Zawadi ni zawadi June 17, 2024 full HD video

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 356

  • @tumainiedgar3382
    @tumainiedgar3382 13 วันที่ผ่านมา +42

    Lamata tumechoka, una mtesa frank bila sababu
    Maria akamatwe😂😂😂

    • @blackwalkerscrewMedia-qx9dg
      @blackwalkerscrewMedia-qx9dg  13 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

    • @fatmamdihiri4164
      @fatmamdihiri4164 13 วันที่ผ่านมา

      Nakuunga mkono

    • @pendolema2743
      @pendolema2743 13 วันที่ผ่านมา +2

      Lamata hataki mchezo uishe,tutazungushwa mpaka 😢

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 13 วันที่ผ่านมา

      Frank ni zamu yake nae alimtesa sana Michael alie kiasi nae pia ila naomba amfumanie Maria anae jifanya kumpenda mwanzo amemdanganya mimba pili Bado Yuko kwa penzi jengine kando na madevu yaani yauma kweli😂😂😂😂😂

    • @rosemwenda8206
      @rosemwenda8206 13 วันที่ผ่านมา

      😂😂akamatwe kabisa

  • @Beathasimon
    @Beathasimon 13 วันที่ผ่านมา +6

    Aweeee mama diba kadamshi please anae mkubali ❤❤

  • @abiangala-gi3hm
    @abiangala-gi3hm 13 วันที่ผ่านมา +10

    Aya maigizo ni maisha halisi watu wanayaishi kwenye jamii zetu, na wapo wanotamka Jina La Mungu bure Bila kujua mazara yake, ipo siku Maria ataaibika ndilo funzo kwa jamii nzima, guyz msilaumu kunafunzo apo linakuja😊

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 13 วันที่ผ่านมา +6

    Mashalha mama diba wetu kapendeza san❤❤❤❤❤❤

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 13 วันที่ผ่านมา +20

    Idd naww acha wanawake watoke nje tu maana naww huridhiki😂😂😂.Mariaaaaaaaa saruti kwako.Frank pole yako endelea kulala utakapokuja kuamka umechelewa sana mapenzi jamni sijui Maria anakitu gani kinakuja mpk anafanya yote hayo

  • @abiangala-gi3hm
    @abiangala-gi3hm 13 วันที่ผ่านมา +7

    😂😂Semeni anaakili za kujitegemea🙌

  • @anithiajohn9209
    @anithiajohn9209 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mama diba kaweka nn kichwani😂😂 amependeza sana

    • @RuqayaHamza
      @RuqayaHamza 13 วันที่ผ่านมา +1

      U yoga

  • @wangagirl3508
    @wangagirl3508 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mmmmm huyu mzeee kiboko sana😂😂😂😂😂na chikuuu hatari na uongeze maria more fire❤❤❤

  • @user-tp4sn4ko1f
    @user-tp4sn4ko1f 13 วันที่ผ่านมา +13

    Ni makosa kutamka jina la MUNGU na kuapa ktka mchezo nashauri maoni yangu

  • @monicaalute3143
    @monicaalute3143 13 วันที่ผ่านมา +12

    Kibanio cha mama Diba kikubwa Zaid ya kichwa😂😂😂😂😂

  • @user-mk4fh9hw9j
    @user-mk4fh9hw9j 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ssa Judy ndie atakae lipua bomu Kwa yote yanayo endelea kti ya peter na wke zake idd

  • @nyamiziramadhani4232
    @nyamiziramadhani4232 13 วันที่ผ่านมา +12

    Semeni ananyweke nzuri

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 13 วันที่ผ่านมา +13

    Yaani mm ningekuwa maria ningetulia na Frank cyo kawaida maana Hakuna anachokosa

    • @blackwalkerscrewMedia-qx9dg
      @blackwalkerscrewMedia-qx9dg  13 วันที่ผ่านมา

