For sure I need to learn more about this country. I was born in tz mpanda but I am not Tanzanian unfortunately. I pray for this country. God save Tanzanians
Nimeguswa kwa namna ya kipekee na tendo hili na tukio hili. Asante sana Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan. Mungu aendelee kukubariki na kuibariki nchi yetu. Balozi Prof Mbennah
I am not Tanzanian, but may Almighty God bless u abundantly Prezo mama Samia. Infact in the world world, I loved Dr. John Magufuli with all my heart. Mtetezi wa wanyonge, Zero corruption Man, and above all man of great faith. I pray one day to meet u on the glorious morning, the day of Resurrection.. rest in peace JPM
God is in Tanzania and life starts with u I'm happy to be your neighbor. Rwandan citizens we all know that Tanzania be stars 🌟 of ourselves as Africans.
Hongera Mama Suluhu Hassan, huyo Shujaa aliye aga baada kutumikia nchi tukufu ya Tanzania anastahili kukumbukwa. Asante kwa tendo hili last busara, hongera. Nimebubujikwa na machozi mama asante. Nilimpenda Magufuli na ninamkosa sana.
I just like how things are done in Tanzania....my eyes are tearing to see how good deeds follow them that live to serve even they are dead!! This reminded me of the day the Late President Magufuli gave his predecessors ( former Presidents) Peacocks bird. Long live my neighbor country.... from 🇰🇪
Hongera sana raisi wetu mungu akubariki na mungu akakusimamie kwa Kila unachokifanya kwa ajili ya watanzania mpaka nimesikia mwili kusisimuka mama una upendo sana
kwani katoa kwa moyo wake au ndio sheria ya inchi kua kila rais akitoka madarakan lazma ajengewe nyumba au mnasahau kila rais akimaliza hua anapewa nyumba ?
Mama mungu akubariki kwa tendo hili kwa mama magufuli halijawahi tokea Mungu akusimamie popote ulipo maraika saba wainde mama yetu nuru yetu tuendelee kukuombea amina
Kinacho fanyika ni sawa lakini unafiki tulio nao ni mkubwa Sana ndiyo maana chochote mnacho kifanya akitufanyi kuacha kuumia Baba yetu Jonh Pombe Magufuri alikiwa na kundi kubwa Sana la kuwasaidia wananchi na vizazi vingi vya Tanzania kwa maono yake na utendaji wake kataika Taifa lake bila kumumunya maneno Ulijitoa kwa lolote Mwenyezi Mungu amtangulie nafsi yake hi ishi milele Amen❤❤❤
Hakika jonn pompe makufuli alikuwa mtu wa watu ...ila mola awe nae kwa kona yy aliko watanzania wote hakika mlimpoteza kiongozi bora..ila mola awe nae...
Mungu ameibariki.Tz kwa mengi tusiyoyajua.Rais anamjengea nyumba mke wa mtu !! Wanaostahili na wanaohitaji na wenye njaa hawajala achilia mbali kushiba.Mtu anampa mpita njia,bado raia hao hao wanakenua
Ni raisi wa inchi mwenye huruma. Laziyada sasa ni Mama. Nimependa sasa maneno haya. President John Pombe Magufuli.kaka yangu.Mulezi wangu, boss wangu.duhhh Mama asanti kwa kujali wajane na mayatima. Ubarikiwe mama
hamujambo Ndugu zangu wa tanzania, mimi ninapo hongeya hapa mimi ni mkongo, nikiwa Kinshasa, jamani, kipindi ninapo hona ngisi maman mweshimiwa Raisi jambo aliyo fanyizia jamaa la Raisi Pombe Magufuli, machozi yame nidondoka, si famiye katika ulimwengu huu tunayo, kupata Raisi kama Pombe Magufuli, kwakweli hayupo, mimi katika maisha yangu ya hubinadamu, kuna watu wawili walio nihacha na ubovu wa moyo, 1=} Raisi John Pombe Magufuli. 2=} Stevens Kanumba. kwakweli hao watu wawili vraiment, niwatu awalio nihacha nahubovu wa moyo,. kila mara nihendapo kanisani nawahombeya msamaha kwa mwenyezi Mungu azidi kuwaremu, na roho zao zizidi kupumzika kwa Amani ya mwenyezi Mungu, je kwetu sisi wa kongo si mutuhombeye tupate Raisi kama mzee John Pombe Magufuli ? Jameni. sisi hapa Kinshasa tuna washukuruni.
