NGOMA NZITO BUNGENI: MPINA ABISHANA VIKALI NA SPIKA DKT. TULIA "WALIKULA NJAMA,"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 23

  • @PauloMiage-m1x
    @PauloMiage-m1x 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa kuna ukweli mbona kauliza kitu cha maana hapa kuna ukweli unaofichwa

  • @ElibarikiEliud
    @ElibarikiEliud 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wana ccm mbona hamko makini kulinda rasilimali za Tanganyika yetu. Hasa wewe mheshimiwa spika tunakutegemea. lakini unaonekana kuibeba mno serikali. Kuna hoja za msingi za akina Mpina. Bulaya. Salome makamba na mdee huzipi nafsi. Simamia vizuri taifa mama tegemeo na jicho letu watanganyika limebakia kwako.

  • @LeahKazeni
    @LeahKazeni 3 หลายเดือนก่อน

    Mmhhhh haya tutaona mengi mwaka huu duuu hawawezi kuunga mkono wako mbali kabisaa mwanangu acha tu

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani mbugan akiwepo tembo mkubwa kuliko wote hawez kufahamika? Mbona swali la spika linatia mashaka? Kwamba mwindaji hakujua kuwa kuna mamba mkubwa. Inasikitisha sna kuona viongozi wenye dhaman wakipindisha ukweli. Daah hii inch bhana!!!!

  • @AllyNditi
    @AllyNditi 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee mpina acha tu, CCM washapiga hela hao achana nao spika kapiga hela kibao.

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kama kawaida Tanzania ni shamba la bibi

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 4 หลายเดือนก่อน

    Huwa nakukubali ila kwenye mnrt huna data Bora utulie

  • @g-abbastechnology1818
    @g-abbastechnology1818 4 หลายเดือนก่อน

    hapo unaonekana huna la maana iksifia ndo deal

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 4 หลายเดือนก่อน

    hb tanzania tuna spika kweli?

  • @christianlutego1288
    @christianlutego1288 4 หลายเดือนก่อน +2

    Wabunge wetu hawa , hayaa

  • @jameshagwe3063
    @jameshagwe3063 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna spika hapo a.k.a spika mbovu

  • @sajadyusufu5150
    @sajadyusufu5150 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nilipogeuka

  • @MwanaIddy-oi7lb
    @MwanaIddy-oi7lb 4 หลายเดือนก่อน

    Mwindaji jooshioiiiii😂😂

  • @athumanimohamedi9921
    @athumanimohamedi9921 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂 mwanangu uyo mpina

  • @ErastoMaridadi
    @ErastoMaridadi 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huko wanakushangaa ufisadi na rushwa ndio mashujaa na huko toka haraka mpina

  • @muhammednassor690
    @muhammednassor690 3 หลายเดือนก่อน

    Oya hakuna ufala Tanzania kama kufuatilia siasa, utajiumiza bure, mtu bora ufanye yako tu.

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 3 หลายเดือนก่อน

    Hili ni kosa tena kubwa lazima tulinde malizetu sasa kama yule ndio mamba mrefu duniani si ndokivutio kwanini muruhusu kuuwawa

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 4 หลายเดือนก่อน

    haaaahaaaaa, mpina uko visor,naspika changamoto kweri ipo yakutokuwa na aramaza mazao yetu

  • @Worldunite
    @Worldunite 4 หลายเดือนก่อน +1

    Viongozi wetu mtetee na kuthamini vya kwetu, penye makosa turekebishe na sio kupingana

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ujinga, uvivu, na kutothamini vyako, Tanzania

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 4 หลายเดือนก่อน

      It's very sad. How can we justify this??

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tayari waziri na spika lao moja

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 4 หลายเดือนก่อน

    Spika huyu anahusika?