RAIS SAMIA AMKABIDHI MAMA MAGUFULI NYUMBA MPYA ILIYOJENGWA NA SERIKALI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 165

  • @LameckCharles-x4j
    @LameckCharles-x4j 7 หลายเดือนก่อน +11

    mama Mungu akubaliki sana Rais wetu

  • @Bihomebuja
    @Bihomebuja 11 หลายเดือนก่อน +10

    For sure I need to learn more about this country. I was born in tz mpanda but I am not Tanzanian unfortunately.
    I pray for this country.
    God save Tanzanians

  • @omwengajoseph4298
    @omwengajoseph4298 6 หลายเดือนก่อน +2

    Rais Samia Suluhu asante sana,your respected your boss former president Magufuli let God bless you so much.

  • @profemmanuelmbennah5599
    @profemmanuelmbennah5599 11 หลายเดือนก่อน +4

    Nimeguswa kwa namna ya kipekee na tendo hili na tukio hili. Asante sana Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan. Mungu aendelee kukubariki na kuibariki nchi yetu.
    Balozi Prof Mbennah

  • @wanzambinya8501
    @wanzambinya8501 6 หลายเดือนก่อน +1

    I am not Tanzanian, but may Almighty God bless u abundantly Prezo mama Samia. Infact in the world world, I loved Dr. John Magufuli with all my heart. Mtetezi wa wanyonge, Zero corruption Man, and above all man of great faith. I pray one day to meet u on the glorious morning, the day of Resurrection.. rest in peace JPM

  • @richardasiimwe3726
    @richardasiimwe3726 7 หลายเดือนก่อน +6

    Tanzania takes care of its people and leaders. Mwalimu Nyerere set the perfect example for the rest of Africa. GOD BLESS Tanzania.

  • @JambojipyaWakubarikiwa
    @JambojipyaWakubarikiwa 11 หลายเดือนก่อน +5

    Ni jambo jema sana kwani hata Magufuli alikabidhi Kikwete nyumba iliyojengwa na serikali safi sana alianza na umeendelea safi sana ❤❤❤❤❤

  • @augustinsafari5699
    @augustinsafari5699 6 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana mama raisi,una roho ya upendo.from Rwanda

  • @SuleyGodwin-eg1fh
    @SuleyGodwin-eg1fh 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akupe maisha marefu Rais wetu mpendwa we love yu

  • @florachogo243
    @florachogo243 11 หลายเดือนก่อน +4

    Asante sana mh Raisi kumkumbuka mpendwa wetu Mgufuli.na Mama yetu Janeth . nimefurahi sana Asante sana ❤❤❤

  • @nyandwijeanbosco8041
    @nyandwijeanbosco8041 6 หลายเดือนก่อน +3

    God is in Tanzania and life starts with u I'm happy to be your neighbor. Rwandan citizens we all know that Tanzania be stars 🌟 of ourselves as Africans.

  • @benterokuom8464
    @benterokuom8464 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Rais wa Tanzania 🇹🇿 you're the best 👌🏽 👍🏾

  • @shaluamagandi2184
    @shaluamagandi2184 11 หลายเดือนก่อน +4

    Ni moyo wa upendo sana. Hongera sana Rais wetu. God bless you.❤❤

  • @maernov4257
    @maernov4257 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mama samia naomba na mm unijengee nyumba nipate kuishi na watoto wangu ❤

  • @Chrisjosiah-xk9ds
    @Chrisjosiah-xk9ds 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Mama Suluhu Hassan, huyo Shujaa aliye aga baada kutumikia nchi tukufu ya Tanzania anastahili kukumbukwa. Asante kwa tendo hili last busara, hongera. Nimebubujikwa na machozi mama asante. Nilimpenda Magufuli na ninamkosa sana.

