DAKTARI AFICHUA SIRI, UKIACHANA NA MPENZI WAKO USIFANYE TENDO LA NDOA, ILI USIACHWE FANYA MAMBO HAYA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ต.ค. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Dokta nimekuelewa vzr
Uko vzr Sana dokta
Ahsante
Nikweli kabisaaa doktaa apo nimekuelewa wanawake wengi kichwani akuna kituuu
Huyu dokta apew ulinzi kwakwel lakini hapo kwenye kutofunga milango n mdrisha utakta umeibiwa mpaka hizo nguvu za kiume zenyewe
Dr maelezo Yako Leo hayajatulia sababu umevaa shati ya mikono mifupi
Kwani ww lamuhimu elimu ama shati,,,,niswali2😁😁
Umetishi
Hapo umeongea ukweli doctor
Dr Leo umeongea point dini hiyo
Dr nime kuelewa kweli wewe ni mhaya kamili na nusu
Ukivaa t shirt ya maandishi inahalibu nn ?
Kama usiponyoa ndevu kunaharibu nn?
Kuazima geto la mtu😅😅🙌
😂😂
Hiki kizaz mñafunguka"*
Dkt yani tusomeshe tuelewe nimeisoma hiyo kama mtaniwangu mnyamwezi anavyosemaga hasa wa mama tulio zaa tuwe makini sana tuijue kesho yetu bola uje tuoshe vyombo oman kuliko kupotezewa muda muda ni mali na ukumbuke uzee ukija huto fanya lolote