Anae tamani huyu rais andelee kutuongoza anipe like zangu mm ingekua uwenzo wangu Ange endelea tu mpaka nizee niendelee kumuona nakupenda magu rais wawanyonge bado Tanzania umeifanya Kama ulaya ninakikao natanzania huyu tumuongeze Mika 10 Tena uwiiiiiiiiiiiiiii ckwamaendeleo haya magu ishi miaka mingi Kama yavocha yani nakupenda sana
Jpm mbingu na nchi inakutazama kwa kazi nzuri unayoifanya binafsi natamani nikuchike mkono raisi wangu nakupenda sana na mungu aendelee kukupigania uwe na nguvu afya na uzima
Kama no mm naomba nimuweke mikononi mwa Mungu mana tume mpaka mtumishi mwema atakaye tufikisha ng'ambo (kaanani) Joseph Mungu akukumbuke na uishi miaka isiyoisha hakikapesa inatumika vyeeeeeeema hakikapesa Nashon dear noon gee vp mkuu wangu na Rais wangu baba yangu kiongozi wetu Mungu yu pampas nawe mpaka mwisho wake Amen.by Joel Eliphas kutoka katavi...umeyatenda mkuu sana ujira wake mbingu unaandaliwa na Taji yako ipo na utafutwa machozi wanyonge uliopambana kufa na kupona
Binafsi nampongeza JPM na serikali take panoja na familia ya TRC kudos you all mungu awabariki sana jamani kilichofanyika kwa miaka minne tu inatosha kusaema JPM anatosha 2020
aa kusema kweri tunanamshukuru mungu kwakutupatia kiongoz muadilifu mchapakaz tumemchagua naametupati tunachoitaj mungu ibaliki tanzania mungu mbaliki rais wetu amini
Kazi nzuri Sana tumwombee Raisi wetu afya njema na pia watanzania wote tuzidi kujifunza na kuelewa uzalendo, nchi zote zilizoendelea watu wake wanapenda nchi zao na wanashirikiana kuhakikisha zinasonga mbele, I wish wizara ya Elimu ingeanzisha somo la uzalendo ikaanza kufundsha tokea vidudu ili uzalendo uwe sehemu yetu Siku zote. MUNGU IBARIKI TANZANIA NA AFRIKA KWA UJUMLA
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Masha Allah mungu akutunze rais wetu kwa akili ulojaaliwa kutufanyia mazur rais wetu tunaon kwa macho wenyew ila tunsomba uendelee hadi mwisho w uhai wako maan raha tupu
Mwenyezi Azidi kumpatia afya njema Rais wetu na uongoz wote wazidi kufanya mambo makubwa zaidi ya haya yaliyopo hakika!Hii ndiyo Tanzania tuliyokuwa tunaililia daima!sasa sijui wanaosema hawayaoni maendeleo nivipofu amaaa laaaaah!
God bless people of Tanzania for their president Mr Magafuli on the good work in East Africa and other countries must follow Tanzania and Rwanda what they are doing for their lands as African not to be left behind and not depend to East and West countries for loan,God bless 🙏 🙏 Africa to open good governance on our leaders.
Ushaur wangu tumuenz baba magufuli na pia pongez kwake na viongoz wenzake ...Also ningependa tens kumuona maguful anaendelea hata miaka 10 kwan hakutokea kiongoz km huy....Then kma itakosekana kumpa tena urais aminini kua mirad mingi italost ...ALL THE BEST BABA MAGU
Ni dhahiri kwamba watanzania tuko na viongozi eazalendo ila hatujui kuwatumia,,nani kama magufuli Tz toka awamu zote zilizopita hawakuliona hili,,pongezi kwa Jpm
Mpenzi wa mungu Rais j p magufuli kwanza pongezi Kutoka kwa mungu ziko pamoja nawe na ulimwengu kwa jumla. Maombi mema kutoka kwa viumbe wote hata sisimizi chungu yawe pamoja nawe. Binafsi nakupenda kwa ajili ya mungu na uwe na upendo Wake kadhalika. Mwisho wakubalie wanavyo Taka wana nchi wako uendelee Kuwaongoza kadhalika nakualika kwa UISLAMU Tukuite Jaafar p Maftaah. Mungu akubariki
Pongezi kwa Raisi pamoja na viongozi wooote wapenda maendeleo bila kuwa sahau watanzania wote kwaushilikiano nakuji tambua kulipa kodi bila shulut tulipe kodi hili tupate mazur zaidi
Alafu hapa Kenya reli serikali walitujengea ni bonoko tupu kwa hela nyingi zaidi (na nyingi iliibiwa)..wanafaa kupeleka mambo na rieng.. tukapewa ma train refurbished from China..corruption itatumaliza huku.. kongole kwa JPM..huko ni kazi tu..
