Ata kama bro Mtu anajisifu ati amesoma baada ya hapo,kazarau watu eti ni majaahili, wajinga, na Quran ni maneno ya Allah SW anayifananisha na music ya Sheitan, pia Allah ametukataza kuzarauliana ndani ya Quran tukufu, je mwenye amesoma na helewe si ni bora mwenye hajasoma basi! Au arikuwa anataka comment nyingi, mbona ata haja omba ladhi waislam kwa kutereza kwake??
Kumbe uislamu unasuport ugaidi.Sisi wakristo ni wapenda amani kama vile yesu bwana wetu aliye mbinguni kwenye mkoni mkono wa kiume wa M UNGU JINA LAKE LIPEWE SIFA
Mua che jifurahishe na ufrahishe wanae msikilie na maskhar Madhal wanoskia wankua afuraha asakher sisi hatuna Hali yakumhukum. M aranyegine inahitaji kutoa ilinmna alivo toa usiwemkali nakutisha.
Allah akuhifadhi pole kwa kughafilika na ni kam mziki kw vile watu huwapa burdani ila quran ni zaidi ya mziki nimekuelewa vizur sheikh siwez kukutukana
Huyu shekhe ni mjinga sana afananisha maneno ya allah na maneno ya mashetani qur an inna lillah wa inna ilayhi rajiun ww ndugu ni mbovu kiaqida tubia maneno yako hayo
usimtetee huyu sheikh ni mtihani Quran na mziki mbalimbali lakini kama wajishughuliaha na kusoma utaona hata yeye hajaipa muda Quran akajifunza sawa sawa anakosea kusoma hiyo aya ya mwisho surah al fath kavaranda halafu ndio sheikh wajifunza watu kwake ni dalili za Qiyaamah WALLAAHI
nimempenda sana huyu shekhe sana kabisa anasisitiza swala zima la elimu na kuonyesha umuhimu wa elimu hawa ndiyo mashekhe tunaowataka kwenye jamii yetu ya kiislamu sio wengine porojo tupu. Inshalaah MwenyeziMungu amuhifadhi
@@abubakarihamissi4178 inalilah waina ilayh rajiun msiba tukasome broo tuijue din yet il kwa hal iy utafel sn usikubal din yak itukanwe mt ndan ya msikit anaimba subhanallah
Shaikh umenifanya nicheke japo mi ni Mkristo Mimi ninarafiki yangu ni Sheikh wa msikiti tena mkubwa anapanda daladala sidharau usafiri huo lakini mimi namuona ni mtu mkubwa sana kupita hata mkuu wa mkoa anastahili kuwa na usafiri wake ndugu zangu Watukufu Waisilam mnakwama wapi? SubhanAllah!
Assalaam Alaykum Shekhe umefanya makosa kuifananisha Quran (Maneno ya Allah) kama mziki .... Haya ni maradhi ya sisi kuskiza mziki mpka inafikia kiasi cha sisi waislamu kuifananisha Quran (Maneno ya Allah na Mziki) Subhanallah. Tuchunge kwa hilo
A.a sheikh usifananishe qur'an na nyimbo sheikh.... Na pia usifanye mizaaha na dini sheikh ikiwa Allah(swt) amekuongoza ombea wenzako Allah(swt)awaongozee usidharau ama kufanya mizaa wenzako... shukran jazzakallahu kheir
Shekhe hebu rekebisha maneno umekosa hapo quran ni maneno ya mungu unasema ni kama muziki hebu jirekebishe allah atakusamehe tuwe makini kutowa maneno kwanza yapime
Shehe mungu akubariki ,kufafanulia ulimwengu ,kumbe wali magaidi ni waislamu wenye wanajua kurani , Sasa watu wajue Quran ndio waepuke kuuwawa na magaidi
Hao ndio viongozi wa dini kukosa roho mtakatifu balaa ukiwa na roho wa mungu Kuna mambo atakuonya , kiongozi tena wa dini badala ya kushutumu ugaidi ni Kaa anafuraiya Atari kabisa
awana mungu wapuhuzi awa wanawaza kuhuwana na mtume wao mwenye mguu mmoja na jicho moja. awashtuki tu mtume wao mwenyewe amesema nayeye lazima aingingie jehanam....... washtuk tu msikitini wanaswali na majini
Innalillah wainnailayhi rajiuun Kweli Quran. Uifananishe na Muziki,? Halafu huko walikuwa wanaenda wapi ,unatoka Kenya unarudi Tz ,hayo Somalia unaenda wapi? Muwe mnaelewa mnachokisema, Hala hao Al shabab Wamepata wapi ruhsa ya kuuwa watu bila sababu Wala hatia,? Na nyie mnaoshabikia ni kutokujua ,Tuisome Dini yetu jamani tuache ujinga ujinga Uislam umukuja Mgeni na utaondoka Mgeni, Kazi kujisifu tu hapo hakuna mafudisho
Ukitaka kujua umma huu ni umma wa mabogaz kiasi gani, ni katika Kadhia kama hizi. Hebu fikiri hata kidogo tu 1. Unalinganisha ladha ya Qur'an na Mziki na watu wanashangilia. 2. Watu wapo Kenya wanakuja Tanzania ila wanavuka mipaka ya Somalia kuingia Tanzania. 3. Al shabaab wanauwa watu kwa kuwa hawajui kusoma Qur'an. Maneno ya hovyo, yakuchafua dini kabisa...
