyo buti huyo mbanga kapigwa ya mbavu?

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 11 หลายเดือนก่อน

    Wako karibu na milaaa

  • @talents7934
    @talents7934 7 หลายเดือนก่อน

    Eti Mungu Ailaze Roho Ya marehemu anapoona panastahili ,Daah mwandishi Hapo umewaza nini?????😊😊😊😊😊😊

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 10 หลายเดือนก่อน

    Wadudu ngaaaa hahahahaaa hii ni nomaaa

  • @mbachoclassic7818
    @mbachoclassic7818 หลายเดือนก่อน

    Rc makonda aanze nao aisee tanzania haiwezi kwenda hivi hapana.! Sio maadili kabisa

  • @elliyawilliam2521
    @elliyawilliam2521 11 หลายเดือนก่อน

    Hawa sio wadudu wadudu wanao respect sn hawa wame vamia tuu

  • @monicambuya-sq9ms
    @monicambuya-sq9ms 11 หลายเดือนก่อน +12

    Mungu ikomboe Arusha asa hizo rebon kajipamba yeye ndio marehemu?😭😭😭

    • @zakhiamsuya4922
      @zakhiamsuya4922 11 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣 ni masikitiko

    • @yasmeenaal4191
      @yasmeenaal4191 11 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢 wanamuezi.marehem

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 11 หลายเดือนก่อน +1

      Arusha lnahitaji nguvu ya ziada ya serikali na Jamie itoe ushirikiano ni wadogo ukiwaangalia

    • @hildpaul7823
      @hildpaul7823 11 หลายเดือนก่อน

      washadanja tayari na wao

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 11 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 11 หลายเดือนก่อน

    Kizazi kwisha hapo

  • @elividakasari1356
    @elividakasari1356 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu atunusuru na vizazi vyetu

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op 11 หลายเดือนก่อน

      Mm naona wapunguze bange hau Selekali wafutilie bange Zisiwe kuunzwa

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 11 หลายเดือนก่อน

    Duuu wadudu ndani ya arusha

  • @user-nv2xr4np2b
    @user-nv2xr4np2b 9 หลายเดือนก่อน

    Republic of Arusha

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 10 หลายเดือนก่อน

    Jamaaa kala kofi

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 11 หลายเดือนก่อน +6

    ARUSHA INATAKIWA IWE KANDA MAALUM YA KIPOLISI NA KIUSALAMA. INAONEKANA BODABODA INATAKA KUWA CHAKA AU GENGE LA WAVUTA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA. KUNA SIKU HAO VIJANA WATATUMIKA VIBAYA NA ITAKUWA HATARI!

  • @jogoolajiji2499
    @jogoolajiji2499 11 หลายเดือนก่อน +4

    Uku kwakweri sio kuzuri😂😂😂😂😂

    • @Enzo-cp
      @Enzo-cp 11 หลายเดือนก่อน

      Chuga sio kuzuri ni kuzuri sanaa

  • @leinaamos
    @leinaamos 10 หลายเดือนก่อน

    Arusha changamoto sana watoto wetu nitatizo sana

  • @impokisanga9636
    @impokisanga9636 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hawana shida wamepat maumivu ya wenzao

  • @kelvinkasanga1235
    @kelvinkasanga1235 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kwan Kuna mwandishi mbumbumbu

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 11 หลายเดือนก่อน

    Jamani apo ni tz kweli.mbona sielewi

  • @IranezezaSamuel
    @IranezezaSamuel 2 หลายเดือนก่อน

    Anapoona bana estahili😅😅😅😂😂😂

  • @user-qw9nc6zk9q
    @user-qw9nc6zk9q 6 หลายเดือนก่อน

    mtiani sanà

  • @kelvinbaraka4610
    @kelvinbaraka4610 11 หลายเดือนก่อน +1

    R.I.P 😢

  • @user-en2xn2dd5x
    @user-en2xn2dd5x 11 หลายเดือนก่อน

    Mmhh Arusha nae

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 11 หลายเดือนก่อน +3

    Najivunia kuwa mtu wa Arusha

    • @credo7837
      @credo7837 หลายเดือนก่อน

      😂poleee

  • @sistimasawe5936
    @sistimasawe5936 10 หลายเดือนก่อน

    Kuna jamaa kalamba teke latumbo apo aisee machali yachuga nomaa

  • @ggfffhii4706
    @ggfffhii4706 11 หลายเดือนก่อน +2

    Love Arusha ❤❤❤😂😂😂

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 10 หลายเดือนก่อน

    Hahahahaha Tangu lini machalii wafunge barabara ,wkt cyo Yao

  • @AshrafuJonny-sz4gs
    @AshrafuJonny-sz4gs หลายเดือนก่อน

    inabidi wapigwe risasi kufuta kizazi hicho

  • @omyhaby1912
    @omyhaby1912 2 หลายเดือนก่อน

    Najivunia Saana Kutoka Kaskazini....

  • @ElishaErnest-xd9qt
    @ElishaErnest-xd9qt 10 หลายเดือนก่อน

    N vile nafeel iyo pain aloh😢

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 10 หลายเดือนก่อน

    Hili ni TIME BOMB kwa taifa letu😢😢😢😢😢Serikali ipo???

  • @StevenLoita-rl9cx
    @StevenLoita-rl9cx 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu awe msaada.?