Marekebisho kidogo na kuelimishana; Nijuavyo mm Dar station haiwekwi vioo vya tanzanite na kwanza hakuna vioo vya tanzanite bali inajengwa kwa muonekano wa madini ya tanzanite kama heshima na sifa ya madini hayo kupatikana hapa nchini kwetu tu. Pia station nyingi zinajengwa kwa muonekano mbalimbali wa vitu vya asili ya Tz kama chungu, nyumba za makabila nk. Na kuhusu Makutopora tusichanganye ile wengi wanayoijua (JKT) iko Dodoma bali hii ya reli iko Singida. Na mwisho kuhusu fedha za ujenzi kuna mkopo pia ila hakuna msaada.
Ukamilifu ni wa Allah, hatakama kunamapungufu kwa Jpm kama Mwanadamu lazima tumpatie sapoti kwa Mazuri mengi aliyoyafanya maana nivingi amefanya vizuri zaid kwa maendeleo ya Taifa letu.
Tupambane wote Watanzania; Kwa maombi, kwa fikra, kwa utashi, kwa nguvu zetu na kwa mapenzi mema katika kuwaombea wakandalasi na Serikali yote ya awamu ya Tano. Hasa tumuombee jemedari,kamanda JPM.
Nawapongeza wananchi wa Tanzania kwa kuwa walipaji wazuri wa kodi na haya ndio matunda yake, pia nampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa uzalendo anaouonesha kwa vitendo, hakika anastahili pongezi na maombi azidi kuwa mwenye nguvu na afya wakati wote anapolitumikia Taifa lake. Mwisho, niombe tu itafutwe namna ya kufanyia ukarabati (maintenance) miradi hii tunayoianzisha ambayo imegharimu kiasi kikubwa cha fedha za walipa kodi, miradi mingi inakufa sababu kubwa ni tunaangalia faida tu bila kujali uhai wa hiyo miradi, na uhai wake ni kuifanyia ukarabati, utunzaji wa miundombinu na kusimamia mapato yake. Ukitaka kuamini hiki nenda kaangalie vituo vya mabasi....vyoo vilikuwa vinatoa maji lkn sasa watu wanaingia na makopo..huu ni uswahili mtupu, majengo mengi ya umma, ofisi za serikali, miundombinu mingi imeharibika na huku hela nyingi zinakusanywa, mfano wa hapa ni mwendokasi..viti vinaharibika, vituo vimeanza kuchakaa, kamba za kujishikiza abiria zinakatika hakuna marekebisho lkn magari yalikuwa yanajaza kabla ya Covid 19 kulikuwa hakuna pa kupumulia. Cha ajabu nenda sehemu inayomilikiwa na watu binafsi, mfano mzuri ni Mlimani city panafanyiwa ukarabati wa mara kwa mara ndio maana miundombinu yake haichakai na kuharibika hovyo, machache ni hayo mengi nabakisha kwa siku nyingine.
