NYIMBO PENDWA ZA KWARESMA 2024. Mtunzi Aloyce Goden KIPANGULA Chang'ombe Catholic Singers Dsm Tz

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.พ. 2021
  • Nyimbo Hizi Zote zimetungwa na Mimi Aloyce Goden Kipangula na Kuimbwa na Wanakwaya wakatoliki Parokia ya Chang'ombe Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam ( CHANGOMBE CATHOLIC SINGERS). Ni wajibu wa kila Mbatizwa kuhubiri Injili kwa kadiri ya Karama aliyopewa na Mwenyezi Mungu. Nasi tumekuletea Nyimbo Hizi zenye Tafakari ya kina ili zikufae wewe na Yeyote ambaye utapenda kumshirikisha ili kwa Pamoja kupitia Nyimbo Hizi za Kwaresma Tuweze KUWAPELEKA WATU KWA KRISTO NA PIA KUMLETA KRISTO KWA WATU ( KUTAKATIFUZA MALIMWENGU). NI Nyimbo za Kwaresma lakini pia zinafaa Kuimbwa wakati wowote kwani Katika tungo hizo Hakuna Sehemu hata Moja ambayo nimezungumzia neno Kwaresma Bali nimezungumzia kuhusu umuhimu wa kutubu, kuacha Dhambi, kumgeukia Kristo, kumtegemea Kristo huku Tukiiga mfano wa Mtakatifu Agustino Hippo, Kurudi na kuacha njia ya Dhambi na kufuata njia ya Uzima.
  • เพลง

ความคิดเห็น • 780

  • @holycrossfamilyministriest9448
    @holycrossfamilyministriest9448 ปีที่แล้ว +14

    Mungu atusamehe makosa yetu na kuzibariki familia zetu

  • @matildanyallu7063
    @matildanyallu7063 3 ปีที่แล้ว +22

    Mungu akubariki kwa kutumia vema karama ya uimbaji katika uinjilishaji. Hakika nabarikiwa na nyimbo hizi

  • @marywambura9377
    @marywambura9377 2 ปีที่แล้ว +21

    My favourite lent songs collection of all time 🙏🏾🙏🏾😘👏🏾👏🏾

  • @yohanahussen
    @yohanahussen ปีที่แล้ว +5

    Mungu awabariki kwa kutenga muda wenu na kumuimbia Mungu hakika tunaobarikiwa ni wengi kupitia nyimbo zenu na kutumbusha mambo muhimu ya kumtafuta "Mungu"

  • @rehemapima769
    @rehemapima769 2 ปีที่แล้ว +6

    Nimekooosaa nimekoosaaa nimekoosa baba nimekosa nihurumieee😭🤲🤦🙏

  • @marthajoseph3297
    @marthajoseph3297 2 ปีที่แล้ว +5

    napenda nyimbo za injili sana za imani zote ili mradi zina utukufu wa MUNGU.

  • @tutisalim2280
    @tutisalim2280 2 ปีที่แล้ว +179

    Jaman mi ni muislam lkn naguswa sana na nyimbo za baraka sana

  • @sylviashiundu382
    @sylviashiundu382 4 หลายเดือนก่อน +8

    Nimerudi hapa kuskiza tena nyimbo nzuri za kwaresma.....hongera bwana Aloyce kwà kazi nzuri,,,Mungu atuongoze kwa kipindi kinachotusubiri hivi karibuni

  • @rachelmwachofi9687
    @rachelmwachofi9687 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu aishiye milele atuhurumie na atusamehe dhambi zetu sisi wakosefu na atujaze roho wake mtakatifu katika kipindi hiki cha kwaresma

  • @chrispinuswanjala7922
    @chrispinuswanjala7922 ปีที่แล้ว +3

    I come from Christ the king Cathedral Bungoma, Bungoma diocese (western Kenya).All the best bro

  • @sophiesophie6452
    @sophiesophie6452 2 ปีที่แล้ว +23

    Asante mwenyezi mungu kunifanyizia nafasi wakati wa shida mwanangu ulmponya waziimu sina chakukulipa Bali nitaendelea kukutukuza

  • @cokolakasisi9211
    @cokolakasisi9211 3 ปีที่แล้ว +23

    Nasikiya kujazwa na huu nyimbo nimekosa unihurumiye bila huruma ya Mungu hakuna maisha kwa mwanadamu tupo sote binafsi mimi ni mwenye zambi Bwana anihurumie

    • @angelinembondo
      @angelinembondo ปีที่แล้ว +1

      Mimi sio mkatoleki lakini zanibariki sana

    • @trztrzjb306
      @trztrzjb306 3 หลายเดือนก่อน

      Che bella!!!