  • @user-zy2vg6kl1s
    @user-zy2vg6kl1s 10 หลายเดือนก่อน

    Hawa macharii wakikutana na PANYA road wa dar ni kwilikwichi

  • @aliemdogo
    @aliemdogo 11 หลายเดือนก่อน +1

    Duuuu😂

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 11 หลายเดือนก่อน

    Huwa sitaman kabisa kuishi huu mji dah

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 11 หลายเดือนก่อน

    Cha Arusha kimepamba moto! Hatari hawa vijana

  • @ezekielmollel-rv1ge
    @ezekielmollel-rv1ge 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi nafikiri ifike mahala sasa serikali yetu iwe na jicho la kuona mbali hapa tunazalisha vijana wa aina gani jmn,tukumbuke kuna watu wanalea familia zao wazazi wao na wengine kusomesha pia sasa hawa wapuuzi wachache wanafanya madereva wa pikipiki waonekane sio waungwana angali sio kweli! Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama tunaomba mtazame hili, naomba kuwasilisha.

    • @elliyawilliam2521
      @elliyawilliam2521 11 หลายเดือนก่อน

      Iko sawa maana kiukweli hawa wame zingua sana

  • @user-yo8rk6qn3p
    @user-yo8rk6qn3p 11 หลายเดือนก่อน

    hiyo kiswahili sasa ndio utapenda......

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 11 หลายเดือนก่อน +1

    Moja nambili hajaacha hata mtoto aisee😂😂

  • @dignachami7382
    @dignachami7382 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwa Rc makonda watapona kichaaa😂😂

  • @merryshayo9750
    @merryshayo9750 11 หลายเดือนก่อน

    jamani kamani😅😅😅😅😅

  • @AFYABORATV
    @AFYABORATV 2 หลายเดือนก่อน

    Ni mbaya enyewe ...akileta fedheha anafutwa tuu

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 6 หลายเดือนก่อน

    Wadudu wa arusha jamani msiipeleke watoto wenu arusha ni pa kufanyia maombi dogoo kapumnzika mazima

  • @shilladickson3852
    @shilladickson3852 11 หลายเดือนก่อน +2

    Serikali isipoangalia kwa ukaribu itavuna mabua ..

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 11 หลายเดือนก่อน +4

    Fainali uzeeni !! Ujana maji ya moto !! Vijana wanajisahau kwamba nguvu nyingi walizonazo wanazitumia kujiangamiza wenyewe na sio kujiendeleza !! Hao vijana bado ni wadogo mno na kasi waliyonayo sio salama kabisa !! Mungu tuu mwenyewe akiokoe kizazi hiki ambacho hakina dalili ya kudumu bali kuangamia !!

  • @dannyboytz6198
    @dannyboytz6198 6 หลายเดือนก่อน

    Ongeza saut mtangazaji

  • @adamonesmo2253
    @adamonesmo2253 11 หลายเดือนก่อน

    Duuu

  • @user-cm9lm4mj7v
    @user-cm9lm4mj7v 11 หลายเดือนก่อน

    Kweli hawa wadudu

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 10 หลายเดือนก่อน

    Wapiga kura wa mama samia hao....Sasa hapo bandari ya nini?

  • @elicanageorge1319
    @elicanageorge1319 11 หลายเดือนก่อน

    BODA WA AINA HII ASE, MBONA TUNAKWENDA KASI SANA MAZEE.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 9 หลายเดือนก่อน

    Udereva wa hovyo tunajua mnavyoendeshaga mkituka au kwenda kuzika

  • @user-oj7vj6bi5l
    @user-oj7vj6bi5l 11 หลายเดือนก่อน

    Accheni viredio kama ingekuwa tunaharibikiwa mbn mnataman kuwaleta watoto wenu ILBORU na KISIMIRI waje wachukuwe material??????

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 11 หลายเดือนก่อน

    Kisimiri plantation

  • @user-kh5pu1os4k
    @user-kh5pu1os4k 7 หลายเดือนก่อน

    Baada ya miaka kadhaa sipati picha hawa watakuwa ni wazee wa aina gani

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 หลายเดือนก่อน

    Serikali ina walea tu

  • @abdallahsaidi57
    @abdallahsaidi57 11 หลายเดือนก่อน

    Ni machule

  • @user-bo5qp9gz8m
    @user-bo5qp9gz8m 7 หลายเดือนก่อน

    Nimemuona mmoja kanyoa àlama ya kuuliza?jaman wadudu

  • @fridaphilemon8898
    @fridaphilemon8898 11 หลายเดือนก่อน

    Arusha😂😂😂🙌

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 10 หลายเดือนก่อน

    Mtakufa muishe kbsa

  • @yuzzomoro5306
    @yuzzomoro5306 11 หลายเดือนก่อน +1

    Niko Chuga ila kuna muda naogopa asee 🤣🤣🤣🤣awa jamaa kwanza ukikutana nao ili uwahi mzozo kuumaliza wee uwe na chenchi zao ...yaaan we uwe na 2000 ya silver watupie apo asee utaitwa boss na utasindikizwa umbali wowote ule usiku wamanane other wise utaita maji mma

  • @phinaswai4718
    @phinaswai4718 11 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani hawa 🤣🤣🤣

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 11 หลายเดือนก่อน

    Ar is another country

  • @BrunoFaustini-ii5hn
    @BrunoFaustini-ii5hn 9 หลายเดือนก่อน

    Dadeki Hadi raha hiy vurugu

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa hao wavuta bangi unapanda bodaboda yao kweli kuna usalama hapo?

  • @clemenceernestshooga
    @clemenceernestshooga 6 หลายเดือนก่อน

    Inaonekana vijana wengi Arusha wanatumia mmea vibaya Kwa hari hii niliyoiona inaonyesha akina Dangote hawawez kupotea...ila yote na yote poleni kwa msiba wa dereva mwenzenu..!!?

  • @user-wc1vm3qo4s
    @user-wc1vm3qo4s 9 หลายเดือนก่อน

    apumzike kwa amani mameni ken

  • @AnoriasKope
    @AnoriasKope 5 หลายเดือนก่อน

    hee Arusha imebadirika