Siyo maamuzi ya Samia" Bali katekeleza walokwisha jipangia" k ama utakumbuka hapo nyuma alipewa Mzee Ruksa"mh Benjamin na hata Jk alishapokea yake"kwa Hy ni muendelezo
Mama ame Fanya jambo jema Kwa msaada mkubwa Kwa mama janeti magufuli ame mtoa kwenye upweke ambao alikua nao Ivo basi tuwa pende wtu walio pata shida yoyote hile tuwa thamini Sana
mama Mungu akubaliki sana Rais wetu
For sure I need to learn more about this country. I was born in tz mpanda but I am not Tanzanian unfortunately.
I pray for this country.
God save Tanzanians
Rais Samia Suluhu asante sana,your respected your boss former president Magufuli let God bless you so much.
Nimeguswa kwa namna ya kipekee na tendo hili na tukio hili. Asante sana Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan. Mungu aendelee kukubariki na kuibariki nchi yetu.
Balozi Prof Mbennah
I am not Tanzanian, but may Almighty God bless u abundantly Prezo mama Samia. Infact in the world world, I loved Dr. John Magufuli with all my heart. Mtetezi wa wanyonge, Zero corruption Man, and above all man of great faith. I pray one day to meet u on the glorious morning, the day of Resurrection.. rest in peace JPM
Tanzania takes care of its people and leaders. Mwalimu Nyerere set the perfect example for the rest of Africa. GOD BLESS Tanzania.
Ni jambo jema sana kwani hata Magufuli alikabidhi Kikwete nyumba iliyojengwa na serikali safi sana alianza na umeendelea safi sana ❤❤❤❤❤
Asante sana mama raisi,una roho ya upendo.from Rwanda
Mungu akupe maisha marefu Rais wetu mpendwa we love yu
Asante sana mh Raisi kumkumbuka mpendwa wetu Mgufuli.na Mama yetu Janeth . nimefurahi sana Asante sana ❤❤❤
God is in Tanzania and life starts with u I'm happy to be your neighbor. Rwandan citizens we all know that Tanzania be stars 🌟 of ourselves as Africans.
Hongera sana Rais wa Tanzania 🇹🇿 you're the best 👌🏽 👍🏾
Ni moyo wa upendo sana. Hongera sana Rais wetu. God bless you.❤❤
Mama samia naomba na mm unijengee nyumba nipate kuishi na watoto wangu ❤
hhhhhhhhhhh
Hongera Mama Suluhu Hassan, huyo Shujaa aliye aga baada kutumikia nchi tukufu ya Tanzania anastahili kukumbukwa. Asante kwa tendo hili last busara, hongera. Nimebubujikwa na machozi mama asante. Nilimpenda Magufuli na ninamkosa sana.
I just like how things are done in Tanzania....my eyes are tearing to see how good deeds follow them that live to serve even they are dead!!
This reminded me of the day the Late President Magufuli gave his predecessors ( former Presidents) Peacocks bird.
Long live my neighbor country.... from 🇰🇪
Mfano mzuri sana, hongera mama, hongera watanzania wote, baraka Tele idumu
Mama yangu kipenz umefanya jambo kubwa kuwakumbuka walio tia mchango wao kwa serekali yetu na nchi yetu tanzania daima kaz iendelee
Asante sanA kwakulitambua
#mama samamia MUNGU akuweke RAIS WETU❤❤
Hongera cna mama nimelia cna kwa furaha❤
Nimekupenda mama❤
Mashawah mungu awazidishie upendo mama samia hongera sana
Dah...Mama amefanya kitu Kikubwa sana.Mungu mbariki sana Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Tz asante kwa mfano mzuri wa maadili mema na huruma kwa Mjane wa makufuli.East Africans hope you are learning sonething from our TZ counterparts
Hongera sana raisi wetu mungu akubariki na mungu akakusimamie kwa Kila unachokifanya kwa ajili ya watanzania mpaka nimesikia mwili kusisimuka mama una upendo sana
Maashaallah Mungu akuzidishie upendo na hekima raisi wetu, mama yetu mlezi
kwani katoa kwa moyo wake au ndio sheria ya inchi kua kila rais akitoka madarakan lazma ajengewe nyumba au mnasahau kila rais akimaliza hua anapewa nyumba ?