    • @LeahPetersalamalohoni
      @LeahPetersalamalohoni 2 หลายเดือนก่อน

      Wimbo mzuri sana yesu krito alihulumie na anisamehe zambi Angu amina

  • @devothasamora8012
    @devothasamora8012 3 ปีที่แล้ว +5

    Nyimbo ina hisia sana hii,Mungu azidi kuwabariki waimbaji

  • @user-ym6jf8zo7j
    @user-ym6jf8zo7j 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ee Bwana unfanifhili mimi 💖 💓 ❤️ 💕 ♥️

  • @noramshila889
    @noramshila889 ปีที่แล้ว +6

    Mimi kila wakati haipiti siku kama sijasikiliza hizi nyimbo na kurudia mara kadhaa... Mungu Ambariki kwaya hiyi. Sauti zimepangwa vilivyo

  • @alicemuia1775
    @alicemuia1775 ปีที่แล้ว +7

    And today marks beginning of another Kwaresma, May God help us

  • @mariamulupatu-wl3qb
    @mariamulupatu-wl3qb ปีที่แล้ว +2

    Napenda sana nyimbo hz pia nabarikiwa sana

  • @mariamjames5462
    @mariamjames5462 ปีที่แล้ว +2

    Nyimbo nzur mno za kwalesma zinafundisha vizuri mno

  • @gastokibabas2871
    @gastokibabas2871 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akubariki kwakutumia Karama vema aliyokupa mungu

  • @ludoviclymo2044
    @ludoviclymo2044 ปีที่แล้ว +2

    Naguswa sana nikizisikia hizinyimbo.mungu aniurumie

  • @EuniceAkyoo-wd2ro
    @EuniceAkyoo-wd2ro 4 หลายเดือนก่อน +3

    Napendaa sana🙏🏿naomba mnisaidie nataka kudownload niandike vip hili kupata zotee

  • @user-ci5dh8zc7m
    @user-ci5dh8zc7m 4 หลายเดือนก่อน +5

    Am a catholic by faith.The Lenten songs are so inspiring.More please.God bless.

  • @metrinenasimiyu7588
    @metrinenasimiyu7588 3 ปีที่แล้ว +44

    ikiwa jumatano ya majivu,tunaanza msimu was Kwaeresma ,hivo basi nyimbo zako zinatukumbusha kumrudia Mungu wetu kwa kutubu na kuacha nia zetu mbaya ,Nabarikiwa sana nikiwa huku Kenya

  • @francismbithi582
    @francismbithi582 3 ปีที่แล้ว +5

    asante sana ndugu kwa nyimbo zenye tafakari ya Kwaresma

  • @robinsontheone4317
    @robinsontheone4317 2 ปีที่แล้ว +5

    We really need to walk with God and lead us in the way to heaven and live happily life in paradise. Dear lord we have done many sins now its our turn to pay you for good cause you have been with us all the time you don't care if we does wrong I love you God help me out of this sin and Forgive us all Help the world

  • @puritykarimi8058
    @puritykarimi8058 ปีที่แล้ว +5

    Nashukuru Mungu kwa nyimbo hizi.

  • @samuelochieng4317
    @samuelochieng4317 ปีที่แล้ว +37

    Catholic from Christ The King Opanga Catholic Church of Rongo Parish,Homa Bay Diocese in Kenya.
    The Kwaresma album and Nyimbo za Mama Maria albums are so spiritual to listen to.
    Blessed be the composers and singers,in a special way you are preaching to generations.
    May Rais Magufuli's soul continue Resting in Eternal Peace.It is during his state burial functions that I came to know about the Kwaresma Songs by Changombe Choir.Every moment I listen ,the funeral memory flows in my mind 😭.
    May he rip as he sing and dances with angels till we meet again.
    "Ee Bwana Unifaadhili Mimi.." was the hit that drew me to look for the song kwa TH-cam

