CHEKECHE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2024
  • CHEKECHE | Mvutano wa Marekani na Israel juu ya Gaza
    Gaza bado imeendelea kuwa gumzo katika siasa za kimataifa wakati huu Israel ikishikilia msimamo wa kushambulia eneo la Rafah huku ikikutana na kipingamizi kutoka jumuiya ya kimataifa akiwemo swahiba wake Marekani, hali ambayo inawafanya wengine kujiuliza, kulikoni?
    #AzamTVUpdates
    Wahariri | Tuya Ibrahim, John Mbalamwezi

ความคิดเห็น • 15

  • @ManyaSumaili
    @ManyaSumaili หลายเดือนก่อน

    Rabi Uko vizuri Sana Kwa uchambuzi

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc หลายเดือนก่อน

    Leo mm nimewahi mapema like zangu jamn 💪💪💪

  • @mussachichajr
    @mussachichajr หลายเดือนก่อน +1

    Rabi anaongea facts

  • @hamzaismail14
    @hamzaismail14 หลายเดือนก่อน +2

    Huu utaratibu wa nchi zote ndio alafu moja tu inakuja inapinga uhu ni ujinga wakupitiliza

  • @zawadimpayo3839
    @zawadimpayo3839 หลายเดือนก่อน +1

    Vita wanaoangamia niwatoto nakinamama mungu walinde watu wagaza😭😭😭😭

  • @Lx-fd1tp
    @Lx-fd1tp หลายเดือนก่อน

    pw

  • @byoseasolokoci7257
    @byoseasolokoci7257 หลายเดือนก่อน

    Niatari kabisa

  • @abdul-qadirkhamis2518
    @abdul-qadirkhamis2518 หลายเดือนก่อน +2

    Siasa ni mchezo mchafu

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln หลายเดือนก่อน

    Mbona Mnachekewa kutuletea hizi habar

  • @shijamohamed369
    @shijamohamed369 หลายเดือนก่อน

    Kwani veto kwa veto haziwezi kuamua

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 หลายเดือนก่อน +1

    FARAO ALIWACHUKIA ISRAEL, AKAJA HITLER, WAKAFATA WAZUNGU WENGI, AFU MKAJA NYIE, god bless israel❤️

    • @muhamadharun9432
      @muhamadharun9432 หลายเดือนก่อน

      Zama zimebadilika hizi ni zama za technology, propaganda za Kizayuni zinazidikufichuka kila ssiku , kwani unadhani Hyo Israel unayoijua ww ndio hii ?

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 29 วันที่ผ่านมา

      Israel mashoga

  • @abuugubi9312
    @abuugubi9312 หลายเดือนก่อน +1

    Wakwanza leo tuko pamoja