UJENZI wa CHUO wa BILIONI 1.4 WAKWAMA - DC MAGOTI AFOKA AKIFANYA UKAGUZI KISARAWE...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • UJENZI wa CHUO wa BILIONI 1.4 WAKWAMA - DC MAGOTI AFOKA AKIFANYA UKAGUZI KISARAWE...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 35

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 หลายเดือนก่อน +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @safnosmosha
      @safnosmosha 2 หลายเดือนก่อน

      Wakati mwingine kumbe wakandarasi hawana shida

  • @salumally663
    @salumally663 2 หลายเดือนก่อน +6

    Wajanjaa wanazizungushaa pesaa za watu...Wanamsumbua sana mama yetu....pesa awape mpaka kifuatilia aanze kupiga kelele...!

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo wilaya Mbunge ndie sababu ana raho.mbaya sana. Husikii hata siku 1 akiitetea wikaya yake

  • @emmanuelhayghaimo3969
    @emmanuelhayghaimo3969 2 หลายเดือนก่อน +3

    Side mnyamwez hongera sana engineer kwa kaz nzuri. Dit civil o.d10moja hiyo

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi Mh.DC. Magoti, hakuna kubembelezana Mura kazi iendelee😂

  • @AmanaHassan-cy4fi
    @AmanaHassan-cy4fi หลายเดือนก่อน

    Hayo ndio Majidudu yanayoitafuna hii Nchi.
    Kama ipo sehemu imepelekwa fedha na hamna mfuatiliaji ahaa ndipo wapigaji wanapataka hapo kusomeshea Watoto wao Ulaya.
    Mungu anawalipa Mitoto yenyewe ina kuwa Mishoga ikirudi huko Shule... Billal Shenzii.

  • @celestinermantenga2463
    @celestinermantenga2463 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa ana kiwango cha kuongoza mkoa aisee!

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 2 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo jamaa anayejibu maswali ya DC ana akili sana

  • @tediusmakwara3931
    @tediusmakwara3931 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ongera mkuu wilaya

    • @user-gv8yn9lg1i
      @user-gv8yn9lg1i หลายเดือนก่อน

      Ongera ni jina la mtu? Au una maana hongera ( yaani pongezi )

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 2 หลายเดือนก่อน +4

    Fanyen muende kwa DC magoti akawape historia yake ya elimu mpk kufikia hapa alipo tunahitaj

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 5 วันที่ผ่านมา

    Mkuu wa wilaya Safi sio chawa

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 หลายเดือนก่อน

    We want deeds not words.

  • @user-ms8zt2im6x
    @user-ms8zt2im6x 2 หลายเดือนก่อน +2

    Magufuli 2takukumbka

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ndio shida ya watendaji wetu Ni Kwa nini hawafungwi wakichelewesha muradi kama huu.

  • @damianokwaangw4402
    @damianokwaangw4402 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi kweli kodi ya watanzania inachezewa hivi duh kwakweli hali siyo

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 หลายเดือนก่อน

    Yan watendaji wengi wa kitanzania wanatia hasira san kuna vyuo vingi havijengwi kwa kua wana hongwa na vyuo binafsi wasiharakishe

  • @byabatokaroma2522
    @byabatokaroma2522 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi mkuu Serikali inahitaji watendaji makini wenye ubunifu wa kazi kama nyie

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 2 หลายเดือนก่อน

    Wapigie Simu Moja kwa moja

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 2 หลายเดือนก่อน +1

    Haha kajamaa kajeuri sana

  • @AliVuai-cv8xv
    @AliVuai-cv8xv 2 หลายเดือนก่อน

    CCM inaoka vijana

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz 2 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa wiraya yetu ipo nyuma kiuchumi hakuna kitagauchumi vijijini wengine tumeacha nchi yetu kwa ajiri hakuna ajira

    • @RenaldaZeramula
      @RenaldaZeramula หลายเดือนก่อน

      Kuna ardhi kubwa ni utajii mkubwa

  • @fundimtz8111
    @fundimtz8111 หลายเดือนก่อน

    Nondo zipo nje ya zege la jamvi

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 หลายเดือนก่อน

    boss mtoto

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 2 หลายเดือนก่อน

    Wapike mpaka waungue

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar หลายเดือนก่อน

    😅

  • @user-on9cs6yd6g
    @user-on9cs6yd6g 2 หลายเดือนก่อน

    Watanzani wamezoea kujaribu uskubari kujaribiwa mama amekuweka hapo kwaimani kubwa

  • @hamzasaidi7697
    @hamzasaidi7697 2 หลายเดือนก่อน

    Mkuunauriyamabasinikubwakutokakigogompakamsanga sh 6000 ukishukapopotebeindiyoiyoiyo fuatiliailo

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 2 หลายเดือนก่อน

      Ata we menyewe una weza kusoma daah

    • @zakayomgaya2758
      @zakayomgaya2758 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@salimalaquimane3077😂😂😂😂😂😂

    • @athumanishabani1143
      @athumanishabani1143 2 หลายเดือนก่อน

      Balaaaaa!!

    • @athumanishabani1143
      @athumanishabani1143 2 หลายเดือนก่อน

      Shule za sekondar zijengwe kwenye vijiji ili kila myazania asome maana shule za kata zipo mbali Sana na jamiii hivyo husababisha utoro na ukosefu wa elimu kwa uma wa WaTanzania!!!!

    • @husseinmramba
      @husseinmramba หลายเดือนก่อน

      @@salimalaquimane3077yani watu wengine mpk unawaz hvi vichwa vyao vinakua na nn yani, dhahir waonyesha ndio ameanza kushika simu na akili zao ni mbili😅🤦🏿‍♂️