Dah,,,, Aisee Mashekhe namna hii balaa tupu, hatuna uwezo wa kuhukumu mtu ila huyu ni Shekhena... How can you compare music with Quran seriously, then you are so proud of it... Inna llillahi wainna ileihi rajioun
@@abdymkadi5290 chuki hiyo inatoka wapi nduguyangu Basi ikiwa unaona kaonge yaliyo yasawa naunayo dalili juu yamtu kufananisha qur an namziki Tena unasifia msanii Fulani anaomba vizur naqur an ninzur Kama mziki naww unaona Jambo Hilo nisawa Basi sema hapa ubara wamziki ninin nainafananaje naqur an
Atadhafiru Allah Akbar dunia imeisha mashekheir wanafiki mwisho wa dunia Mtume Muhammad s a w alitabiria mwisho watatokea ndio hawa Qur-an haina mfano WA kitu chochote Kijana mwenye Jaziba yk Ya shetan Usilinganie kitu wakat hujui kasome kwanza
Sasa unacho mlaumu nn naunacho mwita sufi una uwakika kama yeye sufi nakama kasema sawa sawa na mziki Qur'an uwoni kwamba kateleza ana takiwa kuku mbushwa ndugu tuachen ushabiki waki sheytwan ktk dini tumche Allah kwan kila ktk sisi tuna kosea sana kikubwa Allah atuongoze
Wakristo n wengi amtatumaliza na ikitokea tuhutokeneze uwislam n dakika chache tunawafuta kwenye uso wa dunia. Ukristo n yakwanaza amuwezi kutumaliza hata mtumie majini mnaosali nao misikitini mda inama chini ya msalaba au mtaenda kuzimu na mtume wenu
Kwakweli inaskitisha sana kuona wanajitokeza badhi ya waislam kuongelea mas'ala ya elimu na kupigia mifano potofu kwa niya ya kuhamasisha watu waisome quran . Huu ni mswiba ila hawato elewa ispokua wale ambao Allah amewajalia marifa ju ya dini yao
MIMI MWENYEWE NAPENDA MWATHINI SAAANA NIKISIKIA DAMU HUNI SISI MUKA KABISA HATA NIKIONGEA NA NARAFIKI ZANGU KENYA NISIKIE MWATHINI AAAAI HUWAAMBIA SUBIRI MWATHINI UISHE NDIO TUONGEE NA MIMI NIM KRISTU YANI RAHA SANA KUSIKIA MWATHINI 🇰🇪🇨🇿
Wewe umelaniwa sana tena hujui kufundisha chochote kwahivyo unawa support Al shababu kuwauwa watu kwasababu sio waislam utajibu yote hayo siku ya kiama
AL SHAABAB WANAUA WAKRISTO NA MASHEKHE MNASIFIA INAONEKANA NI KUMTUMIKIA ALLAH KWA KUWAUA WAKRISTO. MIMI NAWASHANGAA SANA WAKRISTO WA KENYA NA MAENEO MENGINE WANAKOUAWA WANASUBIRIA NINI NAWAO KUJIHAMI NA KULIPA KISASI
Al shabab hawako sawa wanatumia jina la Uislam kwa faida zao wenyewe...Dini inasema usiuwe wala usimwage damu isokua n hatia uwezi kuuwa watu ukisema n jihadi
Kuna mifano mingi ya alshabaibu kuua wakristu na watu wakashangilia. Mfano mmoja ambao ni mzuri ni wa wale waislam walokataa kuua na wakawambia alshabab waanze kuwaua wao lasivyo hawakubari wenzao wakristo kuawa. Hapa sioni maana yoyote . Hapa unasheherekea kifo cha walouawa ambao wengi wao walikuwa wakristo. Mifano kama hii inasikitisha sana.
