hapo kwenye no one is born to be successful au no one is born to be a star fanyia marekebisho na useme No one is born successful pamoja na No one is born a star ... kwasababu kila mtu ana nafasi ya kuwa star au mwenye mafabikio na ndio maana ukisema No one is born to be successful au no one is born to be a star hiyo inakuwa haileti logic kwasababu kila mtu ameumbwa kuwa na mafanikio au kuwa star. Hongera kwa kazi nzuri na Mungu akubariki, nimevutiwa na team work mmeyeonyesha studio, kudos!
Harmonize hua naomba dua shola mola siku moja anijalie hata n mm nkuone ivi kwa macho unisikize na mm vile naimba unisaidie nkarekodi ngoma moja kwa ajili yako...najua njia zitafunguka siku moja
I can see harmonize gat some skill in recording. U see how close he gets to the condenser.... U can tell he has worked with many international artists N producers... Lastly u need more base traps..
OFA OFA OFA OFA OFA NAUNGANISHA GB 60 ZA INTERNET KWA MUDA WA MIEZI 6 MFULULIZO KILA MWEZI UTAPOKEA GB 10. ACHA SASA KUTUMIA INTERNET ZA KUPIMIWA NA VIJIKO SIJUI MB 70 NICHEKI KWENYE HII NAMBA 0625 687 287 TELEGRAM TU?
hapo kwenye no one is born to be successful au no one is born to be a star fanyia marekebisho na useme No one is born successful pamoja na No one is born a star ... kwasababu kila mtu ana nafasi ya kuwa star au mwenye mafabikio na ndio maana ukisema No one is born to be successful au no one is born to be a star hiyo inakuwa haileti logic kwasababu kila mtu ameumbwa kuwa na mafanikio au kuwa star. Hongera kwa kazi nzuri na Mungu akubariki, nimevutiwa na team work mmeyeonyesha studio, kudos!
Harmonize you've never let us down..👍👍 from Kenya..
Sure,😊
Harmonize hua naomba dua shola mola siku moja anijalie hata n mm nkuone ivi kwa macho unisikize na mm vile naimba unisaidie nkarekodi ngoma moja kwa ajili yako...najua njia zitafunguka siku moja
Sema nn bro unauwa kinoma na unaimba kwa hisia kinoma dah aminia sana brother # harmonize
Sema Professor ww ni balaa tangia kitambo huna mpinzani
Daaaa jamani umaxn tu nami ningekuwa mbali kiukwer huwa nikiona HIV huwa nalia xana xhaid mungu wangu ila Poa god is able for everything
Kama umesoma iyo jumper ya Harmonize gonga like
Ninapenda sana hii kwa kweli muwe munatuwekea hivi vitu vya jikoni
So nice song harmonzi like hapa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu awabariki kwa kazi mnayofanya endeleeni kuitangaza tanzania we love u....
Harmo I like how u think critically hongera💖💗
Harmonize unajuwa kaka dah
+254 GONGA LIKE KAMA WAMKUBALI HARMONIZE NA WAAMINI DENI YA CHINA ITAPITA...……….
I wish i kub be there and witness evrything
Wow bro it is really amazing wallai go head bro and continue we get your back anytime
Harmonize like hapa love u ❤❤❤❤❤❤
Hapo nakubali nampenda sana nyimbo as wasafi Nimetoka kenya
Beatrice Wanjiru mundu wa nyumba
james kariuki sema mundu wanyumba
No one was born to be successful not nobody is born to be successful 😂😂 grammar still proud ❤️✊🏾
Inspiration song
Jay hustler, Jay wamituringa, prof Jay, red carpet, Mr presider, daaaaa nashindwa kuendelea
I can see harmonize gat some skill in recording. U see how close he gets to the condenser.... U can tell he has worked with many international artists N producers... Lastly u need more base traps..
