MLINZI ALIYELALA AKIMLINDA RAIS SAMIA "NILICHUKUA KOFIA YAKE" - RAIS SAMIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Desemba 2021 ameshiriki katika mahafali ya kufunga mafunzo ya Uofisa kozi No. 1/2021 katika Chuo cha Taaluma ya Polisi, Kurasini, Jijini Dar es Salaam ambapo akihutubia mbele ya Maafisa hao na Viongozi mbalimbali amesimulia baadhi ya mapungufu ya Askari Polisi aliyokutana nayo.
Mungu ndio mlinzi wako nasio mwanadamu mlinzi nae ni binadamu anachoka
Lakini mama kumbuka Askari pia ni binadamu Huwa anachoka.
Ulippchukua hiyo kofia Inawezekana ulimwaga unga wake,kumbuka huyo askari ana watoto wanamtegemea,siungemwambia tu na kumuonya ingekua vizuri na busara.
Mungu akubariki mama yetu samia
Nayeye binadamu anachoka kua askari sio kama unabadirika kua roboti wanachoka eeeh 😠😠
🤣😂🤣😂🤣📌🤣
Ucngizi hauna baunsa alie umba ucku hajakosea sema shida zetu zinatufanya kugeuza muda wa kulala kuwa muda wa kutafuta liziki hata ulale mchana kutwa ucku lazima ucnzie2 tunaishi kwa kuvumiliana tu kwa ajili ya shida kazi za ucku hazina tofauti na azabu tu hata kama unalipwa mamilioni ni azabu tu poleni sana mnao Fanya kazi za ucku
Yani hadi wamefika tamati wambile mama👌
Mungu asipoulinda mji walindao wakesha bure
Oyooo
Usingizi hauna mwana mwerevu .👍🇰🇪
Wewe unalindwa na mungu asikari nae ni binadam anapitiwa na usingizi
Lindo nalo ni kazi,
We av long way to go mama..!!? Be blessed ...tuko nyuma yko
Ni Mungu ukulinda Mama binafamu atujakamilika Kwa Nini usitegemee Zaidi Mungu binafamu msaidizi tu jamani,imeniuma lakini kufanya mlinzi wako hivyo,sii Bora ungemwamvia kosa lake jamani,,,tunakosea sisi Ni wanadamu atujakamilika Haya Maisha umwange unga Wa mtu jamani Mimi Bora unisemee ukweli nitakuomba msamahaa Na Mungu usamehee sembuse siye binadamu,!!Sisi site tu binadamu ukiona mwenzio kakukosea mwambia wazi kuliko kufanya afutwe kazi jamani ajapenda kuwa mtumwa,huyu Mungu akutuumba tuteseke ni maisha tuu Moyo unaniuma Sana pale ninapo Ona mtu yeyote anamwaribi mwenzake aijalishi cheo jamani Sisi site tu Wa kupita tuu Dunia Siyo mbinguni
Samia nipe namba
Mimi siyo askari wala siyo mlinzi lakini nasinzia hata nikisoma bibilia ndivyo shetani anavyojua kuharibu
Rushwa ndo maisha yetu Zanzibar millardayo njoo umuoneshe Rais me ili atusaidie
Hatari
Waambie wanachopenda kusikia
Mama elewa ipo siku
Utasimamishwa ktk mahakama ya aliyekuumba na kukuuliza huo uongozi wako uliongoza vipi maana kuna watu wana maradhi wanasaidiwa na wasamalia wema serikali kwa nn hawasaidii watu kama hao. Wanadhalilika
Hesabu mna hesabu nzito ktk mahakama ya aliyekuumba
Nawasiwasi na Siro hapa maana naona zishatafutwa sana sababu za kumuondoa ila tusubiri kanatafutwa ka gepu Mungu Ibariki Tanzania...
Wanalewa Sana double kick
Maadili...
