HAITAKIWI KILA MASAA 24 MTUSAJILIE WACHEZAJI. MWLM APATE KUINSERT MAFUNDISHO KWANZA ILI UKIPITA MUDA FULAN TULAUMU, NASHAUL TUCHAMBUE BAADA YA MECH 6 KUENDELEA
Ila nonino wako simba angemshindilia hadi hangeshindwa kutembea kama ile siku walipocheza na vikongwe wa vidimbwi fc utopolo baada ya mechi so uliona walivyo lala uwanjani
Mchambuzi mzuri na anaufahamu mpira na timu.Naomba achukue waandishi wengi wanatumika kuchafua simba.
Ww ndiye umeongea kitu cha maana nikama simba walicheza wao kwa wao
Yuko sahihi hatuja pata vipimo zaidi
HAITAKIWI KILA MASAA 24 MTUSAJILIE WACHEZAJI.
MWLM APATE KUINSERT MAFUNDISHO KWANZA ILI UKIPITA MUDA FULAN TULAUMU,
NASHAUL TUCHAMBUE BAADA YA MECH 6 KUENDELEA
SIMBA HII INGECHEZA NA SIMBA YA MWAKA JANA INGEFUNGWA MENGI
Mbona azizik alikaa msimu mzima badoo tuwape muda
Waandishi nyie msiwe kama hamna akili HIV hamuoni kama wachezaj wapya mazingira mapya ulizeni maswali ya msingi
Ila nonino wako simba angemshindilia hadi hangeshindwa kutembea kama ile siku walipocheza na vikongwe wa vidimbwi fc utopolo baada ya mechi so uliona walivyo lala uwanjani
Hao wachambuzi ambao ni unethical washikishwe adabu.
Tengua kaulioko, Simba ni mnyama pia club sio mtu😂
nawe mdada kila sehem upo nenda na yanga ukawahoj tuache bwana nenda ata azam ukawahoj
Yaani wachambuzi wajinga wanaolipwa kuisemea vibaya simba mwaka huu tutakufa nao
Mwandishi anabore tu kwa maswali yake