'HABARI NZITO'! VITUKO VYA HUJAJI ALIYEPOTEA KWA SIKU TATU MAKKA, ATOA SOMO ZITO KWA WENGINE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มิ.ย. 2024
  • HILI NI SOMO ZITO KUTOKA KWA MZEE WA KIGOMA JUMA KAMOLI, HUJAJI WA TAWHEED MWAKA 2024/1445H BAADA YA KUPOTEZANA NA MAHUJAJI WENZAKE KWA SIKU TATU NA KUJIKUTA AKIISHI MAISHA ASIYOYATEGEMEA KATIKA MJI WA MAKKA, JE ALIKUWA ANAKULA NINI? ALIKUWA ANALALA WAPI? NINI KIMEMKUTA? ILIKUWAJE AKAPOTEA?....GUSA LINK HAPO JUU KUTAZAMA MKASA WOTE...

ความคิดเห็น • 57

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 หลายเดือนก่อน +11

    MASHAALLAH MM MKENYA LAKINI MWAKANI KWA UWEZO WA ALLAH NITAWAUNGA IN SHAA ALLAH

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk 21 วันที่ผ่านมา +1

      Allahumma aamiin

  • @user-kh2uu9uy8o
    @user-kh2uu9uy8o 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaallah.. Allah mkubwa inshaallah hajj yako iwe kubul..
    Hakika uislam ndio dining ya haki isiyo na ubaguzi na ni msingi wa mfumo mzuri wa maisha ya binadamu..

  • @aliimanitujitibukwatibazahalal
    @aliimanitujitibukwatibazahalal หลายเดือนก่อน +3

    Allah amkubalie ibada yake na wengine,Mzee wetu huyu tuliagana Masjdi kabla safsri kwa kweli amefurahi sana kwa hilo.ukitaka ujue mengi muulize ilikuaje mpaka umefanikiwa hijja utacheka kwa mazingatio!.

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akufanyie wepesi Mzee wangu juma kalamtana uwe HIJA njema

  • @zaliafakilavire5689
    @zaliafakilavire5689 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah ila babu yetu mjanja sanaa nimependa alivyo jielezea Allah awatakabalie HIJJAH nasi tuombeeni dua siku moja tuende makka ❤❤🎉

  • @makamohd406
    @makamohd406 16 วันที่ผ่านมา

    Allah akutakabalie hijja yako. Ammin

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 28 วันที่ผ่านมา +1

    Lakini wanatoka hawana namba za simu jina la hotel namba za hotel wasimamizi wanafanya sio ivo watu wanatakiwa wapewe full information na watebee nazo kadi zao wakipotea wanapigiawa simu marjent au wanajina na namba ya hotel wanafikishwa hotel ingekuwa kazi rahisi sana

  • @halimarashid6878
    @halimarashid6878 หลายเดือนก่อน +2

    Alhamdulillah .Allah akupe hajji mabroor. Viongozi ni lazima kuwaelekeza mahujjaji namna ya kujisaidia wanavopotea. Kwa mfano no ya mlango munaoutumia sana kuingia msikitini. Au hata vyoo vya msikitini pia vina no basi mukawa munanakuwa munawafatilia kwa humo.

    • @safianamani1375
      @safianamani1375 หลายเดือนก่อน

      Kila mahala polisi wapo... Kusaidiya... Wahujaji... Wapo tayari

  • @salimawishenga7588
    @salimawishenga7588 25 วันที่ผ่านมา

    Mashaa Allah tabaraka Allah Alhamdulillah, Allah akubaliye dua zako Aamiin yaaarrab 🤲

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 หลายเดือนก่อน +2

    Hahaha mie sitaki kucheka et ningesem ni wazanziba ningesemeshwa kiarabu duuh

  • @KhadijaNgozi-ln4ww
    @KhadijaNgozi-ln4ww หลายเดือนก่อน +3

    Mwenyezi.mungu.atufuungulie.rizk.nasi.tùkahiji

  • @user-kh2uu9uy8o
    @user-kh2uu9uy8o 28 วันที่ผ่านมา

    Alhamdulilah umeweza kutekeleza ibada yako hukubabaika..

  • @SalmaIbrahim-ns6wy
    @SalmaIbrahim-ns6wy หลายเดือนก่อน

    Pole Sana mweyezi mungu akupe ukitaka cho Amini yarambi 🤲

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 9 วันที่ผ่านมา

    Pole sana baby yangu

  • @user-gp9np3nf2p
    @user-gp9np3nf2p หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana Na Allihamdulilah umeonekana

  • @lutfiakassimjuma2933
    @lutfiakassimjuma2933 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 หลายเดือนก่อน

    Pole saaaana Babu kikubwa umefanya ibada yako tumuombe Allah apokee salaa na duwa zako wewe na Mahujaji wengine woooooote Ameeeeeen

  • @user-pd2fk6kt5i
    @user-pd2fk6kt5i หลายเดือนก่อน

    Yalio nikuta mimi yasiwakute wajukuu hi nimeipenda 😂😂😂 Allaah azidi kutuongoza kwakweli

  • @KhadijaNgozi-ln4ww
    @KhadijaNgozi-ln4ww หลายเดือนก่อน

    Mashalaaa

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 หลายเดือนก่อน

    Amina yaayaab

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo หลายเดือนก่อน

    Huyu Mzee nampenda sana anastori sana tuko naye hapa Kigoma.