Acha mama kazi ya ulinzi ni ngumu ila basi hizi shida
Hatamimi kunamkubwa alishaga niweka ndani siku 14
Tena nyingi mama askali wetu ni tatizo unakuta unaweza pewa kesi huijuwi mama
Millard,Hapo Chini mmeshaandika Tittle ya hicho ambacho mama samia anaongea,sasa kwann mnaanza kuhadithia wakati inakiwa video ndio iongee
Kabisa hata mimi nashangaa
Sasa mbona umesha tuhadisia Kwanzaa unaharibu Utamu wa picha
Kun@ kaz ukizifanya unaweza kuf@ kw@ masmango ,bor@ kujiajiri vijana😁😁😁😁😁😁😁😁😁 kwan hao wajub maslah yao yakoj maana wanachekesha
Hiyo sio sababu, kama Kalala ye ni mwanadamu sio malaika
Na yy ni binadamu
Hata Kama Mimi nalala mama sasa kama na ucngizi jamn nifanye nn nachoka mama khaaa
sasa raisi anaongea ivo kwann usilale😊
Acheni kusimulia kabla ya kurelease speech..... mnafanya audience ikose hamu ya kusikiliza the rest of the clip
umeongea ukweli mtupu.
Mh Rais askari ni wachache ukilinganisha na majukumu yao wanafanya kazi throughout the day throughout the night kwa hivyo ajiri askari angalau wapate offduty ya angalau 24 hrs baada ya kufanya kazi masaa sabini na mbili then sasa chukua au mwambie Waziri wako afanye survey miji km dar au arusha
Una roho mbaya Mama, Familia ya huyo Askari inaishije? WW unakula Bata
Mungu ndo anatulinda , we unataka ulindwe na binadamu kama wewe , we kwanini asilale
Hivi ni mt gan asiwe na ucngz ?? Ulndwe vp tena ?? Km ww utaweza? Sasa kwkuwa askar ndo halali?
Yaani Mambo mengine bana watu wanamambo mengi Sana Ila wangeweka kitengo maalum kuangalia physic ya mtu kabla hajaingia kaz
Hahaha ina wezekana ali kata moto huyo ana mjaribu mama atachapwa yaani anaondoka bila ya kuomba msamaha
Namuombea mama yetu awe salama na pia atusaidi askari kutii na pia kutupa usalama na kutusaidia kama chombo kwangu kulinda amani na kutusaidia kuilinda amani ya nchi yetu
Amin
Safi sana ulichofanya ingekua siraha ingeenda kufanya matukio kwa hyo ilo ni funzo Askari hata ukilala inatakiwa ulale kiaskari sio kama raia
Mnazingua kichwa cha habari kinajieleza video umeweka kinachokufanya kabla ya video unaanza tena kusimulia mnaboa sana
Kweli. Mimi nawapenda sana polisi ila nilishawahi kupigwa kofi na polisi pale sayansi kwenye mataa iti sikukimbiza gari faster sana. Bahati mbaya kioo changu kilikuwa wazi akanichapa kibao mimi mwanamke na yeye ni askari wa kiume. Nilktaka kumrudia nimuambie hajanifanyia jambo la kiungwana au nikariport kwa bosi wake. Nikaamua kumpuuzia
Jamani heshima iwepo kwa mtu anae tuongoza sio vzuri kumsema kwani huyu ni kama mama yako tu piga picha angekua mama ako unakuta comment kama hizi tuwe na heshima jamani huyu ni raisi wetu ndio anatuongoza
Wee kwann ulificha kofia yake ulikuwa na maana gan..nayy
You talk too much. Let her talk for herself
Bibi tozo kuna mambo mengi ya kuyashuhulikia sio una shulika na chinga
Sasa kisa mtu yupo lindo ndio asilale yule binaadamu nae anachoka tumtegemee Mungu kutulinda. Sio binaadamu
Wanawatisha na wanapigwa sana watuhumiwa
Alizingua Kamanda alilemewa huyo si inshu ya kuadisia
Askari police kiukweli hawasingiziwi Kwanza mkopeshe pesa uone kama atakulipa hee ehee ukimdai anakuzungusha mpaka unakata tamaa ,, kiukweli hicho cheo cjui kina raana
Kuna asopitiwa na usingizi jamani?hukua muungwana
Acha Mungu aulinde mjj wako, maana yeyote aulindaye mji wake afanya kazi bure.
