Mungu mimini wako na mali yako sijatokana na chochote zaidi yako. Nivute zaidi kwako kwa toba yakweli haswa kufanya mapenzi yako nijalie msamaha wako na neema ya kusamehe wengine ili ktk huduma zetu kwa watu wako zipate kibali machoni pako. Sote tuje kwako kwa furaha milele. AMENI
Mungu wangu nisamehe zamgu mimi mkosoji naomba unijalie maisha marefu na yenye baraka, hekima na busara vitawale katika maisha yangu jalia familia yangu afya njema pia mke wangu kipenzi watoto wangu mama zangu wote ,Asnte bwna yesi
May our good mercifully Lord forgive us our sins, especially this lenten season we badly need Him. To you brothers and sisters in Christ World over, may His light forever shine in your hearts and souls.
Eeh Mungu naomba nijalie toba ya kweli na niweze kuichukia dhambi niweze kukutendea matendo mema kwako na kwa jirani zangu nikumbushe wkt wa Sala niweze kukujua wewe na kufata njia zako
Ee mungu naiombea Dunia yote msamaha kwani kila kukucha tunakuudhi na kuenda kinyume na katiba yako . Mungu shush huruma yako kipindi hiki kwani tumekusahau. Tumia uwezo wako mungu kuturudisha kwenye matari
Ee mungu wangu naomba kwaresma hii unijali lehema zako niepuke kutenda dhambi bwana nakuomba toba yangu ikawapunguzie adhabu ya kabuli wazazi wangu na malehemu wote kwa ujumla uwape pumzi kuu
Asante sana Yesu Kristo, thank you so much Jesus Christ, aika sana Yashua ha Masha, Ruwa oko ❤❤❤
Mwenyezi mungu tujalie kuiamini injili na kuyatenda yaliyo mema katika kipindi hiki cha kwalezima
Mungu naomba tusamehe Zambi zetu zote🙏
Eeh Mungu Naomba Utusamehe Dhambi zetu zote kwa kuwaza,kwa kunena na kwa kusikia.🙏🙏
Mungu usituache tunaokimbilia ulinzi wako pekee
Ee Mungu Baba mwenyezi wa milele nijalie Toba ya kweli moyoni mwangu ,pamoja na familia yangu tuweze kuiona thamani yako kwa wenzetu wahitaji. Amina.
Mungu naomba unisamehe makosa yangu
Mungu wangu unijalie katika kipind hiki katika kutafakali makuuyako niichukie dhambi
Mungu yupo upande Wang the ROLD is on my side I will not fear
God help us to avoid temptations❤❤❤ to all Christians
Nawatakia kwaresma njema iliyojaa upendo
Asante Mungu
Nami mkaniombeeni wenzangu kwa uvivu wa imani yangu na kupotea njia mara nyingi tu. Nitawakumbuka pia nikijaribu kuimarika.
Mungu mimini wako na mali yako sijatokana na chochote zaidi yako. Nivute zaidi kwako kwa toba yakweli haswa kufanya mapenzi yako nijalie msamaha wako na neema ya kusamehe wengine ili ktk huduma zetu kwa watu wako zipate kibali machoni pako. Sote tuje kwako kwa furaha milele. AMENI
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 please forgive me the son of God and have mercy on me
Kwaresma. njema
EE mwenyezi mungu nakuomba unipatie NEEMA na moyo wa kujitolea kwa wahitaji nawashukuru Sana kwa tafakari nzur 🙏🤝
Ee mungu baba nakuomba uwape wito matajiri wenye pesa kuwasaidia watoto wajane na wakina mama wajane
Ee mwenyez mungu naomba toba yangu iweze kuwapunguzia marehem wote walio tangulia mbele ya haki adhabu ya ma mateso
Ee mungu wangu unipe nguvu yakufunga kwarezima hii mpaka mwisho na unisamehe makosa yangu 🙏🙏
Mwenyezi Mungu awaongoze katika mfungo huu ,tukumbuke kutenda matendo ya huruma,tufanye toba,
Eee mungu nijalie toba ya kweli
Kwalesma njema wacathoric wenzangu❤😊
Mungu tujalie kipindi hiki cha kwaresma, tuwasaidie watu Wenye mahitaji. Tunaomba toba, utusamehe Dhambi zetu.
Ee mungu tuangalie ss wanadamu udhaifu wetu ktk maisha tuopoe ktk dhambi daima amina
Eeee mungu nijalie toba ya kweli na ibariki familia yang na watu wote katik kwaresm hiii ikawe mwangaza katika changamoto ninazopitia amin
EE mungu nihurumie
Tunashukuru MUNGU na utujalie toba ya kweli na bariki familia yangu.na pia unijalie subra kati ya changamoto ninazopitia
Amen
Asante mungu🙏🙏🙏
Amena ❤❤❤❤
Ee mungu utuhurumie
We Mungu wangu tunaomba Toba ya kweli ndani mwetu!Natuweze pia kuwasaidia wenzutu kwa wakati huu wa kwaresma🙏🙏🙏🙏
😅😅K!😢
Nihurumie eee bwana na familia yangu
Micc sana catholic kwarezma njema
Eemungu nijalie moyo WA toba
Eeh MUNGU wangu naomba nijalie toba ya kweli mimi pamoja na familia yangu
Baba yetu wa mbinguni nijalie toba ya heri na baraka zako mimi mwanao mkosefu pamoja na family yangu Jamaa zangu, marafiki na jamii yote duniani Amen.
