Amen Pastor Abiud, yani nawapenda sana, kwa mafudisho yako,mwenyezi mungu amenitoa mbali sana, kaa ukijua uko na mwanao wa kiroho uku Nairobi Kenya, nimejifunza mengi sana, saizi mimi niwatofauti kabisa, sio vile nilikuwa mwanzo mungu azidi kukupa uhai, hadi uitimize kazi yake.
😭Amina sana mchungaji nabarikiwa sana na hii nyimbo Mungu azidi kukutumia katika uchungaji na uimbaji hakika umekua baraka mno kwetu. Mungu wa Mbinguni akubariki
Nimekumbuka mbali Sana Kwa wimbo huu nimekumbuka rafiki yangu mpendwa ambae alikuwa dada wa mchungaj aliefariki zaman Sana huko mkoan singida mungu akubarik Sana wewe ni mdogo wangu ameen
Ahsante Sana Postar Abiud nyimbo ni nzuri Sana mungu akupe maisha marefu,Atukuzwe mbinguni na dunian.By Gershom & Eliya dodoma city center karibu Sana dodoma siku moja....
Amina mnasifu katika roho na kweli ila ninaushauri kwa mama mchungaji kutokana na Yeremia 4:30, na 1Timotheo 2:9_12 achana na mapambo utamuona Bwana amina
Mucungaji micholi nakupenda sana tena nanyimbo Zao zinani umiza sana 🙏🇹🇿🇧🇮🇧🇮 Mwenyezi mungu akujarie bola nafamilia Yako mimi Niko murund rakina nakusikia miya kwamiy nakubali sana❤❤
I love your songs man of God since 2010 i was listening.then CDS were no more, recently i searched in Utube am back again listtening getting blessed a. In Kenya.God bless you and your family and Ministry.
Wimbo mzuri sana, kwa unyenyekevu mkubwa baba mchungaji mshauri mama mchungaji aache mapambo yote ya kidunia ili tufike wote mbinguni, tumekia shuhuda nyingi na kwa watu tofauti wa nchi tofauti kuwa wanawake wengi wako jehana kwa sababu ya mapambo kusuka nywele na vitu bandia kwenye miili yao. Ni ushauri wangu.
Kuna mapambo mengine ambayo hayamfurahishi mwenyezi Mungu ,why shetani amelata vitu zake kunaza watu na ss tunadhani n urembo bt kuna vile tunamwabudu ukiangalia mavazi pia
Soki na moni bolamu na yo kati na bomoyi na ngai ... na kobanga Nzambe.
Natukuza Yesu❤
Alléluia Hozanna
Amen Pastor Abiud, yani nawapenda sana, kwa mafudisho yako,mwenyezi mungu amenitoa mbali sana, kaa ukijua uko na mwanao wa kiroho uku Nairobi Kenya, nimejifunza mengi sana, saizi mimi niwatofauti kabisa, sio vile nilikuwa mwanzo mungu azidi kukupa uhai, hadi uitimize kazi yake.
Mungu akutunze.kila nisikilizapo nyimbo zako nafarjika sana🙏
😭Amina sana mchungaji nabarikiwa sana na hii nyimbo Mungu azidi kukutumia katika uchungaji na uimbaji hakika umekua baraka mno kwetu. Mungu wa Mbinguni akubariki
Hezagirwa
Kiukwel nmebarikiwa mnoo Mwenyez Mungu aendelee kukuweka kwa ajili yetu 🙏
Aminaa mtumishi wamungu
Mungu akubariki mtumwa wa bwana,uzdi kunyenyekea ili atafanya
Amina mtumwa bwana akika nyimbo zako zinanibariki mno bwana yes akubariki mtumwa
Nimekumbuka mbali Sana Kwa wimbo huu nimekumbuka rafiki yangu mpendwa ambae alikuwa dada wa mchungaj aliefariki zaman Sana huko mkoan singida mungu akubarik Sana wewe ni mdogo wangu ameen
Asanti yesu Kwa nyimbo hizi za baraka mungu azidi kuwaweka viwango vya juu zaidi wanibatiki sana
Barikiwa sana mchungaji kazi njema sana. Mungu azidi kuku tumia kwa viwango vya juu kabisa
.
