Kwanini mtume Paulo hakuoa? Simulizi ya maisha ya Paulo, Mtume na mwandishi wa kwanza wa Agano jipya

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ต.ค. 2020
  • #simulizizabiblia #mtumepaulo

ความคิดเห็น • 56

  • @ema4968
    @ema4968 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana kaka mapungufu kidogo sana mfano mara nyingi limetumika neno mbona waniudhi

  • @chiwaligojoseph8529
    @chiwaligojoseph8529 3 ปีที่แล้ว +3

    Nimesikiliza zaidi ya mara kumi lkn bado nahc nahtaji kusikiliza zaidi hongera sana sana msomaji umenibariki sana. Ubarikiwe zaidi ya nilivyobarikiwa.

  • @EmmanuelMwangesile-gb8iq
    @EmmanuelMwangesile-gb8iq 8 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi ubarikiwe sana mnatukumbusha vitu vingi mungu akuongezee maarifa umenibariki

  • @ibrahimwario953
    @ibrahimwario953 2 หลายเดือนก่อน

    Paulo ako na hata vijana sasa na shangaa sana ukiwa mwalim unatufunza akuoa ajabu

  • @togetherchristiansmedia3437
    @togetherchristiansmedia3437 3 ปีที่แล้ว +5

    Thanks

  • @baltazarynyambita5535
    @baltazarynyambita5535 3 ปีที่แล้ว

    Bwana Yesu awabariki Sana mzidi kuchambua jamani

  • @barakaelisha4279
    @barakaelisha4279 2 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe Sana nasomo lako unatujuza vingi

    • @EM24TV
      @EM24TV  2 ปีที่แล้ว

      Ameni sana, ubarikiwe mnoo

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe huja soma historiya. Paulo ni mrumi

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 ปีที่แล้ว +1

      Paulo ni myahudi ndugu fatilia vizuri vyanzo vyako vya history

  • @augustinosamweli8293
    @augustinosamweli8293 ปีที่แล้ว

    Vizuri sana🥰

  • @bedelmasilya305
    @bedelmasilya305 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks about thé video

    • @EM24TV
      @EM24TV  3 ปีที่แล้ว

      Thanks and welcome back

  • @michaelelia7058
    @michaelelia7058 3 ปีที่แล้ว

    Safi sanaa

    • @EM24TV
      @EM24TV  3 ปีที่แล้ว

      Asante sana ndugu. Barikiwa mnoo

  • @MussaMweta-fz1gv
    @MussaMweta-fz1gv ปีที่แล้ว

    Ameni

  • @amosmpeko5283
    @amosmpeko5283 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @daudaloyce-km4id
    @daudaloyce-km4id ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri sana kaka

    • @EM24TV
      @EM24TV  ปีที่แล้ว

      Ameni

  • @samuelbahizire761
    @samuelbahizire761 ปีที่แล้ว

    Asante sana naipenda kazi yenu

  • @paulootieno2235
    @paulootieno2235 2 ปีที่แล้ว

    Bwana anatenda

  • @vonickalfred2597
    @vonickalfred2597 10 หลายเดือนก่อน +1

    Good

    • @EM24TV
      @EM24TV  10 หลายเดือนก่อน

      Ameni

  • @peterm.kishoa719
    @peterm.kishoa719 2 ปีที่แล้ว +1

    Uka sawa ksbisa

    • @EM24TV
      @EM24TV  2 ปีที่แล้ว

      Asante sana. Karibu tena na tena.

  • @heripaulo1008
    @heripaulo1008 ปีที่แล้ว +1

    Alioa na alikuwa na watoto saba pia huwezi kufanya kazi sunheadilini
    Bila mke na ndo maana walimtumia kwenye kukamata watu ila alipoa za kazi aliacha familia yake Jerusalem kwa alikaa koritho miaka sita efeso miaka mitatu kwa hakuna aliona mke wake maana hakuwa naye muda huo ndio maana akasema ni heri kukaa kama yy alivyokuwa

    • @chrisonbwanasua4007
      @chrisonbwanasua4007 ปีที่แล้ว

      Mke wake nawa toto wake wali uwawa. Kisha kuanza kazi ya bwana yesu

  • @luwissimonje3422
    @luwissimonje3422 2 ปีที่แล้ว +2

    Mtume Paulo alikuwa na watoto ? Au aliowa

    • @EM24TV
      @EM24TV  2 ปีที่แล้ว +2

      Hakuna maelezo yanayo jitosheleza kuhusu kuwa na mtoto au kuoa, taarifa zake ziliandikwa baada yeye kuokoka, kwaivo maisha yake ya kale hakuna mahali yaliandikwa kwaivo hatuna ushahidi wowote kuhusu hilo.

