Alafu uyu baba ana loho mbaya sana uwa anajikuta mungu mtu ila tu ikumbukwe chadema sio wakimbizi wana haki nyingi tu apa nchini nimeumia sana kiukweli
Kabisa ana roho mbaya na iyo sura tu alaf akiongea utasema atakaa maisha apo kwenye hicho cheo subhanallah anaongea kwa gogi na maringo akiingea anagalia mdomo na macho yake tu utapata jib 😊
Polisi ivyo sana nyie eti mnatutishia mabunduki kwani waandamanaji wana silaha?? Kenge nyie na u chawa wenu! Nyie mnatuteka na kutuua na wengine mumewabaka halafu tukae kimya tuu??? Aibu zenu! mnalaaana na serikali yenu inayowatuma. Wananchi tumeumia sana na hatuwapendi!!!!
Ajakwambia katekwa jibu swali kama ajakamatwa yuko wapi unaanza kusema habari za kutekwa kiukweli sijawai kupenda namna unajibu maswali yako unatofauti kubwa sana na mwenzio aliepita
WAKAMATWE HAWO MAJAMBAZI POLISI WAKO KWANZA HUNA CHA KUJIBU CHA MAANA HUJUI HATA KUJIBU HUNA PERSONALITY YOYOTE NI UCHENZI MTUPU SHERIA ZIPO WAZI FREEDOM OF SPEECH
Polisi nyie ndio mnavunja amani mnawaogofya raia wenu wenyewe. Wanavunjaje amani angali hawatumia silaha yoyote ile wapeni haki yao. Tena nyie ndo mlibidi muwalinde katika maandamano yao ila mnawakamata hii nchi bana ukisema ukweli unaonekena mbaya. Sisi raia tunawaangalia tu ila kila lenye mwanzo hakikosi mwisho haki yao wataipata tu siku isiyojulikana.
@@meshacknyandongo577 macho huna Basi ata Akili za kujiongeza huna huyo mtoto si ana familia yake mbona wenyewe wako kimya au wataka namba yake huyo bint ?wewe Je Ni msemaji Wa familia wacheni kuwa wanafiki mbona hamkuja Barbarabaran kama kweli mna uchungu
@@SalimAbdallah-mi1wc wewe ndio mnafiki police alishindwa nini kusema hivyo mpaka wewe ndio umsemee wewe ndie unajikuta chawa wa serikali akili Yako ni ndogo sana
Mwandishi big up umeulizwa swali zuri sana na kiweledi
ametekwa
Mungu wangu isijekuwa wmeshamteka...
Wanaoichezea serekali wacha waone maana yasiri nkali.😂😂😂😂
Kazi ipo kwakweli
Mwandishi wabari uko sw
Yaaani hii sio poaa😊
Alafu uyu baba ana loho mbaya sana uwa anajikuta mungu mtu ila tu ikumbukwe chadema sio wakimbizi wana haki nyingi tu apa nchini nimeumia sana kiukweli
Halafu nasiyo Alafu, roho nasi loho.
...hapa nasi apa
@@zengomikomangwa9264 wapumbavu wengi huacha lengo na kusumbuka na vitu vyepesi!
Huwa sio uwa😂
Kabisa ana roho mbaya na iyo sura tu alaf akiongea utasema atakaa maisha apo kwenye hicho cheo subhanallah anaongea kwa gogi na maringo akiingea anagalia mdomo na macho yake tu utapata jib 😊
Huu ni usalama kwa raia ama ni usalama kwa wanasiasa mulioko mamulakani mtaendelea kulalamika mpaka umauti uwafike
Sura zao zinanuka damu za watu
Astaghfirullah
WEWE KUMBUKA MOJA KATI YAWATOTOWAKO TUNAMFAHAMU SN KUANZIA SHULENI
Fanyakazi Mulilo
Piga kaz kamanda
Polisi ivyo sana nyie eti mnatutishia mabunduki kwani waandamanaji wana silaha?? Kenge nyie na u chawa wenu! Nyie mnatuteka na kutuua na wengine mumewabaka halafu tukae kimya tuu??? Aibu zenu! mnalaaana na serikali yenu inayowatuma. Wananchi tumeumia sana na hatuwapendi!!!!
