HUTAAMINI MBUNGE OLESENDEKA ASIMULIA MACHUNGU YA KIFO ALIVYOFWATULIWA RISASI "WANGENIUA MIMI JAMANI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 เม.ย. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

ความคิดเห็น • 53

  • @veronicalaiser7869
    @veronicalaiser7869 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana Mh. Ole Sendeka. Bwana bado mpango nawe. Jitoe mia kwa mia kwake upate ulinzi wake kamili.

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 หลายเดือนก่อน +1

    Barabara zote za simanjiro hasipitiki ,ero kama imeshambuliwa kweli pole sana,

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Mheshimiwa Ole Sendeka katika kushambuliwa na Wananchi walitaka kuchukuwa maisha yako sababu ya Siasa Dunia ya Leo ina maadui wengi

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 2 หลายเดือนก่อน +4

    Tuliwaambia wakimaliza kuwadhuru wapinzani watawarudia nyie

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe ni boys kweli.ungeuwawa ndo ungejua cha kuongea. Unaongea kichawachawa.isilielie.mkuki kwa nguruwe

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee pole sana japo kuweni makini sana katika kutetea wamasai kushinda vita hivo vya ardhi yenu

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole tunashukuru kumtambua Mungu.

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 2 หลายเดือนก่อน +3

    HUWA NASEMA IPO SIKU MTAGEUKANA WENYEWE

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tabaraki papaai aamu lolomeek libuitare lekiarita .

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde bungee emaa

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 2 หลายเดือนก่อน +3

    VIP KUHUSU UCHUNGUZI WA LISU MBONA KIMYA? UPENDELEO

  • @JumbeRichard
    @JumbeRichard 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana baba yetu olesendeka Maana Mungu bado anakupenda na hakuna hatakoyo kutowa isipo kuwa Mungu tu

  • @JaphetMihigo-yk4cj
    @JaphetMihigo-yk4cj 2 หลายเดือนก่อน

    Pole mbunge wetu😢

  • @JAMESLAPUT-ye6kk
    @JAMESLAPUT-ye6kk 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mheshimiwa ole sendeka, don't worry anything in this earth God nows everything

  • @user-pf2wc4dr7q
    @user-pf2wc4dr7q 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana baba watu ccm atakitoa roho kwa sababu ya utetezi ya ufugaji ufugaji imekua changamoto

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yajayo ...........

  • @Evod-dd3kw
    @Evod-dd3kw 2 หลายเดือนก่อน

    ❤jipe moyo lisu mpaka leo hii hakuna aliye kamwata

  • @felixsarakikya-ez3fk
    @felixsarakikya-ez3fk 2 หลายเดือนก่อน +1

    Usisahau kiapo kinasema hutatoa siri

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 2 หลายเดือนก่อน

    Pole Ole Sendeka

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 หลายเดือนก่อน +1

    ccm ....siku chadema ikichukua hii nchi mengi tutayajua

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 2 หลายเดือนก่อน

    Najiuliza bunduki za kijeshi humilikiwa mitaani na kuwashambulia wakuu jamani inatisha sana sijui tumevamiwa na jeshi la kigeni au mmmmmm jamani

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yuko wapi mpina ccm

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 หลายเดือนก่อน +1

    uyu anacheza na ccm kamuulize polepole au tundu lissu

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bado hujasema yote umesema nusu sema yote ...akaing'asya nanuu...taja majina kama unawajua.kwa sura

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mkuu

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bunduki za kijeshi maana yake ni fumbo la asili,saa itakuja damu ya lissu italipwa,
    Mpaka sasa haijuikani hata maganda ya risasi zile za lissu ni ya silaha gani.
    Itoshe kusema uchaguzi ujao ccm pazito

    • @zakayobalozi4260
      @zakayobalozi4260 2 หลายเดือนก่อน

      Pole sana mbunge wetu,pambania ardhi ya maaa

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu akiwa chawa ccm ni hatari kushinda kipindupindu kweli

  • @camilanjau2429
    @camilanjau2429 2 หลายเดือนก่อน

    Pole baba

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 2 หลายเดือนก่อน

    Yaani bwana yesu asifiwe na hizo siasa na huo uchawa na hayo mambo hayachangamani ni kama mafuta na maji hao wahuni mbona unaongea kama vile unawajua basi tunaomba kawakamate uwaweke ndani mala moja maana kwa maelezo yako inaonekana unawajua vizuli na unawaaminisha watu kwamba watu walioko selekalini ni watakatifu sana hawawezi kuuwa kwa bunduki za kijeshi

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo hakuna haja ya uchunguzi kazi yote umemaliza
    mwenyewe

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 หลายเดือนก่อน

    Tuko pamoja mpaka tone la mwisho

  • @user-bl3go5yr8u
    @user-bl3go5yr8u 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona walivyojeruhiwa na hata kuuwawa wengine ulikaa kimya?leo ndo unamjua Mungu?jitafakari mzee

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 2 หลายเดือนก่อน

    Hao ni wasiojulikana mhe: Cha msingi inatosha kumshukuru mungu, na kama ikikupendeza achana na siasa iangalie familia yako

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน

      Wasiojulikana bado wapo

  • @piuspanga864
    @piuspanga864 2 หลายเดือนก่อน

    Pumbafu sanam

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 2 หลายเดือนก่อน +1

    ANGALIA KIKULACHO KINGUONI MWAKO

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 2 หลายเดือนก่อน

    TLS anacheeeeeeeeeeeeeka!.....

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 2 หลายเดือนก่อน

    Leo .. hii wanataka kukuondoa ..hutaamini ..bdio ujue duniani hakuna jipya ... utapita tu na wewe...

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 หลายเดือนก่อน +2

    anae miliki bunduki za kijeshi ni nani

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 2 หลายเดือนก่อน

      Eti mtufafanulie

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน

      Mwanajeshi au?

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 หลายเดือนก่อน

    You for get tundu lissu wewe ulifu rahi Sana Sasa ni ww

  • @user-up7by3pb2s
    @user-up7by3pb2s 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli wewe nijasiri

  • @lazaroletion2420
    @lazaroletion2420 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @user-bq2ln2dc2i
    @user-bq2ln2dc2i 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona lisu haku pata bahati hii yako

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน

      Ana dhambi 😂😂😂😂

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 หลายเดือนก่อน

    Konga nyoyo wajisahau wasizidi kukuandama!Kumbuka unatetea ardhi za wamasai na maafa yao kama mtanzania huru!

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 หลายเดือนก่อน

      Na waarabu nasikia walishapewa hayo maeneo. Yajayo yanafurahisha

  • @pinielloilole4340
    @pinielloilole4340 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli kichwa ya Olesendeka kwa tukio hili imepata moto

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 2 หลายเดือนก่อน

      Haiko sawa

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 2 หลายเดือนก่อน

      MIMI NASEMA , MUNGU YUPO JUU NA WANADAMU HAWAKAI MILELE SIKU ZAO ZINAHESABIKA . TUSUBIRI YAJAYO.