@@kambaresamaki1978, Asiehukumu ktk uisilam c miongoni mwa waisilam lkn kuna makosa maalum yameekwa na yameekwa hvo kwa kupunguza crime duniani ikiwa km yatafuatwa. Na pia kuna sheria zake zimeekwa za kufuatwa, kuanzia yy mwenyewe kukiri, mashahidi...na vp anayehukumu awe na km haukupatikana ushahidi haezi kutekelezewa chchte. Na pia kuna watu maalum wakutekeleza hio sheria na sio kila mtu au kila muisilam. Km unavyoona mahkama ina majaji na ktk uisilam ndio hivyo hivyo. Je mfano ww nchini mwako kuna majaji walosomea sheria wanahukumu km kunyonga halafu ww mitaani umuue mtu just kwa ubabe wako utakua sawa? Na hakuna hata sehemu moja ukaona mtu anakwenda na shughuli zake za kimaisha halafu Allah akasema ahukumiwe kifo/auliwe.
Huyu sheikh inaeza kua anaelimu lkn hana hekma na ndio matatzo ya masheikh wengi wa Tnz. Utatoaje mfano ambao haupo kwenye uisilam just watu wanafanya kidunia tu halafu ww ndio unaona ni mfano mzuri wa kuueleza kwenye umma? Hao Alshabab na vikundi vyengine vyingi vimeundwa kwa ajili ya kuuchafua uisilam na vinajuilikana....
Ukitoka kenya kuja Tanzania katikati kuna Border ya Somalia nasikia eti, “sheikh” Hujui kitu hata Elimu ya Dunya huna wew. Kwanza upate wew ya dini badala kupoteza watu Njia kwa sababu hujitambui kielimu , kabisa. Uliyemzido “Elimu” lazima apotee njia.
subhana Allah usifananishe Quran na mzikia acha ujinga ww
kweli kabisa Quran Haina mfano wake ( haifanani na nyimboi wala Mashairi) Ina hukmu zake. Nadhani Shk alipitiwa tu katika mazungumzo yake.
Subhaanallah.shekh kailinganisha qur-an na muziki.Allah amsamehe
Huyu sjui nimfanyej mm au nimtusi
Huyu si shekhe eti,ni msanii msanii flan iv
Binadam bhana mazuri hawayasemi
Wanasubiri Masheikh wateleze wawakosoe
"Hakuna Aliye kamilika Asikosee yee nan"
Kweli lkn asidanganye kusema quruani kama mziki
Ata kama bro Mtu anajisifu ati amesoma baada ya hapo,kazarau watu eti ni majaahili, wajinga, na Quran ni maneno ya Allah SW anayifananisha na music ya Sheitan, pia Allah ametukataza kuzarauliana ndani ya Quran tukufu, je mwenye amesoma na helewe si ni bora mwenye hajasoma basi! Au arikuwa anataka comment nyingi, mbona ata haja omba ladhi waislam kwa kutereza kwake??
Daah! Shehe anaonyesha alishawahi kuvuta wida. ALLAH AKUBARIKI KWA MAWAIDHA LAKINI ANGALIA AINA YA MIFANO UNAYOTOA USIJE UKAUCHAFUA UISLAM.
Kumbe uislamu unasuport ugaidi.Sisi wakristo ni wapenda amani kama vile yesu bwana wetu aliye mbinguni kwenye mkoni mkono wa kiume wa M UNGU JINA LAKE LIPEWE SIFA
@@wilberchannel5346 Acha kuwa na akili ya kukopi na kupesti, Uislam si ugaidi na wala hausapoti ugaidi ila unachafuliwa na wasioupenda kama wewe.
Sio aliwahi, inaonekana mbaka sasa anavuta. Anaharibia sana Uislamu jina kwa huo upumbavu wake tena sio Sheikh huyu ji shehena.