  • @mungaiwamungai7383
    @mungaiwamungai7383 6 หลายเดือนก่อน

    I just like how things are done in Tanzania....my eyes are tearing to see how good deeds follow them that live to serve even they are dead!!
    This reminded me of the day the Late President Magufuli gave his predecessors ( former Presidents) Peacocks bird.
    Long live my neighbor country.... from 🇰🇪

  • @aliomar5518
    @aliomar5518 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mfano mzuri sana, hongera mama, hongera watanzania wote, baraka Tele idumu

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 11 หลายเดือนก่อน +5

    Mama yangu kipenz umefanya jambo kubwa kuwakumbuka walio tia mchango wao kwa serekali yetu na nchi yetu tanzania daima kaz iendelee

  • @hadharmakame
    @hadharmakame 13 วันที่ผ่านมา

    #mama samamia MUNGU akuweke RAIS WETU❤❤

  • @desderylasway9810
    @desderylasway9810 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera cna mama nimelia cna kwa furaha❤

  • @jackmsuya6842
    @jackmsuya6842 11 หลายเดือนก่อน +6

    Nimekupenda mama❤

  • @KhadijaSaid-vj9kh
    @KhadijaSaid-vj9kh 7 หลายเดือนก่อน

    Mashawah mungu awazidishie upendo mama samia hongera sana

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dah...Mama amefanya kitu Kikubwa sana.Mungu mbariki sana Rais wetu Samia Suluhu Hassan

  • @zissons3696
    @zissons3696 7 หลายเดือนก่อน

    Tz asante kwa mfano mzuri wa maadili mema na huruma kwa Mjane wa makufuli.East Africans hope you are learning sonething from our TZ counterparts

  • @judithdonald2023
    @judithdonald2023 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana raisi wetu mungu akubariki na mungu akakusimamie kwa Kila unachokifanya kwa ajili ya watanzania mpaka nimesikia mwili kusisimuka mama una upendo sana

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 11 หลายเดือนก่อน

    Maashaallah Mungu akuzidishie upendo na hekima raisi wetu, mama yetu mlezi

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 10 หลายเดือนก่อน

      kwani katoa kwa moyo wake au ndio sheria ya inchi kua kila rais akitoka madarakan lazma ajengewe nyumba au mnasahau kila rais akimaliza hua anapewa nyumba ?

  • @MWS5884
    @MWS5884 6 หลายเดือนก่อน

    God bless you Miss president to please the family of Magufuli. From Rwanda❤

  • @nyandwijeanbosco8041
    @nyandwijeanbosco8041 6 หลายเดือนก่อน

    My best country in world Tanzania mungu awarinde Tanzania Tanzania Tanzania means life

  • @simionbirai7851
    @simionbirai7851 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika wetu wa Taifa hakika nakupenda!
    Mwl.Simon Birai

  • @SifaBushashire
    @SifaBushashire 6 หลายเดือนก่อน

    Hooooongera mama samiya suluu mungu akuongezeye Siku zakuishi...🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @nyabuharajulian3306
    @nyabuharajulian3306 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzanian swahili is sooo nice .

  • @christinadominic980
    @christinadominic980 6 หลายเดือนก่อน

    Mama mungu akubariki kwa tendo hili kwa mama magufuli halijawahi tokea Mungu akusimamie popote ulipo maraika saba wainde mama yetu nuru yetu tuendelee kukuombea amina

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mama yetu Mungu akubariki sana.

  • @alphason6004
    @alphason6004 11 หลายเดือนก่อน +9

    Hatawaseme ila uyu ni mama mwenye upendo Kwa Kilatu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @richardbegga6679
      @richardbegga6679 11 หลายเดือนก่อน +3

      ACHA UJINGA hiyo ni Sheria inamtaka ajenge

    • @saidfhamad
      @saidfhamad 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@richardbegga6679Sio sheria kaka

  • @Ferster-g5h
    @Ferster-g5h 11 หลายเดือนก่อน +1

    Rais wetu Allah akupe maisha marefu❤❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @nelsonandrew2638
    @nelsonandrew2638 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante mama samia! katika kulijenga Taifa ni vyema kuwakumbuka waasisi wa Taifa hili maana bila wao tusingefika hapa tulipo

  • @ImanueliNyela
    @ImanueliNyela 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu.akubariki.sana

  • @AbdulazizAbdallah-p5c
    @AbdulazizAbdallah-p5c 8 หลายเดือนก่อน

    Maashaalah hasbilah Allah akulinde mama etu Samia suluh

  • @AGANZE-z9o
    @AGANZE-z9o 9 หลายเดือนก่อน

    Hakika nimekubuka baba wa taïfa la Tanzanie pôle sana wa Tanzanie n'a mungu amulinde Rais wenu🇨🇩🙏