God bless you Miss president to please the family of Magufuli. From Rwanda❤
My best country in world Tanzania mungu awarinde Tanzania Tanzania Tanzania means life
Hakika wetu wa Taifa hakika nakupenda!
Mwl.Simon Birai
Hooooongera mama samiya suluu mungu akuongezeye Siku zakuishi...🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Tanzanian swahili is sooo nice .
Mama mungu akubariki kwa tendo hili kwa mama magufuli halijawahi tokea Mungu akusimamie popote ulipo maraika saba wainde mama yetu nuru yetu tuendelee kukuombea amina
Hongera sana mama yetu Mungu akubariki sana.
Hatawaseme ila uyu ni mama mwenye upendo Kwa Kilatu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
ACHA UJINGA hiyo ni Sheria inamtaka ajenge
@@richardbegga6679Sio sheria kaka
Rais wetu Allah akupe maisha marefu❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Ahsante mama samia! katika kulijenga Taifa ni vyema kuwakumbuka waasisi wa Taifa hili maana bila wao tusingefika hapa tulipo
Mungu.akubariki.sana
Maashaalah hasbilah Allah akulinde mama etu Samia suluh
Hakika nimekubuka baba wa taïfa la Tanzanie pôle sana wa Tanzanie n'a mungu amulinde Rais wenu🇨🇩🙏
❤ karib Tz mkongoman😊😊❤
Mama mungu akubarika sana kwa kukumbuka mama
Ubarikiwe sana mama ndio maana nakupenda Sana kiukweli inafurahisha sana
God bless tanzania🇨🇩🇹🇿
Thank you maam
Mama munguakubaliki sana zaidi ya sana.nimekupenda sana.RAISI wetu
Kinacho fanyika ni sawa lakini unafiki tulio nao ni mkubwa Sana ndiyo maana chochote mnacho kifanya akitufanyi kuacha kuumia Baba yetu Jonh Pombe Magufuri alikiwa na kundi kubwa Sana la kuwasaidia wananchi na vizazi vingi vya Tanzania kwa maono yake na utendaji wake kataika Taifa lake bila kumumunya maneno Ulijitoa kwa lolote Mwenyezi Mungu amtangulie nafsi yake hi ishi milele Amen❤❤❤
Inchi yenye utu,uzalendo,asante na heshima kwa viongozi.
Hakika jonn pompe makufuli alikuwa mtu wa watu ...ila mola awe nae kwa kona yy aliko watanzania wote hakika mlimpoteza kiongozi bora..ila mola awe nae...
Mungu ababarikiye mama
Mungu ameibariki.Tz kwa mengi tusiyoyajua.Rais anamjengea nyumba mke wa mtu !! Wanaostahili na wanaohitaji na wenye njaa hawajala achilia mbali kushiba.Mtu anampa mpita njia,bado raia hao hao wanakenua
Mungu akubariki sana kwa kumkumbuka mama yetu mama makufuli
Mama Samia safiiiii sana songa mbele mama
Nashukura sana Rais wetu Samia Hassan❤.umefanya mambo ya ubinadamu.
DKT Samia Suluhu Hassan has a good heart❤.
Mama samia Mungu akubariki sana.
Yani Kuna watu wanaishi Kwenye nyumba za makuti juu nachini mnaenda kumjengea nyumba magufur kwahio hawana nyumba Mungu anawaona
Asante mama tuko na ww ukitaja magu unaponya roho yangu
Ni raisi wa inchi mwenye huruma. Laziyada sasa ni Mama. Nimependa sasa maneno haya. President John Pombe Magufuli.kaka yangu.Mulezi wangu, boss wangu.duhhh Mama asanti kwa kujali wajane na mayatima. Ubarikiwe mama
Upandacho ndicho uvunacho...Rip Magufuli❤
Kwer mh rais unajal sana Hongera Kwa kumkumbk mama maguful
serekali yatanzania safi ❤ wanyamulenge
hamujambo Ndugu zangu wa tanzania, mimi ninapo hongeya hapa mimi ni mkongo, nikiwa Kinshasa, jamani, kipindi ninapo hona ngisi maman mweshimiwa Raisi jambo aliyo fanyizia jamaa la Raisi
Pombe Magufuli, machozi yame nidondoka, si famiye katika ulimwengu huu tunayo, kupata Raisi kama Pombe Magufuli, kwakweli hayupo, mimi katika maisha yangu ya hubinadamu, kuna watu wawili walio nihacha na ubovu wa moyo, 1=} Raisi John Pombe Magufuli. 2=} Stevens Kanumba. kwakweli hao watu wawili vraiment, niwatu awalio nihacha nahubovu wa moyo,. kila mara nihendapo kanisani nawahombeya msamaha kwa mwenyezi Mungu azidi kuwaremu, na roho zao zizidi kupumzika kwa Amani ya mwenyezi Mungu, je kwetu sisi wa kongo si mutuhombeye tupate Raisi kama mzee John Pombe Magufuli ? Jameni. sisi hapa Kinshasa tuna washukuruni.