Nia ya sheikh ni nzuri mapungufu ni kwenye kufikisha......kulingania ni fani jaman si kila mtu anayo yatakiwa masheikh wakajifunze
Subhanallah qur-an sio kama mziki usitumie maneno ya kuchekesha kumkufuru mungu sheikh
Kweli kabisa
Mtihani Wallah
Kabisa hapo kakosea
😁😁
Mua che jifurahishe na ufrahishe wanae msikilie na maskhar
Madhal wanoskia wankua afuraha asakher sisi hatuna Hali yakumhukum.
M aranyegine inahitaji kutoa ilinmna alivo toa usiwemkali nakutisha.
Kwanza muogope Allah kufananisha Quluani na mziki
Kwer kabisa wala uja kosea
Amekosa
Huyu Ni Muuza Dawa Za Kienyeji
Kwa Mgongo Wa Dini
Wanazingua hawaa
Labda nimeelewa vibaya, Lkn kwa kuelewa kwangu ni hivi,kama unaweza kuimba mziki vizuri kabisa ,Kwa nini ushindwe kuisoma vizuri kuruan?
Allah akuhifadhi pole kwa kughafilika na ni kam mziki kw vile watu huwapa burdani ila quran ni zaidi ya mziki nimekuelewa vizur sheikh siwez kukutukana
Huyu shekhe ni mjinga sana afananisha maneno ya allah na maneno ya mashetani qur an inna lillah wa inna ilayhi rajiun ww ndugu ni mbovu kiaqida tubia maneno yako hayo
Joooooy that's why I love Islam because the Quran
Sheikh Allah akuongeo umeghafilika
Usifananishe quran na mzingi
Wakutukan
shehk amenifurahisha sana kweli kuna watu wanakaribia kufa ndio wanahangaika na mambo ya mungu
😁😁
Subhanallah don't compare Quran with music
Hajafananisha jmni kuhelewa muhimu,.. Amesema pia wale waimbaji wameiga kutoka Quran Kwa ufafanuzi
usimtetee huyu sheikh ni mtihani Quran na mziki mbalimbali lakini kama wajishughuliaha na kusoma utaona hata yeye hajaipa muda Quran akajifunza sawa sawa anakosea kusoma hiyo aya ya mwisho surah al fath kavaranda halafu ndio sheikh wajifunza watu kwake ni dalili za Qiyaamah WALLAAHI
Suba hana Allah quran with music
Huyu shekhe si asaidiwe tafdhali
Nashagaaa pianamm
Astaghafirullah,msikilizeni kwanza kisha muweleni ,halafu ndiyo mumuhukumu
Mashaallah mashaallah allah akupe umri mrefu shekh wangu
nimempenda sana huyu shekhe sana kabisa anasisitiza swala zima la elimu na kuonyesha umuhimu wa elimu hawa ndiyo mashekhe tunaowataka kwenye jamii yetu ya kiislamu sio wengine porojo tupu. Inshalaah MwenyeziMungu amuhifadhi
We unaakil kwel unamkubal mpumbavu huyu han akil ht kdg
Huwez kufananisha kur,an na kit chcht yy anafananish na mzik subhanallah
@@santossantos883 sikiliza vzr halafu uelewe acha kukurupuka ww, tatizo lenu mna jazba sana hamsikilizi vitu muelewe unadhani ukiwa ukiwa shekhe ndiyo vitu vingine hufuatilii!?, ss kama hufuatilii utatoaje ushauri kwa waumini unaowaongoza?
@@abubakarihamissi4178 inalilah waina ilayh rajiun msiba tukasome broo tuijue din yet il kwa hal iy utafel sn usikubal din yak itukanwe mt ndan ya msikit anaimba subhanallah
@@abubakarihamissi4178 hata Kama KAONGEA kwel ila kufananisha mziki na qur'aan kafeli walah
Shaikh umenifanya nicheke japo mi ni Mkristo Mimi ninarafiki yangu ni Sheikh wa msikiti tena mkubwa anapanda daladala sidharau usafiri huo lakini mimi namuona ni mtu mkubwa sana kupita hata mkuu wa mkoa anastahili kuwa na usafiri wake ndugu zangu Watukufu Waisilam mnakwama wapi? SubhanAllah!