Haleluyaaa.anastahili.sifa.zote.milele.na.milele
Nikiiimba nyimbo zako upako huw unashuka juu yangu be blessed
May the name of the Lord be highly lifted up Amen Hallelujah Amen 🙏🙏🙏
Nikitafakari uliyofanya,nakutuxa yesu
Nimebarikiwa sana na wimbo huh. Amen
Nataka namba kabisa
Toka Congo pasta afata nikisikie nyimbozako Nina barikiwasana mungu akubarikisana mchungaji amen
Huyu mchungaji alianza na mkewe na bado wanaimba pamoja, jamani Mungu awabariki zaidi
Ahsante Sana Postar Abiud nyimbo ni nzuri Sana mungu akupe maisha marefu,Atukuzwe mbinguni na dunian.By Gershom & Eliya dodoma city center karibu Sana dodoma siku moja....
amen amen MUNGU ametenda baba askofu MUNGU akuzidishie mafuta
Ameen ameen
Nazipenda nyimbo zako Sana Mungu wa Mbinguni akubariki Sana.
Amen
Hajawahi kukosea mchungaji abiudi barikiwa sana nyimbo zako znatufariji
Asifiwe Mungu kwa yote aliyo tenda am blessed Dad. Mungu akuinue zaidi na zaidi Baba.
Que la gloire soit rendu à Dieu !
Atukuzwe Mfalme aishie milele. Barikiwa sana pastor nabarikiwa nikiwa 🇰🇪 Kenya.
Mungu asifiwe milele n'a milele
Amina mnasifu katika roho na kweli ila ninaushauri kwa mama mchungaji kutokana na Yeremia 4:30, na 1Timotheo 2:9_12 achana na mapambo utamuona Bwana amina
Mucungaji micholi nakupenda sana tena nanyimbo Zao zinani umiza sana 🙏🇹🇿🇧🇮🇧🇮 Mwenyezi mungu akujarie bola nafamilia Yako mimi Niko murund rakina nakusikia miya kwamiy nakubali sana❤❤
Asifiwe bwana
Asifiwe Mungu baba
Asante sana mchungaji kwa nyimbo hii Mungu akutie nguvu zaidi inanipa faraja mnoo nyimbo hii
Amina saana mchungaji wimbo huu birashaka ni manukato mbele yakiti Cha enzi Cha Bwana mungu wetu.
From Kenya254 my best pastor
Halleluyah Hosana...Mungu wa mbinguni awatunze na kuwahifadhi watumwa wake.
😭😭 amen mchungaji nyimbo zako zinanipeaga moyo sana. Naomba siku moja utembelee Nairobi kisha ujenge kanisa uku
Mchungaji nabarikiwa sana na huduma yako .Namwomba Mungu akulinde pamoja na familia yako.Barikiwa sana baba
Amen 🙏🙏 lakini wanadada waache mapambo
Mungu mwema aendeee kukuinua zaidi na zaidi km apendavyo,Ameen
real voice yaani saut ya mama abiud ni ya kipekeee sna hongeren
Utukufu kwa Mungu
Sifa na zivume kwa Bwana yesu kristo aliye hahi. Haleluya.
Amina nyimbo IPO rohon sana nahisi bubujiko, be blessed utukufu Kwa yesu kristo
Nyimbo ni nzuri Sana hongera mchungaji Mungu akubariki Sana.
I love your songs man of God since 2010 i was listening.then CDS were no more, recently i searched in Utube am back again listtening getting blessed a. In Kenya.God bless you and your family and Ministry.
Pastor hujawahi kuniangusha nabarikiwa Sana na huduma yako kwa ujumla
Ameen,
Utukufu kwa Mungu
Aminaa mtumishi from kijiji cha inyama
Watumishi was Mungu Past Abiud na Past Pierre Bwana YESU awabariki sana yaan combination yenu huongozwa na Roho Mtakatifu Be Blessed
Wachungaji mungu awabariki sana
Amen inshallah
Wimbo mzuri sana, kwa unyenyekevu mkubwa baba mchungaji mshauri mama mchungaji aache mapambo yote ya kidunia ili tufike wote mbinguni, tumekia shuhuda nyingi na kwa watu tofauti wa nchi tofauti kuwa wanawake wengi wako jehana kwa sababu ya mapambo kusuka nywele na vitu bandia kwenye miili yao. Ni ushauri wangu.
