Tabata Mennonite Choir - Getsemane (Official Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Tabata Mennonite Choir - Getsemane (Official Video)
#TabataMennoniteChoir #TabataChoir
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music, kikuyu gospel music, taarab music, bongo movie, bongo movies, tanzania movies, kanumba movie, steven kanumba, swahili gospel music, kikuyu, mugithi, mugithi mix
Tunaosikilikiliza haya madini 2024 tujuane hapa
Naitafuta nidawnlod siipati 😢😢
kitambo sana naipenda
🤞🤞
mimi hapa
Naitwa jakobo athuman hata mm naipenda San pole San umenitoa machoz mungu akubariki
Wangapi tuko hapa 20.9.2024 Hakika Mungu awabariki watumishi wa Mungu🙏
Mm nina miaka 30 tangu nimesikia huu wimbo had leo sijawahi kuchoka kuusikiliza kama naww unajifariji hadi leo 2024 gonga like hapa kisha tuombe MUNGU ikiwezekana hiki kikombe cha uchumi kuyumba biashara hakuna kazi hakuna ikiwezekana hiki kikombe cha umasikini kituepuke
Sema miaka 30 ni uwongo aisee
Wako wapi hawa watu alie na jibu naomba anijibu
Wengine walikufa
Nani Yuko hapa Leo ijumaa kuu bwana yesu asifiwe
AMINA
wale tumetoka TikTok likes zikuje
Enyewe kama sio TikTok sigeijua nayo unapedeza kweli
Nani mwingine anakoshwa na "AAAH, AAAH...." gonga like tujuane😅😅
Wenye tunazidi kubarikiwa 2024 mikono juu
Niko apa nikitoka TikTok wapi like zangu jameni
Wenye tumetoka tktok gonga like❤❤🎉🎉🎉
Ijumaa kuu ya Leo 2024, na dude kama hili
Kama nawe pia upo tayar twende weka like ya kuamin💯💯🏃🏃🏃
💯💯
Hizi nyimbo zakitambo zinani Bamba ❤
Tujuwane jmn wenzangu tunaoendelea kubalikiwa 2024 na kazi hii na jina la bwan lihimidiwe .
Tuko pamoja
Leo1/9/2024❤🎉 who listening with us☝️
Hizi nyimbo ziliimbwa kwa hisia sana, Mungu awabariki
Mi muislam lakin naipenda hii nyimbo balaa
Is now your point time to in jesus.May mighty God sum up you to in on his kingdom.Amen
Yesu anakupenda ni muda umefika uokoke, Okoka
Consolata Sankwa emen
Edwin Mgovano emen
Muslam mwenye upendo wa ajabu Mungu akubariki matendo mema
Huu wimbo nikikuwa kijana mdogo marehem baba yangu na mama yangu walikuwa wanaipenda kanda ya wimbo huu leo hawapo duniani nimekumbuka mbali sana
Kwakweli walikuwa wako vizuri
Mungu hakutie nguvu 2 ingawa ni ngumu kujikaza
Pole my dear
pole sana wajina
Pole sana ndugu yangu Kwa kuondokewa na wazazi wako wote
Wimbo bora sana
Nyimbo naipenda sana nilisikia jilani yangu kaupiga nikaukumbuka nikabidi niuckilize❤2024
Marehemu Baba yangu alipenda sana hii nyimbo,Rest Well Dad❤
Menaite.tabata.uw.inaipa.amni.rohoni
Mnadance kwa utaratibu mno,💕💕💕watu siku izi wanacheza kama vipeopeo
2024 still watching this anointing song ❤
Wimbo huu Mimi ulinifanya kumjua mungu kuwa alitupenda sana wanadam
Akaomba akisema ee baba ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke ila sii kama nitakavyo Mimi Bali utakavyo wewe basi na sisi tunakuomba utuepushe na kikombe hiki cha korona kama ikikupendeza baba yetu ulie mbinguni
Amen
Yesu akuwa na maombi ya ubinafsi kama sisi ndio maana alitaka kuomba kikombe kimuepuke ila akukumbuka nilazima afe kwaajili ya waliopotea
Mungu ainuliwe juu Mbinguni Kwa matendo yake makuu. Tukeshe Kwa kusali na kuomba Kwa kua hatuijui siku Wala saa atakayokuja mwana wa Adam.