    • @victoriousmakundi4771
      @victoriousmakundi4771 ปีที่แล้ว +1

      Lccft

    • @adelinusacleus4237
      @adelinusacleus4237 ปีที่แล้ว

      Keep it up

    • @martinsntonyo8537
      @martinsntonyo8537 ปีที่แล้ว +1

      Baraka tele nyimbo tamu sana full of glory be blessed choir

    • @graceandrew3988
      @graceandrew3988 3 หลายเดือนก่อน

      Ee Bwana Unifadhili is my best song too in this album❤

    • @franmdleleni6520
      @franmdleleni6520 3 หลายเดือนก่อน

      I love this compilation of Chang'ombe choir. I will check out thd Homabay one also. Be blessed for feeling our hearts with such soothing songs. Listening from SA

  • @NDESHILO
    @NDESHILO 3 ปีที่แล้ว +5

    Nyimbo nzuri sanaa 🙏🙏🙏

  • @InnocentSteven-om5ok
    @InnocentSteven-om5ok 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu nimwema kilawakati

  • @user-jb2gl3jb7w
    @user-jb2gl3jb7w 4 หลายเดือนก่อน +10

    blessed again with this songs🙏on ash wednesday on 2024

  • @kwayabikiramariamamawashau2448
    @kwayabikiramariamamawashau2448 3 ปีที่แล้ว +33

    HONGERA NA ASANTE KWA NYIMBO NZURI ZA TAFAKARI YA KINA HASA KATIKA KIPINDI HIKI KIZURI CHA KWARESMA. IKAWE KWETU YA MAFANIKIO MAKUBWA KIROHO NA KIMWILI PIA

    • @yudakalinga3697
      @yudakalinga3697 3 ปีที่แล้ว +3

      Nakukubari sana kaka kazi zako nzuri

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 ปีที่แล้ว +2

    Napenda kusikiliza hizinyimbo wakatoli 🙏

  • @getrudabenedict-fp5yd
    @getrudabenedict-fp5yd ปีที่แล้ว +2

    Mungu aturehemu sisi na dunia nzima

  • @leontinamahonjiga-zm6fb
    @leontinamahonjiga-zm6fb ปีที่แล้ว +1

    Nyimbo nzuri zinafundisha sana

  • @AnnMakhoka-zl4ko
    @AnnMakhoka-zl4ko ปีที่แล้ว +2

    Nice song l'm not a cotholic but song teach me something

  • @susannaikuni8595
    @susannaikuni8595 3 ปีที่แล้ว +4

    Nyimbo zuri zenye utulifu katika maisha hii ya ulimwengu Mungu awazidishie

  • @tilda1297
    @tilda1297 ปีที่แล้ว +2

    Mpendwa Tuti Salim, Mungu akuimarishe katika ufuatiliaji wa nyimbo uzionazo ni za Baraka kwako

  • @aliciahope2208
    @aliciahope2208 ปีที่แล้ว +1

    Wakati do huu turudie Mungu ni Mungu mwenye huruma na upendo atatupokea

  • @user-ym6jf8zo7j
    @user-ym6jf8zo7j 6 หลายเดือนก่อน +1

    Basi nyenyekeeni,Asante ubarikiwe Sasa.

  • @PeterBureta
    @PeterBureta 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sna umependa kitu Kitakatifu and you are close and near by Jesus cross
    .

  • @jeaninenzigire
    @jeaninenzigire ปีที่แล้ว +1

    Nifurahi sana kwa nyimbo za kwa kwa rezma kunijoheza karibu n'a Mungu

  • @michaelmethod970
    @michaelmethod970 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu wangu nisaidie katika kipindi iki kigumu ninachopitia

  • @jacklinamatias9230
    @jacklinamatias9230 ปีที่แล้ว +1

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼hakika nyimbo zimenigusa zaidi

  • @FerdinandSituma
    @FerdinandSituma 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeguzwa sana

  • @petrosombe7315
    @petrosombe7315 2 ปีที่แล้ว +2

    Eeeee mwenyenz mungu tuandalie sisi na makosa yetu sisi wenyewe tumeshindwa kuona na kutambua tunaomba utupe macho ya roho

  • @lwanjiedna5233
    @lwanjiedna5233 3 ปีที่แล้ว +5

    Nazipenda hizi nyimbo mimi mlokole mpentecoste.nyimbo hizi nzuri zimeimbwa kwa utulivu na ni neno la MUNGU.Mbarikiwe sana kazi nzuri Changombe katolic