      Mh sasa madevu

    • @deborahissaya1601
      @deborahissaya1601 13 วันที่ผ่านมา

      Siku zote kuingia kwenye kitu ni rahisi Ila kutoka hapo ni ngumu 😢

    • @user-hy9pp5rp9i
      @user-hy9pp5rp9i 13 วันที่ผ่านมา +1

      Huyu ni mm haswa nilikuwa na mwanamke ananijaki kama huyo frwnk na maria lakin nilitesa Kwa watu makapuku ila nilikuwa namchukia ananibana sana na kunichunga kama mbuzi gubu tuu Sina aman nyumban anakesha na gar nje nikitoka tu yupo nje 😂😂😂 najiskia uchungu kuliliwa wivu lakin ndio alie nioa nishazaa nae Sasa nimetulia 😂😂😂😂

    • @Realme-xm3sh
      @Realme-xm3sh 12 วันที่ผ่านมา

      Kahaba iyo nahajui anatak nini😂😂

  • @EmmanuelRaphael-vl6lh
    @EmmanuelRaphael-vl6lh 13 วันที่ผ่านมา

    Judith big up umeupiga mwingi kwa huo msimamo una mapenzi ya dhati kwa kumpenda mtu mmoja asiyejielewa

  • @AnnaMnkondya
    @AnnaMnkondya 13 วันที่ผ่านมา +3

    ❤❤❤❤ mama Diba beba muwa yako ya upendo
    Hauna baya mama

  • @AffectionateBinaryCode-wt3li
    @AffectionateBinaryCode-wt3li 13 วันที่ผ่านมา +1

    Maria weeee Mungu anakuona

  • @JuliuspatrickmbundaPatrick
    @JuliuspatrickmbundaPatrick 13 วันที่ผ่านมา +6

    Wa kwanza mm🎉🎉🎉🎉

  • @AgmackDezi-nf1rr
    @AgmackDezi-nf1rr 13 วันที่ผ่านมา +2

    mama diba leo kawa na vichwa viwili jamaniiiiiii😂😂😂😂😂😂😂

  • @sylvia3999
    @sylvia3999 13 วันที่ผ่านมา +4

    I love Frank 😂😂 , Maria kunguru jamani 😂😂😂

  • @tiffahtiffahbaaby6161
    @tiffahtiffahbaaby6161 13 วันที่ผ่านมา +31

    Nani kaona mlango wa peter una ufaaa pia kumbe p hajamzagamua semeni alijivua nguo na kujittimua nywele buleee

  • @TeklaKapinga-lo3kx
    @TeklaKapinga-lo3kx 12 วันที่ผ่านมา

    Maria mbaya mno wengi wanapitia jina la Mungu vibaya mno

  • @evelnjuma1834
    @evelnjuma1834 13 วันที่ผ่านมา +5

    Nzuri sana ❤🇹🇿

  • @user-mr7bc7tx6r
    @user-mr7bc7tx6r 13 วันที่ผ่านมา +3

    Frank frank unakuja kuumia zaidi huyu maria leo kanikera zaidi si kwa uwongo huu..moyo wa mtu kichaka ingawa haya mambo yapo mtaani kabisa si maria tu...nitakuja kwenye harusi ya lamata nitakutafuta frank japo tupige picha..ila wifi yetu huko awe mpole.upo kazini😮

  • @mayraamon8965
    @mayraamon8965 13 วันที่ผ่านมา +2

    Kibanio cha mama diba hahhahaha 😂😂😂😂

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 13 วันที่ผ่านมา +8

    Nimpate mjinga mmoja km fule nimuendeshe kma gari bovu

    • @vumiliarichard9347
      @vumiliarichard9347 13 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂amebak pek ake tu dunia nzim

    • @user-mr7bc7tx6r
      @user-mr7bc7tx6r 13 วันที่ผ่านมา +1

      Ni frank tu..aliyeamua kutulia ila kakutana na.kimbunga hidaya😅

    • @tinahenry6343
      @tinahenry6343 13 วันที่ผ่านมา +1

      Hahhahahahaha yaani nimecheka

    • @Roby-nw8sz
      @Roby-nw8sz 12 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umeniacha hoi ndgu yangu

