ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
unafanya kazi vizuri dada, Mungu akubariki kinacho nigusa sana ni ueleweshaji wako.
Yani dadangu unaeleza vizuri sana nmependa undelea kutufunza nguo nyingi zaidi
Asante Sana dada Milka kwa kazi yako nzuri, nakuelewa vizuri sana umetusaidia Sana.Hongera Sana na Mungu akubariki
Amina sana dear 🥰
asante dada kwa kwa kazi
Ahsante dada nimekupata vzr
Ongera sana dada Yani unajua kufundisha vizuri sana❤
Ndugu yangu mungu akubariki na abaliki kazi y mikono yako hakika nimeelewa fundi mwenzangu asanter sana hakika
Kazi nzuri naelewa Sasa 👩🎓
hongera dada kwakaz nzr nashukulu nimepata kuelewa mung akubaliki san
Ubarikiwe sn
Mashallah unafahamisha vzr mashallah alkah azidi kukubariki na kukuongezea rizki ya hali na ya wepesi na sote kiujmla
Uko vizur dada
Upo vizur dear
Asante sana mdogo angu yn unaeleweka sana mungu akubarik
Ubarikiwe sana dear
Yanii dada yng unaelewesha sn mungu akuzidishie umuri mrefu
Amina 🥰🤲🤲
Hongera much love from kenya
Upo vizur
Asante kipenz
Asante dada 🙏
Asante findi
Asante❤
Asantee mpenzi nimeelewa naomba uniunganishe kwenye group dada angu
Vzr
Shukran sana kipenzi ila belt sijajua unakata nchi ngapi?
Thanks
Asante madam
Asee unaelekeza vzr
Naomba uniunganishe dada angu
SUBHANNA LLAH Allah akbar
❤
Uko wapi
Barikiw
Dada naomba kyjifunza jinsiyakukata nakushona gaunila tikisa na MUNGU atakubariki
Naomba kuulizia swali juu.ya Kapura ya lastiki vipande vyake vyotevinalinga vya mbele na nyuma au inakuaje
Kwenye kapitula yetu sikuona sehemu gani tuliyo weka vipimo vya Hps na sehemu tuliyo weka vipimo vya paja, na msamba wakapitula yetu ni ngapi ? Samahani kwa swali lkn nataka nihelewe. Asante.
Nitumie namba yako nikucheki wasapu iri kuerewa vizur zaidi❤❤
KAZ NZURISANA NIUNGE KWENYE GROUP KM LIPO❤
Ningependa kufahamu kama nimesha hungwa ndani ya group?
Mbona hujamalizia my dear
Naomba video ya mendelezo
Aisee dada Unajuwa kuelekez yaani mpaka Leo hii nimekuwa fund w kuelewekwa Kwa sababu yako ongera
Dada sijaona mfuko wanyuma
VIZURI
Mwalimu mbona hau,malizii?? kusho Mimi nimeshwidwa sababu haumalizii😢!!
Kweny kuwek zp bad
Unafaa kuwa mwalimu wa mafunzo ya chelehani,yaan nimeelewa sana
Unakunjia kitambaa ndani au nje
Uko vizier but Malizia mpaka mwisho
Ila ujamalizia imeishia njiani
Uu
Ongera
Nauliza hips hujapima
Akuna fundi Apo wewe uliona wapi kipande Cha nyuma kinakatwa inyo
Niunge
asante kwa mafunzo yako yamenisaidia saana
unafanya kazi vizuri dada, Mungu akubariki kinacho nigusa sana ni ueleweshaji wako.
Yani dadangu unaeleza vizuri sana nmependa undelea kutufunza nguo nyingi zaidi
Asante Sana dada Milka kwa kazi yako nzuri, nakuelewa vizuri sana umetusaidia Sana.Hongera Sana na Mungu akubariki
Amina sana dear 🥰
asante dada kwa kwa kazi
Ahsante dada nimekupata vzr
Ongera sana dada Yani unajua kufundisha vizuri sana❤
Ndugu yangu mungu akubariki na abaliki kazi y mikono yako hakika nimeelewa fundi mwenzangu asanter sana hakika
Kazi nzuri naelewa Sasa 👩🎓
hongera dada kwakaz nzr nashukulu nimepata kuelewa mung akubaliki san
Ubarikiwe sn
Mashallah unafahamisha vzr mashallah alkah azidi kukubariki na kukuongezea rizki ya hali na ya wepesi na sote kiujmla
Uko vizur dada
Upo vizur dear
Asante sana mdogo angu yn unaeleweka sana mungu akubarik
Ubarikiwe sana dear
Yanii dada yng unaelewesha sn mungu akuzidishie umuri mrefu
Amina 🥰🤲🤲
Hongera much love from kenya
Upo vizur
Asante kipenz
Asante dada 🙏
Asante findi
Asante❤
Asantee mpenzi nimeelewa naomba uniunganishe kwenye group dada angu
Vzr
Shukran sana kipenzi ila belt sijajua unakata nchi ngapi?
Thanks
Asante madam
Asee unaelekeza vzr
Naomba uniunganishe dada angu
SUBHANNA LLAH Allah akbar
❤
Uko wapi
Barikiw
Dada naomba kyjifunza jinsiyakukata nakushona gaunila tikisa na MUNGU atakubariki
Naomba kuulizia swali juu.ya Kapura ya lastiki vipande vyake vyotevinalinga vya mbele na nyuma au inakuaje
Kwenye kapitula yetu sikuona sehemu gani tuliyo weka vipimo vya Hps na sehemu tuliyo weka vipimo vya paja, na msamba wakapitula yetu ni ngapi ? Samahani kwa swali lkn nataka nihelewe. Asante.
Nitumie namba yako nikucheki wasapu iri kuerewa vizur zaidi
❤❤
KAZ NZURISANA NIUNGE KWENYE GROUP KM LIPO❤
Ningependa kufahamu kama nimesha hungwa ndani ya group?
Mbona hujamalizia my dear
Naomba video ya mendelezo
Aisee dada
Unajuwa kuelekez yaani mpaka Leo hii nimekuwa fund w kuelewekwa Kwa sababu yako ongera
Dada sijaona mfuko wanyuma
VIZURI
Mwalimu mbona hau,malizii?? kusho Mimi nimeshwidwa sababu haumalizii😢!!
Kweny kuwek zp bad
Unafaa kuwa mwalimu wa mafunzo ya chelehani,yaan nimeelewa sana
Unakunjia kitambaa ndani au nje
Uko vizier but Malizia mpaka mwisho
Ila ujamalizia imeishia njiani
Uu
Ongera
Nauliza hips hujapima
Akuna fundi Apo wewe uliona wapi kipande Cha nyuma kinakatwa inyo
Niunge
asante kwa mafunzo yako yamenisaidia saana
Uko wapi