Honngera sana Rais MSS ni vigumu Kwa wengine kutenda jambo kama Hilo.
binadam ndiyo tunavotakiwa kukumbuka wame mungu akuweke mama😊
Waouh!! Safi saana Mama Samia
Nakupenda mama Janeth Magufuli❤❤❤❤
Hakika hili jambo mama umefanya lamaana sn Asante mno
Mungu amubariki sana raisi Samia suluh
Mama Mungu akubariki
Siyo maamuzi ya Samia" Bali katekeleza walokwisha jipangia" k ama utakumbuka hapo nyuma alipewa Mzee Ruksa"mh Benjamin na hata Jk alishapokea yake"kwa Hy ni muendelezo
Kazi nzuri sana! Mama yetu.
Kwa ilo Watanzania tumeshukuru sana.
Mama pokea baraka za yeah Mimi much Sifuni kutoka mkwawa chuo kikuu mwenyekiti uvccm mstaafu kilolo.
Mama nisaidie naomba unipeleke studio
Super sana maman
Yani wew mama ela za selikali ni ela zetu sasa kwann mnajengeana nyumba
Mama suluhu hassan mugu akupe Maisha malefu akumbuke mate matendo ya mikono yako ❤
Mungu ni mwema
Unatuma😭😭Maman samia Allah azidi kukubariki kwakila jambo🙏🙏🙏🙏🙏
Hongera sanaa mama
That's all blessings to u
Mungu nimwema
Haina maana yeyote selikali yako kujenga hiyo nyumba. Umemgeuka john halafu unadanganya uma kwa kujenga hicho kijumba
Imeenda ❤❤❤😊
Mashalaa adi nimelia jaman
Waooooh najiskia vzr snaa
Kumbe magufuli alikuwa hajajenga.mimi ni nani nijenge
we mjiga Jenga nyumba au hujui mweny nacho huongezewa hahahaha
Mama ame Fanya jambo jema Kwa msaada mkubwa Kwa mama janeti magufuli ame mtoa kwenye upweke ambao alikua nao Ivo basi tuwa pende wtu walio pata shida yoyote hile tuwa thamini Sana
Namunga mkono mama mkono kumpa nyumba mama janeti
sijui nimelia Nini
Pole juli
@@salummussa1139 asantee 🙏🏿
Hata iwe gorofa bado naumia sana baad ya kufarki baba mambo mengi yalivurigika
Naona mnavyomsifia huyo mama yenu utafikiri amemnunulia kwa pesa zake
hivi nyumba ya nyerer ndioo ile ile iliyojengwa n jeshi au ....
Kweli wewe ni mama mnzuri hao ma rais waliopita wakiwajengea waliopita labda makofuli
Nampongeza mama Samia suluu
Kwa kitendo hiki
Asante sana Mama
MAMA SAMIA ASANTE SANA KWA MOYO WAKO
Anapeleka wapi jmn na kuna watu hatuna hata pa kulala
Ameshindwa Kuyaishi aliyoacha Marehemu Jpm kutoa Nyumba ni Unafiki mtupu
Tuangaliane nahuku vijijini hali za miundombinu nimbovu tunapata tabu mvua zikinyesha wakulima wanapata tabu kusafirisha mizigo yao inayoacha mupate kodi kwanini viongozi wachuni hawatembei kwenye vijijini navitongoji kujua hali zawananchi
Ubarikiwe
Huku kenya kuna chuki..sijui kama wanaeza jengea raila nyumba...
Kwani Raila aliwahi kuwa Rais hizi nyumba ni kwa marais wastaafu tu sijuwi huko kenya ipo sheria ya kujengea wastaafu nyumba😅😅😅
mwambien ajenge mwenywe