  • @sofiamauwa7146
    @sofiamauwa7146 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu utusamehe dhambi zetu

  • @juliusmichael6191
    @juliusmichael6191 ปีที่แล้ว +1

    Nyimbo na sauti nzuri sana mbarikiwe

  • @patricknguya-jt2kz
    @patricknguya-jt2kz ปีที่แล้ว +1

    Ewe mwenyezi mungu asante kwa kutuletea kwaya hii ambayo inatukumbusha na kutuleta karibu yako katika kipindi hiki cha kwaresma tufunge tusali kwa kuomboleza mungu tulinde soe waja wako

  • @ngurukihoro5442
    @ngurukihoro5442 ปีที่แล้ว +2

    Tumurundieni Mungu kwa mioyo yetu yote maana yeye ni mwenye huruma nyingi.

  • @user-tf7ip2ol5t
    @user-tf7ip2ol5t 4 หลายเดือนก่อน +2

    Pamoja sana ktk.kipindi hili cha kwalezima tumrudie na tufanye toba ya kweli

  • @user-lg5fz9mu7z
    @user-lg5fz9mu7z 4 หลายเดือนก่อน +9

    I like your Lenten songs, very inspiring.

  • @gracesanka5329
    @gracesanka5329 3 ปีที่แล้ว +3

    Nimekosa mm baba nimekosea naomba unihurumie 🙏🙏

  • @user-du5em7dx9d
    @user-du5em7dx9d 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimizuri wote ni mungu ngoja hatamimi nimuislam

  • @annaauyo1958
    @annaauyo1958 3 ปีที่แล้ว +18

    😭😭😭😭.tutubu na tumrudie Mungu.i just feel relaxed when ever I hear this songs

    • @consolatamoses5601
      @consolatamoses5601 4 หลายเดือนก่อน

      Kiukweli ukiutafakari ukuu wa Mungu ndani yake lazima utoe 😭😭😭😭😭😭

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala1937 2 ปีที่แล้ว +4

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa nyimbo zenye ujumbe tukufu

  • @teresiakokii4168
    @teresiakokii4168 2 ปีที่แล้ว +4

    am down on my knees wen i listen this song "nimekosa"
    nice mix

  • @christinemaero3245
    @christinemaero3245 ปีที่แล้ว +2

    God my Father indeed I have sinned,,,,,, have mercy on me

  • @salmasalometitus2139
    @salmasalometitus2139 3 ปีที่แล้ว +15

    Huu wimbo naupenda sana hakuna mwanadamu ambaye anaweza jitoa kufa kwaajili yetu ila Yesu tu .

  • @bonaventurekisoka8063
    @bonaventurekisoka8063 ปีที่แล้ว +1

    Uturehemu ee Mungu kwa kuwa tumetenda Dhabi.

  • @kimaugymnast
    @kimaugymnast ปีที่แล้ว +2

    And again here is Lent. Tumshukuru Mungu!

  • @nayoomisweya6890
    @nayoomisweya6890 3 ปีที่แล้ว +62

    Hizi nyimbo ni nzuri sana, zinanigusa mimi sio mkatoliki lakini ninazipenda na zinagusa maisha yangu sana, Ubarikiwe sana kwa kutunga nyimbo hizi! Mungu azidi kukubariki ili uguse maisha ya watu wengi... AMEN

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  3 ปีที่แล้ว +3

      Asante Sana Mpendwa Katika Kristo Endelea kutufuatilia, na kwa Neema ya Mungu tutaendelea kukuletea Nyimbo Nyingine

    • @wencegeorge9872
      @wencegeorge9872 3 ปีที่แล้ว +1

      Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri.

    • @anthonyjosephat4624
      @anthonyjosephat4624 3 ปีที่แล้ว

      Asant San ubarick saw

    • @everlynenato5466
      @everlynenato5466 2 ปีที่แล้ว

      P

    • @lizziembwambo1271
      @lizziembwambo1271 2 ปีที่แล้ว +3

      @@AloyceKipangula sweet songs Mie sabato ila nazfulahia saan nabalikiwa n navutw zaid especially wakat wa unyonge na nkihc ulemevuu wa dhambi

  • @getrudecharles444
    @getrudecharles444 2 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa sana mtumishi kwa kazi nzur.

