woow the coming yanga will be threat to africa.Definetly it will be ahead of pack in caf ranking due to continuously process of registering heavy prayers but for Jonathan Sowah no
Anahaki yakuichezea yanga kwasababu ni timu ndogo TU kwetu sisi simba huyo hatufai hawezi chezea timu Bora Africa kama simba.halina lolote nguvu nyingi akili kisoda 😅😅😅
Akicheza na dube 😂kuna watu kumi zitatimia
Kwa maeke,o hayo, sowah anatakiwa a heze namba 10
Bora Gwede abaki wakuu uyu bado sioni kama akiwa wamoto sana kma gwede bcz atakua na utomvu wa nizam , pia haujui kuzitumia nafasi bora gwede wetu.😅😅
Kama ata kuja yanga atakuwa mzuri zaidi kuliko mwanzo nitakumbukwa maneno yangu
Mmmh km kweli huyu mwamba kama hali ya hewa ya TZ itamkubari aisee naziona 8 msimu huu.
Jamani kama dube yupo mzinze yupo nakinzumbi kamayupo zuwa Hana umuhim kwenye Tim Yaya yanga
Kinzumbi ashasajiliwa Raja
Mm sina wasiwasi nae namkubali na yanga ndo semu sahihi mtu kama yeye
Huyu mwamba aje jangwan guede hakuna kitu souwa ni hatar sana
Mbovu tu,Bora guede ni mkali kuliko huyo,Mbovu hana ishu
huyo sowa mmmh sijui..mbona Guede mzuri tu
vp kuhusu chama na yanga kaka we ndo mkweli wengine waongo
Hana Kitu Huyo, labda akacheze Timu ndogo kama Simba.
Kazi ya wauza habari ukweli wake j,tatu maana waliohusishwa ni zaidi ya 10 ila uhitaji hata 5 wasifike
Asante
Kwangu hapo hapana. Dube na msaidizi wa ndani anatosha.
Hana nizam 😅jamaa hyu
Uyo kadanyanya umri, analingana na boko
Huwezi linganisha guede na sowah sowah ni zaidi na ni mwepesi akiwa gorini
Injinia atafute mwingine. Jina na sifa nyingii!! Kama namwona uwanjani vilee???
Kwahiyo hafai huyo mchezaji
woow the coming yanga will be threat to africa.Definetly it will be ahead of pack in caf ranking due to continuously process of registering heavy prayers but for Jonathan Sowah no
what do you mean by NO?!
Deal done by 90%, July 1 itawekwa wazi
jitu la mtumba hlooo😊😊😊
Akija Yanga atakuwa Bora zaidi
Nina wasiwasi na discipline ya sowa😢
Waghana wote, huwa hawanaga nidhamu. Ni kawaida Yao.
Kweli kabisa
Wachukue mali hiyo sasa
Uchezaji wake tuh unavutia
All nasr alijiunga msim gan kwa7bb msim ulio pita alikuw madeama
Wakati wa usajili wa dirisha dogo Januari, 2024...yaani kwa huku kwetu kama ilivyokuwa ujio wa kina Okrah Yanga na Jobe Simba.
Tunangoja kunyamazisha tz
Aje aje
Anahaki yakuichezea yanga kwasababu ni timu ndogo TU kwetu sisi simba huyo hatufai hawezi chezea timu Bora Africa kama simba.halina lolote nguvu nyingi akili kisoda 😅😅😅
huyo haji simba ndugu kwa hiyo isikusumbue sanaa
Simba mpo ulinzi shirikishi mwakani😂😂Mwakani 😂