DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOMPANDISHA HAWA KWENYE STAGE YA WASAFI FESTIVAL DODOMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ส.ค. 2019
- Katika Usiku wa Jana Star #DiamondPlatnumz Alimpandisha Msanii #HawaNtarejea Kwenye Stage ya #WasafiFestival2019 Dodoma na Kuperfome Ngoma Yao ya Pamoja ya #Nitarejea na Kuwa Rasmi Sasa HAWA Amerejea Kwenye Muziki
- บันเทิง
Kama unapenda kitendo cha Diamond kwa hawa basi gonga ma likeeee ❤️❤️❤️
Diamond ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nalia mm hapa😭😭😭😭 wow,mwanzo Mungu amefurahi sana
Eti bila Yeye musingeweza Kusikia Sauti yangu Leo Duh Nmefurai Sana Nasibu
Kitendo cha kumsaidia Hawa kimetugusa wengi, maana alikuwa na hali mbaya sana, big up Platnumz
So what made Hawa an alcoholic in the first place?
The best collaboration of all the time for diamond platnumz
Asante simba umefanya uongwana kabisa mashaallah mashaallah nimefurahi sana kuona hawa maskin
@@rukiaosman8416 Hey what's the history btn those two,,good old time lovers???
I love it
@@rukiaosman8416 please guys what was happening with Hawaii. With English please
@@kwenyshaks3463 for a long time hawa became drunker and later on was sick and damaged her liver than tznians fellow felt ptty for her n was sent to sober house than to india for the operation and now thats her new life n look
Am from Kenya Diamond you should take Hawa you guys you look good together am sorry Tash......Hawa loves Simba alimpenda bila chocho God bless you Simba more blessings for you Hawa .nilikuwa na pita Tu Tash.....
Thanks big bro,naona after umeenda mjini na kufanikiwa umemkumbuka Hawa,Mungu aendelee kukuzidishia
I love this song... Hawa has alot of talent na tena asharejea❤️❤️🇰🇪🇰🇪
Surely Diamond may Allah reward you,am so happy to see this lady back she Will not forget you all her life be blessed mond 254 watching for 966
Sure
Sure
Sure
Alieskia pendaneni ivo ivo anipe like yangu daaa adi raha
nimesikia yani raha sana mpaka nimecheka
Haha pili😂😂😂
Mwenyew alisaidia alivyoumwa paka Hawa akamchora tatuu yani nyimbo niliipendaga kwa siku moja halafu walivyokuwa wanaimba niliona walipendezana niliona kama ndo mkew kwel nilikuwa sijui bado kama wapenzi nikasikia kumbe walikuwa wapenzi kwel nikafurah Hawa anapendwa
Eti wee Hawa rudi 😁😁😁
Kumbe dom hapo hata baba anapapenda
Congratulations to you diamond for supporting Hawa back to life nampenda Sana Hawa ni msanii mzuri
Wow happy to see her back on her feet wow,diamond you did a great thing
Diamond shikiria huyo dhuy,yupo vizuri sana,anasauti nzuri ya asili kipaji alichopewa na mwenyezi mungu sio kuunga unga mimi namkubali sana hawa,na nimefurahi sana kuona mkifanya kazi pamoja.
Nimefurahi sana leo...Hawa you've got love from us Kenyans
Walali Baba tee umenifuraisha pamoja na mambo yako.iyo moja Allah atakulipa
Hatanamimi nimewapenda mondi na Hawa Niko oman nimu Burundi
Napendea Diamond Platznum kitu moja. Ana roho ya huruma na amesaidia watu wengi. May God bless you @diamond chibu baba yao.