Wa kwanza apa🔥🔥🔥🔥🔥
Duh yan hkunachakuzungumza juu ya huyu hamonaiz kizaz San kwawtu wote wamtwra halaa by Bmasofa 🔥🔥✈✈🔨🌍🎹🎻🎤📀🎶📺
harmonize is very hardworking no wonder zote ni hit songs
Ilove harmonize Tanzania
Ifrom somalia
konde boy 🤣🤣
nasikia siku izi basata mpaka useme neno lote mumakonde
shida kweli
Harmonize
i am from somalia
jay amexhapiga vyombo
Wakali Wa hizo mambo
Hii ilikuwa comedi eti na WA Nigeria wanafahamu hio nyimbo
Dogo harmonize ni mbunifu sana
caleb kiptoo 254...napenda kazi zako harmo... fan mbiq hapa
Kaka hii ngoma umeua
Namuona chopa hapo 😂😂😂💰💰💰💰🤞
Inst yote mnakamata kabisa kabisa nninoma big up konde and Jay wamitulinga
God bless you....bro
Harmonize Am Coming To Collabo One Day With You Loading In Future
ADOLESCENT UNDER CONSTRUCTION kama umeona nipe like tukisonga
Daaah nakubali sana hawa watu
𝚕𝚒𝚔𝚎 𝚣𝚊 𝚙𝚛𝚘𝚍𝚞𝚌𝚎𝚛...
mziki umetekwa na wcb, kataa tuone
Unafiki wako ni ziroiii majungu ukawaaa acha ujingaaa
@@meirenatus5683 umeongea lugha gani mbona ueleweki?
nlidhan harmorapa aisee kumbe ww..!
Jay unaweza!!🤡 hatari hii
All in all iko freshi
Wa tatu Hapa if u support #Harmonize like hapa
konde boy kaufiny
Hii ngoma sina lakusema
Kumbe wakat wa kurekord mnaenjoy ivo
wapi likeee za kondeeeee boy
Tz bongofleva G.O.A.T
I like it 😁
First view and like
harmonize fungua chuo cha muziki bro
mambo ni 🔥🔥🔥🔥
noma sana hiyo
Hahaha nilijua Harmorapa kabla ya kuifungua
mwanetu bonga tumekumis kwenye game
harmonize fungua chuo cha musiki bro
Nakupenda bure Konde boy
#homeboy wajinaa unawezaaa sanaaa
Sana tu kjana
❤❤❤❤
koooooondeeeeeeeee boyyyyyyyyyyyy
🔥🔥
Nakubali sanaaa kakaaa
wcb wewe ndio kichwa
Gonga like kwa harmonize vs profesa j
Konde BOY
Kariiiii
Hii ngoma inanipaga Moyo balaa
Kama kwako good gonga like
Nakukubali #harmonize
Nice
Nilizani harmorapa 😂😂
Safi
huyu producer anaitwaje?
Kali ya mwaka
oyeah nice song
J unaweza
woow
Harmonize mkali ungali mu wcb wasanfi
noma jaman
Please gusa hapa kusikiliza wimbo wangu mpya mateso 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
th-cam.com/video/l-xT-wHvns4/w-d-xo.html
Saf Prducer
mbunge ana mizuka hahahaaa
NICe nice song
Konyagi
👌👌👌👌👌👌
Napenda harmonize
@@rahmamuhidini2446 je? Unashangaa nini?
@@rahmamuhidini2446Hapa ni dada yetu
From somalia
kondeee boy
mziki unatakiw uwe unamzik
Eti we shambisha tu
hivi hao wenye hawana viatu ndio wachafu sio?
Uchocho
huyu sio lizer ... ni nani vile huyu producer
Is bonga
Wazi kaka shukran
Brodus bonga
OFA OFA OFA OFA OFA
NAUNGANISHA GB 60 ZA INTERNET KWA MUDA WA MIEZI 6 MFULULIZO KILA MWEZI UTAPOKEA GB 10.
ACHA SASA KUTUMIA INTERNET ZA KUPIMIWA NA VIJIKO SIJUI MB 70
NICHEKI KWENYE HII NAMBA 0625 687 287 TELEGRAM TU?
harmonize fungua chuo cha muziki bro
🔥🔥🔥🔥🔥
nakubali #Harmonie