TUNDAMAN AFICHUA CHANZO CHA BIFU LAKE NA MATONYA, ALINIACHA SINA KITU KENYA / NIMEMUANDIKIA ALBUM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 มิ.ย. 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 - บันเทิง
Mbona tonya alikuwa anamwangushia diamond lawama kabeba nyota kumbe ndo tunagundua wasanii wengi kupotea kumechangiwa na kujua kuimba ila hawakuwa na idea waimbe nn na uwandishi*bongo watu hawapendi kuheshim wa2 walio wabeba
Promoter sadam kutoka mombasa kenya, namtambua kijana mwenye roho safi sana....
Tundaman💪
Nimecheka sn
Kaka umeongea vzl
Nandiyo maana wasanii
Wengi wakongwe wanapotea
Kinomaa
Fadha P Mtu noma alafu Mtu poa ila Mara mwisho kukutana nae alikuwa Mlokole sana
🙏🙏
Safi
One thing hamjawahi jua nyimbo za kisomali kabla uimbe wataja mwandishi kwa 🎤 ndio unaimba vizuri naye anapata credit yake 😂😂😂😂😂😂 enyewe tonya ni mbaya
Sadaam anauza butcher Mombasa mtaan kwetu tajiri flani sahi kafilisika baada yakukosa ubunge tunda nakumbuka hyo siku ukija nlikuwa ulikuwa umevaa flana nyeupe na jeans ya red 😂
Matonya sio mungwana kwny ungwana daa😂😂😂
Tunda yuko real sana. Nimekuja ku-learn recently kuwa nyimbo ya "Still" alioimba Dre na Snoopy" iliandikwa na Jay Z, kuandika pia ni sanaa kama wasanii wenyewe, we got to change.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaa nyimbo izo zili eat sana
We jamaa zili eat nin tena ni neno zili hit
😂😂😂😂
😅
@@automotivetz1275 eti zili kula sn jmn😁😁
😂😂
Hyo funguo ya gari inaonesha pia hyo gari ni ya kitambo....maana gari saizi hazitumii ufunguo....
Hahahaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 #steve_wanga Unazingua We Jamaaa... Kwahiyo Gari za Siku Hizi zinatumia Remote control...😁😁😁😁😁
@@johnrichard5482 button bro