Acha ukuma wewe kwani mzungu nani hizo teknolojia zenyewe kaziiba kwa mababu zetu kaenda kuziendeleza kidogo kisha anadanganya ulimwengu kuwa ndo mgunduzi acha ufala wewe mzungu mtu wa kawaida tu
Anae tamani huyu rais andelee kutuongoza anipe like zangu mm ingekua uwenzo wangu Ange endelea tu mpaka nizee niendelee kumuona nakupenda magu rais wawanyonge bado Tanzania umeifanya Kama ulaya ninakikao natanzania huyu tumuongeze Mika 10 Tena uwiiiiiiiiiiiiiii ckwamaendeleo haya magu ishi miaka mingi Kama yavocha yani nakupenda sana
Jpm mbingu na nchi inakutazama kwa kazi nzuri unayoifanya binafsi natamani nikuchike mkono raisi wangu nakupenda sana na mungu aendelee kukupigania uwe na nguvu afya na uzima
JPM ndiye kiongozi booora duniani🙏💪👍✔️🇹🇿
Big up sana nakubali sana reli nzuri kwa maendeleo
Kama no mm naomba nimuweke mikononi mwa Mungu mana tume mpaka mtumishi mwema atakaye tufikisha ng'ambo (kaanani) Joseph Mungu akukumbuke na uishi miaka isiyoisha hakikapesa inatumika vyeeeeeeema hakikapesa Nashon dear noon gee vp mkuu wangu na Rais wangu baba yangu kiongozi wetu Mungu yu pampas nawe mpaka mwisho wake Amen.by Joel Eliphas kutoka katavi...umeyatenda mkuu sana ujira wake mbingu unaandaliwa na Taji yako ipo na utafutwa machozi wanyonge uliopambana kufa na kupona
Hongera sana serikali ya awamu ya tano kwa kazi nzuri sana.
Mpaka machozi yanatoka kabisa kwa furaha. TANZANIA IS MY MOTHER LAND
Mungu akutangulie mag
God bleess Tanzania
Binafsi nampongeza JPM na serikali take panoja na familia ya TRC kudos you all mungu awabariki sana jamani kilichofanyika kwa miaka minne tu inatosha kusaema JPM anatosha 2020
aa kusema kweri tunanamshukuru mungu kwakutupatia kiongoz muadilifu mchapakaz tumemchagua naametupati tunachoitaj mungu ibaliki tanzania mungu mbaliki rais wetu amini
Kwa kweli pongezi kubwa inastahili kwa serikali na watendaji wake. Hongera saaaana
Mko vizuri sana jenifa lakini pongezi sana kwa serikali yetu mzima kwa kujali hitaji la kura yetu kwao
Kazi nzuri Sana tumwombee Raisi wetu afya njema na pia watanzania wote tuzidi kujifunza na kuelewa uzalendo, nchi zote zilizoendelea watu wake wanapenda nchi zao na wanashirikiana kuhakikisha zinasonga mbele, I wish wizara ya Elimu ingeanzisha somo la uzalendo ikaanza kufundsha tokea vidudu ili uzalendo uwe sehemu yetu Siku zote. MUNGU IBARIKI TANZANIA NA AFRIKA KWA UJUMLA
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Temkeza TV mzee safi sana regeza uchum
Kama urusi wameweza kubadili katiba ila rais Putin aendelee kuongoza kwann na sisi tusifanye hivyo...
Hongela sana kwa huu mladi wa reli ya umeme
Nampongeza sana zaidi ya sana mweshimiwa rais kwa kazi kubwa ya kujenga uchumi wetu
Hongera Jpm kwa hili japo mimi ni chama pinzani
Hongera rais magufuri hakika unafanya kazi Kwa masilai ya watanzania Mingu akupe maisha marefu
Like kama unamkubali jpm
Baba kwel ww ni kichwa wala si mkia wazazi wako wamezaa jembe.hongera mnoo kwa kazi nzur unazofanya Mungu wa mbinguni akulinde na famil
wos good sana nimeipenda kwataifa
Hii ndio Tanzania ya JPM: Mungu akupe afya njema na maisha marefu na akakuwezeshe kutimiza ndoto zako zote za maendeleo ya Taifa hili
Masha Allah mungu akutunze rais wetu kwa akili ulojaaliwa kutufanyia mazur rais wetu tunaon kwa macho wenyew ila tunsomba uendelee hadi mwisho w uhai wako maan raha tupu
Kwa kweli kazi kubwa imefanyika, pongezi zimwendee Rais wetu Magufuri kwa njozi zake.
