SUGU: SPIKA NDUGAI ASITUZUIE KUONGEA/ SIKUMTUKANA RAIS/ NIKIDAI FIDIA SIKOSI BILIONI 6
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ส.ค. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#MsumariWaMoto #JosephMbilinyi #Sugu - บันเทิง
I like your song Haki big up Sugu it has a big msg.
Nataka niwakumbushe huyu ndo mbunge wa kwanza Tanzania kwa kupita kwa kura nying kutoka kwa wananchi wake, pia ndo mbunge wa kwanza kupendwa zaid na wananchi wake, pia alikuwa Karibu na wananchi.
Huwez kufanya biashara kama hauna akili,kwa kifupi huwez kumiliki pesa km hauna akili,noted!
Nammiss sana jamaa alikuwa vizuri sana Bungeni. Kwanza alikuwa na akili sana kuliko wetu Bungeni 🙏
Nimefurahi kusikia kaka Sugu akisema Alhamdulillah..Allah ukufishe Muislam in sha Allah.
Yani tumekosa watu muhimu wakutuongelea mambo yetu binafs bungeni, maana anaeingia kwa kura halali huyu ndie chaguo la Mungu maana hakuna ushetani uliomfanya kukalia kiti, kwahio hata UTUMISHI wake unakua wa kimungu sio wa kishetani, hata maamuzi yake Yana hekima ya kiMungu sio maamuzi ya kishetani
Sugu is the Legend
Big up Mr 2 kwa interview nzuri
WATANGAZAJI MWACHENI MGENI AMALIZE KUJIBU SWALI NDIO MUULIZENI JAMBO LINGINE. INAKERA SANA SUGU BADO ANAELEZEA KISHA NYIE MNAMCHOMEKEA CHOMEKEA TENA VISWALI KATI KATI YA MAELEZO MNAUZI SANA. LIFANYIENI KAZI HILO
Excellent sugu
Sugu upo vizuri na nimegundua Chadema inawatu wengi sana hasa vijana wenye uwezo wa hali ya juu kuchambua mambo na kufanya mambo kuliko CCM
Interview nzuri sana...Jongwe yupo sawa
Nimeipenda hii interview aisee
Sugu is really bright!
Safi jongwe
umeongea point sana mh, mbunge wetu wa kuchaguliwa. sisi tunakutambua wewe kama mbunge wa mbeya na rais wa mbeya siyo huyo aliyeteuliwa na tume ya uchaguzi ya ccm na kutangazwa
Mh Mbunge ✌🏼
Jamaa Ana confidence ana talent ya hali ya juu Mungu Akuweke kaka mkubwa
Excellent Interview Brother Sugu
Ni kweli unatisha brother Sugu,hata Ndugai na tulia wanajua
Heshima yako sugu
Hakika Mungu ni mwema
Sugu suguru #rpcmnoko#mzeeanakupenda “jomgwe jongongwe”**tumepunguza usela wa kisheria Bungeni ola sugu bro mia mwanangu ila usisahau kua CCM tunakukubali na tunakupenda
Kuna tofauti ya kuwa na wanasiasa na wana harakati. Sugu ni aina ya watu wanaofanya harakati. Nchi ikiwa na watu wa namna hii husogea. Lakini ikijaa wanasiasa hakuna kinachofanyika, au hata kikifanyika huchelewa sana.. mwanasiasa ni mwepesi kubadirika na kujiangalia yeye na maslahi yake. Mfano ni Haji Manara, huyu ni kada mkubwa sana wa CCM.. kalelewa ki uana siasa. Ni shabiki na mwanachama wa Simba lakini kwa kua ana element za uana siasa leo yupo Yanga na anaihujumu hata Simba.. hizi ndio tabia za wana siasa hasa waliopikwa na CCM
We jamaa unaakili sana sana ngumu kuona watanzania wanafanya analysis kama yako. Upo vizuri kaka Mungu akupe weledi zaidi
Exctly
)
✊ Sugu
Bless up JONGWE
th-cam.com/video/oqrc2QqGHzg/w-d-xo.html
"siregret, nilichokozwa"😂😂
Jamaa namkubali. Sijawahi kumsaliti. Mwanahiphop bora kuwahi kutokea nchini
Wa kwanza like
Your on fire 🥂
Jamaaa anakatiswa majibu pale anapo jipu swali la siasa mfano kushawishiwa kujiuunga na ccm kwann mnamkatisha
Kumbe naww umeona na kusikia Kama mimi!
hawa wamemuhoji SUGU alikua too much kwao mi naona wameshindwa SUGU mkubwa sana kumhoji wakina zungu maswali soft
big fact,uwezo wako wa kufikir nafikir unaendana namm,mahost ni wadogo sana,sugu ni legend flan iv
Saf sana
Uko vizur sana mbunge wa 2025
Kaka wile naomba unisaidie niwasiliane na sugu
Safi sana kipind kizur
kipindi kizuri lakini camera works inabidi muiweke kwenye kiwango cha kipindi chenyewe...
Jaman me kiukwel huwa sijui chanzo hasa cha ugomvi kati Ruge na Sugu, anaejua naomba anieleze tatizo ilikuwa nini japo hata kwa kifupi tu🤔🙏
Sugu alipata dili la mradi wa malaria USA wa bilioni za hela Ruge akaidaka idea akawahi kwa kikwete wakazipata clouds hizo fedha
🔥🔥
Sugu safi sana. Ia kuh. Wamachinga ni suala la utofauti wa Uongozi period.
