MPYA: KWENYE ARDHI YENYE LAANA - 1/12 SIMULIZI ZA KUTISHA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 100

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 ปีที่แล้ว +6

    Japo ni siku ya pili sikati tamaa ni muhimu kwa Afya yangu😂😂😂😂 ayaaa huyu ndo Amani Kigoye bhana👌👌👌👌💥💥 na msimuliaji wetu kaka Felix Mwenda💪💪💪💪

  • @halimahaji3856
    @halimahaji3856 ปีที่แล้ว +3

    Weweee ,kaka felix yaani nainjoy kukusikiliza katika sector hizi, 🥰🥰🥰🥰

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 ปีที่แล้ว +2

    Wow shukran Habibi Felix mwenda na Amani mwenyewe niko nyuma yenu nikitega sikio langu kujifunza na pia kujiburudisha na kupunguza stress ili niendelee kuishi maisha mema

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 ปีที่แล้ว +2

    Tobhaaa!!!..haya twende!! kz thanks Smix pamoja sana

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante my Felix, hakika unanipa burudani , ur voice is so swt

  • @fatematrtr4995
    @fatematrtr4995 ปีที่แล้ว +2

    Tumerud kwa bwana kigoyee swafiii xanaa twende Kaz ferix😍😍😍👌

  • @frankpablo8256
    @frankpablo8256 ปีที่แล้ว +1

    Nina zaidi ya miaka Saba nafatlia na kuskiliza simulizi mix daah Asanteni saana

  • @salmasalumu2024
    @salmasalumu2024 ปีที่แล้ว +2

    Wa mwisho mie like zenu

  • @thuleythasule7036
    @thuleythasule7036 ปีที่แล้ว +1

    Thuleytha mm nimekuwa wakwnza like zenu jemen

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 ปีที่แล้ว +2

    Benyewe abo Mr Mwenda and Kigoye ni 🔥🔥🔥👌

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 ปีที่แล้ว +3

    Kagoye, bigup sana Bro, Ila usiache chombeza za kilomo , yule mlevi mjanja

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 ปีที่แล้ว +5

    Tunainjoi tuu na simulizi mix like zenu🥰🥰🥰🥰

  • @emmanuelmwatujobe8450
    @emmanuelmwatujobe8450 ปีที่แล้ว +1

    Nilivyoona tu jina la simuzili nikajua uyu msimuliaji atakuwa mwenda maana anajua kuzitendea haki simulizi za kutisha 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 ปีที่แล้ว +3

    Wow Felix kumbe mpya hii?
    Bigup sana, Nakupenda Sana bro Kagoye, na ninaKusalute kwa utunzi wako .

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 ปีที่แล้ว +1

    We're here again,lets go mr.felix🤝

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 ปีที่แล้ว +3

    Hii nayo ni LAANA KWELI🔥🔥 SHUKRAN SANA SIMULIZI MIX

  • @lillykuiname69
    @lillykuiname69 ปีที่แล้ว +2

    Kitu kipya ndani ya mjengo 🥰🥰🥰

  • @dinahwafula2538
    @dinahwafula2538 ปีที่แล้ว +2

    Daah nilichelewa wapi Kumbe kuna kitu roho inapenda huku😂😂

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sana kaka Felix kwa Simulizi mpya

  • @mezeaally8545
    @mezeaally8545 ปีที่แล้ว +1

    Kitu kipya japo nimechelewa 😊 iLa tupo pamoja

  • @eca-mlondanyiabokyo4416
    @eca-mlondanyiabokyo4416 ปีที่แล้ว +2

    First one

  • @mwanahawayunus3653
    @mwanahawayunus3653 ปีที่แล้ว +2

    Kigoe noma..alafu msimulizi ni boss felex👍👍

  • @MwarabuOnlineStreaming
    @MwarabuOnlineStreaming ปีที่แล้ว +1

    r
    Felix Brother ulikua wapi, nlikua nakitafuta kitambo, nlikua sion ladha za simulizi bila kusikia chombezo zako, nmekua disappointed more than 3 months ! daaah ila nn Keep it up tuko nyuma yako...