Mungu abariki juhudi kubwa za Raisi wetu Dr Magufuli P J
Mwenyezi Azidi kumpatia afya njema Rais wetu na uongoz wote wazidi kufanya mambo makubwa zaidi ya haya yaliyopo hakika!Hii ndiyo Tanzania tuliyokuwa tunaililia daima!sasa sijui wanaosema hawayaoni maendeleo nivipofu amaaa laaaaah!
God bless people of Tanzania for their president Mr Magafuli on the good work in East Africa and other countries must follow Tanzania and Rwanda what they are doing for their lands as African not to be left behind and not depend to East and West countries for loan,God bless 🙏 🙏 Africa to open good governance on our leaders.
Man the doing great job I love this man is so beautiful ❤️💙✊🏾✊🏿🙏🏾 I will love to visit Tanzania
Karibu Tanzania 🇹🇿,🤗🤗🤗💗
Kiukweli katiba inabana lakini huyundoraisi tuliemtaka kwamiaka mingi baada ya nyerere kuondoka.
Namkubali sana magufuli nampa mwaaaaa
Kazi nzuri.Pongezi kwa Rais Magufuli.Pongezi kwa wasimamizi wote wa reli hii na wajenzi pia.
Jpm wew nirais usiye na mfano yaan miaka 5 tu ukufanya kosa mungu mlinde rahis maguful
Viva jpm.roho inasuta wengi .we ni kiongozi toka kwa MUNGU.maisha marefu jpm madarakani
High Tech, umechukuwa Filamu Kiutaalamu sana. Hongera, Kongole!
Like hapa unae nikubali jenafa tv na Kama umeskia pugu steshion itayo kua bize
nice
Ndani ya mwaka itakwa isharegesha gharama chini ya urais wa Mheshimiwa Dr. Magufuli, abarikiwe sana Baba wa taifa
Mungu ni mwema
Hongera jenafa na wajenzi na rais
God bless Africa
God bless Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Magufuli baba lao
Mungu amsaidie hadi ifike Hom mwanza ndo asitafu
Acha ukabila ww uo ushamba
Ben maa Sostenes kwel hata Mimi namuombea hivyo iende hadi musoma
Ushaur wangu tumuenz baba magufuli na pia pongez kwake na viongoz wenzake ...Also ningependa tens kumuona maguful anaendelea hata miaka 10 kwan hakutokea kiongoz km huy....Then kma itakosekana kumpa tena urais aminini kua mirad mingi italost ...ALL THE BEST BABA MAGU
Inapendeza kweli
Job well done. I am happy and proud of my country. Let us stay focused.
Safi sana hii video, hongera serikali kwa project kubwa kama hii, asanteni sana Jenafa TV hii ni moja kitu kizuri mmefanya,big up
Ni dhahiri kwamba watanzania tuko na viongozi eazalendo ila hatujui kuwatumia,,nani kama magufuli Tz toka awamu zote zilizopita hawakuliona hili,,pongezi kwa Jpm
Zanzibar sisi tunajenga siasa za chuki na ubaguzi looooo
Hongereni sana na ujenzi. Keep it up.
Pongezi mh.j.pombe great work
Thanks for the video.job well done.i hope we Tanzanians will not vandalize the electric train.Is a good investment for the country.
Kwa kweli baada miaka kumi ijoyo Tanzania tutatembea kifua mbele kama ulaya
Mzee yupo makini
Mpenzi wa mungu Rais j p magufuli kwanza pongezi
Kutoka kwa mungu ziko pamoja nawe na ulimwengu kwa jumla.
Maombi mema kutoka kwa viumbe wote hata sisimizi chungu yawe pamoja nawe.
Binafsi nakupenda kwa ajili ya mungu na uwe na upendo
Wake kadhalika.
