MBONA MTOTO WA MBOWE NA HAO WENZANGU NA MIMI NANI.WAKUWATETEA NA KUWATOA LEO NDO WATALALA LUMANDE MPAKA HURUMA ZIWAFIKIE .WEWE MWANASHERIA JIBU HIZI HOJA AU KAZI YAKO KUTETEA WAKINA FLANI TU .
Ndio kisheria nchi zote duniani Askari wa kuime hawezi kumshika mwanamke ni kosa kubwa Ila hao wanywa gongo wa tz wanavunja sheria wakishakunywa gongo zao..
@@beatricejohn1659 Asante sana tatizo nchi yetu wengi hawana upeo ,na hawajui wala hawataki kujua haki zao ni nini?.Ndio maana kila kukicha zinapitishwa sheria kandamizi kazi yetu ni kubeti na kushabikia mipira, wengi ni mazuzu tu Mungu awafungue ufahamu wao wajitambue japo waone wao ni watumwa nchini na sio watu huru
Hatupendi machafuko mlimchafua magufuri saivi mnataka nchi imwage damu kweli tz hatuja zoea machafuko sisi niwamoja tusaidiane wote shida ipo wap toka kipindi cha kikwete hadi leo watu kupotea na sio kutaka machafuko no
Wewe Kibatali acha kukuza upuuzi kwani hapo kuna udhalilishaji upi unaosema au una makengeza? Be realistic and speak within the boundaries of your profession and not your hunger. Acha kuropoka pumba. Mnaonesha wazi mnavyotumika. Amani ya Nchi italindwa kwa gharama yoyote na waliokabidhiwa wajibu huo na sheria. Prejudice cannot work to serve millions of Tanzanians. Stay aside we need a peaceful Tanzania.
Wew ni choko huna hakir kibatala ni wakiri msomi huwezi kumuongelea uchoko wako kwa namna yoyote kibatala ni mzalendo mtetea wanyonge wanaoumizwa nchi hii tena koma mbwa wew
Kafie huko we na familiar yako waliwe na kunguru.maana yanayoendelea ya watu kutekwa na kuuwawa huyaoni.sasa ngoja Mungu ashugulike na ndugu zako watoweke mmoja baada ya mmoja .ndio ombi langu kwa Mungu
Eti tumemfata mtoto wa mboe na wanzake wawili 😮? Serious ? Kwanini mnawatupia maboya watatu ba kuwaacha wengi wazamee hapa Nina mawazo upinzani kwa chama Cha upinzani😅
Wewe mbowe na familia yake wana ujinga gani wewe ndio mjinga watanzania wanauwawa wengine mnachangia ujinga mnaona hii nchi Iko sawa kweli ninyi kuweni na uelewa acheni kuongea ujinga
Ila nyinyi mawakili ebu muwe na utetez ukiona tukuka kwasababu watu wanakamatwa na maaskar hamtetei ila mtoto wa mboe nimakosa daaah ebu hizo Sheria mfanyuen marekebisho mawakili sisikii watu wakikamatwa mnatetea Ivyo ila mtoto wa mboe kashikwa hivi daaah
Mama samia kawadekeza sana hawa chadema. Magufuli aliwafinya ndio mana maendeleo yalikuja kwa kasi. Dawa yao kukifutq kabisa hiki chama cha wakorofi. Watu tunataka maendeleo hatutaki mavurugu kila siku wana mapya hawa jamaa. Mungu amjaalie makonda aje kuchukua hii nchi atunyooshee hawa wapenda migogoro
Ndio maana tunasema police Tanzania ni ile darasa la saba feria hawajui chochote kile kuhusu sheria huko kwenye jeshi la police kwenyewe wanaingizana kimagendo na kutokujua kwao sheria ndio maana nchi hii inatupata shida mno na Hawa mbumbu wasio kuwa na elimu
Hivi nyie mawakili mbona mnapenda sana kushabikia upinzani mbona sijawahi sikia hata mkitetea serikali juu ya mikataba mibovu inayofanywa na baadhi ya viongozi wasio waaminifu?
AMANI YETU NI TUNU ILIYODUMU KWA ZAIDI YA MIAKA 50,,, ASITOKEE MPUMBAVU YOYOTE WA KUJA KUIVURUGA KWA ULAFI BINAFSI WA MADARAKA... HONGERENI SANA POLISI. HAYA NDIO TUNAYOYATAKA.