SIKU INGINE AKIKURUPUKA USINGIZINI AWEZA UA AU KUDHURU.HIVYO NI HATARI PIA.
Huyo askari sio malaika ni binadam mama hukutumia ungwana.
Binadamu asiye fahamu jukumu lake?
Je kama alivyo sema ingelikuwa ni silaa
alafu ni mtu mbaya, just imagine ingekuwaje.
Wacha ubwege wewe pumbaaaaffff kazi yake hakuna kulala pumbaaaaffff
Sasa alikuja kazini au kulala,huyo hajui wajibu wake askar mzembe,kulala fofofo naunajua upo kazini
ad vijiti wanakuchoma ubavuni mwa mbavu maaskari wetu siyo watu kabisa
Nao wanachoka ,mbwa mwenyew analala, binadamu je!
Ma ma aliyekuumba ndiyo mlinzi wako.
Siyo binaadamu
Binaadamu ana mapungufu naye a nachoka ndiyo maana kapitiwa na usingizi
Ungemwamsha ndiyo ustaarabu kuliko hivyo ulivyofanya
Mungu analinda watu wote lakini mlango wako we nyumbani usiku unauwacha wazi au uaufunga !?
taarifa tunatoa wap lzm tunyanyaswe
Huyu Mama uarabu kaotoa wapi jamani. Mbonah alivyokuwa Makamu wa Magufuli alikuwa mweusi tu. Jamani kasumba hizi?
Ni jinsi analivoo vaa ndio maana askar wakatumia jina la muarabu mavaz na uzanzibar
Waendekezeni hasa wanajiita watu wazito bila kumuonea haya nwenyezi mungu. Ogopeni sana binadamu anaye taka HESHIMA hasiiyo stahili. MKIWA WAZITO NYIE? MANABII wa mwenyezi mungu wataitwaje. Sijui mtanwanmbia nini nyie ALLAH, Israel akiwajia? mnajiita wazito kwenye dunia isiyo yenu! THINK VIVIDLY DEAR WAZITO!!!!! .
Si una ndugu polisi wewe muulize ugumu wa lindo
Usingizi hauna asikali, vipi kuhusu mbowe?
Acha kutusimulia wewe mtangazaji
Jamani mnaokomenti ugoro wenu muache. Kiongozi yeyote lzm uwe mkali. Mfano utoe kwenye familia yako. Huspokua mkali utazalisha vibaka maana wataanzoa kwako wakiwa wadogo.
kwa tz askari waliojengeka kimaadili ni wale tu wakubwa wanaolipwa mshahara mrefu lkn hawa tuliokuwanao mtaani wanaolipa laki mbili tatu lazima aawe na mipango ya pembeni yakujiongezea kipato
Kusinzia kwa kiumbe hai ni jambo ambalo binadamu yeyote hana control nalo sasa mtu amefanya kazi masaa mengi hajapata muda wa kupumzika unategemea atashindwa kusinzia kweli? au hawa wenzetu sio binadamu halisi bali marobot yasiyo choka.
Kila kazi Ina Msingi wake, Ni vizuri kuwa imara unapo aminiwa, Rais nimkweli na Muwazi.Ameshauri tufanye kazi kwa kuzingatia,Sheria.Inshallah.
Ikiwa kisayansi mwili una fuata Q Ina mahitaji gani lazima itimie. Mlinzi anaye Kesha apate muda wa kupumzika mchana.Inshallah.