Eee mungu tujalie mema
🙏🙏🙏🙏 Lord be with you wapendwa katika kipindi hiki
tumshukuru mngu kwa Nia yote tubaliki tufungulie milango yote kwenye huu mfungo wa kwasima
Naomba nisaidie mungu wangu
Eeh mungu naomba utusamehe dhambi zetu zote🙏
Eee Mwezi Mungu nakuomba unitakase Kila wakati nipate kusamehewa na pia familia Aminaaa nakulilia Mungu
Mungu wangu nisamehe zamgu mimi mkosoji naomba unijalie maisha marefu na yenye baraka, hekima na busara vitawale katika maisha yangu jalia familia yangu afya njema pia mke wangu kipenzi watoto wangu mama zangu wote ,Asnte bwna yesi
Mungu nisamehee makosa yangu mimi nimkosefu sana nakukimbilia wewe usiniache
Ee mungu baba nakupenda na kushujudia na kuabudu na kuomba Toba unisamee dhambi zangu
We mungu. niongezee. Ima.ni iliniweze. Kukuamini Mimi pamoja na watoto wa ngu
Ee Mungu nijalie toba ya kweli ili uweze kunisamehe mimi na Familia yangu
0 God help mi to repent,forgive and to walk with you during this season
Àaà à 2:38
😊@@esthermugweru5015
May God continue showering his blessings to us🙏🙏❤️
May our good mercifully Lord forgive us our sins, especially this lenten season we badly need Him. To you brothers and sisters in Christ World over, may His light forever shine in your hearts and souls.
Ila dhambi ni chungu sana
Kwaresma njema kwa wakatoliki wote
❤ee bwan unijlie Toba ya kweli ili nisamehewe zamb zangu
Yesu kristu❤❤❤❤❤❤
Nawatakia kumbukizi njema ya mateso ya mkombozi wetu yesu kristu
Mungu wangu nakuomba unisamehe 🙏🙏🙏😴
Ee mungu naomba unisaidie tomba yagu usikie na family yagu unisaidie nahitaji yagu ❤
Siyo tomba ni toba
Eee mwenyez MUNGU utuskilize sala na maombi yetu
Ee mungu nisamehe Pale nilipo kosea nikijua km makosa na pale abapo sikujua km nateda kosa
Mungu turehem tujitambue tukuludie we muumba wet amna
❤❤❤❤❤
Mungu ni jalie kutubu na kuiamini injil
Mungu wangu naomba ukatuondolee vikwazo vyote vinavyoendelea katika kapun letu🤲
🙏🙏
We mwenyez mungu nijalie afya njema
Kwarezima❤❤❤❤
🙏
Lord forgive us n have mercy on us especially this Lenten season.
God have mercy on us sinners
Baba naomba hunihurumir na uniodolee magonjwa kwa familia yangu..kwa yote nisamehe makosa yangu ee baba nakuomba
Ee mungu baba nijalie toba yakweli mm na familia na dunia nzima tuurumie muumba wetu
Mungu tusaidie tuziache dhambi
Lovely collection ❤❤❤🙏
Eee mwenyezimungu tujalietuwe natobayakweli kwakipihiki chamwezi mtukufu
Good lord::::I praise you when I flash back..and count all the blessings...thanks lord for everything.
Amina barikiwa kwa nyimbo za kwaresma
Ee Mungu nijalie Toba yakweli, nisamehe Mimi nafamilia yangu,mimi na uzao wa tumbo langu, nijalie afya njema pamoka na familia yangu yote Amina
❤❤amin
Ewe mwenyezi mungu unilinde Mimi na family yangu adi siku utakapo nichukua amina
Kwaresima hii ,naomba pale nilipo jikwaa nisiweze kurudia njia ile nisije nikajikwaa Tena Mungu nisaidie
Eh Mungu nijalie Toba na familia yangu nzima
Ewe mungu nipe moyo wa uvumilivu baba
Heeeee Mungu wangu,naomba toba ta kweli na ufungulifu ta vifungo mbalimbali vya upeke na yafamiliya yangu
Lord have mercy on us and on the whole world.✝️
Let's all have a blessed Lenten season 😇
Mungu utulinde na maovu yote ya duniani🙏
Eeh Mungu naomba nijalie toba ya kweli na niweze kuichukia dhambi niweze kukutendea matendo mema kwako na kwa jirani zangu nikumbushe wkt wa Sala niweze kukujua wewe na kufata njia zako
Ee mungu wangu utujalie tuuvue utu wakale na kutuvisha utu upya Amina
Ee mungu naiombea Dunia yote msamaha kwani kila kukucha tunakuudhi na kuenda kinyume na katiba yako . Mungu shush huruma yako kipindi hiki kwani tumekusahau. Tumia uwezo wako mungu kuturudisha kwenye matari
Kwa ajili ya mateso ya makali ya bwana wetu yesu kristo utuhurumie sisi na Dunia nzima
Ee Mungu naomba nijalie toba ya kwel
Ee mwenyez mungu nisaidie kwaresma mwanaume nilie nae awe daraja la kuvuka na kuwa na aman
Ee mungu unisamehe maovu yagu❤❤❤
Ee mungu wangu naomba kwaresma hii unijali lehema zako niepuke kutenda dhambi bwana nakuomba toba yangu ikawapunguzie adhabu ya kabuli wazazi wangu na malehemu wote kwa ujumla uwape pumzi kuu
I am a siner may God forgive me and the other siners
nyimbo nzuri Hizi,asanti.
The beautiful liturgy defines my faith.
🙏🙏ee mungu tujali toba yakweli
Ee baba wa mbinguni tusamehe makosa yetu sisi wanao utujalie mwisho mwema
Mungu utulinde wakati wa kwalezima hii
Ahsante🙏🙏❤️❤️❤️ wangu kwa uzm
kwaresma njema
Ee
Tusamehe
Baba
Naoma
Toba
Yesu
Mimi
Mthabi 27:32
Kwamaso yako nihurumie
Mungu nisamehe dhambi zangu na family yangu