@@yosephatMasanyiwa-oh1rlhata Libya walijitia ujuaji leo wanamaisha mabovu kuliko sisi. Kama mnaona nchi inawaboa mbona dunia kubwa sana nendeni mkatulize nyashi zenu sehemu nyingine. Tuachieni tanzania yetu. 🇹🇿
@@happinessmosala2217nenda kwenye maandamano unasemea bafuni mwehu wewe. Hapa sio kenya . Polisi wetu wanawapenda wajingawajinga kama wewe. Gubu tu limewajaa . Tuachieni tanzania yetu hamza Burundi huko uka enjoy mchawi we
Haya watoto wa mzee Makame na MZEE MAKAME😂😂
mabakaji hayo
Ndio tumeona
Kwan huy hajaandamana
Mungu nimwema yatapita,
Aliyemshika kiuno kavaa nguo nyeusi na kofia ya chadema ni kada wa chadema. Tena kamshika vizuri ❤
Kwahiyo uyo kada wa chadema baada ya kumkamata akamleta kituo cha polisi osterbay hivi ulichokiandika unakielewa kweli wewe
Hakirlewi ndo mafala wenyewe hao ili mradi to ngoja siku wadhurike ndugu zao ndo wataelewa@@AllyYunus
😂😂😂
Umekula kwl.??
@@AllyYunus😂
Akili za kushikiwa akili za kisenge... so yeye ndo kampeleka central
Kama n wakina cc tukisikia fujo tumo tungeoza hhumo😅
Huu ndiyo upuuzi ni sio utaka kabisa watu wanafanya upuuzi ilikutengeneza majina huu ni puuzi
Kumekucha, policcm mmeyatimba 😂😂😂 mtajuta kwa kibatala dadeeki
Ndo tatizo la kuishia form .4 na kufeli! Akili inakuwa haipo
Mungu mkubwa
Haya kama raia wangekamatwa nani angewatetea?
Papo ssa ujinga wao n yale yakutakia manufaa yao
Watafte Mawakili... Kwan nn
Watanzania wazalendo
Unauliza ama unasema?
Imekua sababu tena
Jamani tunauliza hao raia watatolewa na nani kwenye vita Kuna staa alienda kufanya Nini au kiki
Kiki
Na yule mwanamke aliyekuwa naye ni mwanaume?
Kwaiyo kumbe polis wameyatimba tena dooh!
😢
Asahivi kuna lig kubwa saana Tanzania WANASHERIA Vs police then Rais Vs wananchi this is game....ni ngumu tuataelewana tu
Yeye umemfuata je hao wengine wanafuatwa na nani?😢
Je kama ni wakili wke...
Wambie na wengne watafte wa kuwafata asa
Ndiomaana mwenyehakitimamu hawezikutumika nawasakatonge@@Don.26Alien
Amewafuata wote wawili Nicole na Aisha hakuna wengine hapo. Pia Chadema hatuna upendeleo wwte.
Unaenda kuandamana huna wakili 😂 bro Bora ulale nyumban ule mihogo KWA ufup tu Leo sjatoka nje coz mwanasheria Wangu ndo kwanza hata shule hajaanza
Sasa mtoto wa mbowe mna mkamata nn hii tanzania bwana mwisho wa siku tuta ambiwa na chama tawala tuwetunalipia pumzi
Naona mawakili wanafurah Ili wapate kazi
MBONA MTOTO WA MBOWE NA HAO WENZANGU NA MIMI NANI.WAKUWATETEA NA KUWATOA LEO NDO WATALALA LUMANDE MPAKA HURUMA ZIWAFIKIE .WEWE MWANASHERIA JIBU HIZI HOJA AU KAZI YAKO KUTETEA WAKINA FLANI TU .
Weacha upoyoyo watatetewa wote
mnateseka bure nyie
kumbe kuna ukamataj wakiume nawakike ee
bado hamjasema mpaka msema
Nikufundishe hakuna ruhusa Mwanamke kukamatwa na kupekuliwa na Askari wa kiumme muelewe nyinyi msiokuwa na uelewa wa haki zenu
Ndio kisheria nchi zote duniani Askari wa kuime hawezi kumshika mwanamke ni kosa kubwa Ila hao wanywa gongo wa tz wanavunja sheria wakishakunywa gongo zao..
@@beatricejohn1659 Asante sana tatizo nchi yetu wengi hawana upeo ,na hawajui wala hawataki kujua haki zao ni nini?.Ndio maana kila kukicha zinapitishwa sheria kandamizi kazi yetu ni kubeti na kushabikia mipira, wengi ni mazuzu tu Mungu awafungue ufahamu wao wajitambue japo waone wao ni watumwa nchini na sio watu huru
Hadi waombe maji
@@leokamil6284katumwa na nani apeleke nyashi yake hapo
Moja mwa jeshi la ovyo kabisa duniani...
