Rebecca E Magaba - Hujaniacha Video gospel music(Official

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 62

  • @irenemillinga6484
    @irenemillinga6484 ปีที่แล้ว +9

    Wimbo mzuri

  • @mossesnassoro9837
    @mossesnassoro9837 ปีที่แล้ว +8

    Mungu akupe kila jema lenye utukufu wa Kristo ndani yake

  • @ElizabethShija-do9vr
    @ElizabethShija-do9vr ปีที่แล้ว +8

    Pole pole sana naona unapitia kwenye wakati Mgumu jipe moyo mkuu Mungu anaweza yote pole sana

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 ปีที่แล้ว +8

    Asante sana Rebby...

  • @juliuskitheka7105
    @juliuskitheka7105 ปีที่แล้ว +8

    Kazi nzuri sana

  • @ambelemwaitebele6131
    @ambelemwaitebele6131 ปีที่แล้ว +12

    Hongera sana mtumishi wa MUNGU akuponye zaidi

  • @haikaelisheggah94
    @haikaelisheggah94 ปีที่แล้ว +5

    Jipe moyo mkuu

  • @amosmwita323
    @amosmwita323 ปีที่แล้ว +9

    Ameen 🙏 mtumishi wa Mungu

  • @TumsifuRufutu
    @TumsifuRufutu ปีที่แล้ว +8

    Safii

  • @bethelionlinejpm1827
    @bethelionlinejpm1827 ปีที่แล้ว +5

    Ubarikiwe mwanangu

  • @OscarMsaghaa-bt2jm
    @OscarMsaghaa-bt2jm ปีที่แล้ว +13

    Nyimbo ninzuri sana.... Mungu akubariki saana

  • @cathymasanja9730
    @cathymasanja9730 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akutie nguvu Rebecca kiukweli mmeo anafanya vibaya sana kukupakaza mabaya Ili kukuza huduma ya mkewe wa tatu huyo was arusha si wapambane tu

  • @gloryhatibu3075
    @gloryhatibu3075 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe sana mtumishi jipe moyo mkuu jamani kwa yote unayopitia watu wanaona kama kawaida lkn mmeo anakosea sana kuandika matukio ili kukuchafua jamani pole sana Rebecca Mungu akupe mme uzae watoto jamani sasa wanasema wewe malaya msagaji unajiuza naomi anaandika na kusema mmeo ndiye anayemuelezea habari zako swali je wewe na mmeo mlikuwa mnasagana mbona kaoa mwanamke mwenye watoto watatu nasikia wewe ulikuwa mke wa pili wa kwanza yuko kigoma alimuacha akaokoka akakuoa wewe muwe makini jamani ona umepoteza miaka pole sana kaoa mke wa tatu itabidi yeye ajiongeze

  • @wemu4774
    @wemu4774 ปีที่แล้ว +2

    Pole mpenzi kwa yote

  • @aminielmwasha3994
    @aminielmwasha3994 ปีที่แล้ว +10

    Nyimbo nzuri sana dada yangu, Mungu azidi kukubariki.

  • @joycemwaikofu
    @joycemwaikofu ปีที่แล้ว +12

    Hongera sana mtumishi kazi zako zote zipo kwa ubora wa hali ya juu

  • @samsonayubu2129
    @samsonayubu2129 ปีที่แล้ว +10

    Kazi nzuri saana mtumishi

  • @doctorluckytz
    @doctorluckytz ปีที่แล้ว +8

    Barikiwa sana

  • @gloryhatibu3075
    @gloryhatibu3075 ปีที่แล้ว +1

    Jamani naomba kujua taarifa kuhusu huyu dada ni kweli yuko aicu

  • @NoellaElias-ub3kc
    @NoellaElias-ub3kc ปีที่แล้ว +7

    Ubarikiwe sana Rebecca pole kwa yote dear yaani umeniliza kweli jipe moyo kwa mashambulizi yote lengo ni kuuwa huduma tu maana kama ni maisha unaweza fanya kazi yoyote Mungu akutetee

  • @barakawilliam3993
    @barakawilliam3993 ปีที่แล้ว +10

    Barikiwa sana mama yangu.

  • @fridahmacharia8044
    @fridahmacharia8044 ปีที่แล้ว +8

    Amen amen 🙏🙏

  • @StellaLyimo-nf7to
    @StellaLyimo-nf7to ปีที่แล้ว +6

    Ila usikate tamaa watu wakisoma sms Kwa Naomi wnaulizana huyu Dada hajajiua TU😄

    • @StellaLyimo-nf7to
      @StellaLyimo-nf7to 11 หลายเดือนก่อน

      Huyu ni mtumishi wa mungu na anafundisha mafundisho mazuri mno fb Hana muda na hao kabisa wanajaribu kuuwa huduma lkn hawawezi