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 ปีที่แล้ว +3

    Mambo ya Amani kigoye ndio hayo ya ardhi... Vijiji.... Misitu.... Twende Sasa kaka felix

  • @phariahkhamayi8145
    @phariahkhamayi8145 ปีที่แล้ว +1

    Tuko hapa Kwa mpigo Kaka Felix tulikuwa tumeboeka

  • @diddahjay2185
    @diddahjay2185 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sana simulizi kma hizi.

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 ปีที่แล้ว +1

    Dah huyu mtawala pya wa Gondo hawaogopi laana jamani!!, How comes watu wafanye ukatiri kihivyo😟😟😟

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 ปีที่แล้ว +1

    I salute u bro Kagoye

  • @bahaticlinton4581
    @bahaticlinton4581 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali sana felx

  • @hasamsaid4578
    @hasamsaid4578 ปีที่แล้ว +1

    Duh nimechelewa lkn tupo pamoja bro

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 ปีที่แล้ว +2

    Felix na Kigoye😘😘😘😘

  • @jovinjulius9852
    @jovinjulius9852 ปีที่แล้ว +2

    Mr. Mulumbi Mathew inabidi atokee na humu 😂😂😂 alafu kuna mtu anaitwa Chilomo nimemmis sana aisee

  • @sheikhasaidsheikhasaid6752
    @sheikhasaidsheikhasaid6752 ปีที่แล้ว +1

    Jamani Edgar nae katukimbiaaa tumemmiss

    • @peninamwailunda8813
      @peninamwailunda8813 ปีที่แล้ว +1

      Nadhani anajipanga, akiibuka atakuja na kitu matata

  • @engmanyaki_charles9871
    @engmanyaki_charles9871 ปีที่แล้ว +3

    Mtaaalamu kigoyee

  • @linetmagozti6434
    @linetmagozti6434 ปีที่แล้ว +1

    Aki nimengoja hadi imefika asante Felix

  • @kibibikombe9203
    @kibibikombe9203 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana wana simulizi mix

  • @aishamukandanga6892
    @aishamukandanga6892 ปีที่แล้ว +2

    Tumekutana tena huku KWa Amanj Kigoye

  • @faizajumwa4696
    @faizajumwa4696 ปีที่แล้ว

    Ahaaa!!ndonainza🎧🙄🇰🇪

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 ปีที่แล้ว +1

    Safy kabsa

  • @AishaOthumani-xq4ec
    @AishaOthumani-xq4ec 3 หลายเดือนก่อน

    Mikono ya amani kigoye kazini tena kigongo kikaali❤

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr 9 หลายเดือนก่อน

    Fantastic 😂😂😂😢😢❤❤

  • @asiaoman2979
    @asiaoman2979 ปีที่แล้ว +2

    Mdogo mdogo tunaanza

  • @rosemalekela8752
    @rosemalekela8752 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yan nlipockia ni felix tu mi kiroho kwatuuii😊

  • @fa7m7l10
    @fa7m7l10 ปีที่แล้ว +1

    hapana kwa kweli kwan mnalalaga hum ndani

  • @nailamimi20
    @nailamimi20 ปีที่แล้ว +1

    Tulimisi haya mambo jmn ❤

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 ปีที่แล้ว +1

    Tunasonga nayo mdogo mdogo ✌️

  • @mwanamisikifogo869
    @mwanamisikifogo869 ปีที่แล้ว +1

    Hii simulizi iko poa san nilipenda san niko mkao wa kuisubir hap

  • @Adonai810
    @Adonai810 ปีที่แล้ว +2

    OMG ANOTHER ONE, THIS GONNA BE GREAT. LET'S GO GET THE BOOK Y'ALL 😂😂😂🔥🔥🔥. MR FELIX

    • @sks.839
      @sks.839 ปีที่แล้ว

      Haya para simuliz mpya kutoka kwangu

  • @rafiimohammed8446
    @rafiimohammed8446 ปีที่แล้ว +2

    Rms sawaa

  • @sashaqueentz3753
    @sashaqueentz3753 ปีที่แล้ว

    Ooh mmeniwah sana

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 ปีที่แล้ว +1

    Wa mwisho🥺🥺

  • @bonymigbo4526
    @bonymigbo4526 ปีที่แล้ว

    Unajua kusimulia kwakwwery ...biguuuup

  • @aminah9557
    @aminah9557 ปีที่แล้ว +1

    Waaah kule kuna Black mamba na huku kuna Black women

    • @fatumajumanne5961
      @fatumajumanne5961 ปีที่แล้ว

      Ukasahau black mafia kule washakuwa weupe 🤣🤣🤣🤣

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @dannyrayson2785
    @dannyrayson2785 ปีที่แล้ว +1