سبحان الله mashekh ambao hawajielew hawa
Nakubali...naona anaongea usenge tu kwan ao shabab wamepew kaz y kuhukumu...fala fucken kabsa anatia hasira lol
MASHEIKH kueni makini mnapozungumza: Qur-an Haifanani na Mziki
Kweli kabisa😪
Kweli kabisa
Kenya somali na tz hm
Ni kwl usemayo.
Mashehena hayo
Assalaam Alaykum
Shekhe umefanya makosa kuifananisha Quran (Maneno ya Allah) kama mziki .... Haya ni maradhi ya sisi kuskiza mziki mpka inafikia kiasi cha sisi waislamu kuifananisha Quran (Maneno ya Allah na Mziki) Subhanallah. Tuchunge kwa hilo
Innalillah wainnaaaa ilaih raajiun ndugu yangu omba msamaha kwa Allah huwez kuilinganisha quran na mziki
Ww huna elmu yoyote mbumbumbu
Hujemuelewa hajailinganisha bali amesema tu ladha ya Quran
Ni kama watu wanavyo penda ladha ya mziki
Hajalinganisha hebu msikiliz,e tena utamuelewa shekh anasemaje ndugu yetu
Asante xna sheikh Mungu aendelee kukujalia zaid
A.a sheikh usifananishe qur'an na nyimbo sheikh....
Na pia usifanye mizaaha na dini sheikh ikiwa Allah(swt) amekuongoza ombea wenzako Allah(swt)awaongozee usidharau ama kufanya mizaa wenzako... shukran jazzakallahu kheir
Shekhe hebu rekebisha maneno umekosa hapo quran ni maneno ya mungu unasema ni kama muziki hebu jirekebishe allah atakusamehe tuwe makini kutowa maneno kwanza yapime
Mashallah Shekhe ALLAH akujaalie kher y Dunia n Akher Shukran
Wallahi sheikh upo vzr snaa mifani Hai Kabisa kama almarhum Sheikh Nyundo Zanzibar
INNA LILAHI WAINNA ILAYHI RAJIUN HUYU ANAFANANISHA QURAAN NA MZIKI HUYU HAFAI KUSIKILIZWA KABISA
Mh
Tatizo mnasoma ujinga kuongea pekee yake ni kuimba
Tatizo lake alikuwaga msela ila ujumbe wake hakutakiwa kuufikisha kwa njia hiyo ila lengo ni kwamba quran isomwe kwa ladha
Barakalahu fiiki umati Muhammad
Unasifia al shabab, wanauwa watu ili wawe waislam,Mungu hakuweka kanuni ya kwamba Dini ya Mungu hailazimishwi,angetulazimisha ingekuwa nani angepona.
Shehe mungu akubariki ,kufafanulia ulimwengu ,kumbe wali magaidi ni waislamu wenye wanajua kurani , Sasa watu wajue Quran ndio waepuke kuuwawa na magaidi
Dini ya vita, Dini ya kulazimishana.. Khataaar,, Mungu awajalie kuijua njia ya kweli na uzima wa milele
Wewe acana namambo usiyoyajuwa
chuki haikusaidii ,hao unaoishi nao hapo wanakhlazimisha chochote??, ? ukitaka kujua angalia yale msingi usichukue ambayo wenye imani yao wanapishana.
Nimekuelewa dr Sulle mwenyezi mungu akujaliemaisha marefu.
Hao ndio viongozi wa dini kukosa roho mtakatifu balaa ukiwa na roho wa mungu Kuna mambo atakuonya , kiongozi tena wa dini badala ya kushutumu ugaidi ni Kaa anafuraiya Atari kabisa
awana mungu wapuhuzi awa wanawaza kuhuwana na mtume wao mwenye mguu mmoja na jicho moja.
awashtuki tu mtume wao mwenyewe amesema nayeye lazima aingingie jehanam....... washtuk tu msikitini wanaswali na majini
Innalillahi waina lillaahi rajiun
Kwakweli sheikh umenikera Sana kuifananisha qur-an na mziki laiti ningekuwa karibu yako ningekupiga kibao maana imeniuma Sana
Shida ni uelewa shekh yupo sahihi kasema quran ipo kama mziki hamaanishi ivyo mbona hamjui balagha
Allah Akbar 😭🤲🏽❤️☝️♥️
Mungu anijaalie na mm nijue qur_an
Amiiin allah atatuwezesha
Nenda kasome ndugu yangu
SubhaAllah sheikh unafananisha Quran na nyimbo hii ni khasara
mpumbavu uyo anachochea ugaidi
kutokusoma ndio maana anaropoka ovyo hakili hana mbaba mzima kichwan 0
Innalillah wainnailayhi rajiuun
Kweli Quran. Uifananishe na Muziki,?
