Jacktan nikwambie ubarikiwe sana sana,mm kitambo nilikuwa mkristo vugu vugu si moto si baridi lakini tangu nianze kufuatilia hii promover ndiyo niliokoka kanisa kabisa ile kutoangalia nyuma,kulia wala kushoto natazama mbele hata majaribu yawake moto,nimegundua dhambi ndiyo chanzo ya kurogwa hata kutumiwa majini,Jacktan nakupenda sana Mungu akubariki Dorcah Bonareri from Saudi Arabia
Ushuhuda wa maana kabisa. Mch Leonard Mungu akupe furaha ya wokovu. Mtumishi Jaktan, ubarikiwe kwa kutuletea shuhuda halisi za namna hii. Mungu akulipe sawasawa na mapenzi yake.
Huu ushuhuda umenibariki sana, kuna nguvu ya ajabu katika damu Ya Yesu kristo,nikupongeze sana Joktan kwa kutuletea ushuhuda huu hakika roho nyingi zitakuja kwa yesu, Mungu akubariki mchungaji usiache kuwahubiria watu injili.
Waaaah!!! Natumai uliomba toba kamili kaka hii ni hatari hadi naingiwa na uwoga lakini nina imani Damu ya Yesu iko juu yetu tunaokusikiliza. Kipekee nakuombea toba kali na Damu ya Yesu inayo mwagika msalabani iikuoshe thabiti. Mungu akukumbuke na akuokoe kabisa usirudi Kule tena. Asante kaka Jactan
Daaaaaah! Ndugu Jaktan Msafiri, Mungu akibariki sana kwa kazi yako nzuri sana na ya kipekee. Kupitia channel hii, nimejifunza mambo mengi sana, sana, saaana. Mchungaji Leonardi, wewe ni wa baraka sana, ushuhuda wako umenijenga sana.
Yaani ndio maana Africa hatuendelei maaana Kuna maroho mabaya tupu yanatenda kazi katika ulimwengu wa roho,bila hata Sababu mtu anakuharibia tu maisha! Shetani amefanikiwa sana sababu ya umasikini na ujinga wetu weusi
Mmhh ndugu sio kwl kusema watu weusi ndio wachawi au washilikina Apana ata hizo langi nyeupe ni watu wabaya bora ata sie wafrca ndugu tunayaona kwa macho na sio kuadisiwa
Jactan mdogo wangu siku hizi unaalibu watu wanaeleza Sana uchawi kwa muda bila kusikia ukuu wa MUNGU je ktk uchawi ajawai kukutana na Alie okoka hata maswali Kama zamani akuna mpaka mwisho tutachoka tunafatilia kz yako kwakuwa unatujenga kiroho ushauli tu ili kazi ihende mbele hacha kuwa no mpiga pesa tu ila kutangaza ukuu wa MUNGU
Amen asante kwa ushauri.Maswali mengi zaidi yanakuwa mwisho wa ushuhuda kama wengi walivyoshauri.Hapo kwenye kwenye kupiga pesa sijaelewa kabisa ungefafanua labda.
Mm naona Jack Tan unavyofanya ni sahihi kabisa kuacha mtuu ajieleze kisha mwisho unauliza maswalii,hii inafanya mmzungumzajii awe huru kueleza kwa mtiririko mzuri
Hukuchoma mapembe na mahirizi yako??utaachaje uganga kwa kuutelekeza katika mji wa mtu?huoni umewaachia majanga? Yale mapepo yatamuingia mtu na bado yanamilki iyo nyumba,na pia kuhusu hirizi na mavitu ulomeza je uliyatapika ulipoombewa?? Manaake katika ushuhuda hujasema kama mapepo yalilipuka wakati wa Deliverence,
Jacktan nikwambie ubarikiwe sana sana,mm kitambo nilikuwa mkristo vugu vugu si moto si baridi lakini tangu nianze kufuatilia hii promover ndiyo niliokoka kanisa kabisa ile kutoangalia nyuma,kulia wala kushoto natazama mbele hata majaribu yawake moto,nimegundua dhambi ndiyo chanzo ya kurogwa hata kutumiwa majini,Jacktan nakupenda sana Mungu akubariki Dorcah Bonareri from Saudi Arabia
Asante sana Dorcah Nakupenda pia
Asante sana Dorcah Nakupenda pia
Ushuhuda wa maana kabisa. Mch Leonard Mungu akupe furaha ya wokovu.
Mtumishi Jaktan, ubarikiwe kwa kutuletea shuhuda halisi za namna hii. Mungu akulipe sawasawa na mapenzi yake.
Nimejifunza mengi sana haswa uhusiano wa waganga wa kienyeji na wachawi. Kumbe ni marafiki sana! Waalaniwe kwa jina la Yesu Christo!
Huu ushuhuda umenibariki sana, kuna nguvu ya ajabu katika damu Ya Yesu kristo,nikupongeze sana Joktan kwa kutuletea ushuhuda huu hakika roho nyingi zitakuja kwa yesu, Mungu akubariki mchungaji usiache kuwahubiria watu injili.
