NDOTO KATIKA UHALISIA (MAANA ZA NDOTO) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- KANISA LA REALITY OF CHRIST CHURCH (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our TH-cam: www.youtube.co....
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist
Mimi uwa naota nipo shulen iyo ndoto uwa inajirudia sana naota nafanya mtian tena mara nyingi uwa uwo mtiana nashindwa kuujaza
Amen Mm hua naota kila mara niko shulen lkn hua kuna mazingira tu kufnya kz apa n pe mara nyingine hua niko n watoto alfu mara nyingine kuona watu wakimba n kucheza
MTUMISHI DRC CONGO, tuna kufatilia, natunakuhitaji, ujekututembelea please...
From : EVangelist ISMAËL
Asante Yesu nimeisubir Sana hii sehemu ya tatu
Hakika tunapata maarifa na ufahamu wa kutupeleka hatua nyingine tunashukuru Masihi wa Bwana Yesu
Namshukuru Mungu.Nimesubiri sana.Asante pia Mtumishi
amen
Eeh Mungu nitetee na ndoto hii
Mim huwa naota nafanya mtihani lakini huwa simalizagi mtihani na sijawah kukusanya hata nikipewa nigelezee majibu kwa mtu huwa nashindwa kumaliza mitihani yangu inajirudia mara kwa mara😥
Mdogo wangu alikuwa anaamka kitandani analala chini au anafungu kabati apo anakuwa amelala
Shalom Mimi nimewahi kuota nipo shule na kipindi cha kufanya mtihani imefika lakin sijajianda na hii ndoto imekuwa ikijirudia
Pia nimekuwa nikiota nimekuwa kipofu kila ninapojaribu kufikia hatma yangu
Dada yangu alikuwa anaamka anafungu mlango anakimbi
Tulikua Mzee mmoja tulikua tunakaa naye kwa plot moja , siku Ile anaota anamka anatoka inches akipata gate kiko wazi anatembea Tu mpaka Mahalia ataipata MTU amuongeleze hapo ndio atamkia. Lakini kama gate kimefungwa akiguza pate kimefungwa Anamika hapo.
Mchungaji Mimi Mara nyingi huwa naota nipo na ndugu waliokufa
Na baba alikua anaota anaamka anaenda shamba kukagua na anarud kulala lakin haelew chochote