ukienda wewe binguni inatosha yaani mtu kupendeza nako Ni dhambi msipende kupangia watu maisha kikubwa anamtumikia Mungu
Mungu akubariki sana
MKE wa HUYU baba Yuko very natural mi nimeona ana Kwa ana 2 times no nyakati tofauti
Mlizaliwa uchi hizo nguo mnazovaa ni anasa tembeeni uchi😏
Kuna mapambo mengine ambayo hayamfurahishi mwenyezi Mungu ,why shetani amelata vitu zake kunaza watu na ss tunadhani n urembo bt kuna vile tunamwabudu ukiangalia mavazi pia
Asifiwe MUNGU baba kwa yale yote anayofanya,Ameeee
Nabarikiwa saana apa congo, nzambe ya makasi azali mobikisi amen.
AMINAAA Watumishi Mbarikiweee
Barikiwa sana pastor from Nairobi Kenya
Amen 🙏 wimbo zako ni zuri
Wimbo wa baraka
Nimebarikiwa sana na wimbo wenu wa kumsifu Mungu
Nabarikiwa sana na nyimbo zako mchungaji zimeweza kunitoa mbali sana.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Ameen mtumishi nyimbo zaka zina mshawishi mtu kuingia kiroho
Ameni our father..chumvi ya dunia..na Tanzania...najifunza mengi kwako Role model 🙏
Ninanyimbo tatu TH-cam jina Fadhili Mzopola
Nimejifunza kwako jinsi yakumwimbia Bwana🙏
Utukufu kwa
Bwana
Kipande cha mkongo kimenigusa zaidi ingawa sio mkongo
Baba Mungu azidi kukutunza umebeba neema ya ajaabu
Utukufu Kwa Mungu.Mtumishi Mungu akutie nguvu Kwa ajili ya kazi yake
Nibarikiwe kupitia nyimbo zako 🙏🙏😢
Oh Utukufu kwa Mungu
Amina pastor nabarikiwa Sana. Kweli atukuzwe asiyeshindwa na chochote.
Pastor naeshim utumishi wako wimbo mzuri sema Vidio mwanzon haikukaa vizuri
Amena Amena.nabarikiwa sana
Kwakwe li nyimbo zako znabalk 7:24 7:26
Barikiwa
Mungu azidi kuongezeya kipawa baba kweli unani bariki sana
Baba Mungu akubariki Sana....huu wimbo naupenda Sana...
Amen
Amina past hubarikiwe sana
Ubarikiwe iranaomba uwambie each e mapambo mama mchungaji anapotosha watu yeyenikio chakanisa
Asifiwe bwana.Ameeeeen
Mungu akutie nguvu
Ameni🙏🙏
Nabariku
Asifiwe ameeeeeeeeeen ,
Hallelujah ameeeeeeeeeen
Nice one pastor
mungu akubariki sana pastar kwa nyombo zako natoka Kenya.
Amina nyimbo zako nzuri sana barikiwa sana mchungaji
Shallom shallom
Amina bana nasipemda mchungaji mungu akutie ngufu baba
Ubarikiwe mtumishi wa mungu nyimbo zako hua zinanipa faraja kubwa sana mungu awe nanyi watumishi wa mungu
Amen nabarikiwa sn
Amen, Amen
Congratulations 👏 mtumishi ujumbe umefika.
Kwa mara ya kwanza mimi kuona wema wa bwana ni wakati nyimbo za uyu mtumishi kunirudisha katika njia za mungu...Amen baba
Halleluya halleluya hosannah
Umenibariki saana na huu wimbo muchungaji abiud
Yesu akubaliki mchungaji ❤❤❤
Ameen,
Mungu akubariki sana
Baba baba
Ameni sana
Amen waw
Amen amen 🙏🇰🇪
Ameni barikiwa
Mch huduma yako ninjema.
Nyimbo zako zinatubariki sana mchngaji🙏🙏
Amina mchungaji mungu azid kupandisha kiwango kingne
Barikiwa sana Mtumishi
Wa Mungu
Amen amen!!
Nabarikiwa Sana na nyimbo zako baba
Ameen, Mungu akubariki Mchungaji kwa nyimbo..
We love you pastor, Make a Walk to Kenya,I really appreciate and enjoy your songs
Nyimbo zako huwa zinanibariki sana mchungaji abuid
Barikiwa baba mchungaji😍.Mungu akutunze hadi mwisho.🙏
Jina BWANA litukuzwe Amina