Tunakuelewa mawanasheria
Hatupendi machafuko mlimchafua magufuri saivi mnataka nchi imwage damu kweli tz hatuja zoea machafuko sisi niwamoja tusaidiane wote shida ipo wap toka kipindi cha kikwete hadi leo watu kupotea na sio kutaka machafuko no
Tahadhari zipo kila siku na NI mapema TU watu wanapewa tahadhari, Sasa Kama imeshiindikana watu kuchukua tahadhari acha wakutane na matokeo.
Tatizo PGO
Wewe Kibatali acha kukuza upuuzi kwani hapo kuna udhalilishaji upi unaosema au una makengeza? Be realistic and speak within the boundaries of your profession and not your hunger. Acha kuropoka pumba. Mnaonesha wazi mnavyotumika. Amani ya Nchi italindwa kwa gharama yoyote na waliokabidhiwa wajibu huo na sheria. Prejudice cannot work to serve millions of Tanzanians. Stay aside we need a peaceful Tanzania.
Wew ni choko huna hakir kibatala ni wakiri msomi huwezi kumuongelea uchoko wako kwa namna yoyote kibatala ni mzalendo mtetea wanyonge wanaoumizwa nchi hii tena koma mbwa wew
We nikuma ingekua Kuna amani soka yup wap kumawee
Majinga na machawa hawaishi
@@RomanMwinyikweli kabisa mwambie huyo mjinga wa ccm
Hii ni nchi ya uvumilivuu Bali c aman
Tunachotaka watangazwe kuwa wamekamatwa, sio wahuni wanateka na kuua tu kama kuku,
Wameshik makalio
Lanatulah kinga yao n silaha lkn hoja hawana,
Wakili Haukuona Kakamatea na mwanake
alianza polisi wa kiume alikuwa amevaa kilaia
Lakini si walikatazwa wasiandamane?
Mtoto kautaka
Mie tafuatwa na balozi wa mtaa
Kaonjeshw kidg tu mtot w mbowe zooooooogo wkt anaish ulaya 😂😂😂😂
Acheni ujinga .ninyi ndiyo mnaochangia ujinga wa mbowe na familia yake
Pumbavu ww
Alafu unajiita binadamu
Kafie huko we na familiar yako waliwe na kunguru.maana yanayoendelea ya watu kutekwa na kuuwawa huyaoni.sasa ngoja Mungu ashugulike na ndugu zako watoweke mmoja baada ya mmoja .ndio ombi langu kwa Mungu
Mkondya wewe ni zuzu na mjinga mpumbavu usiye jielewa halafu wewe mkondya ni mtu wa zambia ndo maana unamtetea adesina
Jinga sana
Eti tumemfata mtoto wa mboe na wanzake wawili 😮? Serious ? Kwanini mnawatupia maboya watatu ba kuwaacha wengi wazamee hapa Nina mawazo upinzani kwa chama Cha upinzani😅
Je kama n wakili wao...
Hakna cha maboya Kila mtu atok kvyke
We Musa una kichwa mgando kilakitu kinautaratibu wake usilete uchawa wa ccm
Jamani tunakoelekea ni wapi jamani
Kusini mashariki
Alijua kuwa lazima atafatwa na wakili polisi vipi watoto wa mama ntilie kama ndio wangekamaatwa!!! Lipo la kujifunza hapo
Polen sana
Bongo maandamano wanafanya baba na mtoto
Mhuu mbona alikuwa mwanamke
We mbwa kwani kuna Sheria ya uvunjifu wa Amani?
We shoga kwani Kuna Shelia ya kushushwa m2 kwenye galii aka uwauwa chokowee
Hao wengine waachee tu maana hawakutumwa ikibidi wafungiwe kama hawana wanasheria
MUNGU miwa ajabu sana. Utashangaa hayo mahaya inayowataka wenzake yakipata wewe.
ASKARI NI FORM FOUR FELIA ASILIMIA 90. MSIWASHANGAE. HAO NDIO WABABAJI. UNAMSHIKAJE BINTI HOVYO HIVYO?
Yakikufuka unawafuata hao hao kwa unyenyekevu mbwa wewededdd
Mimi ni wa burundi ila Leo tuko tunafatilia😂 maandamano ya Tanzania tumeona mu video 😂
Wengine waliokamatwa sio binadamu ila mtoto wa mbowe!!!