Pure talent all round. Thanks, good song!!
Mungu awatangulie Yani natamani sana niwe mwimbaji wakwaya
Nimezisikiliza zamani nikiwa primary miaka ya tisini mpaka sasa za moto Mungu aendelee kutupa habari njema kama hizi
Tatizo waalimu wa hizi kwaya,,,,wanamalizika naona,,,,,sasa tunabaki na bongofleva za kidini,,,,Eee Mungu tukumbushe tulikotoka na kwaya zenye ujumbe kama huu ziko wapi??
Hata Mimi kwasasa naona bongo fleva tu.sijaona kwaya.
Nyimbo za siku hizi ni mashindano kwenye TV na cyo kufikisha ujumbe wa Mungu kwa Wanadamuu...
Kwel mung atusaidie
pray for them
When gospel was truly anointed by the holy Spirit.
I wonder if time will go back to these good days.
Very nostalgic!
Jaman naipenda sana sasa nashindwa kuuhifanzi kwangu
Wangapi Wako Hapa Wakati Huu Tukiingia Mwezi Wa Pasaka🙏🙏
A soul touching song...naiskiza kama nimefunga macho
watunzi wa hizi enzi walikua na upako kweli,miaka yote io na bado kusikiza ujumbe ni swari na upako bado watiririka kweli,kuna Mungu aishiye jameni.
Finally nimepata wimbo jameni
Mungu amrehemu baba yangu, moyoni mwangu UNAISHI. in those days ulikuwa unabonyesha replay kila wimbo ukikaribia kuisha
Nyimbo zinazoishi hadi leo tangu nikiwa mdogo nilikuwa nazipenda hizi nyimbo Mungu aendelee kuwabariki🙏🏿
Ni kwa neema nipo tena🙏🏿
waimbaji wazamani ilikuwa kweli cyo wasasa
Huu wimbo ni mtamu Hadi unaskiza unajipata nywele za kichwa zinasimama ..kwanza mpangalio wa wimbo wenyewe na instruments umeweza Kabisa...weka like kama umebarikiwa..
When Gospel was real, ile kikombe ya laana, kukataliwa niondolee Baba hii mwaka 2024.
Dah utukufu mwingi Sana... Mfano halisi wa wimbo wa dini.... Nidhamu adabu hekima na utii wa Hali ya juu
❤ hawa waimbaji waliendaga wapi sijasikiaga nyimbo zao tena barikiwa Sana Kwa nyimbo zenu tam sana
2023....can't stop playing...remind me of my late mom😢😢the song though still have the same power... Jesus I love you no matter the lose of our loved once....Nov 2023 ...
Reminds me of my late mom pia, hili lilikua kanisa tulilokuwa tukisali pamoja alipokuwa hai - Tabata Segeres mennonite, alikua anapenda sana wa zile cd za gospel za akina Rose muhando; very nostalgic kwakwl 🙏🙏
Mungu ni mwemaa huu wimbo unanifariji sanaaaaaa ❤
I'm in Kenya but I started watching this in 2007 until today.ina mafundisho hasaa tuombe bila kuchoka.
Ata nikiwa na njaa kusikiliza tu na shiba na upande sana❤❤❤❤❤❤❤
Leo nipo hapa ijumaa kuu
Mungu awabariki sana wote walioshiriki katika Wimbo huu.
Mungu awabariki nyinyi!!!!!!!
Ndabva ndoiwasei nziyo iyi? Ndinoida ino ndiitira
Mungu awazidishie baraka zake popote mlipo menomite choir ninambarikiwa sana ninaposkia wimbo huu ambao unatukumbusha mateso ya yesu.
Wimbo mzuri sana, ulinitia moyo sana 2007 nkisomea KCSE, Mungu abariki Choir hii
Nabarikiwa Sana na nyimbo hizi
Huwa najickia faraja san nnaposikilza hii nyimbo mungu awabarik san
nabarikiwa nai nyimbo👍👍
2021 feb gonga like twenzetu
Leo ni October 15 2023 naangalia wimbo huu,natamani ufanyiwe review
Wacha mungu aendelee kuinuliwa siku zote Amina🙏🙏❤️💕
Amina
Amen
Mavazi yao safi kabisa na hapa Ni kabla shetani hajawa Fundi cherehani
Hahaha
Waimbaji wimbo wenye ujumbe wenye kutukumbusha,hata tunapokuwa tunamwona ndugu ana wakati mgumu Kesha nae kumwombea,19-12-2020Wiliam cresent kirway toka Haydom-manyara.