Halafu huko walikuwa wanaenda wapi ,unatoka Kenya unarudi Tz ,hayo Somalia unaenda wapi?
Muwe mnaelewa mnachokisema,
Hala hao Al shabab
Wamepata wapi ruhsa ya kuuwa watu bila sababu Wala hatia,?
Na nyie mnaoshabikia ni kutokujua ,Tuisome Dini yetu jamani tuache ujinga ujinga
Uislam umukuja Mgeni na utaondoka Mgeni,
Kazi kujisifu tu hapo hakuna mafudisho
Ukitaka kujua umma huu ni umma wa mabogaz kiasi gani, ni katika Kadhia kama hizi. Hebu fikiri hata kidogo tu
1. Unalinganisha ladha ya Qur'an na Mziki na watu wanashangilia.
2. Watu wapo Kenya wanakuja Tanzania ila wanavuka mipaka ya Somalia kuingia Tanzania.
3. Al shabaab wanauwa watu kwa kuwa hawajui kusoma Qur'an.
Maneno ya hovyo, yakuchafua dini kabisa...
Huyu sheikh hayumo kabisa.. na wafuasi wake wagonjwa kama yy hata kwa wanaomuunga mkono kwa hapa youtube..
Halafu wanapmsikiliza wanashangilia !? Ujinga mtupu
😂😂😂😂😂😂bogaz kweli huyu
Mh mtihan
Ni mpuzi sana huyu Kapewa pesa huyu na hao watu
Mashallah 😯😯😯
Baaraka Allah ustad mungu akupe nuru zaidi
Shehe nakukubali sana mungu akupemaisha mrefu uzidi kutupa dawa
Usitafute sifa wee, haiwekwi kwenye mizan vitu hivi viwili QUR'AN na MUSIC,
mashallah sheikh Allah akupe mwisho mwema na atuongoze sisi sote tuwe ni wenye kusoma hio qur'an ammeen
Dah,,,, Aisee Mashekhe namna hii balaa tupu, hatuna uwezo wa kuhukumu mtu ila huyu ni Shekhena... How can you compare music with Quran seriously, then you are so proud of it... Inna llillahi wainna ileihi rajioun
Pole Sana shekh Fack unafananisha qur an na mziki wallahi nimtihan Sana mashekh Kama nyny mlonao
Akuna mwanadamu aliekamilika wew
Muhuni wa zamani.
HUNA LOLOTE CHUKI TU, AHAKAM TAJUWID ZINAFANANIA NA USOMAJI WA QURAN, NASIO QURAN ...
@@abdymkadi5290 chuki hiyo inatoka wapi nduguyangu Basi ikiwa unaona kaonge yaliyo yasawa naunayo dalili juu yamtu kufananisha qur an namziki Tena unasifia msanii Fulani anaomba vizur naqur an ninzur Kama mziki naww unaona Jambo Hilo nisawa Basi sema hapa ubara wamziki ninin nainafananaje naqur an
Subhannallah!!!! Usifananishe Qur'an na Music
Sjui nimtukane mm
Waoo...this guy have opened my eyes, in someway..
Which eyes??u r very stupid..This guy is promoting jihad and u r here talking about opened eyes
Shameful
Atadhafiru Allah Akbar dunia imeisha mashekheir wanafiki mwisho wa dunia Mtume Muhammad s a w alitabiria mwisho watatokea ndio hawa Qur-an haina mfano WA kitu chochote Kijana mwenye Jaziba yk Ya shetan Usilinganie kitu wakat hujui kasome kwanza
Umekosea shekh qur ana haifanani na mziki kabisa
Hapana hajamanisha ivyo unavyo elewa wewe!
