😱🤰kokwa Ya Parachichi ina Tibu Fibrous,Kusaidia kupata Ujauzito,Na kuzibuwa Mirija Ya uzazi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 49

  • @HalimaHemed-sh2jd
    @HalimaHemed-sh2jd ปีที่แล้ว

    Shukran kwa uwezo na kipaji cha kutujuza, nauliza kama natumia karafuu kusafisha kizazi jee, naweza kutumia nahii kokwa pamoja au moja inatosha? Ipi nzuri zaid

  • @ashayummy2299
    @ashayummy2299 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah kwa elimu ambayo nilikuwa siijui shukran sana dear sizitupi tena

  • @HappyNishimwe-gb6kx
    @HappyNishimwe-gb6kx ปีที่แล้ว +1

    Thanks

  • @chokandahaza3565
    @chokandahaza3565 ปีที่แล้ว

    Jee unaweza kuongeza kiongo chochote chachai ili kupoteza harufu yake au hatakiwi kuweka km iliki,karafu au star

  • @RukiaLaltia
    @RukiaLaltia ปีที่แล้ว

    Mashallah ❤nice lesson

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Presha pia inatibu ni nzur sana ata kina dokta mwaka wanazitumia hila juwa zuri la asubuh la vitamin A na la swala ya jion la vitamin D la vitamin C sio nzur itakuwa kama unatengeneza sumu

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 ปีที่แล้ว +1

    na ukinywa huweki sukari?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Inasaidia pia kwa vidonda vya tumbo kama utaianika katika juwa la vitamin d utapata dawa ya kansa pia

  • @indiaclipssongs5735
    @indiaclipssongs5735 ปีที่แล้ว

    Jee unaweza kutumiaa unga wa wake...niliuhifadhi kwa kusaga

  • @naimafuad9544
    @naimafuad9544 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah shukran ukhty

  • @angelkiki
    @angelkiki ปีที่แล้ว

    unaweza pika

  • @ZainabHemed-fb5oh
    @ZainabHemed-fb5oh 10 หลายเดือนก่อน

    Assalam Alaykum, naweza kutumia kokwa ya parachichi na alafu karafuu kwa kusafisha kizazi? Vyote ukanywa kwa siku moja

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Asante kumbe unaweza sagia ata kidude cha caroti

  • @vumiliasimon9055
    @vumiliasimon9055 11 หลายเดือนก่อน

    Je naweza changanya na kalafuu

  • @ashakiyumbi2005
    @ashakiyumbi2005 ปีที่แล้ว

    Kwaiyo unaweza tumia ivyo ivyo bila kuifanya kua unga

  • @fatmahassan9288
    @fatmahassan9288 ปีที่แล้ว +1

    Ws InshaAllah nitajaribu pia

  • @sadiasadia3786
    @sadiasadia3786 ปีที่แล้ว

    Ma sha Allah

  • @jamilaahmed2544
    @jamilaahmed2544 ปีที่แล้ว +5

    Walyku,m Salam jee inaondoa infection ukeni?? Shukran

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572  ปีที่แล้ว +3

    Number yangu ya simu.. +254740797748❤❤ kindly lovies like this video 🥰🥰

  • @paulinaenock9255
    @paulinaenock9255 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @AbdallaBadru-th7xc
    @AbdallaBadru-th7xc ปีที่แล้ว

    Je utaona mabaliko gan baaxa ya kutumia kokwa ya avokado

  • @ommytheone
    @ommytheone ปีที่แล้ว

    Naweza changanya na kiungo kingne kama karafuu??

  • @khadijaabdulbaamar7345
    @khadijaabdulbaamar7345 ปีที่แล้ว

    Je utaona dalili gani kama tatizo
    Lipo baada yakutumia ovacado

  • @NshimirimanaTatty
    @NshimirimanaTatty ปีที่แล้ว

    Assalam aleykum warahmatullah

  • @diwaninaaman4089
    @diwaninaaman4089 ปีที่แล้ว +1

    👍👍👍👍

  • @minajrandani4369
    @minajrandani4369 ปีที่แล้ว

    Mi nimezidi naona pia ntaachwa mana round mbili siziwezi huwa nachubuka ajabu naumia sana

    • @LucyPaul-ve4kd
      @LucyPaul-ve4kd ปีที่แล้ว

      Pole tumia juice ya bamia au kula bamia kwa wingi afu fangus pia inachangia

  • @beatricekamamaa209
    @beatricekamamaa209 ปีที่แล้ว

    Mjamzito anaruhusiwa kunywa kinywa hikiii??????

  • @AbdillahAbubakari-iy9ng
    @AbdillahAbubakari-iy9ng ปีที่แล้ว

    Namba

  • @salmayasir5677
    @salmayasir5677 ปีที่แล้ว

    Naomba namba nashi

  • @angelkiki
    @angelkiki ปีที่แล้ว

    Na ukipika

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 ปีที่แล้ว +1

    Asante dear,unakunywa wiki moja au?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Nilikuwa nataka nikawa nawaza nasagia nini nikajuwq paka brenda

    • @JumanneMchezi
      @JumanneMchezi 5 หลายเดือนก่อน

      Chukua kisagio Cha nyanya tumia kwenye matundu madogo inatoa unga sio lazima kutumia grenda

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 ปีที่แล้ว

    Mmi natumia kwa diabetes

  • @luckymabula2856
    @luckymabula2856 ปีที่แล้ว

    Ni kweli inatoa gas tumboni ?

    • @JumanneMchezi
      @JumanneMchezi 5 หลายเดือนก่อน

      Tumia inasaidia sana Kwa kutoa gesi

  • @angelkiki
    @angelkiki ปีที่แล้ว

    Number yako ya simu

  • @PrisilaGwakisa-no6kx
    @PrisilaGwakisa-no6kx 8 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @NshimirimanaTatty
    @NshimirimanaTatty ปีที่แล้ว

    Assalam aleykum warahmatullah