Touching feelings for life...nimejikuta machozi yananitoka
Kweli kabsa
Me too😤
Eiiish, this lady's body is goals
hii collabo ilkuwa moto. kama unaikubali weka like tafadhali
Mola akuxindushie diamond...hawa anapendeza mama hata finger unayo very happy to see once again hawa keep it up
Am glad she's doing fine, she's such a talent
Had machoz yamenitoka jaman ka felling flan hiv kamenikamata wooow 😍hawa umependeza
Napenda urembo wako na sauti yako dada. Nawe Diamond mungu akuzidishie ndugu yangu. Jamani waTz mnipee mwanadada mrembo na mewnye heshima tuwe mashemeji na tudumishe undugu
Mungu azid kukubariki Sana diamond Kwa moyo ulionao usiishie Kwa Hawa tu Bali hata Kwa wengine wasojiweza
A lot of tears come from me when I get see dis collaboration
Wow. Diamond your just so kind luv you❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰thanks for making hawa shine make a star 💫 out of her bless you. That song Med you who you’re today
Jamani tujuane tuliorudia kuangalia hii zaid ya mara moja
Daaa imenigusa hatari hadi machozi kwa kweli hawa amefarijika mnoo
Daaaaah safi sana.. So impressing.. What a caring Mond.. Sasa mumbebebe kidogo arudi muzikini
Tyr ametoa new song yaitwa kucheka
Happy Rukonge
nakupenda brother angu mond kwa jitihada zako za kimuziki maana nyimbo zako nazikubali cna napenda uwendelee na hawa jamani yuko vizuri
penda cna hawa eti mond kwanza ana sauti nzuri na pozi zake za kucheza ziko powa cmpingi mungu awabariki
Frm Canada diamond hii imeweza big up broo tunasubiri makubwa zaidi ya haya...God bless u big....wapi like za mondi
Mashaallh diamond mungu akuzidishie heri kwan mbay hawez kuwa mbaya kila xiku wa kwaote ipo ciku atakuwa mwem
True luv simba uko vizuri God bless your
Umefanya jambo la kheri Nasibu .bless 🙏🏾
Mond wakamake peace na babake leo kamleta hawa stage😍yaani it’s awesome
Mungu akudishie D mondi umemfanya hawa awe mwenye furaha,God bless u Mondiiiii
Diamond mke wako ni hawa❤️❤️😍
Kweli kabisa
Hapo utajua uwepo wa diamond tz mtimwema matunda ndio hayo kutoka kwa diamond mungu akuzidishie nawengine walio kata tamaa uweke kwenye ramani kama hawa🔥🔥🔥🔥🔥🇧🇼🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏💪💪💪🙏💪💪😁🙏🙏
Kama unamkubali hawa gonga like twende sawa
That ka hug..I'm still😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yes : that ka hug is so powerful. The hug is a powerful message from Mond to Hawa , and it means :
1. I still love you despite us not being together anymore.
2. I miss you and the moments we shared together
3. I still care for you and am proud of you despite all .
4. I will always be there for you.
Apo saw kbs mungu nimwena . Diamond nafika nakupenda sana kweri
Dah Safi Sana. Huyu Dada alikuwa hoi bin taaban.God bless you Hawa, keep it up.
hawa kumbe mrembo sana tu mond mungu akufanye kuwa juuu unaohuruma sana
wooow this nice God bless you Diamond hawa she is very beautiful
😭😭😭machozi ya furaha 😍😍😍love you hawa
Yaani diamond ukitulia na mwanamke moja na mchepuko mmoja walah mbinguni unakiti chako tena pale mbele kwa bwana Yesu yaan ubarikiwe sana
Yani ww mzee baba mond ndio maana mwenyez mungu anakubariki utajiri kila siku umefanya jambo kubwa sana kwenye maisha ya huyo dada hakika Allah atakulipa fadhila zako
Wish mungekuwa wapenzi wallai nawapenda hadi naumwa...Hawa mungu akuongoze
Very nice am very touched hawa you have steal the show it could be a wonderful couple
Ni Kali zaidi ya Kali diamond is next level 🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌍🌍🌍🚀🚀🚀
M sooooo hapi diamond ulirejea nyumbani hawa kapata tabasamu....so beautiful
Good job Diamond, mshikilia kabisa baba Mola akubaliki🙏🙏
Finally God answered hawa prayers,@lyst umemeet diamond na kuperform kwenye stage big up happy for u
Mungu akubariki Diamond kwa msaada wako kwa Hawa, mimi mishabiki wa WCB from Sweden
I like how human Diamond is wooow
i cant get enough of this song am watching again and again God bless u more d for uplifting hawa i think thats the best song ur mum likes
Me and you same WhatsApp group, I still listen to this song
Wow congrats bro Allah azidi kukubariki you are a Hero
Aki Diamond is a gentleman!!! Uyu dem ndio walianza na yeye ngoma!!! Hongera brother
Hawa Namkubali Sana..
Anajiamini Sana Huyu Mschana..
Anajiamini Sanaaaaaa..
Daaaaahhh Nomaaaaa
Najua Hapo Mondi Amekumbuka Mbali Sanaaaaaa..
Safi Sanaaa Mondi..
Hawa my Gal ! Congrats.. you are such a beautiful soul. May God richly bless Diamond. Huyu ndio mkeo Diamond. Achana na hao ma slay queen wengine. Huyu ndio mkeo. Listen to what pple are telling you. 100% of your fans want you to get back together with Hawa. Hawa akae Kwa nyumba. Hao wengine utakuwa unawatembelea tu makwao kwasababu ya watoto. chukua Hawa TAFADHALI. I wish I could persuade your mum to persuade you on our behalf. Lots of love from Kenya
Safi sana simba inapendeza sana kwakweli unakumbuka ulipotoka Mmetoka mbali sana na hawa! Kwa hili nakupongeza sana BROO Barikiwa zaidi
Mondi mi siyo shabiki yako lkn kwa hili na mengine mengi nakupa salute kaka! BLESSED BRO.