Inshaallah 🙏🙏
Masufi bhana unafananisha qur'an na muziki mtihan Allah awaongoze
Sasa unacho mlaumu nn naunacho mwita sufi una uwakika kama yeye sufi nakama kasema sawa sawa na mziki Qur'an uwoni kwamba kateleza ana takiwa kuku mbushwa ndugu tuachen ushabiki waki sheytwan ktk dini tumche Allah kwan kila ktk sisi tuna kosea sana kikubwa Allah atuongoze
Mtihani kweli
ASC , ALLAHU AkBAR ,
Wee Sheikh mpuuzi kweli unafananisha vipi Quran na mziki
Hakuna kuvuta kama hivo shekh mche Mungu usidanganye
Mh
SubhunnaAllah
❤❤❤
Wakristo n wengi amtatumaliza na ikitokea tuhutokeneze uwislam n dakika chache tunawafuta kwenye uso wa dunia.
Ukristo n yakwanaza amuwezi kutumaliza hata mtumie majini mnaosali nao misikitini mda inama chini ya msalaba au mtaenda kuzimu na mtume wenu
Allah akuzidishe shek
Kwakweli inaskitisha sana kuona wanajitokeza badhi ya waislam kuongelea mas'ala ya elimu na kupigia mifano potofu kwa niya ya kuhamasisha watu waisome quran . Huu ni mswiba ila hawato elewa ispokua wale ambao Allah amewajalia marifa ju ya dini yao
Inasikitisha saana kwa kweli yaani hao Al Shabab wanauwa watu kwa jina la Uisilamu na kupaka matope Uisilamu na wajinga wanafurahia
Good
Nilivyoskia hzo kelele tu huku kwa washabili nkajua hapa nikupotoshana tuu Mungu atawasamehe
Mashallah
Subhana malikul qudus ALLAH AMSAMEH QURAAN KAMA MZIKI
MIMI MWENYEWE NAPENDA MWATHINI SAAANA NIKISIKIA DAMU HUNI SISI MUKA KABISA HATA NIKIONGEA NA NARAFIKI ZANGU KENYA NISIKIE MWATHINI AAAAI HUWAAMBIA SUBIRI MWATHINI UISHE NDIO TUONGEE NA MIMI NIM KRISTU YANI RAHA SANA KUSIKIA MWATHINI 🇰🇪🇨🇿
Alshabab hawaongeii kizunguuu we sheee mwongoooo sanaa
MashaAllah
Takbirrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Wewe umelaniwa sana tena hujui kufundisha chochote kwahivyo unawa support Al shababu kuwauwa watu kwasababu sio waislam utajibu yote hayo siku ya kiama
AL SHAABAB WANAUA WAKRISTO NA MASHEKHE MNASIFIA INAONEKANA NI KUMTUMIKIA ALLAH KWA KUWAUA WAKRISTO.
MIMI NAWASHANGAA SANA WAKRISTO WA KENYA NA MAENEO MENGINE WANAKOUAWA WANASUBIRIA NINI NAWAO KUJIHAMI NA KULIPA KISASI
Wewe njoo uwalipie kisasi ..maana Sisi masheikh wetu kuuliwa na kupotezwa waona ni Sawa sio ??????
Kama Ni Dini ya Amani kwa nini kuuwa?
Wamesahau kuwa hapa duniani tunapita tu mwenye kuhukumu ni Mungu watakufa na watahukumiwa kama magaidi
Mashallahu mungu akubark shehe wetu
Umeitukana kuran sheikh...
. Mziki ni zambi na kufuru mbele ya allah.
Maashaallah
Wakristo wanauwawa kwa jina la Yesu😨 tujihazari jamani ni siku za mwisho
Shekhe apo kwenye kikosi cha yanga hatari
Swadaktaa sheikh wetu
Yaan ninyi Mungu anawaona eti mnapigania din ya mwenyezi Mungu
Somo zuri kabisa
Al shabab hawako sawa wanatumia jina la Uislam kwa faida zao wenyewe...Dini inasema usiuwe wala usimwage damu isokua n hatia uwezi kuuwa watu ukisema n jihadi
Ustadh we balaa
Hatari
Kuna mifano mingi ya alshabaibu kuua wakristu na watu wakashangilia. Mfano mmoja ambao ni mzuri ni wa wale waislam walokataa kuua na wakawambia alshabab waanze kuwaua wao lasivyo hawakubari wenzao wakristo kuawa. Hapa sioni maana yoyote . Hapa unasheherekea kifo cha walouawa ambao wengi wao walikuwa wakristo. Mifano kama hii inasikitisha sana.