  • @user-mr7bc7tx6r
    @user-mr7bc7tx6r 13 วันที่ผ่านมา +2

    Maria weww ni kimbunga.hidaya kwa frank utamuuwa buree fule wetu..wanaume moyo wao mdogo hautakiwi kubeba mambo mengi kama yako maria..😢

  • @ROSINA-oi2ih
    @ROSINA-oi2ih 13 วันที่ผ่านมา +1

    Jaman maria kafika mbali ad kumpeleka francy kwa watumishi akti anamzuguka mwenyewe duuuuh

  • @tiffahtiffahbaaby6161
    @tiffahtiffahbaaby6161 13 วันที่ผ่านมา +14

    Maria maria maria maria ipo cku yako

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 13 วันที่ผ่านมา +7

    Maria naomba unachezea wokovu maananhuna wokovu wowote unamchezea Mungu kwahuo uwongo wako na Maigizo yako Mungu akuumbue

    • @blackwalkerscrewMedia-qx9dg
      @blackwalkerscrewMedia-qx9dg  13 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂heeeee tamsilia hiiii kwani kuna mtu anaishi kama hivi maria

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 13 วันที่ผ่านมา +3

    semeni kumbwa jinga sana

  • @beauty2239
    @beauty2239 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mama diba yemialade na hamsemiii😂😂😂

  • @tukuswigamwamalekela3291
    @tukuswigamwamalekela3291 13 วันที่ผ่านมา +3

    Kwaiyo kwa peter Kuna kitenge😂😂😂 ila wanawake mwalimu wetu Mungu nitoe huku😢ni huzuni..

  • @EstherMshana
    @EstherMshana 13 วันที่ผ่านมา +1

    Maria una dhambi sana jaman muache kaka fulee kidog kheee

  • @user-zk5tq2ni6b
    @user-zk5tq2ni6b 13 วันที่ผ่านมา

    Idi ck ukijua km peter ND anokula wakezo...utajionea huruma mwenywe😂😂😂

  • @rithaferdinand3738
    @rithaferdinand3738 13 วันที่ผ่านมา +1

    Kwann mama diba anapenda kukaa hivyo jamani shingo anaweka upande km amehukumiwa kunyongwa😂😂😂😂

  • @zainabusaidi5982
    @zainabusaidi5982 12 วันที่ผ่านมา

    Mama diba ana mapoz balaa

  • @RoseMwakibete-qx8pw
    @RoseMwakibete-qx8pw 13 วันที่ผ่านมา +6

    Sauti mbona inakata inakeraaa

  • @magdalenakabahinya5650
    @magdalenakabahinya5650 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mlimuona maman Diba😂😂kichwani jamani 😅

  • @tiffahtiffahbaaby6161
    @tiffahtiffahbaaby6161 13 วันที่ผ่านมา +7

    Ma bint ni wakezako

  • @bettykaswaka543
    @bettykaswaka543 13 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo mama mchungaji 😅😅😅mapozi

  • @user-iv8bo2he7c
    @user-iv8bo2he7c 13 วันที่ผ่านมา +18

    Jamani huyu Iddy kuanzia Tamthilia ianze anatengenezaga gari moja tu😂😂😂😂😂

    • @user-qg9nj2yw7e
      @user-qg9nj2yw7e 13 วันที่ผ่านมา +2

      Wewe nawe hadi magali unakalili

    • @mayraamon8965
      @mayraamon8965 13 วันที่ผ่านมา +1

      😅😅😅

    • @umaima1178
      @umaima1178 13 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂

    • @user-os7nq6is2t
      @user-os7nq6is2t 13 วันที่ผ่านมา +3

      Umesahau na vitambaa vya kwamamake diba

    • @user-iv8bo2he7c
      @user-iv8bo2he7c 13 วันที่ผ่านมา +1

      Hhhaahahhaahahhahaha umenikumbusha yaani wabadilishe tu kwakweli manake tupo digital