Wewe mbowe na familia yake wana ujinga gani wewe ndio mjinga watanzania wanauwawa wengine mnachangia ujinga mnaona hii nchi Iko sawa kweli ninyi kuweni na uelewa acheni kuongea ujinga
Nikweli
Wewe selina huna akili. Tanzania ina amani kubwa sana kwa mwenye kuitaka amani. Tena funga bakuli lako
Kama ulivyo mjinga wewe na wazazi wako
Ila nyinyi mawakili ebu muwe na utetez ukiona tukuka kwasababu watu wanakamatwa na maaskar hamtetei ila mtoto wa mboe nimakosa daaah ebu hizo Sheria mfanyuen marekebisho mawakili sisikii watu wakikamatwa mnatetea Ivyo ila mtoto wa mboe kashikwa hivi daaah
Wewe utakuwa una yako. Huyu wakili ndiye aliyewatetea wanawake waliokamatwa wakituhumiwa kujiuza. Aliwatetea bure. Sio wana chadema wala sio watoto wa viongozi.
Bla bla bla bla bla bla bla bla blaaaa tumewachoka CHADEMA upinde wa mvua
Mchoke mumeo
Mama samia kawadekeza sana hawa chadema. Magufuli aliwafinya ndio mana maendeleo yalikuja kwa kasi. Dawa yao kukifutq kabisa hiki chama cha wakorofi. Watu tunataka maendeleo hatutaki mavurugu kila siku wana mapya hawa jamaa. Mungu amjaalie makonda aje kuchukua hii nchi atunyooshee hawa wapenda migogoro
Duh hii nchi kuna watu ni mafala ila ww uko level ya peke yako😂😂😂
Hyo maguful baada ya kuwafinya yuko wap leo??alijiona Mungu mtu leo analiwa na funza shwain
Hili nalo jinga lawapi
@@elinamilyatuu7337😂😂😂😂😂😂 asee huyo jamaa hajui hata inchi inaelekea wapi
@@LindaMbilinyi-n3nTena anaungua na moto vibaya mno
Acha uongo basi Video tumeona wote.
Ndio maana tunasema police Tanzania ni ile darasa la saba feria hawajui chochote kile kuhusu sheria huko kwenye jeshi la police kwenyewe wanaingizana kimagendo na kutokujua kwao sheria ndio maana nchi hii inatupata shida mno na Hawa mbumbu wasio kuwa na elimu
Waache askari wetu wafanye kazi yao . Usijifanye mjuaji. Mmeanza kutangaziwa lini msiandamane? Tena alitakiwa apigwe virungu vya kutosha
Chomeka na huyo wajinga
Huyu wakili ni bomu ati anaitwa wakili msomi
Kwani wewe unamonaje ? Huyo nimsomi kweli siyokama wewe uliejufunza maandishi kama unyayo wa kuku
Hivi nyie mawakili mbona mnapenda sana kushabikia upinzani mbona sijawahi sikia hata mkitetea serikali juu ya mikataba mibovu inayofanywa na baadhi ya viongozi wasio waaminifu?
Wanapenda kiki
Uwongo huo amekamatwa na asikar wa kike na wa kiume walimsindikiza
Habab😂😂
Mjinga wewe ambae uelew
AMANI YETU NI TUNU ILIYODUMU KWA ZAIDI YA MIAKA 50,,, ASITOKEE MPUMBAVU YOYOTE WA KUJA KUIVURUGA KWA ULAFI BINAFSI WA MADARAKA...
HONGERENI SANA POLISI.
HAYA NDIO TUNAYOYATAKA.
Hanna Amani yeyote Wala msijidanganye!!!
UNAJIDANGANYA AMANI UNA MATAIFA YENYE UWEZO HAYATAWACHELEWESHA KWA HIZI KUJIONAONA MNA AMANI YA KUTESANA
Wavunjifu wa amani wangepigwa tu risasi kwa kweli. Nchi imejaa amani lakini vijitu vichache vinataka kutuharibia
@@yosephatMasanyiwa-oh1rlhata Libya walijitia ujuaji leo wanamaisha mabovu kuliko sisi. Kama mnaona nchi inawaboa mbona dunia kubwa sana nendeni mkatulize nyashi zenu sehemu nyingine. Tuachieni tanzania yetu. 🇹🇿
@@happinessmosala2217nenda kwenye maandamano unasemea bafuni mwehu wewe. Hapa sio kenya . Polisi wetu wanawapenda wajingawajinga kama wewe. Gubu tu limewajaa . Tuachieni tanzania yetu hamza Burundi huko uka enjoy mchawi we
Ndio tumeona