Mwisho wakubalie wanavyo
Taka wana nchi wako uendelee
Kuwaongoza kadhalika nakualika kwa UISLAMU Tukuite Jaafar p Maftaah.
Mungu akubariki
Pongezi kwa Raisi pamoja na viongozi wooote wapenda maendeleo bila kuwa sahau watanzania wote kwaushilikiano nakuji tambua kulipa kodi bila shulut tulipe kodi hili tupate mazur zaidi
Alafu hapa Kenya reli serikali walitujengea ni bonoko tupu kwa hela nyingi zaidi (na nyingi iliibiwa)..wanafaa kupeleka mambo na rieng.. tukapewa ma train refurbished from China..corruption itatumaliza huku.. kongole kwa JPM..huko ni kazi tu..
Now you are talking 👍🇹🇿🇬🇧. Waturuki sawa tuwe macho na Wachina wanahamu ya kuishi Afrika kumaliza madini na wanyama wetu.
Jenafa TV . Mzalendo mwezangu kama mimi mptoshaji nashirikiana na mabeberu subiri utanikumbuka. Hata Rais Magufuli kakataa nao baadhi ya madili
Mungu ibariki tanzania
Makutupora ni Dododma ndugu sio singida
Jaman nilaa tupu mungu amupe uzima baba yetu kiongozi
Inapendeza sana
Kweli mambo yanakwenda kama yalivyo pangwa Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa.Mungu tuponye na janga hili CORONA.
Tujitokeze kwa wingi October 2020 tumupe Kura magufuli.
Marekebisho kidogo na kuelimishana; Nijuavyo mm Dar station haiwekwi vioo vya tanzanite na kwanza hakuna vioo vya tanzanite bali inajengwa kwa muonekano wa madini ya tanzanite kama heshima na sifa ya madini hayo kupatikana hapa nchini kwetu tu. Pia station nyingi zinajengwa kwa muonekano mbalimbali wa vitu vya asili ya Tz kama chungu, nyumba za makabila nk. Na kuhusu Makutopora tusichanganye ile wengi wanayoijua (JKT) iko Dodoma bali hii ya reli iko Singida. Na mwisho kuhusu fedha za ujenzi kuna mkopo pia ila hakuna msaada.
Blaz mbona kama unapinga maendeleo
Asante tz tunaweza
Daaahh sijui nitamiliki nauli ya kusafiria ndani ya treni maana ninahamu nayo!
Nauli itakua chini kuliko nauli ya buss...so kua na amani ndugu
Tz JPM hongera kwa Nchi ya Viwanda.
No dalili njema ya kuingia kwenye uchumi wa kati. Pongezi kwa Rais wetu, na watendaji wake kwa kufanya kazi usiku na mchana mpaka kupata mafanikio.
Safi sana jenafa tv
Very good
Kazi inafanyika,inatia moyo
hongera xan kwko wewe kwan bila ww nixingejua
Anko magu hakuna wakupinga Kaz anafanya
Hongera kwa utaftii huu, kutifahamixha nasii, hapo mabasii mengii yatakoxaa pa kwendaa, Na maroli yatakoxa kazii
kuwa na mtazamoo chanyaa
kuwa na mtazamoo chanyaa
safe sana
Kazi kubwa imefanyikaal kwa usimamisii wa viongoZ shupavu ukiongozwa na JPM
Big up Rais wetu
Keep it up.
Ukamilifu ni wa Allah, hatakama kunamapungufu kwa Jpm kama Mwanadamu lazima tumpatie sapoti kwa Mazuri mengi aliyoyafanya maana nivingi amefanya vizuri zaid kwa maendeleo ya Taifa letu.
Nawashauri wananchi wenzangu tulipe kodi na kulinda rasilimali zetu nchini na nje
Tupambane wote Watanzania;
Kwa maombi, kwa fikra, kwa utashi, kwa nguvu zetu na kwa mapenzi mema katika kuwaombea wakandalasi na Serikali yote ya awamu ya Tano. Hasa tumuombee jemedari,kamanda JPM.