  • @user-hj8xl5to3i
    @user-hj8xl5to3i 13 วันที่ผ่านมา +2

    Maria atupe section C maana ameweza Alooh 😂

  • @viveelly-cr7ib
    @viveelly-cr7ib 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ila Huyu mama diba awe anapewa dawa za maumivu ya shingo maana 😃😃😃

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah7242 13 วันที่ผ่านมา +3

    Jamani zingatieni banio la mama diba😅😅

  • @MonicaSimon-cl9cw
    @MonicaSimon-cl9cw 13 วันที่ผ่านมา +4

    Khee maria 🙌🙌🙌

  • @jacklinemwansele1288
    @jacklinemwansele1288 13 วันที่ผ่านมา +6

    Nywele za mama diba

    • @tumainiedgar3382
      @tumainiedgar3382 13 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂na shingo yake sasa😂😂😂😂

    • @pendolema2743
      @pendolema2743 13 วันที่ผ่านมา

      Yani ili ni banio kaweka kwa juu. Sema sasa ni li kubwa kuliko kichwa chake😂

    • @bibibomba9799
      @bibibomba9799 13 วันที่ผ่านมา

      Kama karungu yeye😂😂

    • @veronicahlusekelo5205
      @veronicahlusekelo5205 13 วันที่ผ่านมา

      ​@@bibibomba9799😂😂😂😂😂😂 Khaa jmani

    • @eunicecharles8378
      @eunicecharles8378 13 วันที่ผ่านมา

      Nmecheka sana

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 13 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂semeni jameni!!

  • @Beathasimon
    @Beathasimon 13 วันที่ผ่านมา +2

    Umenibusu au umenisonya please like for me

  • @user-mr3qg9iq5k
    @user-mr3qg9iq5k 12 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 Ila Mchungaji Mbona haupo Rohoni jaman unadanganywa hata Mungu hakuonyesh

  • @judithelisha6741
    @judithelisha6741 13 วันที่ผ่านมา

    Hv mama diba nikwamba hilo shingo ndy style au ndy wanyakyusa wanakaaga hvyo

  • @sameraamiry3849
    @sameraamiry3849 13 วันที่ผ่านมา +6

    Dj 🎉🎉🎉🎉❤

  • @charityemmanuel9763
    @charityemmanuel9763 13 วันที่ผ่านมา

    Mama Diba iyo shingo na kibanio duh😂😂😂😢
    Pole😊

  • @IteritekaBenitha
    @IteritekaBenitha 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kikulacho n mtuu wako wakarib il peter anakul mboga zote mbil 😅

  • @anastaziamleba4343
    @anastaziamleba4343 13 วันที่ผ่านมา +4

    Anguko la Maria litakuwa la kimataifa

  • @user-zk5tq2ni6b
    @user-zk5tq2ni6b 13 วันที่ผ่านมา

    Ana Diba jamani uwo msuko umepipa kichwa😂😂

  • @neemamtei3638
    @neemamtei3638 13 วันที่ผ่านมา +4

    Maria Niko na wewe mpaka frank Akuuwe

  • @user-ec4uz2mn3j
    @user-ec4uz2mn3j 13 วันที่ผ่านมา +5

    😂😂Idd bwan ety unakua mkali mkali mkaliiii

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 13 วันที่ผ่านมา +2

    Yan maria maria maria mshenz ahh 😅😅

  • @salmasalam3268
    @salmasalam3268 13 วันที่ผ่านมา +2

    Dj adi ukate sauti jamn 😢

  • @MasaluMasanza
    @MasaluMasanza 13 วันที่ผ่านมา +7

    Yani binti mrokore siku yako ipo karibu sana

    • @blackwalkerscrewMedia-qx9dg
      @blackwalkerscrewMedia-qx9dg  13 วันที่ผ่านมา

      Anamipango hapatikani ovyo 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salmazwallo5920
      @salmazwallo5920 13 วันที่ผ่านมา