  • @danielernest8418
    @danielernest8418 3 ปีที่แล้ว +1

    Saf

    • @EM24TV
      @EM24TV  3 ปีที่แล้ว

      Asante sana

  • @kawambwajunior9443
    @kawambwajunior9443 2 ปีที่แล้ว

    Hakun mtume anaeitwa Paul

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 2 ปีที่แล้ว +1

      Wasilamu mko na shida sana. Ukona andiko kwa Quran Paulo si mtume

  • @simaraphaellucas8469
    @simaraphaellucas8469 3 ปีที่แล้ว

    Jina Avith limeandikwa ktk kitabu gani? Kwenye bibilia

    • @EM24TV
      @EM24TV  3 ปีที่แล้ว +1

      Asante kwa swali lako @Simaraphael Lucus, tutakurejerea na jibu la swali lako. Barikiwa sana

  • @lileoh3893
    @lileoh3893 3 ปีที่แล้ว

    Unauhakika acheni ujinga mbona anasema. Injili hiyo mliiamini bule wakolinto wakwanza 15

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 2 ปีที่แล้ว

      Kasome tena nyinyi ndiyo munasoma nyaraka za Paulo vibya 2 petro 3:15-16

  • @gracejohn1288
    @gracejohn1288 3 ปีที่แล้ว +2

    Kazi yenu ni njema sana. Lkn wakorintho 1 :3: 14 je inamaana wanawake wafunge vichwa vyao au inamaana gani hii

    • @EM24TV
      @EM24TV  3 ปีที่แล้ว

      Asante sana Kwa Pongezi, Ubarikiwe mnoo, kwa habari ya wanawake kufunga vilemba vichwa vyao tutaileta hivi karibuni.

    • @hamisimfaumenamwewe193
      @hamisimfaumenamwewe193 3 ปีที่แล้ว

      Wanawake hawatakiwi kuwa vichwa wazi. Wanatakiwa wafunike kichwa chote! Soma 1 Wacorinto 11:5,6) Pia vazi la mwanamke mwema mcha Mungu, ni vazi la Stara"Hijabu" vazi la Sheria vazi la Heshima vazi la Ucha Mungu. Soma 1 Timotheo 2:9,10) Mavazi mafupi yakubana ya mpasuo au suruali zakubana, hayo ukivaa wakati wakutoka out, maandiko yanasema wewe ni kahaba. Epuka na mavazi hayo hayafai. Soma Mithali 7:10,11) Kama una swali lingine uliza Dada yangu nitakusaidia.

    • @emanuelyupinna6133
      @emanuelyupinna6133 3 ปีที่แล้ว

      Kuna.vifuno.viwili.nywele.ndefu.au.kitambaa

    • @emanuelyupinna6133
      @emanuelyupinna6133 3 ปีที่แล้ว

      Amina

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 2 ปีที่แล้ว

      Soma 15 hapo hapo.

  • @kipingudominiki6804
    @kipingudominiki6804 3 ปีที่แล้ว

    Pup PP

    • @EM24TV
      @EM24TV  3 ปีที่แล้ว

      Asante sana na Ubarikiwe

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 3 ปีที่แล้ว +1

    Uongo mtupu, Aliwauwa wakristo? Ukristo umeanzishwa na nani?

    • @rosemiriamngara21
      @rosemiriamngara21 3 ปีที่แล้ว +1

      Unajua unachokiandika kweli??

    • @piuslyimo486
      @piuslyimo486 3 ปีที่แล้ว

      Ujitambui

    • @piuslyimo486
      @piuslyimo486 3 ปีที่แล้ว

      We juma si lazima kukoment Kama huna vitu vya msingi

    • @mwamvitamhongole9320
      @mwamvitamhongole9320 3 ปีที่แล้ว

      Ipo siku inakuja utajua tu...usiongeee usicho kijua

    • @jacksonnzai1593
      @jacksonnzai1593 3 ปีที่แล้ว

      Umeanzishwa na Mungu punde alipomleta Yesu mwanawe mzao was kwanza.

  • @safaribicocero4916
    @safaribicocero4916 2 ปีที่แล้ว

    Amen

    • @EM24TV
      @EM24TV  2 ปีที่แล้ว

      Ameni Ameni