Amen
Asante kwa kukuokowa yesu Christo apewe sifa
Amen hakika Yesu ni Mshindi
Kweli Yesu mwema na mwenye rehema nyingi siku zote, 🙏Asante Yesu kwa kutoa damu yako msalabani itukomboe
Give glory to God almighty mungu ndio mungu jana leo na milele, ,
Waaaah!!! Natumai uliomba toba kamili kaka hii ni hatari hadi naingiwa na uwoga lakini nina imani Damu ya Yesu iko juu yetu tunaokusikiliza. Kipekee nakuombea toba kali na Damu ya Yesu inayo mwagika msalabani iikuoshe thabiti. Mungu akukumbuke na akuokoe kabisa usirudi Kule tena. Asante kaka Jactan
@@pastorleonarddionizi9333 Naomba Mawasiliano Kaka Mchungaji
Amen,yesu nibwana hakuna lisilowezeka kwake yeye aaminie.mungu akusaidie kuulinda wokovu huu uliyogharimu damu ya yesu iliyoyathamani sana
Ameni amenii ubarikiwe na yesu
YESU ndiye njia na kweli na uzima ubalikiwe Sana Mtumishi
Ahsante Yesu kwa damu yako msalabani
Wacheni Mungu aitwe Mungu. Barikiwa sana Jacktan
Hakuna uganga wala uchawi juu yangu na generation yangu kwa jina la Yesu... Hesabu 23:23
Amen
Amen God is good
Mungu ni mwema sana
Ameeeeeena Ameeeeeena 😭😭😭 nashukuru sana Mungu kuona nimezaliwa kwenye familia ya wokovu 😭😭😭😭😭😭😭😭 Asante Yahweh
Glory to God
YESU KRISTO ni Nuru ya ulimwengu wote na ni BWANA na mwokozi
Amen ,amen,what a testimony,I have learned alot.
Daaaaaah! Ndugu Jaktan Msafiri, Mungu akibariki sana kwa kazi yako nzuri sana na ya kipekee. Kupitia channel hii, nimejifunza mambo mengi sana, sana, saaana.
Mchungaji Leonardi, wewe ni wa baraka sana, ushuhuda wako umenijenga sana.
Mungu ni mwema
HONGERA KWA KUMPOKEA YESU.
Shetani ni mwongo,sasa mtumikie Mungu kwa nguvu na kwa roho yako yote 🇰🇪🙏🙏
Ameeeen
Ameeeen
Amina
Ameeeen
Yaani ndio maana Africa hatuendelei maaana Kuna maroho mabaya tupu yanatenda kazi katika ulimwengu wa roho,bila hata Sababu mtu anakuharibia tu maisha! Shetani amefanikiwa sana sababu ya umasikini na ujinga wetu weusi
Mmhh ndugu sio kwl kusema watu weusi ndio wachawi au washilikina Apana ata hizo langi nyeupe ni watu wabaya bora ata sie wafrca ndugu tunayaona kwa macho na sio kuadisiwa
Yesu ni Ushindi. Yesu ni Uhuru. Asifiwe yeye aokoaye mataifa.
Mungu ni mwema kila siku, kila saa
🙏🙏🙏🙏
Hallelujah.
Bwana Yesu asifiwe sana🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen
Habari zenu, Promover TV, mimi nilikuwa nataka kujuwa mafuta ya mtuu ni nini, tunajua mtuu ana damu, mkojo, mate, jasho, sasa mafuta ya mtuu ni nini?
Viva Promover TV!!
Vivaaa!
Jackstan Msafiri Hoyeeeeeee!!
🙏
Jactan mdogo wangu siku hizi unaalibu watu wanaeleza Sana uchawi kwa muda bila kusikia ukuu wa MUNGU je ktk uchawi ajawai kukutana na Alie okoka hata maswali Kama zamani akuna mpaka mwisho tutachoka tunafatilia kz yako kwakuwa unatujenga kiroho ushauli tu ili kazi ihende mbele hacha kuwa no mpiga pesa tu ila kutangaza ukuu wa MUNGU
Amen asante kwa ushauri.Maswali mengi zaidi yanakuwa mwisho wa ushuhuda kama wengi walivyoshauri.Hapo kwenye kwenye kupiga pesa sijaelewa kabisa ungefafanua labda.
Mm naona Jack Tan unavyofanya ni sahihi kabisa kuacha mtuu ajieleze kisha mwisho unauliza maswalii,hii inafanya mmzungumzajii awe huru kueleza kwa mtiririko mzuri
Ukiacha MTU aeleze maovu aliyoyafanya ndivyo anavyozidi kuwa huru..huu ndio ushuhuda.
Sasa? Ilehirizi ilikutokaje ile ulioimeza?
Weeueee hatariii
.😳😳😳.. Wickedness 😳😳😳😳
Mafuta ya maiti yalipatikanaje mortuary?
Na je? Vita gani ya kiroho ulokutana nayo baada ya kuokoka???hukupambana na maroho (majini) ulokuwa ukiyamiliki?
Ushindani ulikuwepo ila nilisimama wima sana kwa maombi
Hukuchoma mapembe na mahirizi yako??utaachaje uganga kwa kuutelekeza katika mji wa mtu?huoni umewaachia majanga? Yale mapepo yatamuingia mtu na bado yanamilki iyo nyumba,na pia kuhusu hirizi na mavitu ulomeza je uliyatapika ulipoombewa?? Manaake katika ushuhuda hujasema kama mapepo yalilipuka wakati wa Deliverence,
Next episode is coming i think he will tell us more about how he receive deliverence
Kaelezea vizuri sana aisee groly 2 God
Glory to God