MSIGWA ATAMBIA REKODI YAKE KUELEKEA UCHAGUZI KANDA YA NYASA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- #jambotv
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Much.Peter Msigwa akieleza vipaumbele Vyake katika Kuelekea uchaguzi wa Kanda hiyo Tareh 29 mwezi huu utakaofanyika Makambako Mkoani Njombe.
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Kaka yngu Mh. Msigwa big up thank you for a very strong reflective, brozen speech. Congratulation
Safi sana, umeongea vizuri
You are great leader master,we thank you for being gifted leader at Iringa.
Amina, ubarikiwe sana
nakuaminia sana COMREDY Msigwa
Good
MSIGWA🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Big Peter musigwa, big brain
Mchukueni msigwa anakipaji cha uongozi
Ila mahali pa kukutaniaa ni muimu sana,
Mchungaji Peter Msigwa ni Kiongozi wa Viongozi.
Kwa Hakika na Kweli Huyu Kamanda Anajua.
Akili yake yake ni Mtu na Nusu.......
Msigwa unatosha maneno yako yanashibisha
Go
Msigwa anapoelekea anataka kuwa kama mbowe kwamba anayetaka cheo chake msaliti aache wapambane na sugu
Kwanini usifananishe ccm anayekuwa Rais awe mwenyekit au hujajuwa kama ni udhaifu umeuona tu Chadema
Kati ya sugu na msigwa Kuna mtu kishakula kitu