  • @lydiakubingwa3180
    @lydiakubingwa3180 3 ปีที่แล้ว +6

    Hongera Kaka kwa kuhubiri injili ya kupitia uiimbaji, tunafarijika na nyimbo zako hasa katika kipindi hiki cha kwaresma, Asante

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  3 ปีที่แล้ว +1

      Asante Dada Endelea kutufuatilia kupitia hii youtube channel Yetu Ili uinjilike Zaidi

  • @monicakavete4931
    @monicakavete4931 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tujichunguze mioyoni yetu bwana ju karibu

  • @patricialucas3566
    @patricialucas3566 3 ปีที่แล้ว +5

    Very nice collection 👌

  • @user-sx9dv9tp3y
    @user-sx9dv9tp3y 4 หลายเดือนก่อน +3

    Listening to this songs so touching in Riyadh be blessed Mr aloyce

  • @noramkendamunishi6902
    @noramkendamunishi6902 ปีที่แล้ว +1

    Mungu naomba wabariki watumishi wako waliotunga kuimba na kutupatia hizi nyimbo.

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera mtunzi na waimbaji nyimbo nzuri

  • @Maggie-yx8pw
    @Maggie-yx8pw 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akutunze Kaka Aloyce kwa karama hii ya Uimbaji. Hakika nimefarijika sanaa leo na haya Majonzi ya kuondokewa na Baba yetu JPM😭😭😭💔

  • @pienciapetro3850
    @pienciapetro3850 2 ปีที่แล้ว +2

    Nakuomba unitumie wimbo namba 4 afichae dhambi zake Ikifikia inaluka huwa naupenda sana

  • @user-vn2qj5hf1v
    @user-vn2qj5hf1v 4 หลายเดือนก่อน +2

    Namshukuru mungu kwa neema na rehema zake kwa toba hii kupitia nyimbo nzuri

  • @charlesndugulile7726
    @charlesndugulile7726 2 ปีที่แล้ว +2

    Mkuu uko vizuri sana,

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu tunakushukuru kwa kwaresma hii. Tembea nasi katika safari hii ya toba. Tunaomba utusemehe makosa yote tuliyokukusea tukijua na bila kujua. Upendo wako uwe nasi milele Amina❤❤❤

  • @aminashariff9942
    @aminashariff9942 3 ปีที่แล้ว +10

    Asante sana mimi ni ni muislamu lakini napenda s⛪ana hizo nyimbo na napenda ukristo

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  3 ปีที่แล้ว +2

      ASANTE NDUGU AMINA SHARIFF TUMEUFURAHIA UJUMBE WAKO. NA SISI SOTE NI WATOTO WA BABA MMOJA HIVYO NAKUKARIBISHA ENDELEA KUTUFUATILIA KUPITIA CHANELL YETU YENYE JINA ALOYCE GOLDEN KIPANGULA- ILI KUPATA NYIMBO ZOTE CHA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS.

    • @everinrobert6539
      @everinrobert6539 4 หลายเดือนก่อน

      Karibu jmn

    • @winfridandunguru5834
      @winfridandunguru5834 4 หลายเดือนก่อน

      Karibu sana kanisan kwetu la katoliki.

  • @shadrachsanga2140
    @shadrachsanga2140 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana kwa nyimbo nzuri zenye ubora kama huu

  • @ramasirro770
    @ramasirro770 2 ปีที่แล้ว +2

    Katika hii album wimbo Ee bwana unifadhili huwa nanyenyekea mno nikiusikiliza yaani daah nimeutafuta kwa muda sana kumbe ni kazi ya Chang'ombe Catholic Singers ubarikiwa sana Aloyce Golden..

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  2 ปีที่แล้ว

      Asante Ndugu Ramadhan sirro. Uzidi kutuombea Ili tuendelee kuinjilisha Pamoja

  • @zainabucherotich7417
    @zainabucherotich7417 2 ปีที่แล้ว +2

    Hizi Ngoma ni poa sna,huigusa ndani ya roho yngu,nkiwa mkatholiki tangu utoto mwangu na maombi yangu kwamba Mungu aendelee kunineemesha na kunibariki Ili niendelee kuwa mkatholiki daima na familiar yangu!