    • @novatuserasmi4744
      @novatuserasmi4744 7 หลายเดือนก่อน

      ❤ karib Tz mkongoman😊😊❤

  • @naomiilikeyoursongmumgodbl6748
    @naomiilikeyoursongmumgodbl6748 6 หลายเดือนก่อน

    Mama mungu akubarika sana kwa kukumbuka mama

  • @peteretlawe6269
    @peteretlawe6269 7 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mama ndio maana nakupenda Sana kiukweli inafurahisha sana

  • @thomskasong2839
    @thomskasong2839 11 หลายเดือนก่อน +3

    God bless tanzania🇨🇩🇹🇿

  • @davidlinerevelation3427
    @davidlinerevelation3427 7 หลายเดือนก่อน

    Thank you maam

  • @JonaTaus-gb3ep
    @JonaTaus-gb3ep 9 หลายเดือนก่อน

    Mama munguakubaliki sana zaidi ya sana.nimekupenda sana.RAISI wetu

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 9 หลายเดือนก่อน

    Kinacho fanyika ni sawa lakini unafiki tulio nao ni mkubwa Sana ndiyo maana chochote mnacho kifanya akitufanyi kuacha kuumia Baba yetu Jonh Pombe Magufuri alikiwa na kundi kubwa Sana la kuwasaidia wananchi na vizazi vingi vya Tanzania kwa maono yake na utendaji wake kataika Taifa lake bila kumumunya maneno Ulijitoa kwa lolote Mwenyezi Mungu amtangulie nafsi yake hi ishi milele Amen❤❤❤

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 11 หลายเดือนก่อน +1

    Inchi yenye utu,uzalendo,asante na heshima kwa viongozi.

  • @kennedykimaiwua1938
    @kennedykimaiwua1938 6 หลายเดือนก่อน

    Hakika jonn pompe makufuli alikuwa mtu wa watu ...ila mola awe nae kwa kona yy aliko watanzania wote hakika mlimpoteza kiongozi bora..ila mola awe nae...

  • @FlorideUwamaliya
    @FlorideUwamaliya 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu ababarikiye mama

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu ameibariki.Tz kwa mengi tusiyoyajua.Rais anamjengea nyumba mke wa mtu !! Wanaostahili na wanaohitaji na wenye njaa hawajala achilia mbali kushiba.Mtu anampa mpita njia,bado raia hao hao wanakenua

  • @naishiyemollel
    @naishiyemollel 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki sana kwa kumkumbuka mama yetu mama makufuli

    • @naishiyemollel
      @naishiyemollel 11 หลายเดือนก่อน +1

      Mama Samia safiiiii sana songa mbele mama

  • @peaceappolinarygahene9646
    @peaceappolinarygahene9646 11 หลายเดือนก่อน

    Nashukura sana Rais wetu Samia Hassan❤.umefanya mambo ya ubinadamu.

  • @Kawumah
    @Kawumah 9 หลายเดือนก่อน

    DKT Samia Suluhu Hassan has a good heart❤.

  • @jumanzumbi1215
    @jumanzumbi1215 7 หลายเดือนก่อน

    Mama samia Mungu akubariki sana.

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 6 หลายเดือนก่อน

    Yani Kuna watu wanaishi Kwenye nyumba za makuti juu nachini mnaenda kumjengea nyumba magufur kwahio hawana nyumba Mungu anawaona

  • @Elizabethmwanga-y5e
    @Elizabethmwanga-y5e 11 หลายเดือนก่อน

    Asante mama tuko na ww ukitaja magu unaponya roho yangu

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 7 หลายเดือนก่อน

    Ni raisi wa inchi mwenye huruma. Laziyada sasa ni Mama. Nimependa sasa maneno haya. President John Pombe Magufuli.kaka yangu.Mulezi wangu, boss wangu.duhhh Mama asanti kwa kujali wajane na mayatima. Ubarikiwe mama

