Wow shukran Habibi Felix mwenda na Amani mwenyewe niko nyuma yenu nikitega sikio langu kujifunza na pia kujiburudisha na kupunguza stress ili niendelee kuishi maisha mema
r Felix Brother ulikua wapi, nlikua nakitafuta kitambo, nlikua sion ladha za simulizi bila kusikia chombezo zako, nmekua disappointed more than 3 months ! daaah ila nn Keep it up tuko nyuma yako...
Hata mm nikiingia sioni kipya sometimes inaleta error, Maybe Kuna kitu wanaboresha hakijakaa sawa, nawaaminia Hawa simulizi mix. Ngoja siku kukicha vizuri ntawapa surprise ya lunch 😀
Japo ni siku ya pili sikati tamaa ni muhimu kwa Afya yangu😂😂😂😂 ayaaa huyu ndo Amani Kigoye bhana👌👌👌👌💥💥 na msimuliaji wetu kaka Felix Mwenda💪💪💪💪
Weweee ,kaka felix yaani nainjoy kukusikiliza katika sector hizi, 🥰🥰🥰🥰
Wow shukran Habibi Felix mwenda na Amani mwenyewe niko nyuma yenu nikitega sikio langu kujifunza na pia kujiburudisha na kupunguza stress ili niendelee kuishi maisha mema
💕💕💕👍💪
Tobhaaa!!!..haya twende!! kz thanks Smix pamoja sana
Ahsante my Felix, hakika unanipa burudani , ur voice is so swt
Tumerud kwa bwana kigoyee swafiii xanaa twende Kaz ferix😍😍😍👌
mwaka mpya moto mpya
Nina zaidi ya miaka Saba nafatlia na kuskiliza simulizi mix daah Asanteni saana
Big up sana bro
Wa mwisho mie like zenu
Thuleytha mm nimekuwa wakwnza like zenu jemen
Benyewe abo Mr Mwenda and Kigoye ni 🔥🔥🔥👌
Kagoye, bigup sana Bro, Ila usiache chombeza za kilomo , yule mlevi mjanja
soon nayeye anarudi kaa tayari kwa Kalomo
Tunainjoi tuu na simulizi mix like zenu🥰🥰🥰🥰
Mamb
Nilivyoona tu jina la simuzili nikajua uyu msimuliaji atakuwa mwenda maana anajua kuzitendea haki simulizi za kutisha 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😀😀😀💕💕💕
Wow Felix kumbe mpya hii?
Bigup sana, Nakupenda Sana bro Kagoye, na ninaKusalute kwa utunzi wako .
shukran sana dada angu nami nakupenda pia
We're here again,lets go mr.felix🤝
Hii nayo ni LAANA KWELI🔥🔥 SHUKRAN SANA SIMULIZI MIX
Kitu kipya ndani ya mjengo 🥰🥰🥰
Daah nilichelewa wapi Kumbe kuna kitu roho inapenda huku😂😂
Shukran sana kaka Felix kwa Simulizi mpya
Kitu kipya japo nimechelewa 😊 iLa tupo pamoja
First one
Kigoe noma..alafu msimulizi ni boss felex👍👍
shukran sana
r
Felix Brother ulikua wapi, nlikua nakitafuta kitambo, nlikua sion ladha za simulizi bila kusikia chombezo zako, nmekua disappointed more than 3 months ! daaah ila nn Keep it up tuko nyuma yako...
Mambo ya Amani kigoye ndio hayo ya ardhi... Vijiji.... Misitu.... Twende Sasa kaka felix
😀😃😄😂
Tuko hapa Kwa mpigo Kaka Felix tulikuwa tumeboeka
Napenda sana simulizi kma hizi.
Dah huyu mtawala pya wa Gondo hawaogopi laana jamani!!, How comes watu wafanye ukatiri kihivyo😟😟😟
I salute u bro Kagoye
Nakubali sana felx
Duh nimechelewa lkn tupo pamoja bro
Felix na Kigoye😘😘😘😘
Mr. Mulumbi Mathew inabidi atokee na humu 😂😂😂 alafu kuna mtu anaitwa Chilomo nimemmis sana aisee
😀😀😀 yaani hata mm nikiona mtunzi ni Kagoye huwa natamani Kalamo nimsikie
anakuja Kalomo msijali yuko njiani anajiandaa
Jamani Edgar nae katukimbiaaa tumemmiss
Nadhani anajipanga, akiibuka atakuja na kitu matata
Mtaaalamu kigoyee
🙏✊
Aki nimengoja hadi imefika asante Felix
Safi Sana wana simulizi mix
Tumekutana tena huku KWa Amanj Kigoye
tumekutana na sizani kama tutapoa na kupoteana tena
Ahaaa!!ndonainza🎧🙄🇰🇪
Safy kabsa
Mikono ya amani kigoye kazini tena kigongo kikaali❤
Fantastic 😂😂😂😢😢❤❤
Mdogo mdogo tunaanza
Yan nlipockia ni felix tu mi kiroho kwatuuii😊
hapana kwa kweli kwan mnalalaga hum ndani
Tulimisi haya mambo jmn ❤
Tunasonga nayo mdogo mdogo ✌️
Hii simulizi iko poa san nilipenda san niko mkao wa kuisubir hap
OMG ANOTHER ONE, THIS GONNA BE GREAT. LET'S GO GET THE BOOK Y'ALL 😂😂😂🔥🔥🔥. MR FELIX
Haya para simuliz mpya kutoka kwangu
Rms sawaa
Ooh mmeniwah sana
Wa mwisho🥺🥺
Unajua kusimulia kwakwwery ...biguuuup
Waaah kule kuna Black mamba na huku kuna Black women
Ukasahau black mafia kule washakuwa weupe 🤣🤣🤣🤣
Nice
Nashauri stor inavoanza kuwe na kile kiitikio kama stor za nyuma ikiwemo mrembo kipofu namaanisha ile saut Kam mziki wa taratiib
Gusa link
Jmn tulikua tuna msubiri kwa ali n mali amani kigoye
sasa amerudi mwamba huyu hapa😃
Nipoooi
Nimechelewa lkn nimefika asante sana felix na amani kigoye
asante na kwako pia kwa kuendelea kutufatilia
Mm siwaelew wasimuliaj wote Zaid ya kk felyx Mwenda tuu
👌🏿👌🏿
Mashaallah ❤
Gusa profile Moja kwa Moja kwa simuliz yang
Jmn natak kujua iv simuliz mix ipo kweli mjin ama maan siwaelew kwa nn mlitak tu download wakat hamna kaz nayo na Wala hampost tena kulikon
Hata mm nikiingia sioni kipya sometimes inaleta error,
Maybe Kuna kitu wanaboresha hakijakaa sawa, nawaaminia Hawa simulizi mix. Ngoja siku kukicha vizuri ntawapa surprise ya lunch 😀
Nimewahi
Tupeni nyengine ya kijasusi twataka moto juu ya moto
I think paniela inakuja kesho , Hiyo n ya kijasusi
Wa 6
👍👍👍
Apo saw nae kigoye alipoasan dah
nimerudi sasa
😂😂 aya kweli ujuzi sio makalio
😀😀😀😄😄😄😄💖💖💖💖💖💖💖
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wacha tuone mchezo wa Sasha, Hunna, na Jiddah
Duuuhhh
Tupoo
Duuuuu
Sasa nahamia huku
😀😀