Ulaya wanapigana vita sio sisi Tanzania polisi wanakosa kazi wanavamia raia na kuwatishia. Namkae mkijua rais wenu hatumtaki na hatumpigii kura mpitisheni tuu kenge nyie!
Kikubwa ni aman mambo mengine acha yapite,eti tuanze kupigana na kuuwana kisa watu wanataka kula vzr na familia zao.Leo hii unauliwa familia yako pendwa,watoto wako wanashenyetwa mapanga na marungu juu kwa ajili ya matumbo ya watu wao washibe,ni bora nife masikini tu.
Nchi hii tunatishiana bunduki sasa??? Mtuambie basi hao watekaji ni akina nani au uchunguzi bado? Mnachefua sana hatuwapendi na serikali lenu lakimabavu na kura hampati! Waonevu nyie!
Hapo magari yamepigwa full tank popote yanaenda siku zote hawafanyi hivyo leo wameskia Kuna maandamano wametoa mpaka magari ambayo yalikua hata mala ya mwisho kua barabarani ni lini Yani leo mpaka porilisi waliokua hawapo zamu pia wameitwa acheni kutisha laia kila siku mfanye ivyo basi ili tujue usarama ni mkubwa kwenye nch yetu😅
Safi Kamand uko vizuri , sisi wa Nje ya Mji hatuna habari na hayo mambo ya maandamano
Asante sana my friend Ally Dreamz tza
Hapo sawa kabisa!!! Wacha watu waishi na Amani tuu
🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii.ni.ujinga.ya.hali.ya.juu.kuwatia.watu.uoga.akuna.jpy
Tanxania 😢😢😢 poleni .... ingekuwa kenya wangependa
Hao sio askari wa kenya km wanafunzi bali hao ni wa tanzania sas fanya fujo uone kama mnajiamini wakenya hemu njoon km hamtarud maiti
UTAWALA wa Rais ni wa Kindickteta!
Ulinzi uko vizuri sana nimeipenda
Polisi wanatafuta vita kwa nguvu wenyewe wanakuja kutafuta rushwa barabarani. Tunawashukuru kwa kuendelea kuibrand chadema
Uyo police anacho kataha nn mbon sku za nyuma awajafanya doria km iri
Hii serikali ya waoga sana
Amani muhimu sana ndugu zangu watanzania
Mtakufa vibaya chadema tulieni 😢tu
👍👍👍
Iv Aya magari mngetumia kusaka ao wauwaji na warifu ingekuwa raha sana
Sasa mmeshindwa Nini KUTAFUTA wanaoua watu
Matumiz mabaya ya kodi za wananchi
Nimependa Sana Yani kama ulaya kazinzuri jeshi la polisi
👍👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hakuna UFALA kama huu ULAYA, taja nchi moja unayofanya huu upumbavu Ulaya?
Ulaya wanapigana vita sio sisi Tanzania polisi wanakosa kazi wanavamia raia na kuwatishia. Namkae mkijua rais wenu hatumtaki na hatumpigii kura mpitisheni tuu kenge nyie!
Na hao sio wanajeshi ni Police oaa so powa😅😅
Usalama kwanza, safi sana
Kazi ya rahana hii ndo maana mnakufa maskini kwa kutumikia mafisadi jeshi la ccm 😂
WEWE KUFA TAJIRI MBWA WE
Wewe una kitu gani zaidi ya kutumiwa na kugeuzwa mtaji wa kisiasa na vibaka wa chadema
@@walidmgonja3644 mm Sina chama na cjawah kupga kula 🤣🤣🤣 ashinde yoyote tu fresh ila jeshi liwe huru sio kuwa watumwa wa chama kimoja
@@jaffaralimakame1533 wanaishia kuwalinda wezi wa mabilioni🤣🤣🤣🤣 adui wa Tanzania ni watanzania wenywwe
Umeongea vzr me sijawaii sikia police at mstahafu bilionea wengi ni walevi kinoma wakistahafu hii kazi tokea enzi za yesu ililaaniwa
Watu wanapouliwa na kutekwa huwa rais haoni akaweka nguvu aliyomuwekea chadema..sasa wapiga kura kazi kwenu mi sipo
Yaaan wanapambana na wapiga kura wao
WEWE ELISHA MPIGA KURA AVUNJE SHERI ?NENDA KWENYE I8 ZAO MJIGA MOJA.
bulll crap...
Kamateni wehu hao
Chadema watu wazito🎉🎉🎉
Mji umepoa mpk rahaa safiiiiiiiii
SAFI SANA KIGOMA MMETISHA, PIGA NGOKO VIBARAKA WA WAKOLONI, TANZANIA KWANZA , AMANI KWANZA!!!