    Nashauri stor inavoanza kuwe na kile kiitikio kama stor za nyuma ikiwemo mrembo kipofu namaanisha ile saut Kam mziki wa taratiib

  • @sks.839
    @sks.839 ปีที่แล้ว +1

    Gusa link

  • @erinkweks9592
    @erinkweks9592 ปีที่แล้ว +2

    Jmn tulikua tuna msubiri kwa ali n mali amani kigoye

  • @michaellazaro7874
    @michaellazaro7874 ปีที่แล้ว +1

    Nipoooi

  • @ashaswaleh7587
    @ashaswaleh7587 ปีที่แล้ว +1

    Nimechelewa lkn nimefika asante sana felix na amani kigoye

  • @pilishazycounterog8200
    @pilishazycounterog8200 ปีที่แล้ว

    Mm siwaelew wasimuliaj wote Zaid ya kk felyx Mwenda tuu

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 ปีที่แล้ว +1

    👌🏿👌🏿

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah ❤

    • @sks.839
      @sks.839 ปีที่แล้ว

      Gusa profile Moja kwa Moja kwa simuliz yang

  • @momzome4146
    @momzome4146 ปีที่แล้ว +1

    Jmn natak kujua iv simuliz mix ipo kweli mjin ama maan siwaelew kwa nn mlitak tu download wakat hamna kaz nayo na Wala hampost tena kulikon

    • @peninamwailunda8813
      @peninamwailunda8813 ปีที่แล้ว

      Hata mm nikiingia sioni kipya sometimes inaleta error,
      Maybe Kuna kitu wanaboresha hakijakaa sawa, nawaaminia Hawa simulizi mix. Ngoja siku kukicha vizuri ntawapa surprise ya lunch 😀

  • @ibraibra1761
    @ibraibra1761 ปีที่แล้ว +1

    Nimewahi

  • @kibibikombe9203
    @kibibikombe9203 ปีที่แล้ว +1

    Tupeni nyengine ya kijasusi twataka moto juu ya moto

    • @paulinemutheu8165
      @paulinemutheu8165 ปีที่แล้ว

      I think paniela inakuja kesho , Hiyo n ya kijasusi

  • @sheikhasaidsheikhasaid6752
    @sheikhasaidsheikhasaid6752 ปีที่แล้ว +1

    Wa 6

  • @mwajumamsengwa
    @mwajumamsengwa ปีที่แล้ว +1

    👍👍👍

  • @lusajomwafilombe2046
    @lusajomwafilombe2046 ปีที่แล้ว +2

    Apo saw nae kigoye alipoasan dah

  • @batuliahmed2113
    @batuliahmed2113 ปีที่แล้ว

    😂😂 aya kweli ujuzi sio makalio

  • @rafiimohammed8446
    @rafiimohammed8446 ปีที่แล้ว +2

    😀😀😀😄😄😄😄💖💖💖💖💖💖💖

  • @mwanyemimohamed2191
    @mwanyemimohamed2191 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 ปีที่แล้ว

    Wacha tuone mchezo wa Sasha, Hunna, na Jiddah

  • @nasirhosen-dr8tm
    @nasirhosen-dr8tm ปีที่แล้ว

    Duuuhhh

  • @salmahaji5832
    @salmahaji5832 ปีที่แล้ว +1

    Tupoo

  • @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI
    @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI 11 หลายเดือนก่อน

    Duuuuu

  • @ziyadamubark1612
    @ziyadamubark1612 ปีที่แล้ว

    Sasa nahamia huku

  • @ibraibra1761
    @ibraibra1761 ปีที่แล้ว

    😀😀