Hongera sana mama kwa kutusemea, huyo mama ni katili zaid ya Nduli Idd Amin, samia anasema ameua upinzani kidigitali! Labda kumuua Ali kibao ndo kidigitali anayozungumzia
Shida uchawa, maana nchi hii, mawazri, hawana kazi maana kila kitu anafanya rais, mawazriri wapo pale kusifia Tu, kwa hiyo wanalipwa mishahara na posho za kusafiri kwa ajili ya kwenda kumsifia mikoani
Hivi viongozi wa serikali huwa wanasoma comments za wananchi? Mm natamani kuwe na kitengo cha serikali kianachofuatilia comments za wananchi kwenye mitandao halafu waje na kauli kuhusu mawazo ya watu PERIOD
Nyie ACT machawa,mbona mlimsapoti mama abdul kuvuruga maandamano chadema?tafsiri nyepesi huyu mnaemponda ndo watu wasiojulikana no.1,yuko wapi aliechoma picha yake mbeya?
Kweli mama, machawa wanalewa vi mate mate wanavyopewa, wanabaki kusifia tu, mama ,mama, kafanya ivi!! Kisa wako ccm wao nikusifia tu! Akili hawana! Simameni kama Watanzania, sio kama wana ccm! Vichwa maji nyie.
Kwann Sasa wakat wa kupanga maandamano mlikaa kimyaa?? Ikiwa maandamano yalikuwa hayalengi maslah ya chama Bali kushinikiza wananchi waliotekwa na kuuwawa??
Daaaah uku act ivi kumbe nako kuna watu wanatoa hoja njema hivi, nimewakubali sana
Uko sawa dada ni pesa zetu yy sio Mungu hata siku moja😮
Hapo umenena dada wa ACT
Kama aneshindwa kuvikemea vyombo vyake vya usalama, basi ameshiriki dhambi hii.
Hakika unastahili kuwa mbunge wa Tanganyika, mbunge wa wananchi hoja ina nguvu ,wajibu kama wana majibu.....
Kumeanza kuchangamka, hapa ACT, kule CHADEMA .
Hongera sana mama kwa kutusemea, huyo mama ni katili zaid ya Nduli Idd Amin, samia anasema ameua upinzani kidigitali! Labda kumuua Ali kibao ndo kidigitali anayozungumzia
Mama umeivà sana tanganyika
Uko sahihi
Huyu dada anaongea vizur sana aisee, yaani hapepesi macho wala kuogopa.
Kweli kabisa
Ila nyieATC ni wanafiki
Mngekuwa wakweli mngewaunga mkono CHADEMA kupaza SAUTI Kwa maandamano
Huyo mama nchi imemshinda.
Damu ya waliouwawa itakua juu ya wote waliohusika na familia ZAO hamkwepi hakika ole wake atakamwaga damu ya and yake
Dada pokea maua yako. Mungu akulinde
Safi sanaaaa
Asee huyu dada ajengewe sanamu likae pale ikulu
Kumeamza kuchangamka Kumbe ACT Nako Kuna Watu timamu. Funga But kanyaga twende
Shida uchawa, maana nchi hii, mawazri, hawana kazi maana kila kitu anafanya rais, mawazriri wapo pale kusifia Tu, kwa hiyo wanalipwa mishahara na posho za kusafiri kwa ajili ya kwenda kumsifia mikoani
ACT, kumbe mko vizuri kias hiki ??, basi unganeni na CHADEMA, mkakomboe NCHI
Sawa sawa raisi hafahamu kama vifo vyote vipo juu ya mabega yake na atajibu siku ya hisabu
Duuuuuuuuuu hii nimeipenda uyu dada km ngumi basi kapiga ya utosini 😅😅
Hapo sawa msiwe wanafiki semeni kweli itawaweka huru
Mama uko vizuri
Wacha kuleta eller. Kraften kazi Dada
Umekosea Alisema ni kweli yy ni muuaji ila akaweka mbwembwe
Hivi viongozi wa serikali huwa wanasoma comments za wananchi? Mm natamani kuwe na kitengo cha serikali kianachofuatilia comments za wananchi kwenye mitandao halafu waje na kauli kuhusu mawazo ya watu PERIOD
Sema mamaaa
Nyie ACT machawa,mbona mlimsapoti mama abdul kuvuruga maandamano chadema?tafsiri nyepesi huyu mnaemponda ndo watu wasiojulikana no.1,yuko wapi aliechoma picha yake mbeya?
Huyu mwanaume anayesema kosa sio la vyombo vya usalama hana maana anaogopa kutekwa
Kwa hilo la kupotea watu ni mwiba tena ni laana watz tumejaa hofu ukimwona police kalibu nawe unakosa amani kabisa unajiona myonge hauko salama
Kweli mama, machawa wanalewa vi mate mate wanavyopewa, wanabaki kusifia tu, mama ,mama, kafanya ivi!! Kisa wako ccm wao nikusifia tu! Akili hawana! Simameni kama Watanzania, sio kama wana ccm! Vichwa maji nyie.
DADA,MUNGU AKULINDE DHIDI YA HUYO MBAYA NA MAKUNDI YAKE YA KIHALIFU
Kiukweli tulie mpigia kura alifariki bali tulaumu katiba iliyompa urais
Kwann Sasa wakat wa kupanga maandamano mlikaa kimyaa?? Ikiwa maandamano yalikuwa hayalengi maslah ya chama Bali kushinikiza wananchi waliotekwa na kuuwawa??
Sasa nawaona ACT km mmeanz kuamka vile maana mlikuwa mama mmelala hadi watu wakawa wanatilia shaka km kweli na nyie ni upinzan
kumbe sifa nyiiiiiiiiiiiiiingi zinagarama zake
Watanzania achen kusifia ili mpate kula michawa kibao
Panya samia chura samia
Jee upewe wewe utaweza au mdomo mrefu?
Ww mm ntakupgia cmu