Safi sana jeshi la polisi
Lazima tuwe tayari respect kamanda
KWANI KIGOMA NI TANZANIA 😢😢😢
Ikiaza vita ya kuviziana mtaiweza,,??
FFU Fanya fujo uone
Active friend am here 🙏
Chadema safi sana
Mtu ajichanganye
Subutu unapigwa moja halafu unaambiwa waliyokupiga hawajulikan
Hahaha
😂😂😂😂😂
Kumbe CHADEMA inanguvu kiasi hiki....kauli tuu, inatikisa nchi...
Bunduki kama zote. We ni hatari kwelikweli!! Usijaribu mambo ya hovyo ya maandamano, utakula mmoja tu!!
cku zote walikua wap😅😅😅 by the way FFU nawapenda sio washenz kama wale wa vituon📌📌📌
Hii muvi nimeipenda Hadi nimekumbuka Ile muvi ya Rambo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
MUNGU IBARIKI TANZANIA KWA HILI NALO LIPITE SALAMA
Mimi zamani nilikuwa nakariri tu darasani, sa hiv ndo naelewa maana ya AMIRI JESHI MKUU...
Haaaaaaaaa nimecheka sanaaaa Kama kunavitaaaaaa😅😅😅😅😅😅😅
Nimeamini jeshi letu waoga sana wallah maandamano tyu kama wanatafuta jambaz
Tanzania eeeh!nchi yanguuu,Yani paka nacheka,wanambwembwe Hawa polisi,washukuru Mungu tu,nivile Watanzania waoga,sio watata.
Muongo mkubwa hata mungu anawaona siku zote mlikiwa wapi mbona hamkufanya dolia kumbukeni mnafamilia na nyinyi mungu analipa hapa hapa duniani
Yani mnatumia mali za wananchi kukandamiza haki za wananchi. Kweli KITIMOTO HUKAANGWA NA MAFUTA YAKE MWENYEWE
Wanaogopa, waoga
Nmefrah kuiona kigoma kumbe kuzur
Maandamano yamefanyika maana wao ndo wamefanya Dunia imeona
Yaonekana bado police hawana uelewa na nguvu ya uma😮😮thibitini watekaji otherwise tukiandamana sisi wote mnaweza mkashangaa
HUYO MTEKAJI MPELEKE WEWE KWANI LAZIMA POLISI ?
Kilichokuzuia kuonyesha nguvu ya uma ni kitu gani?
Wewe ni choko unayegeuzwa na wenzako kijingajinga
Hisi amani watazani tunadanganywa .kwan hatuna uhuru wakutoa isia zetu nakueleza
Naona polisi wamesaidia kuandamana wanachekesha kweli hawa
Utadhani Burundi imevamia nchi 😅😅😅😅😅
Yani kwa hii mikwara Yao,ninavyowafahamu Watanzania,kwisha utemi wao
Hapo Ndo unaona kabisa hawa Jamaa wapogo Tu
Aiseee taifa linapote hii nguvu wangetumia kuwatafuta wasijulikana wallah basi wangejulika
Haaaaaaaaa jamaniii ingekuwa nakuwatafuta watekajii. Ndugu zetu wanauwawaaaa nawpoteaaa😢😢😢😢😢
Kawatafute ww
@@febochannel4964 au wew ndo mtekaji Mimi mbona huna huruma
Polisi wakistaafu wanatiaga huruma kam uwongo niko pale nawasubiri.
Nchi imechangamka ase angalau wale Kodi zetu kwa jasho 🤣🤣 sio mpaka wanaoteana vitambi
Ndio nini sasa wengine wamefunika mapua kama mbwa mwitu
Kodi zetu zinatumika vibaya wakistafu wanatiaga huruma mtaani utasikia kiongozi vipi hata moja tu saizi mnatisha watu
Kumbe huyo askari yupo huko kiukweli nampendq sana
Mamlaka iheshimike. Hii nmeipenda asitokee kunguru akasumbua
Izo siraha wanashikiwa raia
Hofu nimbaya sn watu wanapewa hofu
Hiz doria Huwa wanafanya Kila siku
Kwa ulinzi huu wiki hii tutalala fofifo
Lkn kutafta majambazi wanao tela watu na kuwauwa aaaaah mandamano ndio mnakuja adi na mbwa 😮 wapuzi wakubwa
Mnao sifia police mnashida njaa na umaskini zimewajaa hamjui haki zenu maskini wa Akili nyinyi
Ila chadema mmechangamsha sanaaa Leo vibaka wako kimyaaa
Usalama, kwanini Uwe Leo na usiwe siku zote
Waende condo kama kweli wanajiweza kenge
Kumbe Polisi wapo??! Hua cku zote wanakua wapi watu wakitekwa na kuuliwa?? Au wanakua wamelala majumbani?