  • @agnesmangale3163
    @agnesmangale3163 11 หลายเดือนก่อน +1

    Upandacho ndicho uvunacho...Rip Magufuli❤

  • @anastazialushika
    @anastazialushika 11 หลายเดือนก่อน

    Kwer mh rais unajal sana Hongera Kwa kumkumbk mama maguful

  • @nkurunzizafidel2026
    @nkurunzizafidel2026 5 หลายเดือนก่อน

    serekali yatanzania safi ❤ wanyamulenge

  • @OscarMuzaliwa
    @OscarMuzaliwa 11 หลายเดือนก่อน

    hamujambo Ndugu zangu wa tanzania, mimi ninapo hongeya hapa mimi ni mkongo, nikiwa Kinshasa, jamani, kipindi ninapo hona ngisi maman mweshimiwa Raisi jambo aliyo fanyizia jamaa la Raisi
    Pombe Magufuli, machozi yame nidondoka, si famiye katika ulimwengu huu tunayo, kupata Raisi kama Pombe Magufuli, kwakweli hayupo, mimi katika maisha yangu ya hubinadamu, kuna watu wawili walio nihacha na ubovu wa moyo, 1=} Raisi John Pombe Magufuli. 2=} Stevens Kanumba. kwakweli hao watu wawili vraiment, niwatu awalio nihacha nahubovu wa moyo,. kila mara nihendapo kanisani nawahombeya msamaha kwa mwenyezi Mungu azidi kuwaremu, na roho zao zizidi kupumzika kwa Amani ya mwenyezi Mungu, je kwetu sisi wa kongo si mutuhombeye tupate Raisi kama mzee John Pombe Magufuli ? Jameni. sisi hapa Kinshasa tuna washukuruni.

  • @paulsavana5610
    @paulsavana5610 11 หลายเดือนก่อน +1

    Honngera sana Rais MSS ni vigumu Kwa wengine kutenda jambo kama Hilo.

  • @HasaniOmar-m3u
    @HasaniOmar-m3u 7 หลายเดือนก่อน

    binadam ndiyo tunavotakiwa kukumbuka wame mungu akuweke mama😊

  • @tomfoss9613
    @tomfoss9613 11 หลายเดือนก่อน +3

    Waouh!! Safi saana Mama Samia

  • @GeradinaJohn
    @GeradinaJohn 8 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda mama Janeth Magufuli❤❤❤❤

  • @marthaanton6967
    @marthaanton6967 11 หลายเดือนก่อน

    Hakika hili jambo mama umefanya lamaana sn Asante mno

  • @LuisAgostinhoMonteiro
    @LuisAgostinhoMonteiro 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu amubariki sana raisi Samia suluh

  • @NumberOneProductions
    @NumberOneProductions 11 หลายเดือนก่อน

    Mama Mungu akubariki

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 6 หลายเดือนก่อน

    Siyo maamuzi ya Samia" Bali katekeleza walokwisha jipangia" k ama utakumbuka hapo nyuma alipewa Mzee Ruksa"mh Benjamin na hata Jk alishapokea yake"kwa Hy ni muendelezo

  • @CleopaSimbe
    @CleopaSimbe 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri sana! Mama yetu.

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa ilo Watanzania tumeshukuru sana.

  • @sifunimakongwa
    @sifunimakongwa 6 หลายเดือนก่อน

    Mama pokea baraka za yeah Mimi much Sifuni kutoka mkwawa chuo kikuu mwenyekiti uvccm mstaafu kilolo.

  • @SamweliFelix-ij2pc
    @SamweliFelix-ij2pc 8 หลายเดือนก่อน

    Mama nisaidie naomba unipeleke studio

  • @BalboAlain
    @BalboAlain 6 หลายเดือนก่อน +1

    Super sana maman

  • @rajabushaibu1068
    @rajabushaibu1068 6 หลายเดือนก่อน

    Yani wew mama ela za selikali ni ela zetu sasa kwann mnajengeana nyumba

  • @muhirebruno
    @muhirebruno 7 หลายเดือนก่อน

    Mama suluhu hassan mugu akupe Maisha malefu akumbuke mate matendo ya mikono yako ❤

  • @R0gastianEzekiel
    @R0gastianEzekiel 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwema

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 11 หลายเดือนก่อน

    Unatuma😭😭Maman samia Allah azidi kukubariki kwakila jambo🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Lydia-mz7jm
    @Lydia-mz7jm 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sanaa mama

