Amen . Hakika kumcha mungu kwa dhati ni fursa ya kupata funguo za kufungua milango yote katika maisha na mazingira yanayozunguka. . 🙏 malezi mema yanaanzia nyumbani. Familia ikimjua mungu , kutakuwa na taifa teule popote utakapoishi. Kazi ni ya bwana .
barikiwa sana mama yangu mungu akubariki saaana mafundisho yako sio ya vijembe ila n mafundsho ambayo ukiskiliza unaona wapi unakosea na kujirekebsha mwenyewe bila kumuwekea mwenzako status
Amen . Hakika kumcha mungu kwa dhati ni fursa ya kupata funguo za kufungua milango yote katika maisha na mazingira yanayozunguka. . 🙏 malezi mema yanaanzia nyumbani. Familia ikimjua mungu , kutakuwa na taifa teule popote utakapoishi. Kazi ni ya bwana .
Somo zuri Sana Kwa jamii yetu hasa kipindi tunachoishi. Ubarikiwe Sana Mama na timu nzima walioandaa program hizi.
Aminaa!
Mbarikiwe sana kwa somo tumebarikiwa sana kazini kwa somo hili
Nabarikiwa Sana na masomo yako ubarikiwe sana
Somo nzuri sana mama mtumishi ubarikiwe sana
Nimebarikiwa Sana na hili Somo mama, Kuna Mambo mengi nimevuna kutoka kwako, barikiwa sana
Mafundisho mazuri sana nashukuru kuyajua hayo kabla sijafunga bingu la maisha.
Asante mommy kwa mafundisho mazuri sana niko lucky sija olewa Asante Yesu kwa kusikia mafundisho mbele ya kuolewa
Dada ubarikiwe sana. Wana bahati sana wanaopata mafundisho haya wakuwa bado hawajachelewa
Ubarikiwe sanaaaa kwa mafunzo hiyiii ina tujenga mnoo.
barikiwa sana mama yangu mungu akubariki saaana mafundisho yako sio ya vijembe ila n mafundsho ambayo ukiskiliza unaona wapi unakosea na kujirekebsha mwenyewe bila kumuwekea mwenzako status
Nakupenda mamaangu kipenz ss ambao atujaingia kweny ndoa tukidumu kweny mafundisho yako nakuyafanyia kaz aki ndoa zetu zitakua na Afya nzur
Aminaa!
Andika MRS DEBORAH URIO utapata MASOMO mengi!
Sawa mamaangu
Yaan mama uko na masomo mazuri Hadi raha 😊😊 naomba tu mafunzo yako yanijenge
Mrs Deborah Urio ; andika hivyo TH-cam utapata MASOMO mengi
Barikiwa mno mama
Aminaa!
Amina kwa kweli nimepata funzo la mwaka
Nampenda uyu mama anamafundisho mazuri mno MUNGU Ambariki sana
Aminaa!
UBARIKIWE!
Hii nitaisubiri tu maana kuna la kwangu humu ndani Mungu awabariki watumishi wa Mungu kwa kutukumbuka wazazi 🙏🙏🙏
Mwenyezi Mungu akubariki mama Debora kwa mafundisho mazuri ,hakika yamenibariki sana
Somo zuri sana. Bwana tuwezeshe ili familia zetu zikuwakilishe wewe
Mama mmi nakupend sanaa na mafundisho yako mazuri mnoo natamani kuongea na wewe naomba mawasiliano yako
Amen
Amina
Kweli mama tusiwachukulie poa
🙏🏿😇😍
Ahsant mama
"Mrs Deborah Urio" ingia TH-cam kwa MASOMO zaidi ya familia!
Umesema tuingie you Tube tuandikeje ili tupate mafundisho Zaidi tafadhali tuambie Asante
Haina shida liwalo na liwe unajaribu kujipendekeza lakini mtu hakuelewi.
Mahubiri makali th-cam.com/video/rVEAiEbgjHg/w-d-xo.html
😍😍🙏🏾