2021 bado wimbo unaendelea kuishi🙏🏿
Huu wimbo unanibariki mpaka leo 2023
Wenye tunasiki hii leo kujeni hapa
Tafadhali niambieni huyu mwana gita mwenzangu anaitwa nani Nim ngotee!
Namshukuru Mungu kwa huruma yake isiyo kifani nakumbuka mbali mno nikiwa nachunga mbuzi
2023 bado ni wimbo wangu pendwa
Who is here october2020.nimeamshwa asubuhi ikiimba kwa akili nimeitafuta hadi nimeipata.hamukukesha pamoja nami hata saa moja😭😭😭🙏
Wimbo naupenda mno jamani!♥️♥️♥️👏🇹🇿
Huu wimbo umenikumbusha marehemu wazazi wang,Mungu aendelee kuwapumzisha Kwa Amani
Wapumzike kwa Aman
Nimebarikiwa Sana Leo tar 15 ya mwez wa 8 mwaka huu 2021 mungu awabariki Sana na ambariki baba angu mzazi mzee bathroom semindu anaumwa " naomba kupitia faraja y wimbo huu na juma 2 ya Leo akabarikiwe 🙏
Nimejikuta nakumbuka huu wimbo usiku huu,2023 lakini ujumbe wake ni maisha ya Leo
Nyimbo yenye baraka hakika mlimtumikia Mungu.
Nazipenda sana nyimbo hiz ni kwaya yangu ninayoipenda milele hakika mnajua kuteka hisia za watu mbarikiwe sana
Amen
Yaan kila ukisikiliza hata amu aishi
Kwa anayejua HUU wimbo ulitoka mwka Gani
2007
Kwanza nimeona kwenye tv ulivo isha tu nikakimbilia TH-cam niangalie ninavo taka
Hata mm ivo ivo
Here are the Swahili lyrics of this Golden Gospel Song:
1a. Wakati ule Yesu, alipokuwa busitanini Getesimane; alimchukua Petro, na Zebedayo
Wakati akienda kuomba;
(Alihuzunikaa, alisononekaa x2)
Ndipo akawambia,
Roho yangu,
Inahuzunikia sijakufax2.
Kaeni hapa mkeshe, Pamoja nami-mi x2.
Akaendelea mbele kidogo (Baba-a),
Akaanguka kifulifuli (Baba-a),
Akaomba akisema eh Baba (Baba-a),
Kikombe hiki kiniepuke (Baba-a),
Wala si kama Mimi ntataka (Baba-a),
Bali ni kama Wewe utataka (Baba-a) x2.
1b. Wakati ule Yesu alipokuwa busitanini Getesimane;
alimchukua Petro na Zebedayo,
Wakati akienda kuomba;
(alihuzunika-a, alisononeka-a x2).
Ndipo akawambia, Roho yangu, Inahuzunikia sijakufa-a x2.
Kaeni hapa mkeshe, Pamoja nami-mi x2.
Akaendelea mbele kidogo, Akanguka kifulifuli,
Akaomba akisema e'Baba, Kikombe hiki kiniepuke,
Wala si kama Mimi ntataka,
Bali ni kama Wewe utataka x2.
2a. Akawajia wale wanafunzi,
akawakuta wameshalala.
Akawambia: Je Petro,
hamkukesha pamoja nami,
(hata saa moja X4).
Kesheni, muombe, msije, mka-ingia majaribuni x2;
[Roho-i, (radhi)X3),
Lakini mwili ni dhaifu] x2.
2b. Akawajia wale wanafunzi,
akawakuta wameshalala,
Akawambia: Je Petro,
Hamkukesha pamoja nami,
(Hata saa moja X4.).
Kesheni, muombe, msije, mka-ingia majaribuni x2,
[Roho-i, (radhi x3),
Lakini mwili ni dhaifu] x2.