  • @Danielmoyo556
    @Danielmoyo556 ปีที่แล้ว +9

    Nyimbo nzuri Dada, Barikiwa sana kwa kazi nzuri.✍️🕊

    • @StellaLyimo-nf7to
      @StellaLyimo-nf7to ปีที่แล้ว

      Muombeeni maisha yake choka mbaya

    • @Danielmoyo556
      @Danielmoyo556 ปีที่แล้ว

      @@StellaLyimo-nf7to
      Acha kutumika stella, unajiharibia mwenyewe.✍️

    • @AmyeSanga-u4c
      @AmyeSanga-u4c ปีที่แล้ว

      ​@@StellaLyimo-nf7toanapita tuu na atavuka wangapi tumeona wanamiliki vitu vizuri wakaanguka na baadae wakainuka tena.hatushangai maana yeye sio wa kwanza tumewahi kuwa choka mbaya Mungu akatuinua tukawa ahueni .pia ujue Kila aliyeinuliwa Kwa sasa alianzia choka mbaya kama unasomaga Bible utanielewa vizuri

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 ปีที่แล้ว +12

    Very Nice song..
    Very cool
    So Good 👏👏🌹💫

    • @rebeccaebenezermagaba
      @rebeccaebenezermagaba  ปีที่แล้ว

      Thank you lucasshirima

    • @StellaLyimo-nf7to
      @StellaLyimo-nf7to ปีที่แล้ว

      Muombeeni huyu Dada nimeona anauza mitumba ya kutembeza

    • @AmyeSanga-u4c
      @AmyeSanga-u4c ปีที่แล้ว

      ​@@StellaLyimo-nf7toutafutaji kawaida maadamu hiyo kazi siyo dhambi kutembeza mitumba haimaanisho ana dhiki anachojali ni maslahi maadamu ni kazi halali

  • @goodluckmahulo3562
    @goodluckmahulo3562 ปีที่แล้ว +8

    wimbo wako unanibariki mtumishi Mungu akupeleke mpaka pale unahitaji ufike kwa jina la yesu

  • @priscakasanga
    @priscakasanga 4 หลายเดือนก่อน

    Utaolewa na mtu sahihi

  • @CalmGoshawk-kq7pp
    @CalmGoshawk-kq7pp 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mtumishi Mungu hawezi kukuacha

  • @YusterEllias
    @YusterEllias 2 หลายเดือนก่อน

    Nyimbo kubwa sana hii my sister ubarikiwe sana utaolewa utazaa usiogope yupo mtu Mungu atakupa asiyeabgalia hauzai na hapo ndipo Bwana atajitukuza kama Mungu❤

  • @ulimbagamwakatobe2122
    @ulimbagamwakatobe2122 10 หลายเดือนก่อน

    Songa mbele mtumishi

  • @FridahwanjiruMacharia
    @FridahwanjiruMacharia 4 หลายเดือนก่อน

    Wimbo mzuri sana❤❤

  • @amosmahovyo6546
    @amosmahovyo6546 10 หลายเดือนก่อน

    Usiogope mtumishi

  • @janehabakuki4564
    @janehabakuki4564 ปีที่แล้ว

    Leo nina muda wa kukutazama tu karibu sana kasuru

  • @StellaLyimo-nf7to
    @StellaLyimo-nf7to 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mrembo sana wewe mdada

  • @gloryleonard1563
    @gloryleonard1563 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana

  • @livemusicsound1217
    @livemusicsound1217 ปีที่แล้ว

    Usivunjike moyo dada songa

  • @irenekessy5191
    @irenekessy5191 ปีที่แล้ว

    Usiogope mtumishi wewe ni mtumishi wa Mungu kataa kutamkiwa maneno magumu utazaa tu na Mungu hajakuacha kabisa mmeo kaoa cha ajabu kabisa watumishi Hawaoni bali wanamsapot hatari ya kanisa angesubiri ufe wanawake wakiachwa na kuolewa wanaonekana watenda Dhabi lkn mmeo kaoa nje Biblia anapewa madhabahu aibu sana sijui tunatengeneza kanisa gani pole sana dear

  • @rosenakikoti3031
    @rosenakikoti3031 ปีที่แล้ว

    Mungu anakupenda sana haikuwa rahisi aisee

  • @godwincathbert8936
    @godwincathbert8936 ปีที่แล้ว

    UBARIKIWE

  • @Estherbongo
    @Estherbongo ปีที่แล้ว

    Pole sana dada

  • @safarijuma9410
    @safarijuma9410 ปีที่แล้ว

    Ubalikiwe

  • @safarijuma9410
    @safarijuma9410 ปีที่แล้ว

    Dadaetu Mungu akutie nguvu lkn yatapita tu nimeshangaa kumbe kampeni ya mmeo ni kukuchafua ili yeye aonekane bora na kwamba anataka kukuza huduma ya mkeo kupitia jina lako Pole sana Dada jipe moyo mkuu utavuka tu

  • @Annachilumba-g1w
    @Annachilumba-g1w ปีที่แล้ว

    😢pole dada mungu awe faraja

  • @EvodiusMtalemwa
    @EvodiusMtalemwa 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi siwezi kukubari nipoteze mke kama wewe Mmh no no ningejifanya mjinga

  • @irenekessy5191
    @irenekessy5191 ปีที่แล้ว

    Usilie rebecca jipe moyo mkuu tu utaolew na mme mwenye akili na mwenye kujali muache akuchafue

  • @RebeccaMagaba
    @RebeccaMagaba ปีที่แล้ว +7

    Mungu wangu awabariki Sana 🙏