TUNDA MAN - Neila Ilinitambulisha Kwenye Bongo Fleva | Ilibidi Nifanye na Profesa Jay - Part 2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Msanii Khalid Ramadhan Tunda anaendelea kutoa visa na mikasa kwenye safari yake ya muziki na maisha. Leo amezungumzia maisha yake ya shule na jinsi alivyokuwa mwanafunzi bora kwenye masomo ya Sayansi na jinsi alivyokuwa mtukutu shule. Ameelezea kutoa ngoma yake ya kwanza kabisa iliyomtambulisha, na pia kusimulia juu ya wale waliofanikisha safari ya muziki mpaka sasa. Kuna vingi vya kufurahisha kwenye mazungumzo haya...fuatilia...
#tundaman #tiptop #bongofleva #bongoproject
Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
--------------------
WEBSITE
--------------------
bongoproject.org
--------------------
SOCIAL MEDIA
--------------------
Instagram: / bongo_project
Facebook: / bongo-project-10256641...
--------------------
CONTACT
--------------------
Email: info@bongoproject.org
Bro mleteni spack pia big love from kenya
Ah, ungekua daktari Ungewapa sana watu SUMU, Bora ulivyokua msanii...!
Kipindi kizuri sana aisee! Keep it up
Shukrani sana Damian. Endelea kufuatilia...vingi vinakuja
Tunamtaka na spack kaka kipindi chako kizuri sana
Sawa. Tutamleta. Stay tuned!
Tumemleta hapa: th-cam.com/video/quGLd97-ZdM/w-d-xo.html
Mjitahidi muwe vzr kwenye kuuliza maswali yaan kuna vitu nyingi watu wangependa kujua Lkn unapita juu juu tu kwamfano hapo kwenye upande wa mpira ujamuuliza vzr afunguke
Shukrani mzee. Vya kuzungumza ni vingi mno...Tunajaribu kupata vingi iwezekanavyo ila muda hautoshi kwenda ndani kwenye kila mada. Ni swali lipi la mpira ulipenda azungumzie zaidi?
kipindi kizuri sana
SHUKRAN