SASHAMAKOYE:WAREMBO NI WENGI SASHA NI MMOJA TUU| WALIHISI NATAKA NAFASI YA LULU SINA SHIDA YA LAMATA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 24

  • @MaryamKhan-co3yz
    @MaryamKhan-co3yz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimuongo sana

  • @Herly-nika
    @Herly-nika 3 หลายเดือนก่อน

    Hicho kijora 10k kariakooo😊😊😊😊😊😊

  • @فاطمهال-ص7ت
    @فاطمهال-ص7ت 3 หลายเดือนก่อน

    Frank kakula bure wengine watie 100 k😅😅😅😅😅😅😅😅 pole

  • @MaryamKhan-co3yz
    @MaryamKhan-co3yz 3 หลายเดือนก่อน

    Sura yake sasa

  • @SamsonElisha-e7v
    @SamsonElisha-e7v 3 หลายเดือนก่อน

    Ndomaana frank ametafuta mengine haujielew

  • @farajaSanga77
    @farajaSanga77 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu dada muongo sana jmn😅😅

  • @HappyMallya-mg1gr
    @HappyMallya-mg1gr 2 หลายเดือนก่อน

    Kwenye mahali hapo hapana hata mil 5 kwa mwanaume wa kitz hatoi labda amependelewa sana ml 2,kama alikuwa anamhonga mwanaume mtoto na alikuwa kabwela tu iwaje aolewe kwa ml 100,aliona Hana hadhi ndo maana akawa analea mwanaume

  • @PpOo-s8x
    @PpOo-s8x 3 หลายเดือนก่อน

    Ya omani yameishia wapi

  • @KassimOmary-w3r
    @KassimOmary-w3r 3 หลายเดือนก่อน +1

    Liongooo kiki tyuuu ety mara milion mojaa khaa kutumalizia bando

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 3 หลายเดือนก่อน

    Kama frank alikua anapewa pesa ndo mdate je pesa ya nn tena na ulikua ukigharamikia kila kitu

  • @HappyMallya-mg1gr
    @HappyMallya-mg1gr 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu dada Ana sura nzito hatar ukitaka kuona lisura lake angalia video yake na kiredio siku anamfumania frank amejichubua hatari hadi yule mwanamke aliyemkuta nae frank ni mzuri hatari kwanza natural colour ila ww mhhhh hzo ni Tambo za kifara

  • @judithgeorge1756
    @judithgeorge1756 3 หลายเดือนก่อน

    Na kijora je ovyoooo

  • @Herly-nika
    @Herly-nika 3 หลายเดือนก่อน

    Sandle25k ila wadada

  • @rukiammanyi-qm9iz
    @rukiammanyi-qm9iz 3 หลายเดือนก่อน

    Muongo sana mfyuuuu na hyo milioni 100 utakesha na uzeekeee hapo

  • @saimoniboniphasi2189
    @saimoniboniphasi2189 3 หลายเดือนก่อน

    kumbe ajielewi

  • @فاطمهال-ص7ت
    @فاطمهال-ص7ت 3 หลายเดือนก่อน

    Milioni 100 zeekea kwenu thamani gani ulonayo mwenyewe uko tupu eti wataka mahari 100😂😂😂😂 pole maa

  • @SaadaHussein-c1t
    @SaadaHussein-c1t 3 หลายเดือนก่อน +1

    Makubwa kumbe alikuwa anaigiza

  • @AsilahHamad-e4f
    @AsilahHamad-e4f 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu dada muongo

  • @RehemaKiswago
    @RehemaKiswago 3 หลายเดือนก่อน

    Frenk alikupa kiasi gan

  • @AsilahHamad-e4f
    @AsilahHamad-e4f 3 หลายเดือนก่อน

    Mh ushangingi tu

  • @MonaEd-o4z
    @MonaEd-o4z 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani uyo frek alimpa shingap

  • @humaidsawafi2788
    @humaidsawafi2788 3 หลายเดือนก่อน

    Mola muweza kwenye nia njia huwepo

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu binti ni mkubwa ila ajielewi Frank wewe ndiyo ulikuwa una mtunza Leo hii unataka m 100 kwa lipi

  • @haikakwayu2435
    @haikakwayu2435 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo Frank alikupa million ngapi? Ndo akawa hawara ako?