Mara nyingi nimekuwa nikiwaambia madereva wa serikali kuwa pamoja na kwamba yeye ni mtumishi wa umma yeye ni dereva ambaye anatakiwa kuendesha gari lake kwa kuzingatia sheria za usalama barabarani. Sasa ngoja leseni yake ifungiwe ili apangiwe kazi zingine na posho za safari atazisikia kwa wenzake
Madeleva ao selikalii ina wapa ujeuliii adii ukuu dar wana endeshaa ovyoo sana wana tanua balabala yani wanavyoo taka awa fatii shelia ichiii ya ovyoo sana hiiiii sasa ivii
Iyo gairo road madereva wa serikali wanapita kama wanawahi peponi😢
Mara nyingi nimekuwa nikiwaambia madereva wa serikali kuwa pamoja na kwamba yeye ni mtumishi wa umma yeye ni dereva ambaye anatakiwa kuendesha gari lake kwa kuzingatia sheria za usalama barabarani. Sasa ngoja leseni yake ifungiwe ili apangiwe kazi zingine na posho za safari atazisikia kwa wenzake
😢😢😢😢😢 kazi hanayo uyo
Pole sana kwa hao wote walopata majanga jamanii
Kazi nzuri
mtuhumiwa jna mnalihifadh maana yake nn hapo .mnatufunza nn au yy mtuhumiwa nani ata mcmtaje iv mnatufanya wananch tuwe na taathira gani
Madeleva ao selikalii ina wapa ujeuliii adii ukuu dar wana endeshaa ovyoo sana wana tanua balabala yani wanavyoo taka awa fatii shelia ichiii ya ovyoo sana hiiiii sasa ivii
Asavari
Je inasaidia Nini ?? Maana atakamatwa badae ataachiwa na mtu alishakufa jamani TZ TUTHAMINI UHAI WA MTU TZ UHAI WA MTU HAUNA MBADALA JAMANI