Elegant presentation,respect to u Sugu
Muwe makini kwenye kupozi, kuswich na intervention isionekane kama mnapushiana na hii itawaletea mtiririko mzuri zaidi
🤸💯👌♥️✌️
Mwishowe wwtasemana walivyopindua meza kibabe uchaguzi Mungu namoenda anajua kuumbua wwnafiki hii 2022 inakuja na mengi
Watangazaji ni wa wili ila umoja ana onekana ana umimi, Zungu ame kua kama mtazamaji tu huo sio utangazaji , Zungu katumia muda mdogo sana ina maana hakuwa na ma swali ?
Laizma kuna mtangazaji kiongozi kiongozi ni ethics tu za kazi
Zijuwe athari za kuwa na bunge moja ktk nchi
bado mnashindwa kuweka mtiririko nzuri wa mahojiano mnaenda kama mmepotea njia, jipangeni kidogo sababu hivyo vipindi ni vikubwa sana na huwa vinapendwa na watu wengi.
Kitabu hicho kinapatikana wapi wajameni
Sugu kaongea ukweli
Hamjui kuhoji muigeni miladi ayoo
Yule mama tulia akson alituahidi wana mbeya atatengeneza barabara njia nne hapa mjini kwenye kampeni za 2020 hizo barabara wala hatuzioni tunajua ccm hawawezi kutengeneza zilikuwa ni sera za kupatia kura japo kuwa hakushinda alitangazwa tu na tume ya taifa ya ccm. mshindi alikuwa ni Joseph mbilinyi rais wetu wa mbeya
Utazionaje kat aliyemteua hayupo
Sugu hajawahi you hai
Nakubaliii chaziiii
Baado ki roho huyo ni mbunge wa mbeya
Wananch tunataka katiba mpya ndio itakuwa mwisho wa uonevu...miaka 60 ya uhuru maji shida umeme tabu jama..we are all tired 😫 for this shit
Sugu Kama sugu weee ni mwamba
police mnoko 🚔🚔😂😂😂
😂😂😂🙌🏼
Vingereza vingi, utawaza wasikilizaji ni wazungu.
Rais
show nzuri lakini audio mbovu af media kubwa mnazingua....set mic vizuri zuia upepo
Labda mwambie tunatexeka maana wabunge ni watatifu kama mdee na wenzake
Kweli HUYU NI SUGU.
Ok
Wanoko dah!!😂😂😂😂😂
th-cam.com/video/oqrc2QqGHzg/w-d-xo.html
Mtu na nusu
24 January 2023
Master plan
Jembe
Saizi hakuna bunge
Zungu
NDUGAI NINANI HUYO KWANI? KATIBA NDIYO MSINGI WAMAENDELEO
August anajitahidi....
Halafu nyie wasafi hayo mabikari na pembe tatu kwenye background yanamaanisha nini? Au ndo feel free church ?
Aisee mafuta ya magari hashikiki.
Nimenyoosha mikono. Hivi wanene mbona mnawatupa wa Tz? Mama mmoja alinunua umeme wa tsh 7000, akakatwa 6000( matozo) akabaki na buku. Alisusa na Hadi leo analala Giza!! Hii ni ya KWELI.
Mwamba 2025 tunakuitaji urudi tena nafasi bd unayo
Suuuquw
Sugu bado uko juu wanaMbeya hawatakuacha we subiri ifike 2025 tuone huyo modo wa Magu nani atamhonga tena ubunge
Jongwe lembrus
Huyu zunguu jitaihidi kuongea kwa utalatibu
@Daniel
NIHILO TU🤷♂️???
Mafisi wamejitahidi kuua upinzani .
Sugu relax man. tunaponyanyasa wengine tujue kwamba we are mortal and powerless. ndio maana tumefukia watu watu waliodhani ni wababe kwa kulazimisha mahakama ziwaadhibu wapinzani wao
Hivi hawezi akaludia tena kugombea ubunge
Sugu mhuni saana..eti shavu dodo🤣🤣🤣🤣
Hawa jamaa hawajui kuhoji wanarukaruka tu.
Alisaidia nn ndani ya miaka kumi? Hakuna mnachojua hapo!
Kwani hao wengine wanasaidi Nini zaidi yakutajwatuu wabunge ni wawakilishi na serikali niwatendaji bwege wewe
Choko wewe hujui uonalongea
Gombea 25 utashinda mimi democrasia makini arusha
Mfugwa mbal sanaaa
Haya mambo ya kununua Wapinzani....kuwahonga Wapinzani....kuwatisha na hata kuwafunga jela Wapinzani....ni mambo ambayo yameweka 'doa kubwa jeusi' katika utawala wa hayati JPM!
Washachukua ten pacent wanalazimisha ujenzi bagamoyo
HUYO NDO MBUNGE WETU, TULIYE MCHAGUA WANANCHI. HATUUTAMBUI KAHABA WENU
Tà
Mpango Haramu Ep20
th-cam.com/video/RrxjFtxCIME/w-d-xo.html
english ya kubandika na gundi ya maji
.
Msumari wa moto kwa style ya mahojiano, I am not sure kama lina fit, unless otherwise
Magufuli alituondolea watu makini sana bungeni hivi Sasa bunge limekua la hovyo tu kila kitu ndi ata clipendi
Sugu inakubalika usiwachie kamba
taita jongwe
NIBA URI UMUGABO CG UMUSORE UKABA UGIRA IKIBAZO CYO GUCIKA INTEGE , KURANGIZA VUBA NO KUBURA UBUSHAKE MUGIHE CYO GUTERA AKABARIRO TANDUKANa NABYO BURUNDU UKORESHEJE REVIVE CAPSULES BIGUHE UMUNEZERO*Kubindi bisobanuro nyandikira kuriyi email
IBINTU uvuze bihuriye hehe na topic
Mweje wake ni hela
Mpango Haramu Ep20
th-cam.com/video/RrxjFtxCIME/w-d-xo.html
.