Ndo maana watu wanajitoa muhaga tz inaboa sana haki hamna mnashindwa kutuliz amani za mauwaji mko bize kwa matembezi ya watu ovyo sana
Damu damu damu
Mhh miye ccm Apna
Kwamba ametekwa
Hii serikali ya Tanzania mna ubabe
Anachekelea kama alichokifanya ni kizuri😢😢
Hamtuingii ss wakenya hata kwa hatua moja kwenye swala zima la democrasia, polisi wenu pia hawajifahamu
Kweri mnajua kujichoresha kuwa hamfai kuigwa hata na jamiii
Haya watwambie tu mtoto wa mboe yupo wp maana wakti wa amchukua baba ake alikua yupo hapo 😢
Mmemteka?
Sawa afande tumekuelewa afande
Hahahahahaha!
Kwa hiyo kanitekaaa kwa nini jamani kwa nini mnatufanyia hivi
Ajakwambia katekwa jibu swali kama ajakamatwa yuko wapi unaanza kusema habari za kutekwa kiukweli sijawai kupenda namna unajibu maswali yako unatofauti kubwa sana na mwenzio aliepita
Mulilo😅
Wote tutakufa afande na tutaoza
Kinacho matter n kuishi
Tunakufa mara1 af kuish ni kla cku
Mbona police wamemchukua
WAKAMATWE HAWO MAJAMBAZI POLISI WAKO KWANZA HUNA CHA KUJIBU CHA MAANA HUJUI HATA KUJIBU HUNA PERSONALITY YOYOTE NI UCHENZI MTUPU SHERIA ZIPO WAZI FREEDOM OF SPEECH
Polis muachieni mtoto wa mbowe na mke wake wanahusikaje sasa
Nyie mnawajua watekaji video zimeobyesha afu anakana bila aibu
Sasa si ujibu moja kwa moja, kuwa sijamkamata??
Polisi nyie ndio mnavunja amani mnawaogofya raia wenu wenyewe.
Wanavunjaje amani angali hawatumia silaha yoyote ile wapeni haki yao.
Tena nyie ndo mlibidi muwalinde katika maandamano yao ila mnawakamata hii nchi bana ukisema ukweli unaonekena mbaya.
Sisi raia tunawaangalia tu ila kila lenye mwanzo hakikosi mwisho haki yao wataipata tu siku isiyojulikana.
Hajakamatwa Wala hajatekwa Yuko sehemu Salama walimchukua pale kusudi lisije tokea chochote kibaya kwake mkasema Ni jeshi la polisi
Wewe ndie msemaji wa jeshi la police?
😂😂😂
@@meshacknyandongo577 macho huna Basi ata Akili za kujiongeza huna huyo mtoto si ana familia yake mbona wenyewe wako kimya au wataka namba yake huyo bint ?wewe Je Ni msemaji Wa familia wacheni kuwa wanafiki mbona hamkuja Barbarabaran kama kweli mna uchungu
@@SalimAbdallah-mi1wc wewe ndio mnafiki police alishindwa nini kusema hivyo mpaka wewe ndio umsemee wewe ndie unajikuta chawa wa serikali akili Yako ni ndogo sana
Unajichekesha Alaf Sisi Tupo Seriuous
Police njo wamemukamata😂😂mimi ni wa burundi ila nafatilia maandamano ya leo na video ipo una aibu wewe baba
🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢
Wewe mlilo huna akili unafanya kila upuuzi kisa wakubwa wako kwa MUNGU utajibu peke ako
Hii serikali ya Tanzania mna ubabe