This lady was there B4 Diamond awe platinums (simba), thanks for standing with her in her trying times
GOD is great, that she back to music
Honestly am just ur kawaida fun but for whatever u've done for Hawa...am speechless May the Almighty bless you.salute
ndio maana nakupenda sn mond god bless you bro
254..Mondi ukimalizana na Tanasha,, Rudi kwa HAWA
😂😂😂
😂😂😂
Hahahah
Marymary Mary this was the problem the demons of women will leave diamond alone now
@@divadiva684 kiingereza sio lugha yako ongea kiswahili nikuelewe
Leo Leo furaha Sanaa kwangu kusema ukweli daimond ana roho zuriiiiiiii
Diamond ww mungu azidi kukupa tu, apotu pakupanda nae awa yani mm nimerizika zaidi yake, mungu akupe wepesi Wa kila jambo kijana.
It's like a movie. GOD is great 🙌
Daaaah simba mungu akupe moyo huohuo nimefurahi sana ujio Wa Hawa
Diamond big up kwa kweli sina cha kusema
It feels good that diamond amerejea
Allah azid kukuongoza mond nimefurah sana kwa hik ulichokifanya
Kuna kazi na ubinadamu...huu ni ubinadamu....namjua Hawa vizuri sana she is humble and always on her tears
Duuuuuuu simba naangali mpaka machoz yamenitoka mungu atazind kukupa kuwa na moyo huohuo ukitoa ndo mungu anakupa zaid simba shikamoooooo 👏👏👏👏👏👏👏❤❤❤❤❤❤❤nakupenda sana chibu kaka la kaka eshima kwako
I never support you diamond but today because of poor girl HAWA we back again PLATINUM
How do you support diamond,am really intrested in doing the same?
Umetisha sana mondi salute kwako brp
God bless u DIAMOND AND HAWA NICE VOICE NICE SONG
SHUKURANI MOND UMEFANYA VIZURI SANÀ MUNGU AKUBARIKI SANA
Very touching I never comment but this time I cnt hold
Ila Mondi anajua kugusa mioyo ya wa Tz aiseeeeee👏👏
Wow D is a nice person ako na utu
Jmn muacheni mungu aitwe mungu ila nasema mungu ampe kila chakhiri mondi na apate anacho kitaka dunian na kesho akhera inshallah yaraab
Hawa is back looking gorgeous
Smiling to all because of you 🦁 God bless you for been a help to her and bringing back her smile
NYC Mondi... luv u Hawa... be blessed Platinum!
Raha raha teleeeee!!! Mbona rahaaaa!! I love this!!! Mondi karejea!!! Patience pays for real. God bless u simba!!!!!
Diamond is such a darling.....
You're special. God bless you.
Diamond platnumz umekuwa mtu ase big up kwa Hilo
Hawa love kweli umeuishi huu wimbo maana kwanamna moja au nyingine D alikuacha na sasa amerejea
254...naezafrahi nkiskia Hawa wamerudiana na Mondi❤️❤️❤️
MashaAllah she is beautiful
Wooow congrats mod haki umerejea, God bless you soo much for this love, hawa ad mod much love from+254
Yan nimetaman kulia waalah , huyu jamaaa alichokifanya nimejiskia moyo umeingiza barid aseeee... ukwel naamin umefurahisha wengi.... unafanya mengi la huyu hawa kumpandisha kwenye stage tena nimejiskia vizuri sana na mungu akuzidishie man angu mond
This should definitely be couple 👫 😍😍👌🏻they're cute mimi kama kamati ya roho mbaya nasema diamond apite6na hapa kwa hawa 😊😊
hawa ana sauti nzuri sana yenye melody
Team king nakubali 👌
Upendo kwanza 🍎
Congratulations diamond muoe mwapendeza sana
Leo nimekupemda diamond this is so touching
honger san diamond mungu akuzidishie baraka tele katika maisha yako kwa kumpatia suport Hawa
Your star will keep on shining mondi for the good heart you have and help for many other people.. .God bless you for making Hawa to be Hawa we used to know.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe... Ata kama mi si shabiki saaana wa mondi lakini kwa hili, na vyote alimfanyia huyu binti wa watu, may God bless this guy more
Wow!!!Finally you guys have sang the song together!!Welcome back Hawa!!
My best song of all the time