Well done!!
Aseee tuleteee na updates za Mbezi luis bus stand na salender bridge
Serikali ya magufuli ni roho njema ya taifa la Tanzanian
JPM the man to watch
Safi sana,ila kusema Treni la mizingo nisawa na Magari 500,duhh hapo mmhhh!!!!
ni kweli
Tren ya mizigo itakuwa na urefu wa 2km
Iko poa sana
mradi mkubwa sana wananchi watanufaika nao na kuboresha biashara. hongera JPM
I love you 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Dar 2 Arusha inataiwa iwepo
Je umeme ukikatika inakuaje
Naipa pongezi serikali yetu ila je vp kuhusu mikoa ya kaskazini TANGA KILIMANJARO NA ARUSHA
Nawapongeza wananchi wa Tanzania kwa kuwa walipaji wazuri wa kodi na haya ndio matunda yake, pia nampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa uzalendo anaouonesha kwa vitendo, hakika anastahili pongezi na maombi azidi kuwa mwenye nguvu na afya wakati wote anapolitumikia Taifa lake. Mwisho, niombe tu itafutwe namna ya kufanyia ukarabati (maintenance) miradi hii tunayoianzisha ambayo imegharimu kiasi kikubwa cha fedha za walipa kodi, miradi mingi inakufa sababu kubwa ni tunaangalia faida tu bila kujali uhai wa hiyo miradi, na uhai wake ni kuifanyia ukarabati, utunzaji wa miundombinu na kusimamia mapato yake. Ukitaka kuamini hiki nenda kaangalie vituo vya mabasi....vyoo vilikuwa vinatoa maji lkn sasa watu wanaingia na makopo..huu ni uswahili mtupu, majengo mengi ya umma, ofisi za serikali, miundombinu mingi imeharibika na huku hela nyingi zinakusanywa, mfano wa hapa ni mwendokasi..viti vinaharibika, vituo vimeanza kuchakaa, kamba za kujishikiza abiria zinakatika hakuna marekebisho lkn magari yalikuwa yanajaza kabla ya Covid 19 kulikuwa hakuna pa kupumulia. Cha ajabu nenda sehemu inayomilikiwa na watu binafsi, mfano mzuri ni Mlimani city panafanyiwa ukarabati wa mara kwa mara ndio maana miundombinu yake haichakai na kuharibika hovyo, machache ni hayo mengi nabakisha kwa siku nyingine.
magufuli ndo kila kitu,
nimefurahi kuiona live
Nawakumbusha tuu,wakati hiyo reli inajengwa na mandege,na mradi wa umeme inajengwa,namkumbuke,MIAKA 5 tu, MAGUFULI anatosha
Wambie wasije sahau
Raisi wetu ni moto Tanzania juu
Ktka swala la katba naamini upinza watogoma kubadilishwa ili kusiwe na kikomo cha ulaisi
Tutapiga Kura,
Viva JPM
Huna haja yakampen
Ukweli kabisa,kwa sababu ya ahadi zake kuzitimiza na vitendo vya maendeo vinaonekana
Unadanganya sana. Lol....stesheni Dar inawekwa Tanzanite!!!! Umenikimbiza .kwaheri.
Ndugu zangu naombeni kuuliza swali.drone inauwezo wa kuruka kilometa ngapi mpaka itakapo ishiwa charge na kuludi mahali husika
Sijui
Kwa hali hii magufuli anafaa kuendelea kua kiongozi ,ni kweli hapa ni kazi tu
pongezi kwalaisi wetu
Jeanafa ww moto wawapi hauwezi shindana namzungu vinakotoka ivyo vitu
Acha ukuma wewe kwani mzungu nani hizo teknolojia zenyewe kaziiba kwa mababu zetu kaenda kuziendeleza kidogo kisha anadanganya ulimwengu kuwa ndo mgunduzi acha ufala wewe mzungu mtu wa kawaida tu
Ok!
Iko pw