  • @roselyneachieng7638
    @roselyneachieng7638 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana kaka kwa utunzi ni bora tuvitumie vipawa vyetu kwa kumsifu mwenyezi Mungu

  • @monicakaranja268
    @monicakaranja268 3 ปีที่แล้ว +10

    Beautiful songs🙏

  • @hellenmartin6684
    @hellenmartin6684 ปีที่แล้ว +2

    Asant mungu kwa kunijalia uzima walinde nde na hawa wanaotupatia injili kwa njia yanyimbo mbalimbali ili tusikusahau wewe mungu 。

  • @fatherchisomoinspiration
    @fatherchisomoinspiration 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awabariki nyinyi wote! Muwe na kwaresma njema mkitubu dhambi zenu na mkisikiliza nyimbo hizi mzuri!

    • @AloyceKipangula
      @AloyceKipangula  2 ปีที่แล้ว +1

      Asante Sana Fr Chisomo. Tunatarajia kuwaletea Nyimbo za Pasaka

    • @dativavernance7111
      @dativavernance7111 ปีที่แล้ว +1

      Asante mungu kwa siku nyingine na mwaka mwingine naomba baba unijalie afya njema na neno lako likae kwa wingi noyoni mwangu 🙏 kolosai 3:16_17

  • @charlesndugulile7726
    @charlesndugulile7726 2 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akubaliki sana, ninapokua ktk wakt mugumu, nyimbo zako hunifariji sana, ubalikiwe Mr Aloyce

  • @fridakessy3651
    @fridakessy3651 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi nyimbo napenda kuziskiliza mda wote maana zinanipa faraja nikimkumbuka mama yangu

  • @devothazephrine4773
    @devothazephrine4773 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsaante kwakutubariki tukiwa tumeianza kwaresma mungu akubariki sn natutubu nakuiamini injili nimebatikiwa amina

  • @user-fj6jy4lb2f
    @user-fj6jy4lb2f 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu ulie mwingi wa Rehema tuomba Huruma yako sisi tulio wakosefu katika kipindi hiki cha kwaresma ili kubadili njia zetu na kukufata wewe

  • @christinefaila6591
    @christinefaila6591 ปีที่แล้ว +5

    Watoto wa mama Maria mubarikiwe sana kwa nyimbo ♥️🙏

    • @neemajuma1015
      @neemajuma1015 ปีที่แล้ว

      Kwakwer naipenda njimbo hiiiii

  • @julietakathure5135
    @julietakathure5135 2 ปีที่แล้ว +4

    wonderful songs.

  • @emmanuelmutua8514
    @emmanuelmutua8514 3 ปีที่แล้ว +18

    Feeling blessed by your songs. Hongera sana na mungu aibariki kazi ya mikono yenu 🇰🇪🇰🇪

  • @januarykazoba931
    @januarykazoba931 ปีที่แล้ว

    MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI SANA

  • @user-de9gf2wi9o
    @user-de9gf2wi9o 11 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU awainue na kuwafikisha ktk nchi ya ahadi

  • @mwangebulongo
    @mwangebulongo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nyimbo nzuri sana i love the songs ho🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✅

  • @user-ok4fw8te7h
    @user-ok4fw8te7h 3 หลายเดือนก่อน

    Huu wimbo wa kwanza unaniguza sana.nakummbuka msiba wa baba yangu

  • @salluphillip64
    @salluphillip64 ปีที่แล้ว +2

    Mungu aibariki kazi ya mikono yako

    • @LeahPetersalamalohoni
      @LeahPetersalamalohoni 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu akubariki sana mtumishi wa mung hakika mung atisamehe zambi zetu. 😅🎉nyimbo nzur san zinatia nguvu zinafatiji zimatufundisha hasa kipindi ninachopitia mm na cha kwalesma amina😅😅

  • @michaelbugeraha3891
    @michaelbugeraha3891 3 ปีที่แล้ว +3

    wimbo mzuri sana, wa hisia

  • @aminarajab1045
    @aminarajab1045 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani nakumbuka tz kwaresma nyimbo zina sisimua sana

  • @user-jn1tg8et3z
    @user-jn1tg8et3z 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu utuhurumie sisi pamoja na familia zetu

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera mtunzi na waimbaji nyimbo nzuri 1:35 2:09

  • @experiuschota-op3qk
    @experiuschota-op3qk หลายเดือนก่อน

    Ee Mwenyezi Mungu, uwe nasi katika nyakati zote.

  • @RoseNyangacha
    @RoseNyangacha 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nirudieni Mimi unanigusa sana Roho yangu mbarikiwe sana kama Mimi mkatoliki hasa huu wakati wa lent