15 Langoni na Kilonzi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 มี.ค. 2016
  • Bwana Aman Thani anaendelea kuhojiwa na Profesa Ibrahim Noor katika mwaka 2000. Anaeleza shida zaq gereza ya Langoni. Mwezi wa Ramadhani, Kilonzi (mkubwa wa jela) aliwaachia wafungwa kupokea vyakula vikavu kutoka majumbani. Pia Kilonzi aliwapunguzia saa za kazi na kufanya darasa za dini mwezi huo mtukufu.

ความคิดเห็น • 9

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 7 ปีที่แล้ว +1

    Innalilahi wainnailaihi rajiuni yarabi msamehe dhambi zake alipitia mazito mola mpe faraja huko aliko madhalim mola wangu unajuwa wewe jinsi yakuwahukumu ila Inasikitisha saaana anahadithia kwahisia kubwa

    • @rahmarashid1670
      @rahmarashid1670 5 ปีที่แล้ว

      Amin yarrabi walifikiria na wao hawatokufa

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 8 ปีที่แล้ว

    Shukra

  • @salumhabib2178
    @salumhabib2178 8 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa kutupatia historia ya 'nnchi yetu, email address hii salim197148@yahoo.com. Adam. Naomba unitumie hii CD yote kwa pamoja, naomba jina la kitabu na wapi nitakipata?

    • @MzeeBarwani
      @MzeeBarwani  8 ปีที่แล้ว

      Natumai kitabu cha marehemu Sheikh Aman Thani utakipata hapa:
      documents.tips/documents/ukweli-ni-huu.html

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 7 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee kwani ameshafariki?

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 7 ปีที่แล้ว

      Ummu Samira . Ndio Allah amsameh makosa yake na ampe malazi pema.

    • @MUSTAFAAHMED-bj3bn
      @MUSTAFAAHMED-bj3bn 6 วันที่ผ่านมา

      Tayari