Makonda alifanya vzur. Kunyanganya camera..😭😭🤣🤣😭😂😂😂...maana mnakua wasenge
Mtangazi anatetemeka mamamee
Kikubwa ni aman mambo mengine acha yapite,eti tuanze kupigana na kuuwana kisa watu wanataka kula vzr na familia zao.Leo hii unauliwa familia yako pendwa,watoto wako wanashenyetwa mapanga na marungu juu kwa ajili ya matumbo ya watu wao washibe,ni bora nife masikini tu.
Chadema wageuza maandamano kua ya police
Hivi wanakaaga wapi hawa sasa si wangesikia MTU katekwa katekwa wakaenda kama hivi kwani nani angepiga kelele?
Matumizi yote hayo ya pesa shida chadema wasifanye maandamano . Huyo anasema ni Dolia tu ya Nini acheni uchawa wa chama furan
Hii ndio ukisikia Serekali ndio mujue nini maana y Serekali
Jana.ingekuwa.kenya.wangepigwa.hadi.waache.hayo.magari.washukuru.tanzania.ni.waoga
@@PererLukumay kwani Kenya wamefanya nini Rais Ruto si ndio Rais wa Kenya mpk muda huu acheni ushabiki wakimavi mavi nyie
Mafutayagari, kodi zetu
Hawa jamaa walinde hivi mwaka mzima itapendeza sana yani iwe ni kawaida yao.itawasaidia pia kupunguza hivyo vitambi kwa wenye navyo.mama samia oyeee
Mbona sikunyingine hamzunguki acheni uboya
Kenya alifanyaga hivi hivi...na bado kikawaka!!!
Weeeeeee usituharibie!!!!! Sisi wa Kenya NI watu wa Amani
HII NI TANZANIA SIYO KENYA
Tuna imarishq usalama 😂😂😂😂😂 hii ndo Bongo ujanitoa mm ndani haki ya mungu sio kwa hao Wajuba😂😂
Amani na mi bunduki,hawapendi ila watafanyaje boss ndo kashasema,chadema tu ndo vulugu hizi kweli chadema ni lidude likubwa
Nchi hii tunatishiana bunduki sasa??? Mtuambie basi hao watekaji ni akina nani au uchunguzi bado? Mnachefua sana hatuwapendi na serikali lenu lakimabavu na kura hampati! Waonevu nyie!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 htr
Kumbe waoga eee 😂😂
Jichaganye hapo uonee
Kumbe kuna uwezo Mkubwa wa doria kias hiki uwe mwisho wamauaji nautekaji kwa wasiojulkana doria iendelee usiwe nakikomo
MAASKARI NAONA MNATAKA VITA KACHOKOZENI CONGO MUONE
😅😅😅😅😅 fanya fujo uone
Si mwende Somalia? Kama mnatamani vita
Mapumbavu watumwa wa ccm ipo siku mtajuta
Kula Mali yauma wa bongo niwajinga
FFu.. fanyafujo uwone! wananyuka ao 😅
Dah htr inanikumbusha kuna mwanajeshi aliuliwa Arusha aise tulilabwa bakora ctomsahau hiyo
Siraha sito hizi nisakupigana na boko haramu au niyanini jeshi la 🚓🚨 kuwa na watanzania sio chama kimoja
Ffu wawe wanapewa kazi mara kwa mara nadhani hii kuwaachia wakae miguu juu ndio siku wakitumwa kazi wanaenda na kucha za miguu 😂😂😂😂
😂Nendeni mnaotaka ulemavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mie ngoja ninywe chai nikalale zangu
Hapo magari yamepigwa full tank popote yanaenda siku zote hawafanyi hivyo leo wameskia Kuna maandamano wametoa mpaka magari ambayo yalikua hata mala ya mwisho kua barabarani ni lini Yani leo mpaka porilisi waliokua hawapo zamu pia wameitwa acheni kutisha laia kila siku mfanye ivyo basi ili tujue usarama ni mkubwa kwenye nch yetu😅
Watu wanauawa Sasa dhibitin
😂😂😂😂YAANI HIZO BENDERA UTADHANI WANAJESHI WAMETEKA NCHI AAAAH MBOWE HUTOSHI TULIA BABA!!! YAANI MAMA AMEKUFANYIA U MAFYA AJABU
Akili mgando sasa
@@kassimrajabu7805 akili cherehani