Queen Darlin kwa maoni yangu kama mtaalam na mchanganuzi wa mambo ya Showbiz huenda akawa the most intelligent female artiste in Tanzania.Napenda anavojibu maswali.Mwisho wa siku tukitoa wigi na Nini na Nini anaonekana kujua anakokwenda na jinsi ya kujibu maswali ya kizushi . Ila cha muhimu kwa msanii ni kujitambua manake Leo unapendwa kesho unapondwa ila akili na maarifa ndizo mwanga wa kesho. Kudos Queen . I like you.
Queen Darleen kama unaona comment za watu kuhusu Style yako ya nywele unatakiwa kubadilika maana haikupendezi kabisa. Umekaa kama Shetani. Halafu ushauri wa bure kutoka kwangu ni kwamba; wewe ni mtoto wa Kiislamu kama ni pesa za kuendeshea maisha tayari umeshazipata, badilisha muonekano, vaa kwa kujistiri, mrudie Mungu wako na achana na musiki. Angalia muonekano wako jinsi unavyopendeza siku unapovaa kwa jistiri. Jiekeze hata wenye biashara tu
Queen Darlin kwa maoni yangu kama mtaalam na mchanganuzi wa mambo ya Showbiz huenda akawa the most intelligent female artiste in Tanzania.Napenda anavojibu maswali.Mwisho wa siku tukitoa wigi na Nini na Nini anaonekana kujua anakokwenda na jinsi ya kujibu maswali ya kizushi . Ila cha muhimu kwa msanii ni kujitambua manake Leo unapendwa kesho unapondwa ila akili na maarifa ndizo mwanga wa kesho. Kudos Queen . I like you.
Kama unawakubali WCB gonga like
Hizo nywele nyeupe unazozipendaga uwa hazikupendez Kama unakubaliana namimi weka like twende saw
Kwa kweliiiiiiiiiii mmmmmmh! Sijui lini nitamuelewaga huyu! Ingekuwa siyo ukaka asingekuwagapo duuh!!!
Sasa hiyo moping brush yenye ameweka kwa kichwa ni ya nini? 😂😂😂😂😂😂
Hahaha umeonaee
Hahaha vituko iv
wasafi n fire
Queen Darleen I wish to see you there...
Tunakupenda dada etu
Queen Darleen kama unaona comment za watu kuhusu Style yako ya nywele unatakiwa kubadilika maana haikupendezi kabisa. Umekaa kama Shetani. Halafu ushauri wa bure kutoka kwangu ni kwamba; wewe ni mtoto wa Kiislamu kama ni pesa za kuendeshea maisha tayari umeshazipata, badilisha muonekano, vaa kwa kujistiri, mrudie Mungu wako na achana na musiki. Angalia muonekano wako jinsi unavyopendeza siku unapovaa kwa jistiri. Jiekeze hata wenye biashara tu
Demu mkali sana
Huyu Dada hakuna anaemshauri mbn anavojiweka anakua mbaya kila cku jiweke ka mwanamke Queen
Faith mbugai
Safi Darleen😍
Kaza buti mama💞😘😘😘
Dada muhogo leo umezungumza vyema
simuelewi hata kidogo
Kante wizeeeee
Nichek dm
Mbon unakonda we darling
Amezeeka
Huyu hajui kuimba, kama wifi yake......nani vile?
Jaribu kutafuta dizain mzuri bana 😂😂😂
Ziro kabisaa hujapendeza kwanza kichwan hadi miguun😁
Jina zury hawa ila muhon miaka 30 huyu dada ila kama mtoto wa miaka kumi
Kama umeskia akitoka diamond nimimi mmh
Umekomaa
Kwel Dom kugum
Kwenye music wakuimba
By AVATA STAR255
Online my you channel
school tym
duuu aiseee
Bwege tu huyo mdangaji chaka chaka we tulia tu uzalishwe muziki usha kufunga pingu muziki wako na sula yako vya fanana
Huyu mama sijawahi mwelewa ata
Kanyeeeee
Vituko vya dunia nini hiki
HUYU DADA ANATAKIWA KUSAIDIWA KIMUZIKI..BADO HAJAWEZA KUKONGA NYOYO ZA MASHABIKI KWA TUNGO ZAKE.NYIMBO MOJA TU KIJUSO NDIO ALIPATIA.
Hamna cha Tuzo..... fungua biashara ya kuuza samaki labda utafanikiwa huko
huyu demu hajui.
Apo Harmonize hayupo tena wcb wazungumze tu ukweli
Ndiyo msanii gani huyuuuuu
Lp
Nxaa
Mimi sion hata anachokiimba
Mkubwa Tanzania my Ass!
Hili dada limekuja hapa puma mapozi kibaoo
Bwege tu huyo mdangaji chaka chaka we tulia tu uzalishwe muziki usha kufunga pingu muziki wako na sula yako vya fanana
Duuuh
unavebwa tu wcb now huna lolote
Uyu Anavtuko Sana Shepu Mzuli Ana
Salum Mpala Jeshi konde Boy asiyeimba matusi
Wap iyo