Wana ccm mbona hamko makini kulinda rasilimali za Tanganyika yetu. Hasa wewe mheshimiwa spika tunakutegemea. lakini unaonekana kuibeba mno serikali. Kuna hoja za msingi za akina Mpina. Bulaya. Salome makamba na mdee huzipi nafsi. Simamia vizuri taifa mama tegemeo na jicho letu watanganyika limebakia kwako.
Kwani mbugan akiwepo tembo mkubwa kuliko wote hawez kufahamika? Mbona swali la spika linatia mashaka? Kwamba mwindaji hakujua kuwa kuna mamba mkubwa. Inasikitisha sna kuona viongozi wenye dhaman wakipindisha ukweli. Daah hii inch bhana!!!!
Hapa kuna ukweli mbona kauliza kitu cha maana hapa kuna ukweli unaofichwa
Wana ccm mbona hamko makini kulinda rasilimali za Tanganyika yetu. Hasa wewe mheshimiwa spika tunakutegemea. lakini unaonekana kuibeba mno serikali. Kuna hoja za msingi za akina Mpina. Bulaya. Salome makamba na mdee huzipi nafsi. Simamia vizuri taifa mama tegemeo na jicho letu watanganyika limebakia kwako.
Mmhhhh haya tutaona mengi mwaka huu duuu hawawezi kuunga mkono wako mbali kabisaa mwanangu acha tu
Kwani mbugan akiwepo tembo mkubwa kuliko wote hawez kufahamika? Mbona swali la spika linatia mashaka? Kwamba mwindaji hakujua kuwa kuna mamba mkubwa. Inasikitisha sna kuona viongozi wenye dhaman wakipindisha ukweli. Daah hii inch bhana!!!!
Mzee mpina acha tu, CCM washapiga hela hao achana nao spika kapiga hela kibao.
Kama kawaida Tanzania ni shamba la bibi
Huwa nakukubali ila kwenye mnrt huna data Bora utulie
hapo unaonekana huna la maana iksifia ndo deal
hb tanzania tuna spika kweli?
Wabunge wetu hawa , hayaa
Hakuna spika hapo a.k.a spika mbovu
Nilipogeuka
Mwindaji jooshioiiiii😂😂
😂😂 mwanangu uyo mpina
Huko wanakushangaa ufisadi na rushwa ndio mashujaa na huko toka haraka mpina
Oya hakuna ufala Tanzania kama kufuatilia siasa, utajiumiza bure, mtu bora ufanye yako tu.
Hili ni kosa tena kubwa lazima tulinde malizetu sasa kama yule ndio mamba mrefu duniani si ndokivutio kwanini muruhusu kuuwawa
haaaahaaaaa, mpina uko visor,naspika changamoto kweri ipo yakutokuwa na aramaza mazao yetu
Viongozi wetu mtetee na kuthamini vya kwetu, penye makosa turekebishe na sio kupingana
Ujinga, uvivu, na kutothamini vyako, Tanzania
It's very sad. How can we justify this??
Tayari waziri na spika lao moja
Spika huyu anahusika?