      Mpkaa inaishaa hawenzi kukamatwa yaani

    • @onetoanotherglory2024
      @onetoanotherglory2024 13 วันที่ผ่านมา

      Maria atakuwa Mary siku si nyingi, yaani kamdang'anya mpaka Pastor 😮

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 13 วันที่ผ่านมา +8

    Wakwanza mimi kuidakiya ju😂😂❤❤❤

  • @RobertSimon-lv5wf
    @RobertSimon-lv5wf 12 วันที่ผ่านมา +1

    Nani kaona mtindo wa nywele wa mama diva

  • @DottieSameer
    @DottieSameer 13 วันที่ผ่านมา +2

    IDD UMENISONYA,UMENIBUSU🎉🎉

  • @agathadavid7127
    @agathadavid7127 13 วันที่ผ่านมา +3

    Maria maria maria nimekuita mara tatu.

  • @doroteakaitana308
    @doroteakaitana308 13 วันที่ผ่านมา +5

    Ila, Maria Maria Mungu anakuona.

  • @mwanamisiomari8189
    @mwanamisiomari8189 13 วันที่ผ่านมา +1

    Pendo maria pepo mtaionea viusasa😅

  • @veronicahlusekelo5205
    @veronicahlusekelo5205 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mama Diba jmani kweli limekaa vizuri😂😂😂😂

  • @user-ho9wt4fo8h
    @user-ho9wt4fo8h 13 วันที่ผ่านมา +2

    Haya maisha ya jua kali ni maisha yetu kabisa ya kila siku😂😂😂

  • @user-ee8xb1tl5n
    @user-ee8xb1tl5n 12 วันที่ผ่านมา

    Uyo mganga wa pita nataka nimjue😂😂😂

  • @LewisTutu
    @LewisTutu 13 วันที่ผ่านมา +2

    Nilichogundua ni kuwa kila mtu lazima apigwe na juakali kwenye hii movie...😂

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 13 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂 judi anavochungulia sana

  • @lucywille-sm6lp
    @lucywille-sm6lp 13 วันที่ผ่านมา +2

    Naomben no ya kaka fure n imwambie ukweli Mary kadanganya na baba mchungaji kadanganywa

  • @user-xl9wc6ob4v
    @user-xl9wc6ob4v 13 วันที่ผ่านมา +1

    Yaan iddy eti cjuh kampata nani ange jua ni sofi na semen mweeeeeehh 🤣🤣

  • @neemadavid7587
    @neemadavid7587 12 วันที่ผ่านมา

    Ila maria kuiona pepo cjui😂😂

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mama Diba huo mzigo vp

  • @fatumazakalia-yx4kg
    @fatumazakalia-yx4kg 13 วันที่ผ่านมา +3

    Huyo mama diba hilo banio

  • @Joy_user-do1bl5wk1d
    @Joy_user-do1bl5wk1d 13 วันที่ผ่านมา

    Mama diba banio pambe weweeeeeeh! 😂😂😂😂

  • @user-st2ig6ds3f
    @user-st2ig6ds3f 13 วันที่ผ่านมา +3

    We maria ipo siku Yako utalia kama mbwa

  • @JoyceElias-qh8ol
    @JoyceElias-qh8ol 12 วันที่ผ่านมา

    Mm nasemaga nakosea ila maria too much

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 13 วันที่ผ่านมา +7

    Frank mapenzi yanakutesa mpk macho yamelegea weeee hadi raha

    • @blackwalkerscrewMedia-qx9dg
      @blackwalkerscrewMedia-qx9dg  13 วันที่ผ่านมา

      Mapenzi ni kikohozi hajakohowa baado 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 13 วันที่ผ่านมา

      @@blackwalkerscrewMedia-qx9dg kwahiyo akikohowa macho yatakaa sawa.staki kucheka ujue

    • @olicej7837
      @olicej7837 13 วันที่ผ่านมา

      Ukiskia mapenzi nikizungu zungu ni hayo sasa kaka fule hana ujanja sasaa😂😂😂😂😂

    • @kinananyuni9732
      @kinananyuni9732 13 วันที่ผ่านมา +1

      Umeonaeeee

    • @blackwalkerscrewMedia-qx9dg
      @blackwalkerscrewMedia-qx9dg  13 วันที่ผ่านมา