😭😭😭😭
Wewe unaemkosoa sheikh ndio wale ambao hawajasoma rudi madrasa kaka au dada nnaimani utakua muelewa inshaallah
Haya ni aibu ktk karne hii,Vijana wanakimbizana n DUNIA,hamna dini! Hata juzuu ama au sura tu hatujui 😭
Waleykumusalamu warahmatuLLAHI wabarakatuh barakallahu fiik
Waanta kadhalika
Lp
sheikh kwa stori ya Al shabaab umetukosha hapo unapenda kuchekesha
Sheikh unautaalam wakuongea sana sema omba msamaha kwa Allah kwakosa ulilofanya lakufananisha Quran na waimba mziki
Hapa amekosea
Shekhe kanyoa ndevu
Kwanini
Akafuge ndevu kisha aongee
Kwani ndevu ndio ushekhe jamani
Asante
Mashaallah darsa nzuri😅...ila hao Alshabab kesho wangojwa na Allah wakaseme walipewa kazi ya kuua watu nanani"
Allah ndo amewaambie asiehukumu kwa Quran huyo c miongoni mwa waislam mi naona ni sahihi kabisa
@@kambaresamaki1978
Wewe Kambare Samaki
Umefahamu Vibaya
@@kambaresamaki1978, Asiehukumu ktk uisilam c miongoni mwa waisilam lkn kuna makosa maalum yameekwa na yameekwa hvo kwa kupunguza crime duniani ikiwa km yatafuatwa. Na pia kuna sheria zake zimeekwa za kufuatwa, kuanzia yy mwenyewe kukiri, mashahidi...na vp anayehukumu awe na km haukupatikana ushahidi haezi kutekelezewa chchte. Na pia kuna watu maalum wakutekeleza hio sheria na sio kila mtu au kila muisilam. Km unavyoona mahkama ina majaji na ktk uisilam ndio hivyo hivyo. Je mfano ww nchini mwako kuna majaji walosomea sheria wanahukumu km kunyonga halafu ww mitaani umuue mtu just kwa ubabe wako utakua sawa? Na hakuna hata sehemu moja ukaona mtu anakwenda na shughuli zake za kimaisha halafu Allah akasema ahukumiwe kifo/auliwe.
@@alhamdulillah5796 JAZAKALLAH KHAYRA, Nimekuelewa.
Hamna k2 aliofundisha
Mwenye elimu hajisimu na Kuwaita majahili baada ya kumuomba Mwenye Enzi Mungu awaongoze
Huyu sheikh inaeza kua anaelimu lkn hana hekma na ndio matatzo ya masheikh wengi wa Tnz. Utatoaje mfano ambao haupo kwenye uisilam just watu wanafanya kidunia tu halafu ww ndio unaona ni mfano mzuri wa kuueleza kwenye umma? Hao Alshabab na vikundi vyengine vyingi vimeundwa kwa ajili ya kuuchafua uisilam na vinajuilikana....
@@alhamdulillah5796 safisanaaa umeongea point ili jamaa haliko vizuli mungu akubariki Saana 🙏🙏🙏
Wao ni kina nani mpaka kuuwa wasio waislamu , je mtume alifanya hilo , nani alikuwa zaidi ya mtume
TAFAKKAR
Allahuma amin tusome
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
innalillah uxifananixhe namziki
Hiyo ni mipago ya mungu kaka,kila mtu ako na siku yake ya kufakufa(hakuna cha dini,quaran,bibilia.
Mawaidha kama haya yanachochea na hayafai. Kuyaongelea kwa jamii
Tumpokee YESU KRISTO, NDIYE BWANA NA MWOKOZI WETU, RECEIVE JESUS CHRIST IN YOUR LIFE END SHALL SAVE YOU.
Asalamalikum
Natumai Ustadh jipime na ulimi wako
Mashallah Allah
Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@@zvpOnlineTv mnatoaje mifano ya mauwaji ya wakristo??
Ukitoka kenya kuja Tanzania katikati kuna Border ya Somalia nasikia eti, “sheikh” Hujui kitu hata Elimu ya Dunya huna wew. Kwanza upate wew ya dini badala kupoteza watu Njia kwa sababu hujitambui kielimu , kabisa. Uliyemzido “Elimu” lazima apotee njia.
Mbona una ropoka ww unacho ongea una ongea ongea nn sasa nenda kwenye mpira uko hi dini
Pamoja sana ndugu
Laanatullahu ww shekhaneee unafanishe Quran na nyimbo za mashetani