TUNDAMAN AFICHUA CHANZO CHA BIFU LAKE NA MATONYA, ALINIACHA SINA KITU KENYA / NIMEMUANDIKIA ALBUM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 มิ.ย. 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 24

  • @davidibrahim9138
    @davidibrahim9138 ปีที่แล้ว +9

    Mbona tonya alikuwa anamwangushia diamond lawama kabeba nyota kumbe ndo tunagundua wasanii wengi kupotea kumechangiwa na kujua kuimba ila hawakuwa na idea waimbe nn na uwandishi*bongo watu hawapendi kuheshim wa2 walio wabeba

  • @hemedomar864
    @hemedomar864 ปีที่แล้ว +1

    Promoter sadam kutoka mombasa kenya, namtambua kijana mwenye roho safi sana....

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 ปีที่แล้ว +4

    Tundaman💪

  • @hamismayowela2235
    @hamismayowela2235 5 หลายเดือนก่อน

    Nimecheka sn

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY ปีที่แล้ว +1

    Kaka umeongea vzl
    Nandiyo maana wasanii
    Wengi wakongwe wanapotea
    Kinomaa

  • @6BoYzTv
    @6BoYzTv ปีที่แล้ว

    Fadha P Mtu noma alafu Mtu poa ila Mara mwisho kukutana nae alikuwa Mlokole sana

  • @user-nf8gt8mk2e
    @user-nf8gt8mk2e ปีที่แล้ว

    🙏🙏

  • @wilibrodiadrian8021
    @wilibrodiadrian8021 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @batmaashhassan756
    @batmaashhassan756 7 หลายเดือนก่อน

    One thing hamjawahi jua nyimbo za kisomali kabla uimbe wataja mwandishi kwa 🎤 ndio unaimba vizuri naye anapata credit yake 😂😂😂😂😂😂 enyewe tonya ni mbaya

  • @ibrahimkhamis471
    @ibrahimkhamis471 ปีที่แล้ว

    Sadaam anauza butcher Mombasa mtaan kwetu tajiri flani sahi kafilisika baada yakukosa ubunge tunda nakumbuka hyo siku ukija nlikuwa ulikuwa umevaa flana nyeupe na jeans ya red 😂

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws ปีที่แล้ว

    Matonya sio mungwana kwny ungwana daa😂😂😂

  • @yazidusaidi8843
    @yazidusaidi8843 ปีที่แล้ว +2

    Tunda yuko real sana. Nimekuja ku-learn recently kuwa nyimbo ya "Still" alioimba Dre na Snoopy" iliandikwa na Jay Z, kuandika pia ni sanaa kama wasanii wenyewe, we got to change.

  • @nizalmelody966
    @nizalmelody966 ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Luffa.online
    @Luffa.online ปีที่แล้ว

    Daaa nyimbo izo zili eat sana

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 ปีที่แล้ว

    Hyo funguo ya gari inaonesha pia hyo gari ni ya kitambo....maana gari saizi hazitumii ufunguo....

    • @johnrichard5482
      @johnrichard5482 ปีที่แล้ว +1

      Hahahaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 #steve_wanga Unazingua We Jamaaa... Kwahiyo Gari za Siku Hizi zinatumia Remote control...😁😁😁😁😁

    • @stevewanga957
      @stevewanga957 ปีที่แล้ว

      @@johnrichard5482 button bro