Shukran kwa uwezo na kipaji cha kutujuza, nauliza kama natumia karafuu kusafisha kizazi jee, naweza kutumia nahii kokwa pamoja au moja inatosha? Ipi nzuri zaid
Presha pia inatibu ni nzur sana ata kina dokta mwaka wanazitumia hila juwa zuri la asubuh la vitamin A na la swala ya jion la vitamin D la vitamin C sio nzur itakuwa kama unatengeneza sumu
Shukran kwa uwezo na kipaji cha kutujuza, nauliza kama natumia karafuu kusafisha kizazi jee, naweza kutumia nahii kokwa pamoja au moja inatosha? Ipi nzuri zaid
Mashallah kwa elimu ambayo nilikuwa siijui shukran sana dear sizitupi tena
❤❤❤
Thanks
Jee unaweza kuongeza kiongo chochote chachai ili kupoteza harufu yake au hatakiwi kuweka km iliki,karafu au star
Mashallah ❤nice lesson
Presha pia inatibu ni nzur sana ata kina dokta mwaka wanazitumia hila juwa zuri la asubuh la vitamin A na la swala ya jion la vitamin D la vitamin C sio nzur itakuwa kama unatengeneza sumu
na ukinywa huweki sukari?
Inasaidia pia kwa vidonda vya tumbo kama utaianika katika juwa la vitamin d utapata dawa ya kansa pia
Jee unaweza kutumiaa unga wa wake...niliuhifadhi kwa kusaga
Mashallah shukran ukhty
🥰🥰🥰
unaweza pika
Assalam Alaykum, naweza kutumia kokwa ya parachichi na alafu karafuu kwa kusafisha kizazi? Vyote ukanywa kwa siku moja
Asante kumbe unaweza sagia ata kidude cha caroti
Je naweza changanya na kalafuu
Kwaiyo unaweza tumia ivyo ivyo bila kuifanya kua unga
Ws InshaAllah nitajaribu pia
Inshallah mine❤😅
Ma sha Allah
Walyku,m Salam jee inaondoa infection ukeni?? Shukran
Yes dear inatibu.. shukran ❤❤
Number yangu ya simu.. +254740797748❤❤ kindly lovies like this video 🥰🥰
Nakunywa hata mbich kabla sijaanika
Asante
Je utaona mabaliko gan baaxa ya kutumia kokwa ya avokado
Naweza changanya na kiungo kingne kama karafuu??
Je utaona dalili gani kama tatizo
Lipo baada yakutumia ovacado
Assalam aleykum warahmatullah
👍👍👍👍
Mi nimezidi naona pia ntaachwa mana round mbili siziwezi huwa nachubuka ajabu naumia sana
Pole tumia juice ya bamia au kula bamia kwa wingi afu fangus pia inachangia
Mjamzito anaruhusiwa kunywa kinywa hikiii??????
Namba
Naomba namba nashi
Na ukipika
Asante dear,unakunywa wiki moja au?
Wtsapp me nikueleze vizuri my
+254740797748
@@najlaskitchen1572
Hii
Nilikuwa nataka nikawa nawaza nasagia nini nikajuwq paka brenda
Chukua kisagio Cha nyanya tumia kwenye matundu madogo inatoa unga sio lazima kutumia grenda
Mmi natumia kwa diabetes
Unaweza tumia
Ni kweli inatoa gas tumboni ?
Tumia inasaidia sana Kwa kutoa gesi
Number yako ya simu
Asante
Assalam aleykum warahmatullah