3. Akawajia mara ya tatu,
Akawakuta wameshalala,
Akawambia-a saa yaja,
Mwana wa Adamu atakamatwa,
(Twende zetuni x4).
Baba twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), kaka yangu twende (twendeni);
Mama twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), Dada yangu twende (twendeni);
Baba twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), Kaka yangu twende (twendeni);
Mama twende (twendeni), twende (zetuni), Dada yangu twende (twendeni);
4. Dada yangu simama twende, Baba yangu twende;
Kaka yangu simama twende, Kaka yangu twende;
Dada yangu acha twende, Mama yangu twende;
Dada yangu simama twende, Baba(?) yangu twende:
Baba twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), Kaka yangu twende (twendeni);
Mama twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), Dada yangu twende (twendeni);
Baba twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), Kaka yangu twende (twendeni);
Mama twende (twendeni), twende (zetuni), Dada yangu twende (twendeni);
(Yule mwenye(???) …acha twende twende zetuni×2).
Umetisha❤😊
Asanteee😢😢😢
Proud to be Christian ♥️♥️♥️
2022...time flies..the memories the faith still stands...
Jamani nyimbo napemda kuisikiliza kila ck,,mungu awabariki Sana kwa kz yenu nzuri💕
Mungu Awabariki viongozi wa kwaya hii na waimbaji wa kwaya hii Bila kumsahau huyu kijana kiongozi akiwa na sauti nzuri sana Mungu awabariki sikuzote za maishayenu
Bahati mbata hatupo naye miaka mingi iliyopita.. RIP
@@kelvinemanuel2416 elikana nasikia yupo hai
I was so young nilipokuwa nasikiliza I’m in my middle 20s but the song is blessing to me still❤ 2024 🎉
baba ifanyike kama vile utakavyo 🙏🙏
Hakika izi ndizo nyimbo za kuukonga moyo
Mama yangu anapenda huu wimbo jamani anaujua wote😔☺️☺️ nam naupenda pia❤❤
2022 still loving the song..May God bless the choir
My best gospel song ❤️❤️ barikiwa Sana
2023
2023 🔥🔥My favorite song 🎵
Best song ever❤️
Nashindwa kuelewa huu wimb ni wamwaka jana kweli mm naona wakitambo lakn nikama umetoka leo
Hazichuji hizi nyimbo nitamu sana
Elikana kwenye ubora wake kabisa. One of the Everlasting Album from this Choir
Loving the song endlessly
Is Elikana still alive?
@@fredyelifuraha2553 Yes He is 🙏🏽
Hivi anapatikana wapi ili tuweze kuongea nae tuwatafute na wenzie tuandae tamasha lao
The pafect song
A very nice song
Wimbo huu nimeuskia kwa mara ya kwanza kutoka tiktok. Mungu airehemu na airejeshe kanisa yake maana tumepotoka na kuiacha ile njia ya zamani.
Nyimbo zinazoishi
Kabisa mkuu
2020
Wimbo mzuri saana
hizi sasa ndo Gospel mtu anaimba akimaanisha siyo za siku izi zenye hata huez tofautisha gospel na secular
Kwel hatahazieleweki uvaaji tu wenyewe haunatpfauti na mtu ambae hamjui mung
Hii wimbo inasumbua TikTok sana congratulations kw Hawa Wana kwya
Jaman jaman huu mwimbo jaman mzur sana hizi hzo nipo kandogo👏👏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mungu azidi kutubariki 2024 na zaidi 🎉❤
2023😊😊😊God you have been faithful 🙏🙏🙏
Jamani huu wimbo naupenda sana
Nilisikiliza hii nyimbo nikiwa mdogo mpka now 2022 naupenda San huu wimbo MUNGU awabariki sana
Nice song,I've been blessed a lot may the gospel circulate all over the world Amen
September 02 2023 still love this song
Amina
Akaomba akisema ee baba 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼5
2021 bado npo manyi❤❤❤🙏🙏🙏
Asante Kwa maneno mazuri ya kujenga roho zetu,mungu awe baraka kwenu
Nyimbo za hawa jamaa zinasisimua
Mwili ni dhaifu, tujitahidi, twende zetu