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 หลายเดือนก่อน +1

    Umati Muhammad umejaa siyo rahisi

  • @shamzone388
    @shamzone388 หลายเดือนก่อน +8

    Jaman wakat wa hajj hakuna ujuzi wala lugha mtu yoyote anaweza kupotea ukijua kiarab au english au lugha yoyote

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n หลายเดือนก่อน

    Pole saaana mzeee

  • @user-jt4ox7dv9n
    @user-jt4ox7dv9n หลายเดือนก่อน

    Pole sana babu ila ungesema hiyo zanjibar angekuelewa mapema Allah aifanye hija yako iwe niyenye kujibiwa

  • @aziza9093
    @aziza9093 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 หลายเดือนก่อน +1

    Babu yangu umenichekesha sana,
    Hotel ipo karibu lkn hukujua kurudi, unaisifu hatua mbali tu na msikiti.
    Allah akulipe kila l kheri n hija mabruur

  • @MariamHaroon-pu3lx
    @MariamHaroon-pu3lx หลายเดือนก่อน

    MASHAAALLAH ❤❤❤❤😅

  • @nuhuabdil7073
    @nuhuabdil7073 หลายเดือนก่อน +1

    Namumba mola wangu wahaki ajotole tajiri Alie ruzukiwa namola na Mimi nikahiji mwaka 2025 kwani riziki anatowa mola nitakacho jaliwa

    • @sumaiyasaid2356
      @sumaiyasaid2356 24 วันที่ผ่านมา

      Allahumma Ameena . Mola akupokelee maombi yako.

  • @user-es2yt1jc4i
    @user-es2yt1jc4i หลายเดือนก่อน +1

    Maskin. Babu. Nakuomba uniombee sababu umeongea nimecheka nanisiku sichek

  • @user-xy9nm3lx5x
    @user-xy9nm3lx5x 23 วันที่ผ่านมา

    Sasa kama hotel ilikua karibu na mskiti kwann ulipotea?

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 หลายเดือนก่อน

    Pole sn babu

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wapo wanaongea kingereza na kiarabu pia tunajuw

  • @user-sh7id8of5m
    @user-sh7id8of5m หลายเดือนก่อน

    Pole mzee wangu lakini umeshahiji

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂chai nilikunywa.

  • @zakiamohamed7611
    @zakiamohamed7611 หลายเดือนก่อน

    Muhimu kusoma jamani tunakwama baadhi ya mambo mengine kutofahamu faida yakusoma

  • @SaidSaid-wh4ky
    @SaidSaid-wh4ky หลายเดือนก่อน

    Basi la watu 260 duuhh

  • @SaidSaid-wh4ky
    @SaidSaid-wh4ky หลายเดือนก่อน

    Hakuna hilo bus wala halija undwa

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah hahahahaaaa

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 29 วันที่ผ่านมา

    Baba angu wa kigoma nimecheka sana 😂😂😂halafu kuhusu watz hajui kingereza sio wote babu bhn 😂😂😂😂ht cha kuombea maji baadhi yetu twakijua 😂😂😂

  • @lutfiakassimjuma2933
    @lutfiakassimjuma2933 หลายเดือนก่อน

    Zanzibar warabu😂😂😂😂

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalim หลายเดือนก่อน +1

    Wazembe wasimamiz

    • @Aisha-qd2rg
      @Aisha-qd2rg หลายเดือนก่อน

      HAPAN MAMY KILA SIKU WATU HUPOTEA NI KAWAIDA MADAM WANGU NAE ALIPOTEAGA KUANZIA ASUBH MPAKA JION NA SIO MZEE

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 หลายเดือนก่อน

      Kupotea kawaida tu kwa hijja

  • @zakiamohamed7611
    @zakiamohamed7611 หลายเดือนก่อน

    Babu mtihani umemkuta kutofahamu kusoma alama zasehemu

  • @imanimussa6256
    @imanimussa6256 หลายเดือนก่อน

    Bc wazembe wacmamiz

    • @FatmaAme-vs2th
      @FatmaAme-vs2th หลายเดือนก่อน

      ❤❤😂😂

    • @ismailomary5640
      @ismailomary5640 หลายเดือนก่อน

      Mzee Kalamtana utavunja watu mbavu ukirudi Rwama

    • @safiaali1129
      @safiaali1129 19 วันที่ผ่านมา

      Hijja Mambroour.