      @@kinananyuni9732 😂😂😂😂😂

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu7027 13 วันที่ผ่านมา +7

    Maria umepigaje apo 🤣🤣🤣

  • @rehemamtsumi5567
    @rehemamtsumi5567 12 วันที่ผ่านมา

    Lamata simamisha gari nishuke nimechoka na tabia za Maria. Afu hata siku moja hafumaniwi atlist

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 13 วันที่ผ่านมา +1

    EDDI ANGEJUA MWANAMKE ANAE MZUZUA PITA NI WAKE ZAKE HAKILI INGEMKAA SAWA

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 13 วันที่ผ่านมา

    Nawe,mchungaji kanisa lako linaongoza kwa uzinzi .tupe utaratibu wa kuchumbiana ktk kanisa lako,😢

  • @user-gu2zg8lr3m
    @user-gu2zg8lr3m 13 วันที่ผ่านมา +2

    Dj 🎉🎉🎉🎉❤❤ila Peter 😢😢 14:19

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 13 วันที่ผ่านมา

    Yaan,SOPHY NA SEMENI JAMANII.
    MNANICHEKESHA SAAANA KHAAA

  • @user-zk5tq2ni6b
    @user-zk5tq2ni6b 13 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli maigizo..sofi angalia kitanda

  • @HawaHussein-hq1lj
    @HawaHussein-hq1lj 13 วันที่ผ่านมา

    Huyo p mwenyewe sasa mmmmmh heeee

  • @agnessbahamu3931
    @agnessbahamu3931 12 วันที่ผ่านมา

    Maria mbingu hutaifikia😂😂😂😂😂😂😂

  • @olicej7837
    @olicej7837 13 วันที่ผ่านมา +6

    Semen hujui kuachika😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂maria bhana🙌🙌🙌🙌🙌

    • @blackwalkerscrewMedia-qx9dg
      @blackwalkerscrewMedia-qx9dg  13 วันที่ผ่านมา

      Anaazaje kuachika 😂😂😂😂😂😂😂
      Mariaaaaa saluti 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️

    • @olicej7837
      @olicej7837 13 วันที่ผ่านมา

      @@blackwalkerscrewMedia-qx9dg keshaachwa akubali kuachika 😂😂😂😂😂

  • @Justinaombay
    @Justinaombay 12 วันที่ผ่านมา

    Maria akamatwe. Lamata inatosha hii

  • @user-im9wf2tb2r
    @user-im9wf2tb2r 13 วันที่ผ่านมา +2

    Idd anajiuliza eti hajui kampata nani😮wake zako wanajitolea kwa Peter huko na wametoka kufumaniwa na dada mtu!😅

  • @susankamanga7116
    @susankamanga7116 13 วันที่ผ่านมา

    Mch hana macho ya rohoni kujua uovu wa Maria.

  • @user-pf3zc6kv5q
    @user-pf3zc6kv5q 13 วันที่ผ่านมา

    jaman sauti ina shida gan vipande vingine haiko kabisa

  • @user-ez5jf1un7g
    @user-ez5jf1un7g 13 วันที่ผ่านมา +1

    Frank wangu naomba jikaze kabisa hipo siku tu huongo wa maria utafika mwisho kabisa

  • @fatmaZakiya
    @fatmaZakiya 13 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂jua ni kali kweli😂😂

  • @KzghrAriella
    @KzghrAriella 13 วันที่ผ่านมา +1

    Yaaani franck wanamfanya zezeta dhuuu!!!😂

  • @AlbinaNdibaza
    @AlbinaNdibaza 13 วันที่ผ่านมา +4

    Sauti

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 13 วันที่ผ่านมา

    Semeni nipunguzie nywele zenyewe nzuri 😅😅😅

  • @user-wg3cq7hj3l
    @user-wg3cq7hj3l 13 วันที่ผ่านมา

    Mmmh Maria we kiboko!!!