  • @NyangateOgao
    @NyangateOgao 11 หลายเดือนก่อน

    That's all blessings to u

  • @ElietSteven-cm6gc
    @ElietSteven-cm6gc 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu nimwema

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 9 หลายเดือนก่อน

    Haina maana yeyote selikali yako kujenga hiyo nyumba. Umemgeuka john halafu unadanganya uma kwa kujenga hicho kijumba

  • @makambosafari2746
    @makambosafari2746 11 หลายเดือนก่อน +3

    Imeenda ❤❤❤😊

  • @OmOmabs
    @OmOmabs 7 หลายเดือนก่อน

    Mashalaa adi nimelia jaman

  • @alexsambia3046
    @alexsambia3046 6 หลายเดือนก่อน

    Waooooh najiskia vzr snaa

  • @JeromeSwai-k7m
    @JeromeSwai-k7m 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe magufuli alikuwa hajajenga.mimi ni nani nijenge

    • @rosejohn8494
      @rosejohn8494 6 หลายเดือนก่อน

      we mjiga Jenga nyumba au hujui mweny nacho huongezewa hahahaha

  • @LugelaMweya
    @LugelaMweya 11 หลายเดือนก่อน

    Mama ame Fanya jambo jema Kwa msaada mkubwa Kwa mama janeti magufuli ame mtoa kwenye upweke ambao alikua nao Ivo basi tuwa pende wtu walio pata shida yoyote hile tuwa thamini Sana

  • @RajaburashidiKamsweka
    @RajaburashidiKamsweka 7 หลายเดือนก่อน +1

    Namunga mkono mama mkono kumpa nyumba mama janeti

  • @julianamwinami4739
    @julianamwinami4739 7 หลายเดือนก่อน +2

    sijui nimelia Nini

  • @MariaStepheno-it5jp
    @MariaStepheno-it5jp 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hata iwe gorofa bado naumia sana baad ya kufarki baba mambo mengi yalivurigika

  • @David-zb6kk
    @David-zb6kk 11 หลายเดือนก่อน

    Naona mnavyomsifia huyo mama yenu utafikiri amemnunulia kwa pesa zake

  • @donvanpierre4369
    @donvanpierre4369 7 หลายเดือนก่อน

    hivi nyumba ya nyerer ndioo ile ile iliyojengwa n jeshi au ....

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli wewe ni mama mnzuri hao ma rais waliopita wakiwajengea waliopita labda makofuli

  • @kitsao-kb3qk
    @kitsao-kb3qk 11 หลายเดือนก่อน

    Nampongeza mama Samia suluu
    Kwa kitendo hiki

  • @ndaskoindaskoi7811
    @ndaskoindaskoi7811 11 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Mama

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 11 หลายเดือนก่อน +1

    MAMA SAMIA ASANTE SANA KWA MOYO WAKO

  • @GemmaMfoi-jx6go
    @GemmaMfoi-jx6go 11 หลายเดือนก่อน

    Anapeleka wapi jmn na kuna watu hatuna hata pa kulala

  • @topfootballtrends6517
    @topfootballtrends6517 11 หลายเดือนก่อน

    Ameshindwa Kuyaishi aliyoacha Marehemu Jpm kutoa Nyumba ni Unafiki mtupu

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 6 หลายเดือนก่อน

    Tuangaliane nahuku vijijini hali za miundombinu nimbovu tunapata tabu mvua zikinyesha wakulima wanapata tabu kusafirisha mizigo yao inayoacha mupate kodi kwanini viongozi wachuni hawatembei kwenye vijijini navitongoji kujua hali zawananchi

  • @AMENMUSHI-wt4li
    @AMENMUSHI-wt4li 6 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe

  • @MaureenAdhiambo-el2ks
    @MaureenAdhiambo-el2ks 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huku kenya kuna chuki..sijui kama wanaeza jengea raila nyumba...

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 6 หลายเดือนก่อน

      Kwani Raila aliwahi kuwa Rais hizi nyumba ni kwa marais wastaafu tu sijuwi huko kenya ipo sheria ya kujengea wastaafu nyumba😅😅😅

    • @rosejohn8494
      @rosejohn8494 6 หลายเดือนก่อน

      mwambien ajenge mwenywe